لا تشرفنا مشاركتكم أيها الرويبضات
لا تشرفنا مشاركتكم أيها الرويبضات

الخبر:   في نيوزيلندا جمهرة تضم آلاف الناس من مختلف بلاد العالم يتذاكرون جريمة المسجدين قبل أسبوعين. [صحيفة جنوب ألمانيا]

0:00 0:00
Speed:
March 30, 2019

لا تشرفنا مشاركتكم أيها الرويبضات

لا تشرفنا مشاركتكم أيها الرويبضات

الخبر:

في نيوزيلندا جمهرة تضم آلاف الناس من مختلف بلاد العالم يتذاكرون جريمة المسجدين قبل أسبوعين. [صحيفة جنوب ألمانيا]

التعليق:

حضر آلاف المناهضين للتعصب ومندوبون عن بعض الدول للتعبير عن أسفهم تجاه جريمة الغدر التي قام بها السفاح العنصري الأبيض في المسجدين في نيوزيلندا قبل أسبوعين. ومن الملاحظ غياب كافة الساسة من الغرب والشرق عن المشاركة في هذه المناسبة الاحتجاجية على أعمال العنف ضد المسلمين.

أيها الساسة الكفرة.. ويا أذنابهم الرويبضات حكام المسلمين!!

لم تكن لتشرفنا مشاركتكم في تأبين شهداء مجزرة المسجدين في نيوزيلندا. ولكن غيابكم شاهد عيان يدينكم بالتواطؤ مع السفاح المجرم الذي قتل الأبرياء سُجَّداً في مساجدهم. بينما سارعتم للعزاء بالسفلة الساخرين من عقائد المسلمين في حادثة تشارلي إيبدو عام 2015.

بلا شك أن المفارقة ظاهرة للعيان، وإن كانت المسميات متشابهة والأفعال متساوية - من وجهة نظركم - إلا أن الدلائل والوقائع واضحة تفضحكم على كافة الأصعدة.

فمن ناحية وفي حادثة إيبدو تضامنتم جميعا فحضر إلى باريس جمهرة من السياسيين الغرب يدافعون عما أسموه زورا وبهتانا حرية الرأي والتعبير، وسارع الرويبضات حكام المسلمين يجرون أذيال الذل والخيبة ليشاركوا في إدانة هذا العمل (الإرهابي) ليس بالأقوال فحسب بل بالمشاركة في الصف الأول في مسيرة تشارلي إيبدو التي دعت لها فرنسا تعبيرا عن رفضها لـ(الإرهاب) والاعتداء على الحريات التي تقدسها فرنسا وتتغنى بها أوروبا ويرددها ببغاوات العرب والمسلمين. وكان الشعار المرفوع فيها يدل دون شك على رفض (الإرهاب) وكافة أشكال الاعتداء المادي، والكل يعلم من هو المقصود بكلمة (الإرهاب). وهناك تكاتف الساسة في الصف الأول معبرين عن التضامن، ورفعت الأعلام الفرنسية في شبكة التواصل تقول "كلنا إيبدو". ولم يبق مجال في الإعلام إلا وشارك في نشر الخبر وساهم في التعليق عليه وتحليل أبعاده، سواء في بلاد الغرب أو العرب.

وفي المقابل من الناحية الثانية نجد برودة كلمات الشجب والاستنكار التي وجهها الساسة والإعلاميون تجاه هذا العمل الإجرامي، فلم نجد فيها شجبا للإرهاب ولم نسمع وصفا لهذه الجريمة بالإرهاب النصراني، كما كانوا يصفون الأعمال الأخرى بالمقابل بالإرهاب الإسلامي وأن الفاعل "إسلامي" مهما كان تاريخه وسيرته ومدى التزامه بالشرع، ما دام أصله مسلما وبشرته داكنة شرقية، فإن عمله إرهاب إسلامي أو إسلاموي! بينما ما قام به هذا المجرم رغم تصريحه وما نشره وما كتبه من أسماء ووقائع تدل صراحة على حقد صليبي دفين، لم يقل أحد من هؤلاء الساسة أو أذنابهم بأنه إجرام صليبي مرفوض أو إرهاب ديني منبوذ!

وبهذا نرى كيف أن الغرب لا يتردد فيهرع ليتهم الإسلام بالعدوانية والكراهية ويرمي المسلمين كافة بالإجرام ويحملهم المسؤولية، مع أنه يثبت بنفسه في أكثر الحالات أن المجرمين كانوا غير ملتزمين إسلاميا، بل إن بعضهم يعاقر الخمر، وسيرته الذاتية لا تشرف مسلما ولا تنمّ عن أخلاق مسلمين، وسجله المدني يشهد على طاقته الإجرامية التي يرغب في تفريغها في مجتمع يراه ظالما له أو يعتبره مسؤولا عن الحالة التي وصل لها من سقوط أخلاقي أو هبوط نفسي. فكم من شاب في فرنسا من أصول شرقية أو من المهاجرين لمس هذه العوامل المؤهلة للجريمة والدافعة للثأر في يومه وليله حتى إذا ما سيطرت عليه هذه الفكرة فيبحث عن مخرج "مشرف" له من مأزقه المجتمعي وأزمته النفسية، فيجد ضالته في الانتقام من كل شيء، حتى لو لم يكن على معرفة بالإسلام أو صلة بالمبدأ، فقط لأنه يبحث عن شهرة أو اعتراف بجهده أو تبرير فعله الإجرامي. وكم رأينا كيف يستغل الساسة والإعلاميون مثل هذه الأحداث لصالحهم ولغاياتهم، وعلى وجه الخصوص في التحريض على الإسلام والمسلمين ونشر الكراهية والحقد وذلك في محاولة لدفع التقدم الإسلامي في أوروبا سواء بالزحف البشري عن طريق المهاجرين أو الغزو الفكري عن طريق المقيمين في أوروبا والمسلمين من ذوي الأصول الأوروبية. وهذا دليل صريح على أن (الإرهاب) عندكم هو الإسلام، وأن الدعاوى الإعلامية مقصودة لتشويه الإسلام، ولا أستبعد أن يكون الكثير من أعمال العنف التي تحصل في العالم اليوم مدبرة، أو مسكوتاً عنها أو مشجَّعاً عليها ليصلوا بالبشرية إلى هذه الحالة الخطيرة من نشر الكراهية والبغض.

ومن جهة أخرى أثبت رويبضات المسلمين الحكام أنهم إمعات يتبعون أسيادهم الذين يناصبون المسلمين العداء، ولم يستحيوا أن يعلنوا عن ذلك في حضورهم، بل يطلبون منهم إدانة هذه الأعمال ومحاربة ما يسمونه (الإرهاب) بكل قواهم وبجيوشهم التي لا تسيّر دبابة ولا تحلق طائرة ولا يوجه رشاش منها تجاه من احتل أرضها وقتل أبناءها وهتك أعراضها.

وفي ذلك اليوم إثر حادثة تشارلي إيبدو أعرب الغرب والعرب عن موقفهم تجاه الإرهاب بشكل عام مع أنه لا يغيب عن الأذهان أن الإسلام هو المقصود به، وما كانت تلك الوقفات والمسيرات والتصريحات والتوجيهات الإعلامية والسياسية، إلا لمحاربة الإسلام الذي يصفونه بـ(الإرهاب).

على أن هذه الحادثة في نيوزيلندا تكشف عن مدى الذل الذي وصل إليه حكام المسلمين الذين لا يأبهون بدماء المسلمين ولا أعراضهم، ولا يدافعون عنهم ولا يهتمون بهم، ولا ينتصرون لهم، بل إني أرى أن ما ذهب إليه أردوغان من عزمه حسب زعمه على بناء مساجد أكثر في نيوزيلندا، إنما هو تعبير ساقط وتجارة بالدماء لدوافع انتخابية شخصية، لا تسمن ولا تغني من جوع، ولو سكت مثل غيره لكان أشرف له من أن يستغل الدماء الزكية لمصالح شخصية، ولا ينتصر لهذه الدماء، وكيف نطمع أن ينصر المسلمين وهو الذي يتواطؤ مع أسياده الأمريكان في ضرب إخواننا كما حصل مؤخرا في دير الزور في مذبحة الباغوز التي استهدفتها الطائرات الأمريكية المنطلقة من قاعدة إنجرليك، فدمرت البلاد وأحرقت الحرث وأهلكت النسل فراح ضحيتها أكثر من 3000 طفل وامرأة وشيخ من العزل بحجة محاربة تنظيم الدولة... وغير ذلك ما حصل من قتل وسفك للدماء في فلسطين والعراق وسوريا وليبيا واليمن والصين، ألا يسمى هذا إرهابا دوليا؟!!

﴿وَلا تَحْسَبَنَّ اللَّهَ غَافِلا عَمَّا يَعْمَلُ الظَّالِمُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

م. يوسف سلامة – ألمانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon