لا الحكومة الانتقالية الحالية ولا أي حكومة منتخبة قادمة  تملك تفويضاً لتنفيذ مشاريع أمريكا الاستعمارية
لا الحكومة الانتقالية الحالية ولا أي حكومة منتخبة قادمة  تملك تفويضاً لتنفيذ مشاريع أمريكا الاستعمارية

الخبر: لم تعد التوترات بين الحكومة الانتقالية في بنغلادش، بقيادة الدكتور محمد يونس، والجيش، سرّاً. ففي 26 أيار/مايو 2025، عبّر متحدث باسم الجيش علناً عن معارضته لمقترح الحكومة بفتح ممر إنساني نحو ولاية راخين المضطربة في ميانمار، التي يسكنها مسلمو الروهينجا المضطهدون. وفي الأسبوع الماضي، أعرب رئيس أركان الجيش،

0:00 0:00
Speed:
June 06, 2025

لا الحكومة الانتقالية الحالية ولا أي حكومة منتخبة قادمة تملك تفويضاً لتنفيذ مشاريع أمريكا الاستعمارية

لا الحكومة الانتقالية الحالية ولا أي حكومة منتخبة قادمة

تملك تفويضاً لتنفيذ مشاريع أمريكا الاستعمارية

الخبر:

لم تعد التوترات بين الحكومة الانتقالية في بنغلادش، بقيادة الدكتور محمد يونس، والجيش، سرّاً. ففي 26 أيار/مايو 2025، عبّر متحدث باسم الجيش علناً عن معارضته لمقترح الحكومة بفتح ممر إنساني نحو ولاية راخين المضطربة في ميانمار، التي يسكنها مسلمو الروهينجا المضطهدون. وفي الأسبوع الماضي، أعرب رئيس أركان الجيش، الفريق قمر الزمان، عن قلقه تجاه عدد من مبادرات الحكومة، بما في ذلك ما يُسمّى بالممر الإنساني، وإمكانية إدارة ميناء شيتاغونغ من جهات أجنبية، وإدخال خدمة الإنترنت الفضائي "ستارلينك" التي يملكها إيلون ماسك. كما دعا الحكومة إلى الإسراع في عقد انتخابات لتشكيل "حكومة منتخبة مستقرة" تكون مؤهلة لاتخاذ قرارات تمس الأمن القومي. وفي خضم تصاعد التوتر، انتشرت شائعات في دكا الأسبوع الماضي بأن الدكتور يونس قد يستقيل. (المصدر)

التعليق:

ينبغي أن يكون واضحاً بلا لبس أن التوتر السياسي الجاري في بنغلادش ليس صراعاً بين الحكومة الانتقالية بقيادة يونس والجيش، بل هو صراع بين الناس من جهة والحكومة الانتقالية من جهة أخرى، لأن هذه الحكومة تتصرف علناً بما يتعارض مع إرادة الناس وتطلعاتهم. والمهمة الأساسية للجيش هي حماية سيادة البلاد، وقد عبّر الجيش عن إرادة الناس حين عارض مبادرات الحكومة الانتقالية التي تهدد هذه السيادة. ولو التزم قادة الجيش الصمت في هذه القضايا، لكان ذلك خيانة للناس. لذا فإن الجهات المغرضة تحاول تضليل الرأي العام بإظهار الأمر وكأنه خلاف بين الحكومة والجيش، بينما الحقيقة هي أنه صراع بين الناس ومن ينوب عنهم في الحكم. ذلك أن الحكم هو عقد بين الحاكم والمحكوم، يمنح فيه الناس الحاكم التفويض لرعاية شؤونهم والدفاع عن مصالحهم أمام أي عدوان أجنبي. ولا يحق لأي حاكم - سواء أكان مؤقتاً أو منتخباً - أن يخرق هذا العقد ويعمل ضد مصالح الناس. لقد سقط نظام الشيخة حسينة لأنها اتخذت موقفاً صريحاً ضد مصالح الأمة، وطبّقت مشاريع استعمارية هندية عدوانية عديدة، بل وتباهت بذلك قائلة: "سيظل الهنود يذكرون الأفضال التي قدمتها لهم". ولأنها كانت تنفذ مشاريع معادية للإسلام وتحارب الإسلام والعلماء بطلب من أمريكا والهند، فإن الناس رأوها دمية مكشوفة في يد الهندوس المتطرفين، فثاروا عليها بكل قوة، وتحدّوا بطشها وأسلحتها، وتصدّوا لها كجدار صلب حتى أسقطوها بطريقة مهينة.

ومن ثم، فإن التوتر القائم اليوم بين الناس والحكومة الانتقالية كان متوقعاً، بسبب استمرار الحكومة في السير على خطا معاداة الدولة والانقياد للمشاريع الأمريكية. ورغم أن الدكتور يونس يدّعي أنه شخصية عالمية، فإن الناس كانوا يتوقعون منه مقاومة الضغوط الأجنبية، لكنه أثبت عكس ذلك تماماً، وأظهر نفسه بوضوح باعتباره أداة في يد المشروع الاستعماري الأمريكي الجديد، من خلال دعمه المتعمد لممر "إنساني" يخدم مصالح أمريكا، وسعيه لتمكين جهات أجنبية من إدارة ميناء شيتاغونغ، وسرعة إدخال مشروع "ستارلينك". كما أن حكومة يونس الانتقالية تقدم خدمة مباشرة للمصالح الأمريكية، وتدعم بشكل غير مباشر جماعة "جيش أراكان" البوذية المتطرفة الموالية لأمريكا في ميانمار، على حساب دماء ودموع المسلمين الروهينجا. وقد تزايد غضب الناس نتيجة هذه السياسات. ولم يمض وقت طويل على فعل مماثل ارتكبته حكومة حسينة السابقة، التي دعمت المجلس العسكري الموالي لبريطانيا في قمع "جيش أراكان"، وكان ذلك أيضاً على حساب الروهينجا، خدمة للمصالح البريطانية.

ومن حيث المبدأ، فإن أي حكومة، سواء أكانت منتخبة أو انتقالية، إذا ثبت تعاونها مع جهات أجنبية ضد مصالح الأمة، فإن "عقد الحكم" بينها وبين الناس يصبح لاغياً. وعلاوة على ذلك، فإن هذا العقد لا يصح إلا بالرضا والاختيار، ولا يجوز فيه الإكراه من أي طرف. وعندما أعلن الدكتور يونس عن نيته الاستقالة، أصبح عقد الحكم باطلاً من حيث المبدأ، ولا يجوز الاستمرار في ولايته من جهة شرعية ولا سياسية، لأنه لوّح للناس بالانسحاب، وكأنه يهددهم بالتخلّي عنهم. لذلك، من الواجب عليه أن يتنحّى عن رئاسة الحكومة، وإلا فإن الناس ستطيح به كما أطاحوا بالطاغية حسينة عندما خانت الأمة وتحالفت مع الكفار، لأن أهل بنغلادش مسلمون ويؤمنون بإسلامهم، وتترسخ في وجدانهم أوامر الله عز وجل. قال تعالى في كتابه العزيز: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا عَدُوِّي وَعَدُوَّكُمْ أَوْلِيَاءَ تُلْقُونَ إِلَيْهِم بِالْمَوَدَّةِ وَقَدْ كَفَرُوا بِمَا جَاءَكُم مِّنَ الْحَقِّ﴾.

وكجزء أصيل من الأمة الإسلامية، فإن أهل بنغلادش باتوا لاعباً رئيسياً في التصدي لمؤامرات الكافر المستعمر. لذا فهم لا يرضون بأي حاكم أو حزب سياسي يقدّم الولاء لأمريكا الاستعمارية الكافرة أو لوكيلتها الإقليمية؛ الهند. والأمة والعقيدة الإسلامية هما عنصران لا ينفصلان عن الدولة، ولا يمكن لأي حاكم أو حزب أن يقف في وجه الأمة وعقيدتها وينجو.

لقد ولّى الزمان الذي كانت فيه الأحزاب أو الأفراد يتلاعبون بمصير المسلمين، وقد أتى وقت النهضة المنتظرة، وصحوة العملاق من سباته، ليهدم عروش الحكام الخونة والعملاء. قال الله العظيم في كتابه: ﴿كُنتُمْ خَيْرَ أُمَّةٍ أُخْرِجَتْ لِلنَّاسِ تَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَتَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ وَتُؤْمِنُونَ بِاللهِ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

ريسات أحمد – ولاية بنغلادش

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon