خبر وتعليق    خطاب نتنياهو أمام الكونجرس الأمريكي
March 09, 2015

خبر وتعليق خطاب نتنياهو أمام الكونجرس الأمريكي


الخبر:


نقلت وسائل الإعلام الخطاب التاريخي لرئيس وزراء كيان يهود بنيامين نتنياهو أمام الكونجرس الأمريكي محذّرا من مخاطر الاتفاق مع إيران، بشأن ملفّها النووي.


جاءت زيارة نتنياهو إلى واشنطن بدعوة من الرئيس الجمهوري لمجلس النواب جون باينر، دون التشاور بشأنها مع الإدارة الديمقراطية ما أثار غضب البيت الأبيض. وفي ظل هذا الخبر تحدثت وسائل الإعلام عن توتر العلاقات بين أمريكا وكيان يهود.

التعليق:


أود تناول هذا الخبر من أكثر من جانب:


أولا: يقول المحلل في مجلة "فورين بوليسي"، آرون ديفيد ميلر، أن البيت الأبيض يعمل في صمت لزعزعة رئيس وزراء كيان يهود قبل الانتخابات المقبلة هناك. وعليه يندرج الخطاب هذا ضمن الدعاية الانتخابية لنتياهو.


ثانيا: ربما يكون الجمهوريون قد قاموا بفعلتهم هذه لأهداف انتخابية تخصهم، إلا أنه وحسب مسؤول سابق في "آيباك"، فإن "تحول نتنياهو نحو الجمهوريين أغضب آيباك، وليس الديمقراطيين فقط. وأن كل يهودي عضو في الكونغرس، باستثناء واحد فقط، هو ديمقراطي، بل ديمقراطي ليبرالي".


ثالثا: إن توترا مثل هذا ليس الأول في تاريخ العلاقة بين أمريكا وكيان يهود.


ففي عام 1956 أدان الرئيس الأميركي دوايت أيزنهاور العدوان الثلاثي الذي قادته دولة يهود على مصر واحتلت على إثره شبه جزيرة سيناء وقطاع غزة.


وفي عام 1967 توترت العلاقة بين الولايات المتحدة وكيان يهود، إثر هجوم القوات الجوية لدولة يهود على المدمرة الأميركية (ليبرتي).


وفي عام 1975 هددت إدارة الرئيس جيرالد فورد بإعادة تقييم العلاقات مع كيان يهود ما لم توقع على اتفاقية "فك اشتباك" مع مصر لتنسحب من سيناء.


وفي عام 1982 عبر الرئيس رونالد ريغان لرئيس الوزراء اليهودي مناحم بيغن، عن غضبه من قصف كيانهم لبيروت خلال اجتياح لبنان.


وفي عام 1991 ضغط الرئيس جورج بوش الأب على دولة يهود لعدم المشاركة في حرب الخليج الأولى خشية أن يسبب هجومها على العراق تفكك التحالف الذي تقوده الولايات المتحدة.


وفي عام 2004 قال جورج بوش الابن في خطاب موجّه لرئيس وزراء كيان يهود حينها أرئيل شارون إن المراكز السكانية الكبرى تجعل التوقعات بعودة كيانهم لخطوط الهدنة لعام 1949 غير واقعية.


وفي عام 2010 أعربت إدارة الرئيس باراك أوباما عن غضبها من دولة يهود لإعلانها بناء مزيد من المنازل الاستيطانية حول القدس.


وفي عام 2012 شهدت العلاقات الأميركية اليهودية أزمة تعكس حالة من عدم الثقة بين كل من أوباما ونتنياهو وازدادت توترا مع سنة 2013 و2014 على خلفية تعطّل مفاوضات السلام والنووي الإيراني.


رابعا: رغم وجود توتر كهذا بين أمريكا ودولة يهود، أو قل بين أوباما ونتنياهو، فإن هذا لا يزعزع العلاقة الجوهرية بين البلدين، فالقيادات تتبدل ولكن دعم أمريكا لها يبقى ثابتا. وحتى في ظل قيادة أوباما، فقد تعززت علاقات كيان يهود وأميركا بدرجة غير مسبوقة، ونذكر بعض الأمثلة على ذلك:


- الدعم السنوي الأمريكي لدولة يهود والذي يصل إلى نحو 3.1 مليارات دولار سنوياً لم يتوقف، ناهيك عن مساعدات نظام القبة الحديدية وتطوير الأنظمة الدفاعية.


- وصلت صادرات السلع الأميركية إلى دولة يهود عام 2014 إلى نحو 15 مليار دولار، أي بزيادة 64٪ عن عام 2004.


- أقر جون كيري بأن لدى أمريكا علاقات أمنية مع دولة يهود أقوى من أي وقت مضى، وأن أمريكا قامت بالتدخل مئات المرات بالنيابة عن دولة يهود في العامين الماضيين.


- قال نعوم شومسكي في مقابلة تلفزيونية معه بأن البنتاجون قام بتحديد المواقع حول العالم التي يجب على أمريكا حمايتها مهما بلغت التكلفة، ومن هذه المواقع مدينة حيفا وما حولها.


خامسا: يرى بعض المحللين أن دولة يهود لا تخشى من امتلاك إيران قنبلة نووية، لأن لديها أكثر من 200 رأس نووي، الأمر الذي يضطر إيران إلى التفكير ألف مرة قبل الشروع في استعمال سلاح مماثل ضدها، إلا أن إظهار تخوّفها من إيران "نووية" ذريعة لابتزاز الولايات المتحدة على جميع المستويات لأغراض مالية وعسكرية وسياسية. ففي السنوات الأخيرة ازدادت الأصوات المنادية بمراجعة الدعم الأمريكي لدولة يهود. فإليوت أبرامز، نائب مستشار الأمن القومي السابق للرئيس جورج دبليو بوش والكاتب المؤيد لدولة يهود، قال لديلي بيست: "وجهة نظري هي أن العلاقة ستكون صحية أكثر إذا ما تضاءلت المساعدات الأمريكية (لإسرائيل). يجب على (إسرائيل) أن تكون أقل اعتمادًا على المساعدات المالية الأميركية، وينبغي أن تصبح الولايات المتحدة حليفًا من نوع حلفائنا في أستراليا، وكندا، أو المملكة المتحدة: علاقة عسكرية حميمة وتحالف، ولكن لا مساعدات عسكرية". وقد ذكرت صحيفة وول ستريت جورنال الأمريكية، في آب/أغسطس 2014، أن الولايات المتحدة ألغت توريد صواريخ هيلفاير لدولة يهود، وأن مسؤولين أمريكيين يطالبون الآن بمراجعة طلبات الأسلحة في دولة يهود. وفي يوليو 2014 ذكرت بعض الصحف أنه في ظل انتعاش اقتصاد دولة يهود يتساءل بعض أنصارها عن سبب استمرار الدعم المالي الأمريكي لها. كما يتساءل المواطن الأمريكي لماذا تذهب أموال ضرائبه لدعم دولة يهود، بدلا من صرفها محليا على التعليم والصحة، حيث إن دولة يهود قد أخذت من أمريكا ما يزيد على 121 مليار دولار منذ إعلان تأسيسها، إضافةً إلى دعم حوالي 25 في المئة من ميزانية الدفاع السنوية في دولة يهود في السنوات الأخيرة.


وأختم بقول إفتير كوهين البروفيسور في أبحاث الانتشار النووي في معهد الدراسات الدولية في منوتري بولاية كاليفورنيا "إن الاتفاق المطروح (يقصد النووي الإيراني) ليس سيئاً بالنسبة إلى (إسرائيل)، الدولة النووية الوحيدة في الشرق الأوسط، لكنه سيئ جداً بالنسبة لنتنياهو. فتوقيع الاتفاق سيسمح لسكان (إسرائيل) بالعيش خلال جيل أو أكثر من دون تهديد بخطر وجودي من جانب إيران، لكنه سينزع من نتنياهو علة وجوده كزعيم".



كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
غسان الكسواني - بيت المقدس

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon