December 07, 2014

خبر وتعليق نوليوود وسياسة الإلهاء في نيجيريا


الخبر:


أصبحت نوليوود (لقب السينما النيجيرية) ثاني أكبر صناعة سينمائية بعد هوليوود بـ ٢٠٠٠ فيلم سنويا متفوقة على بوليوود. وهي صناعة نشطة جداً فمتوسط إنتاج الفيلم يستغرق 10 أيام فقط، وتكاليفه حوالي 15،000 دولار. وتتميز صناعة السينما في نوليوود بقلة التكاليف والنصوص الهابطة التي تغيّب المشاهد عن واقعه وتسرح به بعيدا في قصص السحر والشعوذة والخلافات الطائفية. واللافت أن هذه الصناعة بدأت من لا شيء منذ أقل من عقدين ونمت بشكل سريع واكتسبت شعبية بين الـ130 مليون نسمة في هذا البلد الذي يجمع بين الغنى والفقر المدقع. قفز هذا القطاع من لا شيء ليصبح له أهمية ومكانة بل ويساهم بـ 1,2من إجمالي الناتج المحلي ويوفر فرص عمل لأكثر من مليون شخص (الإكونومست).


وتصل أرباح السينما النيجيرية إلى 100 مليون دولار في السنة؛ وقد انتعش هذا القطاع في الفترة الأخيرة نتيجة اهتمام هوليوود بالسينما النيجيرية، وتخصيص صالات عرض للسينما الأفريقية في أمريكا ودعمها في المهرجانات الدولية.


التعليق:


لا يكاد يمر علينا يوم أو أسبوع إلا ونطالع خبرا يتحدث عن هجوم هنا أو تفجير هناك في أرض الإسلام نيجيريا، ذاك البلد الذي يضم أكبر عدد من المسلمين في أفريقيا. وقد زُرع عدم الأمن والأمان هناك بأيدٍ خبيثة آثمة، لا ترقب فينا إلا ولا ذمة وسكتت عنه حكومات متآمرة ومتخاذلة. نقول: لو أردنا أن نشبه واقع المسلمين والناس هناك سينمائيا لقلنا أنهم يعيشون فيلم رعب قاتل. في مقابل هذا المشهد على أرض الواقع نطالع خبرا كالذي سبق، فكيف نفسر ذلك؟ ولماذا تُحشى العقول بهكذا مشاهد؟ ولماذا تسمح الجهات المختصة بهكذا إنتاج رخيص تسطيحي مُلهٍ؟


كتب الناقد الروسي أ.ف. كاراغانوف عن السينما وتأثيرها على المعتقدات والأفكار، وصياغتها للعقول: "النظام الرأسمالي يستخدم ليس فقط السجن والعنف وقوى الشرطة، وإنما أيضاً الثقافة والإعلام، بصورة فعالة، من أجل السيطرة على عقول الشغيلة، ويلعب الفن السينمائي دوراً كبيراً لا بل دوراً حاسماً في التأثير على الإنسان، بالإضافة إلى الدور الذي تلعبه الصحافة والتلفزيون، فشبكات التلفزيون تتعاون مع المؤسسات السينمائية من أجل تشكيل أفكار معينة لدى المواطنين".


ارتبط الفن السينمائي بصراع الأفكار وترويجها واتخذ في فترات معينة طابعاً سياسيا مميزا. فمثلا حرصت السينما الأمريكية على إظهار الجندي الأمريكي بعد انتكاسة فيتنام، كمحارب شرس لا يقهر، باستطاعته هزيمة جيش لوحده، ينقذ الناس من الظلم والأسر والاعتقال ويقتل المارة الأبرياء في سبيل تحقيق هدفه ويتوج في النهاية كبطل أوحد. وتبعتها في ذلك بوليوود في الهند التي تفننت في الإلهاء وتغييب الملايين من المعدمين المقهورين عن واقعهم المزري وتجميل البون الشاسع بين المعدمين وأصحاب الملايين وبالغت في تبسيط وتسطيح القضايا. فأصبحت بوليوود مضرباً للمثال في الوهم والبعد عن الواقع وباتت السينما بحق أفيونا للشعوب.. مجرد أكاذيب يُحتفل بها وتقام لها المهرجانات، حتى أصبح القائمون عليها نجوما للمجتمعات ومرجعية للإعلام المسخ في القضايا السياسية والاجتماعية بينما يُهمش أهل الرأي والحكمة والعلم.


هذا حال هوليوود وبوليوود، أما نوليوود فقد تفوقت على الجميع وصنعت من الفقر قصصا، ومن الفساد ملهاة، وروجت السحر والشعوذة وانتهاك الحرمات بأسلوب فج ومبتذل. نشرت القبح بكثافة بذريعة الواقعية ومعالجة قضايا الناس، ولكن حقيقة الأمر أنها تركز الواقع الفاسد وتثبته في أذهان الناس وتعمق الجهل وتكبل المشاهد في القاع. وإذا كانت مشاكل السحر والشعوذة مشكلة رئيسية في البلاد فالأصل أن يقوم الإعلام الواعي بطرح المشكلة والتركيز على علاجها بدلاً من التمدد والتعمق في طرح الواقع الفاسد ونشره والتفصيل فيه فيكون الإطناب في إيراد الحلول وإيصالها للناس لا في نشر التخلف. هذه السينما التي تروَّج بين الناس كفنٍّ راقٍ لا تساهم في خلق وعي على القضايا بل تساهم في تسطيح فكر المجتمع وإبعاده عن التفكير بعمق في المشاكل التي يعيشها وفهمها ومن ثم الرجوع إلى قواعد فكرية لوضع معالجات صحيحة تنبع مما آمن به أفراد المجتمع.


إضافة لما سبق فإن إلهاء الرأي العام عن قضايا حيوية يعيشونها يساهم في تخدير الناس وإشغالهم بقصص خيالية لصغار المفسدين واللصوص لصرف نظرهم عن حقائق يشهدونها لنهب كبار اللصوص لحقوق العباد والبلاد. كما وأن الحراك الكبير الذي تعيشه الأمة الإسلامية منذ مدة ليست بالقصيرة، وبدأ يتشكل الآن بصورة أفضل، يخيف الغرب وأعوانه من أن يصل لـ130 مليون شخص فيحدث زلزالا في القارة كلها جنوب الصحراء فتطاح عروش وتسقط تبعية الحكام للغرب هناك، فكانت نوليوود أداة للفت انتباه الناس وإلهائهم بالفكر السقيم والمتعة الرخيصة عن الفكر العميق المنتج الذي يؤدي للتغيير الصحيح الكامل الشامل. بإزاء هذا الواقع السيئ فإنا ندعو المسلمين لنبذ كل أشكال الفكر الرخيص واللهو العبثي وندعوهم للتمسك بدين ربهم والدعوة إليه وجعله يسود ويطبق في الأرض إسعادا للبشرية جمعاء وإخراجا لها من الضنك الذي تعيشه.


يقول تعالى: ﴿قُلْ أَنَدْعُو مِن دُونِ اللَّـهِ مَا لَا يَنفَعُنَا وَلَا يَضُرُّ‌نَا وَنُرَ‌دُّ عَلَىٰ أَعْقَابِنَا بَعْدَ إِذْ هَدَانَا اللَّـهُ كَالَّذِي اسْتَهْوَتْهُ الشَّيَاطِينُ فِي الْأَرْ‌ضِ حَيْرَ‌انَ لَهُ أَصْحَابٌ يَدْعُونَهُ إِلَى الْهُدَى ائْتِنَا ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۖ وَأُمِرْ‌نَا لِنُسْلِمَ لِرَ‌بِّ الْعَالَمِينَ﴾.


كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أم يحيى بنت محمد

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon