December 13, 2014

خبر وتعليق غاز الريشة يكفي الأردن 150 عاما أعطَوْا غاز الريشة لبريطانيا وصاروا يستجدونه من كيان يهود وأمريكا!!

الخبر:


نشرت القدس العربي بتاريخ 2014/12/10م خبرا جاء فيه: "صوت مجلس النواب الأردني بأغلبية أعضائه الأربعاء على رفض مشروع اتفاقية استيراد الغاز من إسرائيل التي تعتزم الحكومة توقيعها.


وأوصى المجلس الحكومة بعدم توقيع الاتفاقية بقرار من النواب، وضرورة البحث عن بدائل أخرى لتأمين الغاز لتلبية احتياجات البلاد.


وقال رئيس الوزراء عبد الله النسور في مداخلة له خلال جلسة مجلس النواب الأربعاء، إن الحكومة تبحث عن بدائل أخرى وخاصة من البلدان العربية، مبديا استعداد الحكومة لشراء الغاز من دول عربية مثل قطر، ولو بأسعار أعلى بعض الشيء عن أسعار الشراء من إسرائيل.


وكان وزير الطاقة الأردني محمد حامد، قد قال أمام النواب الثلاثاء، إن شراء الغاز من شركة نوبل الأمريكية لا يهدد مستقبل الأردن ولا يضع الاقتصاد الأردني رهينة بيد أي أحد.


وشركة نوبل الأمريكية هي صاحبة حق امتياز استخراج الغاز مع إسرائيل، وأبرمت اتفاقا مبدئيا مع شركة الكهرباء الوطنية المملوكة بالكامل للحكومة لشراء الغاز لمدة 15 عاما بقيمة إجمالية مقدرة بحوالي 15 مليار دولار.


وتضمنت رسالة النوايا الموقعة بين شركة الكهرباء الأردنية ونوبل انيرجي الأمريكية تزويد الأردن بـ 300 مليون قدم مكعب من الغاز يوميا، ولمدة 15 عاما وبقيمة إجمالية مقدرة بحوالي 15 مليار دولار.


ويعاني الأردن من تحديات اقتصادية كبيرة أهمها ارتفاع فاتورة الطاقة التي تجاوزت 6,5 مليار دولار سنويا، وخسائر شركة الكهرباء الحكومية التي وصلت لحوالي 7 مليارات دولار حتى الآن.

التعليق:


إن أزمة الطاقة في الأردن هي أزمة مفتعلة بسبب فساد السياسيين الذين رهنوا الأردن وثرواته للغرب الكافر، وكان من المفروض على مجلس النواب أن لا يكتفي برفض الاتفاقية بل أن يعيد النظر في الاتفاقيات السابقة التي نهبت غاز الأردن وتركته يستجدي الغاز من هناك وهناك ولديه احتياطي يكفيه لمدة 150 عاما؛


ففي عام 2009 وافق الأردن على اتفاق شراكة بين بريتش بتروليوم البريطانية وشركة البترول الوطنية الأردنية، في امتياز حقل الريشة للغاز تقوم الأولى بإنفاق 237 مليون دولار لاستكشاف الغاز في المملكة واستثمار قد يصل إلى 10 مليارات في مراحل متقدمة من الإنتاج.


وبعد ذلك بثلاث سنوات، أي في عام 2012، وقعت الحكومة اتفاقية أخرى حصلت على موافقة مجلس النواب وبموجبها تم منح شركة البترول الوطنية التي تعتبر اندماجا بين شركة "بريتش بتروليوم" وشركة البترول 70% من حجم إنتاج الغاز الأردني، الذي يقدر بحسب إحصاءات سلطة المصادر الطبيعية بـ 450 مليار قدم مكعب؛ أي أن احتياطي الغاز يكفي الأردن 150 عاما، أما نسبة الـ 30% المتبقية فإن الشركة ستحصل على نسبة 15% والحكومة الأردنية 15%.


وهذا يعني أن الاتفاقية ملّكت شركة بريتيش بتروليوم 85% من الغاز الأردني ولم يتبق للحكومة الأردنية سوى 15% من سعر الغاز الذي سوف تبيعه الشركة.
أي أن الحكومة الأردنية سوف تشتري الغاز من شركة بريتيش بتروليوم بالأسعار العالمية، زد على ذلك أن الاتفاقية نصت على عدم إخضاع بريتيش بتروليوم لأي ضريبة تعدين أو أي ضرائب أخرى إلا ضريبة الدخل بمقدار 15%، ولا ينطبق عليها أي قانون أردني موجود الآن أو سيشرع في المستقبل. كما أن الشركة غير ملزمة بتوظيف الأردنيين أو نقل الخبرات لهم، كما أن مجلس النواب لم يوقع على الاتفاقية الحقيقية مع الشركة لأنه وقع على الاتفاقية بالنسخة العربية، وهي تختلف عن الاتفاقية بالنسخة الإنجليزية والتي اعتبرت الصيغة الملزمة لجميع الأطراف، وإن حدث أي خلاف فالنسخة الإنجليزية هي التي سوف تعتمد، مشيرا أن التقاضي إن حصل فسوف يكون في محاكم لندن وليس الأردن.


فساد سياسي بامتياز، غاز الريشة يكفي الأردن 150 عاما، فلا تحتاج إلى شراء غاز من شركات أمريكية أو (إسرائيلية) أو حتى عربية، ولكن البلاد تحكمها عصابة من اللصوص، ومن يريد معرفة اللصوص فما عليه إلا أن يبحث عن المالكين لأسهم شركة بريتيش بتروليوم البريطانية ليعرف أن سياسيي البلد هم من أصحابها إضافة إلى أسيادهم البريطانيين، وأنهم يلعبون بالمليارات يصرفونها على شهواتهم ويتركون الشعب يعاني من البرد والفقر والبطالة والمرض، فإذا اتفق الذئب مع الراعي فلا عزاء للغنم!


إن الحكم الشرعي في الغاز أنه ملكية عامة لا يجوز أن تمتلكه أية شركة خاصة ولا يحق للدولة أن تمتلكه أيضا، وإنما وظيفة الدولة أن تعمل على استخراجه وتصنيعه وتوفيره للناس دون عناء، وما زاد عن حاجة رعاياها يمكن أن تبيعه للخارج بالأسعار العالمية وتنفق الأرباح على مصالح الرعية كالخدمات التعليمية والصحية والأمنية والعسكرية والبنى التحتية، الخ؛ لقول الرسول صلى الله عليه وسلم «الناس شركاء في ثلاث الماء والكلأ والنار»، والغاز من النار الذي يعتبر ملكية عامة لا يجوز خصخصتها.


هذا من ناحية، ومن ناحية أخرى فإن دولة يهود هي دولة عدوة محتلة، فعلى الأردن أن يلغي اتفاق السلام معها لأنها في حالة حرب فعلية مع المسلمين، وهي محتلة لأراض إسلامية، فمثل هذه الدولة لا يجوز عقد صلح معها ولا يجوز أن يقوم تبادل تجاري معها، لأن التجارة معها تقوّيها وتدفع ثمن الرصاص الذي تطلقه على المسلمين في فلسطين وسوريا ولبنان وغيرها من الأماكن، وما ينطبق على كيان يهود ينطبق على أمريكا؛ فأمريكا في حالة حرب فعلية مع المسلمين في العراق وسوريا تلقي طائراتها حمماً من النار على المسلمين لذا لا يجوز شرعا أن يكون بيننا وبينهم تجارة خارجية، لكننا ابتُلينا بحكام وسياسيين يعتبرون شعوبهم هم العدو، ودول الكفر من شرق وغرب هم الأصدقاء.


فإلى متى يبقى الجيش الأردني وعشائره ساكتين عن نظام يسرق ثرواتهم ويمنّ عليهم بالفتات؟! إن ما يلقيه لكم النظام الأردني لتبقوا صامتين سيكون وبالا عليكم إن بقيتم كذلك، إنهم دعاة على أبواب جهنم إن أطعتموهم قذفوكم فيها.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أم معاذ - ولاية الأردن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon