خوفاً من الإزالة الوشيكة من السلطة، استسلمت حسينة لإرادة أمريكا  بإعلانها عن موافقتها على خطتها للمحيطين الهندي والهادئ
خوفاً من الإزالة الوشيكة من السلطة، استسلمت حسينة لإرادة أمريكا  بإعلانها عن موافقتها على خطتها للمحيطين الهندي والهادئ

كشفت بنغلادش يوم الاثنين رسمياً عن توقعاتها للخطة الأمريكية المؤلفة من 15 نقطة لمنطقة المحيطين الهندي والهادئ، والتي تصوّرها بأنها منطقة حرة ومنفتحة وسلمية وآمنة، وجاء هذا قبل يوم واحد من بدء زيارة رئيسة الوزراء حسينة الثلاثية إلى اليابان وأمريكا وبريطانيا. وقال وزير الدولة للشؤون الخارجية، شهريار علم، إن الحصة الجماعية لمنطقة المحيطين الهندي والهادئ في الناتج المحلي الإجمالي العالمي، والتفوّق في التجارة الدولية، والعمل المناخي والديناميكية التكنولوجية المتنامية، يمكن أن تكون محددات رئيسية لضمان مرونة بنغلادش وازدهارها على المدى الطويل.  

0:00 0:00
Speed:
May 06, 2023

خوفاً من الإزالة الوشيكة من السلطة، استسلمت حسينة لإرادة أمريكا بإعلانها عن موافقتها على خطتها للمحيطين الهندي والهادئ

خوفاً من الإزالة الوشيكة من السلطة، استسلمت حسينة لإرادة أمريكا

بإعلانها عن موافقتها على خطتها للمحيطين الهندي والهادئ

الخبر:

كشفت بنغلادش يوم الاثنين رسمياً عن توقعاتها للخطة الأمريكية المؤلفة من 15 نقطة لمنطقة المحيطين الهندي والهادئ، والتي تصوّرها بأنها منطقة حرة ومنفتحة وسلمية وآمنة، وجاء هذا قبل يوم واحد من بدء زيارة رئيسة الوزراء حسينة الثلاثية إلى اليابان وأمريكا وبريطانيا. وقال وزير الدولة للشؤون الخارجية، شهريار علم، إن الحصة الجماعية لمنطقة المحيطين الهندي والهادئ في الناتج المحلي الإجمالي العالمي، والتفوّق في التجارة الدولية، والعمل المناخي والديناميكية التكنولوجية المتنامية، يمكن أن تكون محددات رئيسية لضمان مرونة بنغلادش وازدهارها على المدى الطويل. وتشمل التوقعات والمشاركة في منطقة المحيطين الهندي والهادئ في بنغلادش "تعزيز الثقة والاحترام المتبادلين، وإقامة الشراكات والتعاون، وتعزيز الحوار والتفاهم، بهدف ضمان السلام والازدهار والأمن والاستقرار للجميع في منطقة المحيطين الهندي والهادئ" و"تعزيز الآليات القائمة" حول السلامة والأمن البحريين في المحيطين الهندي والهادئ. (المصدر).

التعليق:

تضغط أمريكا منذ فترة طويلة على بنغلادش للمشاركة بفاعلية في استراتيجية المحيطين الهندي والهادئ. وكان انضمام بنغلادش إلى هذه الاستراتيجية قيد المناقشة لفترة طويلة في حوار الشراكة بين بنغلادش وأمريكا، وكذلك في سلسلة الزيارات التي قام بها المسؤولون الأمريكيون. وبعد متابعتها لسنوات عديدة، أعلنت بنغلادش يوم الاثنين أخيراً عن موافقتها على "توقعات المحيطين الهندي والهادئ" مشيرة إلى أنها تعتبر الاستقرار والازدهار فيها "عاملاً حاسماً" في تحقيق رؤية البلاد 2041. وتعتبر النخبة الحاكمة ومجموعات المصالح والمراكز البحثية المؤيدة لأمريكا في بنغلادش، أن إطلاق رؤية شاملة حول المحيطين دبلوماسية ذكية، وجاءت في الوقت المناسب، لتقديم بنغلادش على أنها جهة فاعلة ومهتمة ومسؤولة في المنطقة. إنهم يطلبون من الناس أن يتعاونوا مع أمريكا في مشروعها لجني الفوائد الاقتصادية للفرص البحرية في خليج البنغال. ومن خلال التأكيد على المشاركة في استراتيجية أمريكا في المحيطين لتقريب بنغلادش من شركاء التجارة والاستثمار الرئيسيين، فإن أجندتهم الخبيثة هي إخفاء التهديدات التي سيجلبها هذا التحالف الأمريكي على سيادة الأمة!

من الواضح أنه من خلال المشاركة في استراتيجية أمريكا في المحيطين الهندي والهادئ، سيتم استخدام بنغلادش كبيدق في الصراع بين أمريكا والصين. ولكن حكومة حسينة الضعيفة تمنح أمريكا مساحة أكبر لتحقيق وجود قوي لها في خليج البنغال الاستراتيجي، حيث وافقت حسينة على توقيع اتفاقيات دفاعية مثل اتفاقية الأمن العام للمعلومات العسكرية (GSOMIA) واتفاقية الاستحواذ على الخدمات المشتركة (ACSA) التي صاغتها أمريكا بغرض شنيع، يتمثل في تحويل بنغلادش إلى قاعدة عسكرية للجيش الأمريكي، إلى جانب إجراء تدريبات عسكرية في منطقة المحيطين الهندي والهادئ بذريعة التعاون الأمني، وحقيقة الأمر أن حكومة حسينة الفاسدة تشعر بالتهديد والخوف من إزاحة أمريكا لها من السلطة، لذلك استسلمت لخطة أمريكا الشريرة هذه ووافقت على الانضمام إلى حلفها في المحيطين الهندي والهادئ لإرضائها للبقاء في السلطة، وضمان نجاحها مرة أخرى في الانتخابات القادمة. ولكنها لم تفكر في التهديدات التي ستجلبها هذه المبادرة على سيادة الأمة وخطرها الجيوسياسي الرهيب، كما أنها لا تبالي بالحرمة الشديدة من الله سبحانه وتعالى على ترسيخ هيمنة الكفار المستعمرين على الأمة نتيجة مشاركتهم في مثل هذه الأحلاف، قال تعالى: ﴿وَلَنْ يَجْعَلَ اللَّهُ لِلْكَافِرِينَ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ سَبِيلاً﴾.

يستخدم الحكام أمثال حسينة دائماً بلادنا ومواردنا الاستراتيجية وجيشنا كوقود في حرب أسيادهم المستعمرين، لأنهم لا يحلمون بالسيطرة على أعداء المسلمين من المشركين من خلال سياسة خارجية قوية، وليس لسياستهم الخارجية المتعثرة أي غرض سوى الحفاظ على عروشهم من خلال تعزيز هيمنة أمريكا الاستعمارية وحلفائها في جنوب آسيا. لذلك، فإن السبيل الوحيد للخروج من هذا الوضع المخزي والمهين هو بتطبيق النظام الإسلامي بإقامة الخلافة على منهاج النبوة، التي لن تسمح لأي دولة استعمارية باستخدام أراضي المسلمين ومواردهم الاستراتيجية وجيشهم كوقود لحروبهم الاستعمارية، وستثبت دولة الخلافة نفسها في جميع أنحاء العالم من خلال سياسة خارجية قوية تنص عليها الشريعة الإسلامية. وبما أن الخلافة ستدخل النظام العالمي الجديد، فإنها لن تقبل بضغط أي قوة عظمى لتكون جزءاً من أي منظمة دولية أو تحالفاتها العسكرية. وبدلاً من ذلك، سوف تضرب الصين والهند وأمريكا بعضها ببعض لتدمير هيمنة أمريكا وغيرها على مستوى العالم ﴿هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَى وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

صفات نواز

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية بنغلادش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon