لا حدود لممارسات الصين الإجرامية ضد مسلمي تركستان الشرقية
لا حدود لممارسات الصين الإجرامية ضد مسلمي تركستان الشرقية

الخبر: أفادت إذاعة آسيا الحرة مؤخراً أنه وفقاً لمصادر في الحزب الشيوعي الحاكم في الصين، فإن نساء الإيغور المسلمات في تركستان الشرقية، اللائي يحتجز أزواجهن في معسكرات الاعتقال، "يجبرن على مشاركة الأسِرَّة" مع المسؤولين الصينيين الذكور الذين كلفهم النظام بمراقبتهن في منازلهن. يعد هذا الشكل الغاشم للمراقبة لمسلمي الإيغور جزءاً من برنامج "اجمعهم وتصبح عائلة" الذي بدأه النظام الصيني في عام 2017،

0:00 0:00
Speed:
November 11, 2019

لا حدود لممارسات الصين الإجرامية ضد مسلمي تركستان الشرقية

لا حدود لممارسات الصين الإجرامية ضد مسلمي تركستان الشرقية
(مترجم)


الخبر:


أفادت إذاعة آسيا الحرة مؤخراً أنه وفقاً لمصادر في الحزب الشيوعي الحاكم في الصين، فإن نساء الإيغور المسلمات في تركستان الشرقية، اللائي يحتجز أزواجهن في معسكرات الاعتقال، "يجبرن على مشاركة الأسِرَّة" مع المسؤولين الصينيين الذكور الذين كلفهم النظام بمراقبتهن في منازلهن. يعد هذا الشكل الغاشم للمراقبة لمسلمي الإيغور جزءاً من برنامج "اجمعهم وتصبح عائلة" الذي بدأه النظام الصيني في عام 2017، والذي بموجبه نشرت الحكومة مليوناً من الجواسيس، معظمهم من الذكور من أغلبية الهان العرقية، للإقامة مع الأسر الإيغورية لمدة أسبوع تقريباً كل شهرين. أطلق النظام على هؤلاء الجواسيس مسمى "أقارب" هؤلاء الإيغور المسلمين الذين يتعايشون معهم. ودورهم هو الحصول على معلومات من عائلاتهم "المضيفة" فيما يتعلق بحجم التزامهم بالمعتقدات الإسلامية، والآراء والممارسات السياسية، وتلقينهم الثقافة الشيوعية الملحدة ليكون ولاؤهم للدولة الصينية. وصرح مسؤول صيني يشرف على ما بين 70 إلى 80 أسرة من الإيغور في مقاطعة ينجيسار، لإذاعة آسيا الحرة أن هؤلاء الجواسيس "يبقون مع أقاربهم ليلاً ونهاراً" وأنهم "يساعدون "أسر الإيغور"، في أيديولوجيتهم، في جلب أفكار جديدة" و"تحدثوا إليهم عن الحياة، التي يطورون خلالها مشاعرهم تجاه بعضهم بعضا". وذكر أيضاً أنه "أصبح من الطبيعي الآن أن تنام الإناث على السرير نفسه مع "أقاربها" الذكور الذين يقيمون معها. كما أكد رئيس لجنة الأحياء في ينجيسار لإذاعة آسيا الحرة أن المسؤولين الذكور "ينامون بانتظام في ذات المكان أو أسَرَّة النوم التي تنام فيها الإناث من أفراد أسر الإيغور أثناء إقامتهم في المنزل". ويمكن وصف هؤلاء المسلمين الذين يرفضون هذه "الزيارات المنزلية" بأنهم متطرفون محتملون ويواجهون احتمال الاحتجاز في غولاجس في الصين. ووصف دولقون عيسى، رئيس المؤتمر الإيغوري العالمي في المنفى الذي يتخذ من ميونخ مقراً له، حملة "اجمعهم وتصبح العائلة" على أنها تمثل "إبادة كاملة لسلامة وأمن ورفاهية أفراد الأسرة". كما أوضحت إذاعة آسيا الحرة أيضاً أنها تحدثت إلى إحدى البلديات وسكرتير القرية في مقاطعة هوتان في وقت سابق من هذا العام وقالوا إن هؤلاء المسؤولين الذين يقيمون مع أسر الإيغور يجلبون الخمور واللحوم بما في ذلك لحم الخنزير ويتوقعون من أفراد الأسرة استهلاكها.

التعليق:


لا يوجد حد للمدى المثير للغثيان الذي ستصل إليه الدولة الصينية المقيتة في إهانتها لإخواننا وأخواتنا في تركستان الشرقية لمحو كل أثر لهويتهم الإسلامية. وليس هناك حد لحجم الخيانة المشينة لحكام المسلمين الذين يواصلون التسامح مع هذه الدولة الوحشية المناهضة والمعادية للإسلام، والذين يرفضون حتى إدانة معاملتها الإجرامية لمسلمي الإيغور، من أجل مصالحهم الاقتصادية والسياسية. بالنسبة لأي مسلم صادق، فإن الدم يغلي في العروق وينفطر القلب كمدا وألما عندما نسمع عن مثل هذا الانتهاك الشنيع لشرف أخواتنا، والتطفل المشين على حياتهم الخاصة، فضلاً عن القمع الذي لا هوادة فيه والذي يتعرضون له في ظل هذه الدولة الاستبدادية الشيوعية. ومع ذلك، فبالنسبة لحكام المسلمين، تستمر المصالح في سيرها كالمعتاد مع بكين. من الواضح أنه لا يوجد قدر كافٍ من الاضطهاد أو المعاناة الهائلة لهذه الأمة، ولا الهجوم على دين الإسلام لتحريكهم ولو خطوة واحدة نحو حماية أي مسلم مضطهد! لا يزال عمران خان، على سبيل المثال، رئيس وزراء باكستان، الذي يعرف عن نفسه كبطل مدافع عن حقوق مسلمي كشمير المضطهدين، صامتاً تماماً فيما يتعلق بمعاملة الصين الوحشية للإيغور المسلمين. في الواقع، كان موقفه مزيدا من تقوية علاقته مع هذه الديكتاتورية الشيوعية التي تحرض على الإسلام، دون خجل من احتضان حار لدولة تخوض حرباً ضد دين الله. وفي وقت سابق من هذا الشهر، في الاجتماع التاسع للجنة التعاون المشترك للممر الاقتصادي الصيني الباكستاني، وقع الجانبان على اتفاقيات أخرى للتعاون في مجال التجارة والصحة. كما سعت باكستان للحصول على قرض بقيمة 9 مليارات دولار من الصين لتمويل مشاريع الطرق والبنية التحتية. علق نائب رئيس لجنة التنمية والإصلاح الوطنية الصينية نينغ جيزه بأن كلا الجانبين قد توصلا إلى توافق مهم حول التعاون الثنائي في جميع المجالات، قائلا: "إن الجانب الصيني سيُفَعِّل الإجماع الذي توصل إليه قادة الجانبين وسيعزز التنسيق، ويعزز الثقة المتبادلة من أجل تحقيق المزيد من النتائج العملية للممر الاقتصادي الصيني الباكستاني ولإقامة مجتمع صيني باكستاني أكثر تقاربا في المستقبل المشترك في العصر الجديد".


يقول الله تعالى: ﴿وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ﴾ ولن نتمكن من تحقيق هذا الحكم الشرعي الإسلامي تجاه إخواننا وأخواتنا المضطهدين في تركستان الشرقية وفلسطين وكشمير وسوريا وأماكن أخرى عبر الاعتماد المستمر على الأمم المتحدة أو الحكومات الغربية أو حكام المسلمين. إن مجرد الأمل في حل مشكلاتنا كأمة على يد المجتمع الدولي يحافظ على الوضع القائم ويطيل أمد المعاناة الشديدة لإخواننا وأخواتنا. إن الوفاء بالواجب الذي يفرضه علينا ربنا سبحانه وتعالى في الآية أعلاه يتطلب منا أن نعيد شؤوننا كمسلمين إلى أيدينا وأن نبحث عن حل لمشاكلنا من ديننا: الإسلام. يحدد هذا الدين الخلافة على منهاج النبوة بأنها الطريقة الوحيدة لحماية المسلمين وحماية شرفنا ومعتقداتنا الإسلامية حقاً، لأنها درعنا وحاميتنا قال نبينا الحبيب r: «وَإِنَّمَا الإِمَامُ جُنَّةٌ يُقَاتَلُ مِنْ وَرَائِهِ وَيُتَّقَى بِهِ».


لذلك، إذا ما كنا حقاً نريد إنهاء المحنة العظيمة التي لا تحتمل والتي يواجهها مسلمو الإيغور وغيرهم من المسلمين في العالم، فإن علينا أن نصب اهتمامنا وجهودنا الكاملة على إقامة عاجلة لهذه القيادة الإسلامية.


كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
د. نسرين نواز
مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon