خبر وتعليق    مؤتمر دافوس الاقتصادي: اشتدي يا أزمة لن تنفرجي!
خبر وتعليق    مؤتمر دافوس الاقتصادي: اشتدي يا أزمة لن تنفرجي!

الخبر: انعقد في عمان يوم الجمعة 2015/5/22 مؤتمر دافوس الاقتصادي الحادي عشر في البحر الميت في الأردن. افتتح المؤتمر الملك عبد الله ملك الأردن وحضره عدد غفير من السياسيين والاقتصاديين وكان أبرز الحضور فرعون مصر عبد الفتاح السيسي.   التعليق: إن أبرز ما جاء في خطاب ملك الأردن وكذا خطاب السيسي وغيرهما من المتكلمين أنه بعد أكثر من عقد على انعقاد المؤتمر لأول مرة لم يشهد العالم ازدهارا اقتصاديا ولا استقرارا ولا أمنا، وهي الأهداف المعلنة لهذا اللقاء السنوي الذي يستنزف عشرات الملايين من الدولارات من أجل انعقاده. وقد أكد المتحدثون واحدا تلو الآخر أن مشكلة الفقر لا تزال هي الأكثر خطورة في العالم. ومثل هذا المؤتمر كذلك مؤتمر الدول العشرين الذي يعقد سنويا والذي لا يزال يركز على أن العالم يغرق أكثر وأكثر في الفقر والعوز والحرمان. ولو أن المؤتمرين تفحصوا حال مؤتمرهم للحظة واحدة والتفتوا إلى الكم الهائل من الأموال التي ينفقونها على مجرد التحضير لمثل هذه المؤتمرات لعلموا أن قضية الفقر هي من صنعهم وإنتاجهم، وأنى لصانع الفقر أن يدفنه! إن قضية الفقر ومشكلته ليست في قلة الموارد أو شحها، وليست في ضعف الإنتاج أو قلته، بل هي أولا وآخرا في كيفية توزيع ما هو موجود من الثروة. فالرسول عليه الصلاة والسلام حين يقول «ما آمن بي من بات شبعان وجاره جائع إلى جنبه وهو يعلم به» فإنه يؤكد على أن الجوع لا يمكن أن يستمر لعشرات السنين وبطون المؤتمرين منتفخة، في حين بطون الفقراء خاوية. فاليمن مثلا والتي تعتبر من أفقر الدول في العالم تبين أن رئيسها المخلوع قد خرج من الرئاسة بأكثر من 60 مليار دولار! كما خرج مبارك وأبناؤه بأكثر من مئتي مليار دولار! ويصيح السيسي الذي أعاد مبارك لحانة النهب والسلب مستنكرا استمرار الفقر والحرمان! إن الفقر ليس شيئا غريبا على البشر فهو موجود وهناك أسباب كثيرة قد تؤدي إلى فقر الأفراد، كالحروب والقحط والجدب، والزلازل والبراكين التي قد تذهب بثروات بعض الناس. وهذا طبيعي أن يحصل، وطبيعي أن توضع له الحلول وأن تثمر هذه الحلول. أما ما هو غير طبيعي ولا مقبول أبدا فهو أن يكون النظام الاقتصادي الذي ينظم العلاقات المالية بين الأفراد والشعوب هو المسؤول عن إنتاج الفقر وعن حصر الثروات في أيدي قلة ومنع وصول الثروة إلى مستحقيها بشكل منظم، بل ويخلق آلة حربية ضخمة للتمكين من حصر الثروات بأيدي القلة القليلة من البشر. أليست الحرب الطاحنة في ليبيا الآن، وفي اليمن، والصراع المميت في السعودية على الحكم والولاية، وحرب الخليج المستمرة منذ 1979 وحتى الآن كلها حروباً على النفط والثروة والمال؟ والحرب العالمية بقضها وقضيضها وقتلها وتشريدها وتدميرها الشرس، ألم تكن أهم نتائجها وما تمخضت عنه اتفاقية بريتون وود والتي أنشأت أسوأ آلتين من آليات تكريس الفقر؛ البنك الدولي وصندوق الدولي؟ والذي وصفه أحد زعماء أوروبا بأن الصندوق ما دخل بلدا إلا أفقر أهله ونهب ثرواته! إن المسؤول الأول والأخير عن مشكلة الفقر وعدم الاستقرار وفقدان الأمن هو النظام الرأسمالي الجائر، وما يحويه من نظريات فاسدة وآليات ظالمة، وجشع لا مثيل له. فالربا والاحتكار والأسهم والمال المرتكز على هباء، وما ينتج عنها من اقتصاد وهمي كلها تعمل ليل نهار لإفقار البشر وتجميع الثروة بأيدي قلة ظالمة لا تؤمن بالله ولا باليوم الآخر. وبالتالي فإن مؤتمر دافوس ومثله كثير لا يخدم إلا قضية واحدة ألا وهي صرف الأنظار وتحويلها عن السبب الحقيقي للفقر والحرمان وعدم الاستقرار وفقدان الأمن، وتلبيسها إلى عدو وهمي اصطنعوه بأنفسهم وأطلقوا عليه أسماء ما أنزل الله بها من سلطان كالإرهاب والتطرف. إن الحل الوحيد لقضية الفقر وعدم الاستقرار وفقدان الأمن هي نظام شامل متكامل يعترف بمشكلة الفقر الحقيقية وهي عدم عدالة توزيع المال، ويحقق علاقات مالية واقتصادية تعمل على توزيع طبيعي للثروة من غير تصنع ولا افتعال أو ارتجال، مثل توزيع الملكيات بشكل صحيح، فبدلا من خصخصة أموال الملكية العامة أو تأميم أموال الملكية الخاصة بدون نظام محدد، فإن النظام الصحيح يبين ما هو من الملكية العامة أصلا فلا يجوز خصخصته وما هو ملكية خاصة لا يجوز تأميمه وما هو ملكية دولة فلا يجوز الاعتداء عليه. والنظام الإسلامي هو عين ذاك النظام الذي به يُقضى على أسباب الفقر ويجعل المال دولة بين الناس وليس حصرا بأيدي الأغنياء.       كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريرد. محمد ملكاوي

0:00 0:00
Speed:
May 25, 2015

خبر وتعليق مؤتمر دافوس الاقتصادي: اشتدي يا أزمة لن تنفرجي!

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon