كيف لدولة أن تحقق قفزات كبيرة وهي باقية على مسارها وتستغل زخم الأزمات وهي غارقة فيها، أليس هذا تهورا في الكلام؟
كيف لدولة أن تحقق قفزات كبيرة وهي باقية على مسارها وتستغل زخم الأزمات وهي غارقة فيها، أليس هذا تهورا في الكلام؟

ألقى الرئيس جوكو ويدودو كلمته في سياق تقديم تقرير أداء مؤسسات الدولة وخطابه بمناسبة الذكرى السنوية الخامسة والسبعين لاستقلال إندونيسيا في الجلسة السنوية لمجلس النواب في مجمع البرلمان، سينايان، جاكرتا.

0:00 0:00
Speed:
August 20, 2020

كيف لدولة أن تحقق قفزات كبيرة وهي باقية على مسارها وتستغل زخم الأزمات وهي غارقة فيها، أليس هذا تهورا في الكلام؟

كيف لدولة أن تحقق قفزات كبيرة وهي باقية على مسارها
وتستغل زخم الأزمات وهي غارقة فيها، أليس هذا تهورا في الكلام؟


الخبر:


ألقى الرئيس جوكو ويدودو كلمته في سياق تقديم تقرير أداء مؤسسات الدولة وخطابه بمناسبة الذكرى السنوية الخامسة والسبعين لاستقلال إندونيسيا في الجلسة السنوية لمجلس النواب في مجمع البرلمان، سينايان، جاكرتا.


تناول خطاب رئيس الجمهورية في هذه المناسبة نقاطاً عديدة كان أكثرها منصبا على محاولة الدولة مواجهة آثار وباء كورونا لاقتصاد البلاد، حيث أعرب فيها الرئيس عن ثقته البالغة بقدرة إندونيسيا على النهوض بعد الأزمة الاقتصادية بسبب كورونا، قائلا: "حتى اقتصادات الدول المتقدمة قد تدهورت إلى أقل من عشرة في المائة حتى سبعة عشر في المائة تحت الصفر، فيمكن أن تكون النكسات التي يعاني منها العديد من هذه الدول الكبيرة فرصة وزخماً لنا للحاق بالركب، إنه مثل الكمبيوتر، فإن اقتصادات جميع الدول عالقة حالياً ومعلقة، فيجب أن تخضع جميع الدول لعملية إيقاف تشغيل قصيرة للكمبيوتر حتى تتم إعادة تشغيله. لأجل ذلك فإن جميع الدول لديها الفرصة لإعادة ضبط جميع أنظمتها، فهذا هو الوقت المناسب لإصلاح أنفسنا بشكل جذري، وإجراء تحولات كبيرة، وتنفيذ استراتيجيات كبيرة في مجالات الاقتصاد والقانون والحكومة والاجتماعية والثقافية بما في ذلك الصحة والتعليم، وهذا هو الوقت المناسب لاستغلال زخم الأزمة لتحقيق قفزات كبيرة"... ثم أضاف الرئيس عن توقعاته لاقتصاد البلاد قائلا: "من المتوقع أن يصل النمو الاقتصادي إلى 4.5 في المائة إلى 5.5 في المائة. ومن المتوقع أن يكون معدل النمو الاقتصادي مدعوما بزيادة الاستهلاك المحلي والاستثمار باعتباره القوة الدافعة الرئيسية". (كومباس، 2020/08/16).

التعليق:


لا شك أن الثقة بالنفس عامل مهمّ من عوامل النجاح، ولكن الثقة بالنفس ليست أمرا قائما على الهواء، وليست نظريات فارغة تؤدي إلى تهور في الكلام وتنتهي باليأس. فإذا نظرنا إلى وضع اقتصاد البلاد وحتى قبل الوباء، فإن إندونيسيا قد دخلت بالفعل في أزمات مستمرة، وقد ذكر الخبير الاقتصادي السيد ريزال رملي عددا من المؤشرات على انهيار الاقتصاد الإندونيسي قبل حصول وباء كورونا، حيث عانى الاقتصاد الإندونيسي بالفعل من مشاكل بسبب تأثير فقاعات الاقتصاد الكلي، وحالات التخلف عن السداد، وانخفاض القوة الشرائية، ووجود الأعمال الرقمية، وتراجع دخل المزارعين، وغيرها. ولقد تراجعت جميع المؤشرات الكلية بشكل أسوأ مما كانت عليه قبل 10-15 سنة، كما يظهر عجز الميزان التجاري والحساب الجاري والضرائب وما إلى ذلك. وأضاف أن في عام 2020، من المتوقع أن ينهار الاقتصاد الإندونيسي بدون كورونا بنسبة تصل إلى 4 في المائة، ومع وجود كورونا تزداد التكهنات بتباطؤ في المعدل الاقتصادي، حتى وصلت نسبة تراجعه إلى 3 في المائة، وكل هذه الإشارات قد بدأت تحدث بالفعل.


وقد أعلنت وكالة الإحصاء المركزية في أوائل أيار/مايو أن اقتصاد إندونيسيا في الربع الأول من عام 2020 نما بشكل أبطأ بنسبة 2.97 في المائة (على أساس سنوي) حيث قال رئيس الدولة، سوهاريانتو، إنه على أساس ربع سنوي أو مقارنة بالربع الرابع من عام 2019، سجل النمو الاقتصادي في إندونيسيا ناقص 2.41 في المائة.


ومن جانب آخر، فقد بلغ الدين الخارجي في أيلول/سبتمبر 2019 نحو 5569 تريليون روبية إندونيسية، وهذا قبل الأزمة، وقد بلغ ذلك في نيسان/أبريل 2020م 5603 تريليون روبية إندونيسية. هذا ناهيك عن قضية الموارد الطبيعية التي سيطر عليها الأجانب، لا سيما الموارد الطبيعية الخمس الكبرى وهي تعدين فريبورت للذهب في بابوا، وتعدين شركة شيفرون للحرارة الأرضية في جاوى الغربية، وتعدين الفحم في كاليمانتان، وتعدين النيكل في سولاويزي، والبترول في العديد من المناطق. نعم، فإن كل هذه الموارد تحت سيطرة ونفوذ الأجانب، وأولاها الولايات المتحدة والصين وإنجلترا وفرنسا وكندا. وفي وقت لاحق يمكننا أن نرى ما هو أخطر مما سبق، وذلك بعد إصدار القانون الجديد عن الموارد المعدنية والفحم.


وبلغ عدد الفقراء في أيلول/سبتمبر 2019 نحو 24.79 مليون مع أن المعيار المستخدم للدخل الفردي هو حوالي 440 ألف روبية للفرد في الشهر، فهذا يعني أنه حقاً فقير جداً، وسيكون معدل الفقر أكبر إذا تم استخدام المعيار العالمي البالغ 2 دولار أمريكي في اليوم. وهذا قبل أزمة الوباء، وأما بعدها فقد صرح وزير المالية سري مولياني أن عدد الفقراء ارتفع بمقدار 4.48 مليون شخص من بيانات عام 2019.


بهذه البيانات نستطيع أن نقول إن استهداف النمو الاقتصادي في نطاق 4.5 إلى 5.5 في المائة كما أدلاه الرئيس في خطابه أمر غير واقعي. بل إن الولايات المتحدة بمدينتها الشهيرة للمقامرة، لاس فيجاس، كان نموها الاقتصادي في الربع الأول من عام 2020 سالباً 4.8 في المائة، وعند الاتحاد الأوروبي، سيكون النمو الاقتصادي في عام 2020 أقل من 8.3 في المئة سلبا.


لذا فإن الأزمة الاقتصادية العالمية تنتج من تطبيق الاقتصاد الليبرالي الذي اعتمد على القطاع الاقتصادي غير الحقيقي واقتصاد الربا. فكيف للجمهورية الإندونيسية أن تحقق قفزات كبيرة وتستغل زخم الأزمات وهي غارقة فيها؟!


لا شك أن الخطوة الوحيدة لاستعادة الاقتصاد العالمي عندما كان يتدهور قبل الجائحة وأثناءها هي إعادة تطبيق النظام الاقتصادي الإسلامي الذي يعتمد على القطاع الحقيقي، ويمنع الربا، ويعيد الثروات الطبيعية إلى مالكها لتلبية احتياجات الشعب والتصدي لأية كوارث حادثة. ولا يتأتى هذا إلا من خلال تطبيق الإسلام بالكامل في ظل دولة الخلافة الإسلامية ككيان تنفيذي لشرائعه.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أدي سوديانا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon