كيان يهود يستهدف الأردن والأردن يشجب!
كيان يهود يستهدف الأردن والأردن يشجب!

الخبر:   عبّرت وزارة الخارجية الأردنية، يوم الاثنين 2023/3/20، عن إدانتها واستنكارها الشديدين لاستخدام وزير المالية في كيان يهود بتسلئيل سموتريتش، خلال مشاركته في فعالية عقدت الأحد في باريس، خريطة لكيان يهود تضم حدود الأردن وفلسطين المحتلة. ...

0:00 0:00
Speed:
March 27, 2023

كيان يهود يستهدف الأردن والأردن يشجب!

كيان يهود يستهدف الأردن والأردن يشجب!

الخبر:

عبّرت وزارة الخارجية الأردنية، يوم الاثنين 2023/3/20، عن إدانتها واستنكارها الشديدين لاستخدام وزير المالية في كيان يهود بتسلئيل سموتريتش، خلال مشاركته في فعالية عقدت الأحد في باريس، خريطة لكيان يهود تضم حدود الأردن وفلسطين المحتلة.

التعليق:

تأتي هذه الحادثة بعد أقل من شهرين على المُلاسنة التي حصلت في مجلس الأمن في 2023/1/6 بين مندوبي كيان يهود والأردن في الأمم المتحدة حول احتلالٍ أردنيّ للضفّة الغربية. وفي كلتا الحادثتين كان الرد من طرف الأردن شاحبا، ولد ميتا ولم يترك أثرا على أرض الواقع. أما رد كيان يهود على النحيب الأردني فقد جاء سريعا من خلال خطوات عملية تمثلت في تصعيد الحرب على أهل فلسطين، والإمعان في القتل والحبس وهدم المنازل، وتمرير قانون يقر عقوبة الإعدام لمن يتم أسرهم من الفلسطينيين خلافا لجميع الأعراف والقوانين الدولية وشريعة الأنبياء والرسل، ومن ثم نقض الاتفاقية التي بموجبها تمت إزالة 4 مستوطنات في شمال الضفة الغربية، ما يمكّن عودة آلاف من كيان يهود إلى الضفة الغربية لزيادة حجم الاستيطان. بل إن كيان يهود رد على احتجاج الأردن على وصفها أنها محتلة لجزء من فلسطين والذي يعتبره يهود جزءاً من أرضهم، ردوا باعتبار الأردن ذاته كياناً قائماً كله على أرض يهود، والذي تمكن كيان يهود من تحرير الجزء الأكبر منه عام 1948 ومن ثم عام 1967 وبقي عليهم ما تبقى منه والمسمى اليوم بالأردن.

هكذا تكون الردود العملية وإن كانت جائرة من كيان يهود، وليس كما هي ردود الكيانات التي صنعتها الجهة نفسها التي صنعت كيان يهود. والفرق واضح جلي. جهة تتصرف وتضرب العالم وقوانينه بكعب نعلها غير آبهة بشيء، وجهة تكتفي بالبكاء والعويل والارتماء إلى أسفل دركات القانون الدولي لعل أحداً يبدي عليهم شفقة. وهيهات هيهات فالحقوق لا تحفظ، والمسلوب لا يرد هكذا، ولا يسلم الشرف الرفيع من الأذى حتى يراق على جوانبه الدم.

فما الذي يمنع يهود اليوم من التمدد والتوسع في كل فلسطين ويُتبعه الأردن وجزء من السعودية وسوريا؟ أهو خشيتهم من دول وقعت معهم معاهدات مخزية ويتشدقون بأنهم لم ينقضوا شيئا منها؟ أو من دول عمدت إلى بناء جيوش فائقة التسلح ليقفوا صناديد على جبهات قتال كيان يهود ويهود يعلمون أن هذه الجيوش في الواقع قد تحولت إلى أداة قمع لشعوبها وحماية أنظمة تقف سدا منيعا للحفاظ على كيان يهود ظنا من هذه الأنظمة أن يهود ملاذهم الآمن من غضب الشعوب؟ لا شك أن كيان يهود لا يخشى من هذا ولا ذاك. ولا يحسب حسابا لأي شيء.

والحقيقة أن كيان يهود لا يقيم وزنا لأي شريعة أو قانون أو عرف أو معاهدة إلا بالقدر الذي يرى فيه يهود ضررا مؤكدا على كيانهم. وحين يرون أن الأقوى في المنظومة الدولية كأمريكا منشغل عنه وعن كثير من القضايا كما هي الحال في حرب أوكرانيا، عندها يغذون السير لتحقيق مآربهم. وقد مردوا على الخداع والكذب، فهم يعتبرون الخداع والكذب على غيرهم من الشعوب والأديان جزءاً من ثقافتهم ودينهم، كما أنهم مردوا على التحدي لأوامر الله والكذب على أنبيائهم إيمانا منهم أن الله لن يعاقبهم فهم شعبه المختار ﴿وَقَالُواْ لَن يَدْخُلَ الْجَنَّةَ إِلَّا مَن كَانَ هُوداً أَوْ نَصَارَى﴾.

الأنظمة الحاكمة ومن يتولون شؤون بلاد العرب المجاورة ليهود أو غير المجاورة، لا شك أنهم يعلمون تمام العلم أن كيان يهود لا يمكن التعامل معه إلا بجيوش جرارة تتسلح بعقيدة قتالية منبثقة عن عقيدة التوحيد الإسلامية ومن ثم بأسلحة قادرة على اقتلاع هذا الكيان وشروره من جذوره. ولكنهم عاهدوا من هو دون الله من طواغيت الأرض أن لا يقفوا ولو على نصف قدم ضد كيان يهود فهو بالنسبة لهم صمام أمان لعروشهم وكياناتهم أو هكذا يظنون.

لن يتوانى كيان يهود عن طرد مئات الآلاف من الفلسطينيين من أراضيهم، ولن يتوانى يهود عن قلع كيان الأردن وأن يستبدلوا به سلطة كالسلطة الفلسطينية، تقوم بالتنسيق معهم لكبح جماح من يفكر بالتحرير، واستعادة المغتصب من الأراضي، واقتلاع كيانهم من جذوره. لن يتوانى يهود عن تحقيق غاياتهم المعلنة أو المخفية والتي كشف عنها مندوبهم في الأمم المتحدة وأخيرا بن غفير وسموترفتش.

هذا عدوكم أيها المسلمون كاشفا أوراقه، باسطا خططه، مبرزا قوته فماذا أنتم فاعلون؟ لا تجدون معتصماً يجيب استغاثة نسائكم، فهل فكرتم في بعث معتصم جديد منكم؟! لا تجدون بينكم ومنكم صلاح الدين يلبي نداء الأقصى فيقسم ألا يبتسم حتى يحرر الأقصى من الصليبيين. فهل فكرتم في بعث صلاح الدين من أبنائكم يرفع راية الجهاد لينسي يهود ومن شايعهم وساوس الشيطان؟ نعم أيها المسلمون الذين عكفتم اليوم على الصيام والقيام في رمضان وعقدتم العزم لزيارة البيت الحرام معتمرين ومن ثم حاجين. ألم تعلموا أن دم كل مسلم رجلا كان أو امرأة يراق في فلسطين اليوم له من الحرمة والقدسية أكثر من حرمة الكعبة وهي أطهر وأقدس بقعة خلقها الله على وجه البسيطة؟ ألم يأن للذين آمنوا منكم أن تخشع قلوبهم لذكر الله وما نزل من الحق في تعظيم حرمات دماء المسلمين ووضعها في مرتبتها التي أنزلها الله إياها؟!

ختاما أقول لقد سئمت أمتنا الشجب والاستنكار وصناعة حائط مبكى يؤمه الرؤساء والملوك والأمراء والشيوخ ومن والاهم وسار على درهم.

عن عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عُمَرَ ‏قَالَ: رَأَيْتُ رَسُولَ اللَّهِ‏ ‏ﷺ ‏يَطُوفُ ‏بِالْكَعْبَةِ ‏وَيَقُولُ: «‏مَا أَطْيَبَكِ وَأَطْيَبَ رِيحَكِ مَا أَعْظَمَكِ وَأَعْظَمَ حُرْمَتَكِ وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لَحُرْمَةُ الْمُؤْمِنِ أَعْظَمُ عِنْدَ اللَّهِ حُرْمَةً مِنْكِ مَالِهِ وَدَمِهِ وَأَنْ نَظُنَّ بِهِ إِلَّا خَيْراً».

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد جيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon