لا تزال حرب أمريكا الخاسرة ضد "الإرهاب" تضحي بالشعب
لا تزال حرب أمريكا الخاسرة ضد "الإرهاب" تضحي بالشعب

الخبر:   صرح توماس ويست، الممثل الخاص لوزارة الخارجية الأمريكية إلى أفغانستان، في ملاحظاته الأخيرة في مركز الدراسات الاستراتيجية والدولية: "إنني أخشى حقاً - وأعتقد أن هذا شعور الجميع - أن ما نراه الآن هو توقف مؤقت منذ 44 عاماً من الصراع وسوف نرى عودة الحرب الأهلية مع الوقت". إلى جانب ذلك، صرح المبعوثان الخاصان لباكستان وإيران إلى أفغانستان ووزارة خارجية طاجيكستان في الجمعية العامة للأمم المتحدة أن أفغانستان تتحول إلى ملاذ آمن للإرهاب. ...

0:00 0:00
Speed:
October 10, 2022

لا تزال حرب أمريكا الخاسرة ضد "الإرهاب" تضحي بالشعب

لا تزال حرب أمريكا الخاسرة ضد "الإرهاب" تضحي بالشعب

(مترجم)

الخبر:

صرح توماس ويست، الممثل الخاص لوزارة الخارجية الأمريكية إلى أفغانستان، في ملاحظاته الأخيرة في مركز الدراسات الاستراتيجية والدولية: "إنني أخشى حقاً - وأعتقد أن هذا شعور الجميع - أن ما نراه الآن هو توقف مؤقت منذ 44 عاماً من الصراع وسوف نرى عودة الحرب الأهلية مع الوقت". إلى جانب ذلك، صرح المبعوثان الخاصان لباكستان وإيران إلى أفغانستان ووزارة خارجية طاجيكستان في الجمعية العامة للأمم المتحدة أن أفغانستان تتحول إلى ملاذ آمن للإرهاب.

كل هذه التصريحات تأتي في وقت تصاعدت فيه بشكل كبير الهجمات الاستخباراتية على المدنيين. حيث شهدت أفغانستان العديد من الهجمات القاتلة على المساجد والمدارس وجوانب الطرق خلال الأسبوع الماضي. ووقع أحد هذه الاعتداءات داخل مؤسسة تعليمية، مخلفة وراءها أكثر من 50 شهيداً معظمهم من الطالبات.

التعليق:

منذ الهزيمة العسكرية لأمريكا وحلف شمال الأطلسي في أفغانستان، وبعد استبدال الإمارة الإسلامية بنظام الجمهورية المدعوم من الغرب، استخدمت أمريكا سياسات مختلفة ضد الإمارة حتى الآن. حيث كانت أمريكا تنفذ مهامها في أفغانستان، إما بشكل مباشر أو من خلال حكوماتها الإقليمية العميلة.

ترى أمريكا مصالحها عبر السيطرة الكاملة على حكومة طالبان فضلاً عن دمجها مع النظام العالمي العلماني الحالي لتحويلها تدريجياً إلى واحدة من الحلفاء التابعين لها في المنطقة. وتحاول أمريكا الانخراط مع حكومة طالبان على أساس سياسة "العصا والجزرة" لجعلها تنحرف عن مواقفها الإسلامية.

يتم تطبيق هذه السياسة لفرض ضغوط سياسية واقتصادية ونظام القيم على حكومة طالبان. ومع ذلك، تحاول أمريكا وحلفاؤها تكثيف الضغط على المنطقة من خلال تنفيذ هجمات استخباراتية وتفجيرات قاتلة. لذلك، اتخذت هي ودول المنطقة مواقف مشتركة ضد أفغانستان، واصفة إياها بـ"ملاذ الإرهاب" ومهد الحروب الأهلية، وهكذا دأبوا على حث طالبان على الانصياع لمطالبهم الخطيرة والسيناريوهات الخفية. ولهذا فإن الشبكات الاستخباراتية لدول المنطقة تنفذ هجمات إرهابية وحشية على المدنيين الأفغان بناء على تعليمات المخابرات الأمريكية بهدف الضغط على طالبان والتضحية بالمدنيين المظلومين والعزل.

بالإضافة إلى الهجمات الاستخباراتية، يستخدم المستعمرون الغربيون وعملاؤهم القوة الناعمة والتدابير الثقافية ضد حكومة طالبان. حيث يتم استخدام حقوق الإنسان وحقوق المرأة والحكومة الشاملة واحتجاجات النساء في الشوارع والحملات الإعلامية وأنشطة المجتمع المدني التي هي من مخلفات الغزو السابق ونظام الجمهورية وجزء من القوى الناعمة والثقافية ضدها بطريقة منظمة.

جدير بالذكر أن الحملة الغربية "الحرب على الإرهاب" بقيادة أمريكا والتي كانت في الواقع حرباً على الإسلام والمسلمين قد فشلت. ومع ذلك فهم يستخدمون مصطلح "الإرهاب" ضد الحكومات. ففي عام 2001، تم إعلان الحرب ضد الإسلام السياسي، وهي حرب أراد الغرب منها تجنب إحياء النظام الإسلامي والقضاء على مؤيدي هذه الفكرة.

أما في الوقت الحاضر، فإن كل حكومة تعرف مصطلح "الإرهاب" بناءً على مصالحها، وذلك لتسمية أعدائها بأنهم إرهابيون وداعمون للإرهاب. بينما، إذا بحث المرء عن معنى هذا المصطلح في قاموس أكسفورد، فإنه سيجده يعني: "استخدام العمل العنيف من أجل تحقيق أهداف سياسية". وهذا يعني أن القوى الغربية والحكام الخونة للمنطقة يشنون هجمات استخباراتية وحشية ضد المدنيين لضمان مصالحهم. في الواقع، هذا هو الإرهاب الذي على أساسه حددوا مصالحهم.

في غضون ذلك، تحاول أمريكا فرض مطالبها الكافرة على طالبان بينما تصادف أن ترحب دول المنطقة بمثل هذه السيناريوهات الخطيرة المروعة، وتتصرف بطريقة وحشية في قتل الأبرياء لإرضائها من أجل الحفاظ على سلطتها وضمان الديون من البنوك الدولية وصندوق النقد الدولي.

يجب على طالبان أن تدرك أن السلطة هي أكبر امتحان من الله سبحانه وتعالى. السلطة هي نعمة من الله تتطلب منا أن نكون شاكرين لها؛ وإذا أخذناها كأمر مسلّم به، فهذا يعني أننا قد أعمينا أعيننا عن نعمة الله سبحانه وتعالى. فأن نكون شاكرين يعني أننا يجب أن نستخدم السلطة بحسب ما أمر الله به سبحانه وتعالى.

إن السلطة التي لا تظهر المقاومة والتفوق على ضغوط العدو، السلطة التي لا تظهر الحكم والصلابة؛ السلطة التي لا تعلن النظام الإسلامي (الخلافة) والتنفيذ الشامل والفوري للإسلام، فإنها في الواقع ستقودنا إلى جحود النعمة والفشل في امتحان الله. يجب أن ندرك أننا لسنا من يمنح السلطة والشرف ولكنها من عند الله سبحانه وتعالى. لذلك يجب ألا نتباهى ولا نتخيل أنه بأخذنا للسلطة، انتهى اختبار الله، وتلاشى الجهاد، وأصبح الله راضياً عنا. فالسلطة تأتي من نصرة الله، فيعطيها لمن يشاء، وينزعها ممن يشاء، ليتم تبيان من كان شاكرا ومن لا يشكر، ومن ينخدع بمؤامرات العدو ومتاع الحياة ومن لا ينخدع، كما قال سليمان عليه السلام في قوته وسلطته: ﴿قَالَ هَذَا مِن فَضْلِ رَبِّي لِيَبْلُوَنِي أَأَشْكُرُ أَمْ أَكْفُرُ وَمَن شَكَرَ فَإِنَّمَا يَشْكُرُ لِنَفْسِهِ وَمَن كَفَرَ فَإِنَّ رَبِّي غَنِيٌّ كَرِيمٌ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon