خبر وتعليق   رئيس "سلامة الغذاء" بمصر: لحم الحمير "نظيف" والناس تأكله منذ سنوات
خبر وتعليق   رئيس "سلامة الغذاء" بمصر: لحم الحمير "نظيف" والناس تأكله منذ سنوات

 سي أن أن العربية: قال حسين منصور، رئيس وحدة إنشاء الهيئة القومية لسلامة الغذاء في مصر، إن الضرر الذي قد يحصل جراء أكل لحم الحمير هو نتيجة للتلوث الذي قد يلتقطه مثل باقي أنواع اللحوم، مشيراً إلى أنه لن يكون ضارا صحيا لو اتبعت كافة الطرق السليمة في الذبح. وأشار إلى أن هذه المشكلة موجودة منذ ما لا يقل عن عشر سنوات، والجديد في الأمر هو اكتشافها والضجة التي أثيرت حولها هذه المرة. كما طالب بإنشاء هيئة قومية لسلامة الغذاء متسائلا عن السبب وراء التأخر في إنشائها حتى الآن. وقال بأن رسالتي دكتوراة منذ نحو أربع سنوات بينت وجود لحوم كلاب وحمير وغيرها في الأسواق تباع للمواطنين من غير أن تثير الرسالتان أية ضجة!

0:00 0:00
Speed:
June 17, 2015

خبر وتعليق رئيس "سلامة الغذاء" بمصر: لحم الحمير "نظيف" والناس تأكله منذ سنوات

n

الخبر:


سي أن أن العربية: قال حسين منصور، رئيس وحدة إنشاء الهيئة القومية لسلامة الغذاء في مصر، إن الضرر الذي قد يحصل جراء أكل لحم الحمير هو نتيجة للتلوث الذي قد يلتقطه مثل باقي أنواع اللحوم، مشيراً إلى أنه لن يكون ضارا صحيا لو اتبعت كافة الطرق السليمة في الذبح. وأشار إلى أن هذه المشكلة موجودة منذ ما لا يقل عن عشر سنوات، والجديد في الأمر هو اكتشافها والضجة التي أثيرت حولها هذه المرة. كما طالب بإنشاء هيئة قومية لسلامة الغذاء متسائلا عن السبب وراء التأخر في إنشائها حتى الآن. وقال بأن رسالتي دكتوراة منذ نحو أربع سنوات بينت وجود لحوم كلاب وحمير وغيرها في الأسواق تباع للمواطنين من غير أن تثير الرسالتان أية ضجة!

التعليق:


هذا من إنجازات دولة العسكر الفاشلة التي تصر على إقصاء الإسلام منذ أن ولي زمامها عبد الناصر إلى اليوم، ولعل من أهم السمات السوداء الحالكة في تاريخ هذه الدولة الفاشلة محطات نذكر منها:


تحكيم النظم الوضعية كالعلمانية واشتراكية الدولة في شئون الحياة، وإقصاء شريعة الله ومحاربتها بالحديد والنار.


تعذيب وقتل المسلمين بالكيماوي والنار والسجون لعقود طويلة لا لشيء إلا لقولهم لا إله إلا الله، وعلى مدار العقود اشتهرت سجون مصر مثل السجن الحربي في الخمسينات والستينات، ومن بعد في عهدي السادات ثم مبارك علت شهرة سجون طرة ثم العقرب وبرج العرب ووادي النطرون، وشهدت هذه السجون ويلات يشيب لهولها الولدان وأعدم فيها ثلة من المفكرين والسياسيين والأدباء، وفي عهد ناصر، كان الاعتقال العشوائي يقوم على تقارير التنظيم الطليعي الذي كونه ناصر، فتحول نصف المجتمع لجواسيس على النصف الآخر. ثم أنشأ السادات جهاز الأمن المركزي عقب الانتفاضة العارمة ضد رفع أسعار الخبز في عام 1977. وقوات الأمن المركزي في حقيقتها هي جيش داخلي أو قوات مخصوصة للقمع الداخلي، كانت أداة قمع المعارضين المصريين طوال عقود، ثم دخل المعتقلات فى عهد المخلوع مبارك أكثر من ربع مليون شخص، وشهدت مصر في عهده تعذيبا لا مثيل له، وكانت ممارسات انتهاك الأعراض روتينية في الأقسام والسجون فى ظل حالة طوارئ مستديمة. واستبيحت في عهده كرامة الإنسان في مصر دون أي حماية أو ضمانات أو عقوبات رادعة، وكانت عمليات الاختطاف والاختفاء والقتل خارج نطاق القانون ممارسة شائعة لأجهزة الأمن، وابتدأ السيسي حقبة القمع بمجازر رابعة والنهضة، فكان تاريخ العسكر أسود على البلاد والعباد.


ومن سمات حكم العسكر، نهب خيرات البلاد وإفقار العباد، وترك الناس فريسة للأمراض والجهل وضنك العيش، بينما تبلغ ثروات العسكر ورجال دولتهم مليارات الدولارات.


ومن سماتها: إخضاع البلاد للتبعية المباشرة لأمريكا، حتى إن وزير خارجية مصر نبيل فهمي يصرح بملء الفم أن العلاقة مع أمريكا زواج وليست نزوة ليلة واحدة، وبالطبع فإن صاحب العصمة هو أمريكا،


وحدث ولا حرج عن إغراق البلاد بديون ربوية تُخضع سيادتها لصندوق النقد الدولي، ولأمريكا بعد أن كانت مصر قد أقرضت بريطانيا 3 مليون جنيه إسترليني خلال الحرب العالمية الأولى، وبانتهاء الحرب العالمية الثانية كانت بريطانيا مدينة لمصر بـ400 مليون جنيه إسترليني، تحولت مصر بفضل حكم العسكر إلى دولة مدينة بلغت ديونها في عهد عبد الناصر 1.7 مليار دولار ثم أسقطها الاتحاد السوفياتي، وبلغت في نهاية حكم السادات 21 مليار دولار، ثم بعد مرور حوالي 7 سنوات فقط على حكم مبارك تضاعفت الديون الخارجية لمصر مرتين ونصف المرة لتصبح حوالي 49.9 مليار دولار ولم يتم تخفيفها إلا بالخضوع لمشيئة وشروط صندوق النقد والبنك الدوليين والدول الدائنة، خاصة فيما يتعلق ببيع القطاع العام أو خصخصته واتباع سياسة اقتصادية ليبرالية وفتح الاقتصاد المصري أمام الأجانب بلا ضوابط تقريبا فضلا عما تم إسقاطه من ديون عندما انضمت الحكومة المصرية للتحالف الدولي بقيادة الولايات المتحدة ضد العراق عام 1990 في أعقاب الاحتلال العراقي للكويت، فكانت الديون أداة لإخضاع مصر لأوامر أمريكا، ثم تم الاتفاق على جدولة الديون الخارجية لمصر في تموز/يوليو 2009 بالتعاون بين كل من نادي باريس والبنك والصندوق الدوليين وتمت الجدولة لفترات متباعدة تمتد حتى 2050. لكن بفوائد عالية جدا وبأقساط نصف سنوية وهو ما يعني استنزاف ما يقرب من 25% من المصادر الاقتصادية للبلاد، وكانت دراسة أعدتها مؤسسة "تومسون رويترز" و"بلومبرغ" و"فيتش" الدولية للتصنيف الائتماني، أشارت إلى أن مصر جاءت في المركز الخامس في تصنيف الدول المهددة بالإفلاس بنسبة احتمال إفلاس بلغت 20.6% ونسبة ديون إلى إجمالي الناتج المحلي بلغت 92.3%، هذا غيض من فيض من التاريخ الإجرامي للعسكر على رقاب أهل مصر داخليا وحدث ولا حرج عن تآمرهم على أهل بيت المقدس، وإغلاق معابر أهل غزة، وإنشاء الأسوار الحديدية تحت الأرض وهدم الأنفاق، والتآمر مع كيان يهود على أهل غزة، ومنع نصرتهم، ومشاركتهم في حروب أمريكا ضد المسلمين، وإخضاع مصر لنزوات أمريكا وكيان يهود، وتحكم أمريكا بها من خلال القمح وغيره، وحيثما التفتَّ وجدت مصائب، وأي ملف تناولته، من سياسة لاجتماع لبطالة، لفقر، لحرمان، لقمع، لإعلام، حيثما قلبت ناظريك، لا تجد إلا تاريخا أسود وحقائق تشيب لهولها الولدان، لك الله يا مصر أين وصلت بعد أن كنت قلعة الإسلام المنيعة!


ألا أيها الليل الطويل ألا انجلِ، وما انجلاء حلكة هذا الليل إلا بدولة خلافة على منهاج النبوة تعيد مصر درة في تاج الأمة الإسلامية، تحكمها بعدل الإسلام بعد جور العسكر وتعز أهلها بالإسلام بعد أن أذلتهم النظم الوضعية.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
ثائر سلامة - أبو مالك

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon