February 21, 2015

خبر وتعليق لولا تخاذل حكام المسلمين ما تجرأ رأس الإرهاب أوباما ليتحدث باسم الإسلام


الخبر:


(وكالات الأنباء): قال الرئيس باراك أوباما الأربعاء (18 شباط 2015) في كلمة وجهها ضمن قمة واشنطن لمواجهة التطرف والعنف، جاء فيها:


• إن العالم يواجه تحديات أمنية كما في السنوات الماضية وإن تنظيمي القاعدة وداعش يهددان العالم.
• وأضاف: في مواجهة هذه التحديات حشدنا كل قوانا وسنهزم هذه التنظيمات.
• وقال: "نحن لسنا في حالة حرب مع الإسلام بل مع أناس شوهوا الإسلام".
• وشدد أوباما على عدم منح المتشددين الشرعية الدينية التي يسعون إليها.
• وتابع أن المتشددين يحرضون الشباب عبر تصوير الغرب أنه يواجه الإسلام وهذا كذب.


التعليق:


لم يزل الصراع محتدما بين الحق والباطل، والكفر والإيمان منذ خلق الله الدنيا، وذلك أمر حتمي لا مناص منه. ذلك أن طبيعة الحق ونظرته للأمور تختلف كليا عن نقيضه الباطل، فكان لا بد من الاحتكاك بين أنصار هذا وذاك. ومنذ زوال سلطان الإسلام وضعف دولته ما فتئ الكافرون المستعمرون يعبثون بأمر الأمة الإسلامية بإعلان الحرب على عقيدتها وأحكام دينها، فقسموا البلاد وفرضوا على المسلمين وجهة نظرهم في الحياة، وقوانين باطلة منبثقة عن عقيدتهم الباطلة: (فصل الدين عن الحياة).


والمسلمون من يومها عانوا الأمَرَّين من إذلال وتقتيل وتشريد، ونهب لكنوز وخيرات حباهم الله بها من قبل أعدائهم الكفار ابتداء من أوروبا وانتهاء بأمريكا الكافرة الغادرة. وكان لا بد من نهضة يضطلع بها المخلصون في الأمة بفعل عقيدتهم الناصعة النقية التي ما زالت حية في قلوب أبنائها، ثم قامت تلك الصحوة المباركة التي باتت بشائرها تقض مضاجع الكافرين عبر مطالبة المسلمين في كل مكان بضرورة تحكيم شرع ربهم عز وجل والانعتاق من هيمنة الكافرين التي فرضت عليهم بالحديد والنار. ولنقف قليلا عند أكاذيب (أوباما) المجرم المتستر بشعارات ملَّ سماعَها العالم أجمع من قبيل حقوق الإنسان وحق الشعوب في الحرية وتقرير المصير:


• أما التحديات المزعومة فالحامل عليها - ولا شك - ما حصل ويحصل اليوم من أعمال مادية من قبل جماعات جهادية نفذت في بلاد الكفار ما كانت لتحدث لولا تغول الغرب وإصراره على إذاقة المسلمين صنوف العذاب في احتلال بلادهم وتدنيس مقدساتهم تحت ذرائع واهية باسم الحرية. ولو صدرت أمثالها تجاه رمز من رموزهم الدينية أو السياسية لسمعنا كلاما غير هذا.


• وأما حشده كل القوى وإنشاء تحالف دولي فإنه لم يكن سوى وسيلة مفضوحة لاحتلال بلاد المسلمين مجددا، ونهب ما تبقى من ثرواتها متخذين من أعمال تنظيم الدولة بوابة لأغراضهم الدنيئة، ثم السعي بعد ذلك لتفتيت البلاد وزرع المعوقات في طريق نهوض الأمة لإبقائها رهينة لمشاريعهم القذرة وليحكموا السيطرة على مقدراتها.


• وعن ادعائه أنهم ليسوا في حرب مع الإسلام فكذب وافتراء.. فهم الذين وصموا الإسلام بكل نقيصة، وساووا بينه وبين الإرهاب، بل بات الإرهاب هو المعنى الحرفي للإسلام في أذهان الكفار بزخم إعلامهم المسموم الذي غدا الإسلام دين الله عز وجل مرمى سهامهم الوحيد. وما حربهم في فلسطين وأفغانستان والعراق وليبيا واليمن وسوريا وغيرها إلا أدلة دامغة ليس بوسع أحد تبريرها.


• وأما عدم منح (المتشددين) الشرعية الدينية فبالرغم من أن أوباما يهرف بما لا يعرف، فنقول إنه ليس من حقه بتاتا الحديث باسم المسلمين أو بالنيابة عنهم إذ هو المشرك النجس والجاهل بأحكام ديننا الحنيف، ولولا تخاذل مشين، وتبعية عمياء من حكام المسلمين الذين سلموا زمامهم لأعدائهم، بل باتوا أخلص من الكفار أنفسهم لأنظمة الغرب وعقيدتهم العفنة الفاسدة... نقول لولا ذلك ما تجرأ كافر أيا كان وصفه أن يتحدث بهذا الحديث عن الإسلام.


فليصبر المسلمون قليلا على مكائد الكفار وليقرنوا ذلك بالعمل المخلص الجاد مع العاملين لاستئناف الحياة الإسلامية بإقامة دولتهم دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة المباركة التي تعاضدت نصوص الكتاب والسنة على إيجاب العمل لها إذ هي سرُّ عزهم ومنعتهم، وهي العاصمة من كل قاصمة، والخليفة فيها هو الحصن الحصين لكل مسلم كما أخبرنا رسولنا الكريم بقوله: «إنما الإمام جُنة، يُقاتل من ورائه، ويُتقى به».


كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أبو زيد
المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية العراق

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon