خبر وتعليق   فشل الرأسمالية والديمقراطية في حماية حقوق الأقليات   (مترجم)
December 30, 2014

خبر وتعليق فشل الرأسمالية والديمقراطية في حماية حقوق الأقليات (مترجم)


الخبر:


في 25 ديسمبر 2014، هنأ رئيس وزراء باكستان نواز شريف النصارى باحتفالات عيد الميلاد وأكد أن الحكومة ستحرص على حماية حقوقهم القانونية ومصالحهم. في رسالة إلى النصارى، قال رئيس الوزراء "باكستان ملتزمة بالتعهد الذي قدمه مؤسس أمتنا، القائد الأعظم محمد علي جناح، لحماية بدون رجعة للحقوق المشروعة ولمصالح الأقليات". وأضاف "نحن كبلد نلتزم بالتمسك بمبادئ المساواة والحرية والأمن لجميع المجتمعات التي تعيش في باكستان، بغض النظر عن الديانة، أو المهنة أو الأصل العرقي" "حكومتنا متفانية في حماية قدسية الجود وتوفر المساواة في الفرص والتي يتمتع بها جميع الباكستانيين، بما في ذلك الأقليات. فالحكومة تعامل الأقليات من المواطنين بتساوٍ مع بقية المواطنين في باكستان وتعهد بتمكينهم من استخدام قدراتهم في تحقيق التنمية الوطنية" وأردف "أنا أؤمن بالتناغم بين طوائف المجتمع والتلاحم والتفاهم العميق بين جميع الأديان التي تمارس في أنحاء البلاد".


التعليق:


خلافا لبيان رئيس وزراء باكستان، فإن وضع الأقليات في باكستان ليس ورديّاً. ففي نوفمبر 2014 قُتل زوجان من النصارى حرقاً وهما على قيد الحياة في فرن من الطوب على يد حشد من المتظاهرين لاتهامهم المزعوم بحرق صفحات من القرآن.


وفي 16 نوفمبر 2014 تعرضت امرأة من النصارى للضرب من قبل اثنين من الرجال في منطقة شَيخُوپُورہ الباكستانية، مما تسبب لها بالإجهاض. إلا أن هذا الوضع من الظلم والقهر لا يقتصر على الأقليات فقط، بل هو منتشر في جميع أنحاء باكستان بسبب طغيان نظام من صنع الإنسان وهو الرأسمالية والديمقراطية.

فنجد هذه الأقليات التي تواجه عبء هذا النظام القمعي يسلط عليها الضوء خصوصا من قبل المؤسسة الإعلامية ومنظمات حقوق الإنسان الغربية، في حين يُتّهم العقل الإسلامي والإسلام بهذه الجرائم ضد الأقليات. ففي حين تتواصل عملية تقريع الإسلام، فإنهم يتناسون أن النظام الجاري العمل به في باكستان ليس من الإسلام في شيء، وإنما هو نظام علماني رأسمالي ليبرالي بما يدعيه من قيم المساواة والحريات والعدالة الاجتماعية؛ التي فشلت في حماية الأقليات أو الأغلبية ليس فقط في باكستان بل في العالم أجمع.


في الولايات المتحدة الأمريكية على سبيل المثال وتحديدا في فيرجسون تحتج الأقليات السوداء منذ أسابيع على مقتل رجل أسود من قبل رجال الشرطة.. وجارة باكستان الهند، لديها مشكلة أكبر بكثير بشأن الأقليات العرقية والدينية، حيث في الفترة التي سبقت انتخابات هذا العام، تصاعدت التوترات بين الهندوس والمسلمين، مما أدى إلى زيادة بنسبة 30 في المائة في حوادث العنف الطائفي مقارنة بسنة 2012. وقد أفادت وزارة الشؤون الداخلية بالحكومة المركزية أن حوادث العنف الطائفي في عام 2013 بلغت 823، وكان حصيلتها 133 قتيلا وأكثر من 2000 جريح. واحدة من أسوأ حوادث العنف، حدثت في سبتمبر 2013 في منطقة موزافارنجر من ولاية اوتار براديش، والتي قتل فيها 60 شخصا على الأقل. إن حوادث العنف ضد الأقليات تمثل نتيجة مباشرة لعيوب أساسية في النظام الديمقراطي. حيث هذا النظام يستند على فكرة تحقيق المنفعة المادية القصوى من الشعب. إذ يحصل سكان المناطق ذات الأغلبية والأكثرية بالاهتمام والفوائد الخاصة من الطبقة الحاكمة، فإعادة الانتخابات بعد كل 4 أو 5 سنوات تجعل من الأغلبية محل اهتمام والأقليات محل إهمال. وبالتالي يفضل الحكام محافظة الأغلبية على محافظة الأقليات والسكان الأغلبية على الأقليات، لأن أصوات الأغلبية هي التي تمكن من إعادة انتخابهم، حتى إنهم وضعوا كل موارد التنمية في مناطق الأغلبية ولتحقيق تقدم ممثلي الأغلبية من السكان. ويخشى الحكام أيضا التصويت على سحب الثقة، لذلك عليهم الحفاظ على رضا ممثلي الأغلبية في المجالس التشريعية، من خلال تخصيص أموال لهم وسن قوانين لصالحهم.


إن نظام الإسلام الخلافة على منهاج النبوة خالٍ من كل هذه العيوب، فهو نظام حكم فريد موحد أمر به الله سبحانه وتعالى. وهو ليس نظاما فيدراليا أو ديمقراطيا، أو جمهوريا أو ملكيا أو دكتاتوريا على الإطلاق. ليس فيه أي تشابه مع أي مبدأ من صنع الإنسان. وتعتبر الدولة الإسلامية أن حقوق الناس الذين يحملون التابعية فيها، سواء أكانوا مسلمين أم غير مسلمين مضمونة ومكفولة. فلا يوجد مفهوم "الأقلية العرقية" لأن الناس لا يتعرضون للتمييز بسبب اللون أو العرق أو الدين. والخليفة ليس عنده أي تخوف من المساءلة أو التصويت بحجب الثقة طالما أنه يحكم بالإسلام. فمصدر التشريع هو الله سبحانه وتعالى فقط. والخليفة أو أعضاء مجلس الأمة ليس من صلاحياتهم التشريع كما يقول الله سبحانه وتعالى: ﴿إن الحکم إلا للہ... ﴾ [يوسف: 40]


وبما أن الإنسان لا يشرع في النظام الإسلامي، فلا الخليفة ولا أغلبية ممثلي الشعب لهم الحق في إلغاء أو تعليق حقوق الرعايا بغض النظر عن الانتماء السياسي أو العرقي أو الدين أو الجنس. وبالتالي فإن حقوق الرعايا غير المسلمين لا يمكن المساس بها. وبالتالي بالخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة فقط ستنقذ أرواح وممتلكات وشرف الأقليات الدينية والعرقية ويوجد الانسجام والوحدة كما كان ذلك خلال الـ1300 سنة الماضية، ففي ظل الحكم الإسلامي المجيد كانت بغداد العاصمة وبخارى التي تبعد عنها آلاف الأميال على نفس المستوى من التقدم والازدهار.



كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أم مصعب
عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon