كيان يهود قلق على السيسي وحق له أن يقلق
كيان يهود قلق على السيسي وحق له أن يقلق

  الخبر: قالت عربي 21 السبت 2023/1/28م، في الوقت الذي تشهد فيه مصر أزمة اقتصادية حادة، فإن تقديرات يهود المتزايدة تتحدث عن أن خطر اندلاع غضب جماعي في الساحات العامة لم يعد سيناريو وهمياً، فقد تتدهور الدولة ذات الـ110 ملايين نسمة إلى حالة إفلاس بسبب ديونها الهائلة، فيما يتصاعد عدد سكانها الفقراء بمعدلات مذهلة،

0:00 0:00
Speed:
February 02, 2023

كيان يهود قلق على السيسي وحق له أن يقلق

كيان يهود قلق على السيسي وحق له أن يقلق

الخبر:

قالت عربي 21 السبت 2023/1/28م، في الوقت الذي تشهد فيه مصر أزمة اقتصادية حادة، فإن تقديرات يهود المتزايدة تتحدث عن أن خطر اندلاع غضب جماعي في الساحات العامة لم يعد سيناريو وهمياً، فقد تتدهور الدولة ذات الـ110 ملايين نسمة إلى حالة إفلاس بسبب ديونها الهائلة، فيما يتصاعد عدد سكانها الفقراء بمعدلات مذهلة، كما نقلت عن إيهود يعاري المستشرق اليهودي الذي ذكر أن "الأرقام تقول كل شيء، حيث فقد الجنيه المصري نصف قيمته، وتم تخفيض الرواتب إلى النصف، وارتفعت الأسعار بنسبة 40٪، وتضاعفت تكلفة المنتجات الغذائية، بينما تجاوز التضخم الـ25٪، وتم التعهد بنصف الميزانية لدفع ربا الدين الوطني، حيث يجب سداد 100 مليار دولار منها في السنوات الأربع المقبلة، وقام المستثمرون بسحب 20 مليار دولار من البلاد في الأشهر الأخيرة، وهذه أرقام لكارثة وشيكة في مصر"، وأضافت: تكشف تقديرات يهود أنه ليس من الصعب التكهن بأن السيسي في مأزق صعب، فهو يخشى حرمان الجيش من أبقاره الحلوب، وفي الوقت نفسه يخشى ردود فعل الجمهور المصري على ارتفاع الأسعار، كما أنه يخشى الديون المتضخمة، التي تضاعفت أربع مرات منذ توليه السلطة في عام 2014، وهو يخشى كذلك أن يتراجع السعوديون عن دعمهم له. والخلاصة أن السيسي في حالة يرثى لها، وهو ما يقلق أجهزة أمن الاحتلال من تكرار ثورة يناير عليه هذه المرة!

التعليق:

عندما يقلق كيان يهود على حاكم من حكام بلادنا ويوظف استخباراته لاستقراء واقع شعبه ورد فعله تجاه قراراته الكارثية ثم يصرخ محذرا من غضبة الشعب المحتملة وداعيا لدعمه كما يفعل يهود مع السيسي، فحتما هو كنز استراتيجي لهم وهو أحد خطوط دفاعهم الأولى إن لم يكن أهمها على الإطلاق، وقطعا هناك مصالح وخدمات كبرى يؤديها لهم.

وحتما قلقهم له واقع على الأرض ويعبر عن قراءة حقيقية لمجريات الأمور وما يعتمل في نفوس أهل مصر، تحديدا حالة الغليان التي تعيشها مصر بسبب الأزمة الاقتصادية الخانقة وانهيار الجنيه وما تبعه من تضخم هائل وغلاء فاحش في الأسعار بينما ظلت دخول الناس كما هي بل فقدت قيمتها وقدرتها الشرائية.

قرارات صندوق النقد الدولي تقضي بسحب سيطرة الجيش على الاقتصاد ما يعني رفع يده عن أكثر من ألف شركة تحتكر العديد من القطاعات وتدر أرباحاً هائلة في بيئة تنعدم فيها التنافسية، والمستفيد من هذه الاستثمارات هم القادة والنخب التي تحيط بالسيسي وتدعم بقاء حكمه، ويكأن الصندوق الدولي يدعو السيسي لتقليم أظافره وخلع أنيابه بنفسه بينما هو مقدم على كوارث اقتصادية تهدد بقاءه، ولهذا فهو في حاجة إلى قادة الجيش الذين ألقمهم هذه الاستثمارات، وأخذُها من يدهم في هذا التوقيت الحرج يعني فقده للكثير من ولائهم في مرحلة يحتاج فيها كل ولاء لحمايته من أي هبة شعبية محتملة وبشكل كبير، ولعل هذا دفعه لإصدار قرار جمهوري بتخصيص أراضٍ صحراوية بعمق 2 كيلومتر على جانبي 31 طريقا جديدا لصالح القوات المسلحة، وكأنه يطمئنهم على أن مصالحهم محفوظة وامتيازاتهم دائمة، ولكن هل ستتمكن تلك التحذيرات وهذه الإجراءات من حمايته من غضبة الناس؟

يا أهل الكنانة: إنكم تدركون أن عدوكم الأول هم يهود، وخوفهم على النظام ورأسه يعني الكثير، وأكثر ما يعنيه أن السيسي ونظامه ليسوا من جنسكم ولا يمثلونكم وقطعا لن يعبأوا بمشاكلكم ولن يفكروا في حلها، بل كل ما يعنيهم هو مصالح الغرب ويهود، وإنها لا نجاة لكم إلا بتطبيق الإسلام في دولته الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، الدولة التي تعيد تقسيم الملكيات بشكل صحيح وعادل يضمن إشباع الناس لحاجاتهم الأساسية على الوجه الصحيح ويضمن انتفاعهم بالملكية العامة من الثروات الدائمية بشكل حقيقي وعادل، بعد أن تهيمن على موارد البلاد وثرواتها وتقطع أيادي الغرب التي تنهبها، وتقضي على الربا والتجارة الوهمية التي تجلب التضخم والكوارث، وتعيد النقود ذهبا وفضة أو أوراقا نائبة عنهما فتصبح النقود في يد الناس لها قيمة في ذاتها تتحدى التضخم والكوارث والأزمات، هذا هو سبيل خلاصكم الذي يحمله لكم حزب التحرير ويدعوكم له.

أيها المخلصون في جيش الكنانة! إن ما يلقي لكم النظام هو فتات من حقوقكم وحقوق أهل مصر المنهوبة، ووالله إنه لسحت ورشوة نخشى أن ينالكم غضب من الله به، وسيسألكم الله عنه فوق رؤوس الأشهاد يوم لا ينفع مال ولا بنون ولا تجارة ولا رتب ولا مميزات، ستسألون عن دعمكم وولائكم لنظام يعلن الحرب على الله ورسوله ودينه وشرعه ويذيق أهل مصر الويلات تحت سمعكم وبصركم وفي حراستكم، ووالله ما تجرأ على إجرامه لولا أنه أمِن جانبكم وصرتم أداة في يده يبطش بها ويقمع أهل الكنانة ويغتصب حقوقهم، فوالله لولاكم ما تجرأ على ظلم أهل مصر والاستخفاف بهم وبدينهم والتنكيل بكل من يطالب بحقه أو يحمل فكرا صحيحا عن الإسلام ويسعى لتطبيقه، ألا فلتعلموا أن ما لكم من حقوق حلال أكبر بكثير وأعظم بركة من سحت النظام، فاستبدلوا الخير بالأدنى والفظوا هذا النظام لفظ النواة واخلعوا ما يطوق به أعناقكم من حبال، وصلوا حبالكم بالله رغبة ورهبة ونصرة لدينه وشرعه ودولته، واقبضوا بأيديكم على يد إخوانكم شباب حزب التحرير واضربوا عليها بقوة واحملوا معهم همّ دينكم وهمّ إقامة دولته التي يحملون لكم، فوالله لا خير لكم ولمصر وللأمة بدونها، فأعلنوها بيعة لله خالصة تجددون بها سيرة أنصار الأمس فيتم الله بكم أمره ووعده بالخلافة الراشدة الثانية، فيا فوزكم وعزكم حينها. اللهم عجل بها واجعل جند مصر أنصارها واجعل مصر حاضرتها ونقطة ارتكازها اللهم آمين.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد فضل

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon