الخبر: تناقلت وسائل الإعلام الاثنين (21 تموز/يوليو الجاري) خبر إقرار الحكومة البريطانية على لسان رئيس الوزراء ديفيد كاميرون لمكافحة التطرف حيث وجه رسالة للشباب المسلم في بريطانيا قائلاً "لا تدعوهم يغسلون أدمغتكم" في إشارة إلى الحركات القتالية التي تجذب الشباب المسلم مثل تنظيم الدولة. وكانت الجاليات المسلمة في بريطانيا قد أبدت استياءها من هذه الخطة التي أعلن عنها ديفيد في خطابه حيث تشمل: "منع نشر رسائل متطرفة عبر وسائل الإعلام والإنترنت، والسيطرة على الأفكار المتطرفة والراديكالية في المدارس والجامعات والسجون، إضافة إلى ضمان نشر قيم بريطانيا". وكانت وزيرة الداخلية البريطانية، تيريزا ماي، ذكرت، الاثنين، أن الاستراتيجية الجديدة تتضمن تعديلات قانونية على غرار حظر أنشطة بعض الجماعات والأشخاص، إضافة إلى إغلاق بعض الأماكن المستخدمة من قبل المتطرفين. حسب ما نقلته القدس العربي على موقعها في 21 الشهر الجاري. التعليق: يعيش في بريطانيا قرابة ثلاثة ملايين مسلم يشكلون 5% من سكان البلاد، يعانون من التهميش والتمييز العنصري ضدَّهم، على غرار مسلمي الغرب بشكل عام، حيث غالبًا ما يتعرضون لمستويات متفاوتة من التمييز والتهميش في التوظيف والتعليم والسكن، بسبب إسلامهم، حيث تعاني المسلمات على سبيل المثال من التعرض للإهانة اللفظية بسبب لباسهن، أو المنع من الوظائف الرسمية وحتى المؤسسات الخاصة، فضلاً عن حوادث مؤلمة تعرضت فيها نساء مسلمات للضرب وخلع الحجاب عن رؤوسهن في الأماكن العامة، وتعرض الملتحون من الرجال للإساءة والألفاظ البذيئة بسبب لحاهم. حيث إن 46% من المسلمين يعيشون في أعلى 10% من المناطق الأكثر حرماناً وفقراً في البلاد حسب تقرير أعده المجلس الإسلامي الأعلى في بريطانيا شهر شباط/فبراير الماضي، كما ذكرت الدراسة أن "التمييز العنصري فضلا عن انتشار الإسلاموفوبيا كبير جدا، ضد السكان المسلمين، وإن عدد نزلاء السجون من المسلمين يبلغ نحو 13 في المائة من السجناء داخل إنجلترا وويلز". فظاهرة الإسلاموفوبيا التي عملت الحكومات الغربية - عبر دعم الأحزاب العلمانية الحاقدة والمتطرفين من أصحاب رؤوس الأموال والمتنفذين - على تشويه الإسلام والمسلمين هي التي يتحجج بها كاميرون في خطابه لتبرير هذه الهجمة على المسلمين بحجة مكافحة الإرهاب. يُذكر أن سياسة التمييز والمضايقات ازدادت بشكل كبير في السنوات الأخيرة بسبب اتساع لهجة العداء والتحريض التي تتبعها بعض الجهات والأحزاب والجماعات اليمينية المتطرفة٬ التي سعت إلى اعتماد خطط وبرامج جديدة في سبيل إثارة وتأجيج مشاعر الحقد والكراهية ضد الإسلام والمسلمين في الكثير من الدول الغربية٬ بهدف إيقاف نمو وانتشار الإسلام في تلك البلدان. وبحسب بعض المراقبين فإن تلك الجهات والأطراف اليمينية المتطرفة قد سعت إلى اعتماد حرب إعلامية تنقل من خلالها نقل بعض الأنماط والمفاهيم الإجرامية التي تقوم بها بعض الجماعات المحسوبة على الإسلام٬ على أنَّها تمثل الإسلام ودولة الإسلام التي يعمد الإعلام الغربي وتهدف أجندة السياسة الخارجية الغربية على تشويهها قبل ولادتها. إن التهميش الذي يعاني منه مسلمو بريطانيا، ليس بالأمر الجديد بل هو صورة لمعاناة المسلمين في شتَّى أنحاء العالم، وما الحرب على الإرهاب ومكافحة التطرف الذي يتستر الغرب بهما في حربه على الإسلام والمسلمين إلا واقع أخبر عنه الحبيب المصطفى عليه الصلاة والسلام في حديثه حيث قال: «يوشك أن تداعى عليكم الأمم كما تداعى الأكلة على قصعتها». قيل أمن قلة نحن يومئذ يا رسول الله؟ قال: «بل أنتم كثرة ولكنكم غثاء كغثاء السيل، ولينزعن الله من قلوب عدوكم المهابة منكم وليقذفن في قلوبكم الوهن». قالوا: وما الوهن يا رسول الله؟ قال: «حب الدنيا وكراهية الموت» رواه أبو داود. وما ذلك إلا نتيجة حقد الغرب المتأصل على الإسلام والعداوة المتجذرة في نفوس الإنجليز على كل ما يمت للإسلام بصلة، وهذا ما يظهر من رسالة خصَّ بها كاميرون صحيفة ميل أون صنداي الأسبوعية حيث دعا إلى العمل على ترسيخ "القيم البريطانية بشكل أقوى" في مواجهة انتشار التوجه الإسلامي في العديد من المدارس البريطانية العامة وخصوصا في برمنغهام. ولعلّ انتشار المسلمين الكبير في برمنغهام - حيث تصل نسبة الطلاب المسلمين في مدارسها إلى 80% مقارنة بباقي الطلاب - يبرر خطاب رئيس الوزراء وتخصيصه لهذه المدينة في خطته لمكافحة التطرف الإسلامي! وجَّه كاميرون خطابه للمسلمين وتحدَّث عن غسل الأدمغة، وأظنُّه أخطأ الهدف إذ كان الحري به أن يتحدث لأهل بريطانيا من غير المسلمين ليحذرهم من برامج غسيل الأدمغة التي تشكل عمليات ممنهجة لغسل الأدمغة بهدف تنفيرهم من الإسلام وتصويره لهم بـ"الغول"، في ظاهرة قديمة متجددة "الإسلاموفوبيا". لا أن يستغل التصرفات المسيئة للإسلام التي تقف خلفها في غالب الأحيان الحكومات الغربية الساعية لتثبيت مصالحها في بلاد المسلمين، وحفظ عروش الأنظمة العميلة لها وتأخير قيام حكم إسلامي عادل في المنطقة، بنسبها للإسلام لأجل ضرب فكرة الخلافة وتشويه النظام الإسلامي في عيون أهل بريطانيا الذين ملُّوا أزمات الرأسمالية وبان لهم فشلها في إسعاد البشرية فراحوا يتطلعون لنظام آخر يعتقهم من هذا الشقاء.فيا أهل الإسلام، يا أهل القوة والنُّصرة: هذا كاميرون يعلنها على الملأ حرباً على الإسلام وتضييقاً على أهله، فمن له يعلنها مدوية تقصم ظهر الكافرين، أنَّ الدين لله، فينصر حملة الدعوة ويعيدها خلافة راشدة على منهاج النبوة، تغيث البشرية وتنقذ العالمين من جور الأديان لنور الإسلام، دولةً تزيل الحواجز من أمام نشر الدعوة فيدخل الناس في دين الله أفواجاً، وتُملأ الأرض عدلاً ونوراً بعد أن ملأتها الرأسمالية ظلماً وجوراً؟؟ ﴿يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ ٱسْتَجِيبُوا۟ لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ ۖ وَٱعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَقَلْبِهِۦ وَأَنَّهُۥٓ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴾ [الأنفال 24] كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريرأختكم: بيان جمال
خبر وتعليق بريطانيا تقر خطة لمكافحة التطرف الإسلامي، فمن يكافح الإسلاموفوبيا؟
More from Habari na Maoni
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
(Imetafsiriwa)
Habari:
Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).
Maoni:
Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.
Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.
Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.
Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.
Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.
Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.
Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)
Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir
Muhammad Amin Yildirim
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Habari:
Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.
Maoni:
Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.
Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.
Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!
Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!
Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!
Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.
Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.
Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir
Dkt. Muhammad Jaber
Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon