لا يمكن لأي دولة أن تفوز أمام كوفيد-19؛ لكن يمكنها أن تختار كيف تريد أن تخسر!
لا يمكن لأي دولة أن تفوز أمام كوفيد-19؛ لكن يمكنها أن تختار كيف تريد أن تخسر!

الخبر:   حسب ما ورد في الغارديان في ١٢ تشرين الثاني/نوفمبر، ٢٠٢١ فإن "هولندا ستصبح أول دولة أوروبية تفرض إغلاقاً جزئياً منذ الصيف، متخذة إجراءات صارمة جديدة ابتداء من يوم السبت أمام الأرقام المسجلة للإصابات بكوفيد-١٩ الجديد". إذا فاليوم، ١٣ تشرين الثاني/نوفمبر، هو بداية إغلاقات جديدة في أوروبا بسبب كوفيد-١٩ والتي تم التخطيط لها في مكان آخر.  

0:00 0:00
Speed:
November 21, 2021

لا يمكن لأي دولة أن تفوز أمام كوفيد-19؛ لكن يمكنها أن تختار كيف تريد أن تخسر!

لا يمكن لأي دولة أن تفوز أمام كوفيد-19؛ لكن يمكنها أن تختار كيف تريد أن تخسر!

(مترجم)

الخبر:

حسب ما ورد في الغارديان في 12 تشرين الثاني/نوفمبر، 2021 فإن "هولندا ستصبح أول دولة أوروبية تفرض إغلاقاً جزئياً منذ الصيف، متخذة إجراءات صارمة جديدة ابتداء من يوم السبت أمام الأرقام المسجلة للإصابات بكوفيد-19 الجديد". إذا فاليوم، 13 تشرين الثاني/نوفمبر، هو بداية إغلاقات جديدة في أوروبا بسبب كوفيد-19 والتي تم التخطيط لها في مكان آخر.

التعليق:

إن القيود الجديدة التي تلت تحذيرات قطاع الصحة بأن المستشفيات "وصلت إلى طريق مسدود"، وإعلان الصحوة لمنظمة الصحة العالمية الأسبوع الماضي بأن أوروبا أصبحت مرة أخرى بؤرة للوباء. فقد قامت هولندا بإعطاء التطعيم الثاني لـ69٪ من رعاياها إلا أن هنالك إصابات يومية أكثر مما كان من قبل. حيث تم الإبلاغ عن 16200 حالة البارحة وقبل البارحة، مقارنة بالرقم القياسي سابقا والذي وصل إلى 13032 حالة في 20 كانون الأول/ديسمبر السنة الماضية. وأعداد الموتى في ارتفاع أيضا، لكنها أقل بكثير مقارنة بالموجات السابقة. إن النمط العام يتم تكراره في دول الاتحاد الأوروبي، وغيرها من الدول التي تعلن عن إجراءات جديدة كرد فعل.

لقد بدأ الناس بالتساؤل حول لماذا كون أوروبا كلها، على الرغم من أن معدل تلقي التطعيم الثاني هو 65.8٪ لا تزال بؤرة للوباء حسب منظمة الصحة العالمية. فهل تعتبر اللقاحات ناجعة؟ حسنا، نعم ولا.

إن هنالك الكثير من سوء الفهم حول المناعة وخصوصا مناعة القطيع. فاللقاح يثير نظام المناعة في أجسادنا لإعطائنا الكثير من الحماية ضد أي عدوى مستقبلية، لكنه لا يوفر أي ضمانة أو مناعة مستمرة، وبعض الفيروسات هي أفضل من غيرها في التغلب على النتائج الدفاعية للقاح. فالمناعة في الحقيقة هي خيار غير موفق للعالم لأن مناعة العالم لها بُعد شرعي، لا يعني بالضرورة المعنى الحيوي لها: فهي تعرف على أنها "الإعفاء أو التحرر من الاعتمادية" حسب موسوعة بريتانيكا. إن المناعة الشرعية مطلقة، لكن المناعة الحيوية تأتي بعدد لا نهائي من الأشكال. فالنظام المناعي للجسم يتمتع بتنظيم معقد للغاية من العمليات، مع العديد من المواد الكيميائية والخلايا المختلفة التي تعمل معا بهدف الدفاع ضد الغزاة القاتلين كالفيروس الذي يسبب كوفيد-19.

نعم، إن بإمكانك أن تقوي نظام المناعة وأن تدربه على التعرف على فيروس معين من خلال اللقاح، لكن المناعة ليست شيئا يمكنك الحصول عليه؛ فهي دفاع يمكن أن يكون بمستويات عدة من الفعالية عبر الزمن ضد الغزاة الذين يملكون العديد من الآليات لإخفاء أنفسهم وتضليل النظام المناعي للجسم.

ولأن المناعة البيولوجية ليست مطلقة، كمفهومها الشرعي، فما يُدعى "بحالات الاختراق" لكوفيد-19 تحصل بعد اللقاح أو قبل العدوى، وخصوصا إذا حصلت عدوى مرة أخرى بعد اللقاح أو بعد عدة شهور، عندما تتضاءل مستويات الأجسام المضادة في الدم. إن الحماية تستغرق بعض الوقت لتتطور، وتصل إلى القمة ثم تتناقص. فهي ليست مجال قوة خفياً إما أن تمتلكه أو لا تمتلكه. حتى إن السترة المضادة للرصاص ليست كذلك: فلو تم الإطلاق عليك من مدى قريب أو تعرضت لإطلاق النار برصاصة ذات عيار عال، فإنك قد تنزف حتى وأنت ترتدي السترة الواقية.

إن اللقاحات لكوفيد-19 أظهرت أنها تقلل بشكل كبير من خطر الوفاة لعدة أشهر، ولكن مع الزيادات الكبيرة في العدوى بمتغير دلتا فإن اللقاحات لا زالت تقلل من سرعته لكنها لا توقف بشكل نهائي انتشار الفيروس. فالفيروس يمكن أن يصيب خلايا الرئتين، ويستنسخ وينتشر للآخرين قبل أن يتعرف عليه نظام المناعة ويتصدى للعدوى، وهو أمر رائع للذين تلقوا اللقاح ولكن ليس جيدا لأولئك الذين لم يتلقوا اللقاح، حيث إنهم لا يمكنهم الاعتماد على تأثير مناعة القطيع.

أما من ناحية إيجابية، فإنه لا يوجد سوء فهم حول مناعة القطيع والتي تمت إساءة الظن بها بشكل مبالغ فيه. فالناس يظنون بشكل عام أن الفيروس سيستمر بالانتشار حتى يتم الوصول إلى نسبة سحرية من الناس الذين تلقوا اللقاح وبعدها ستتوقف الإصابات بشكل سحري. للأسف، فإن دلتا لن يتوقف، إلا أنه مع تلقي المزيد من الناس اللقاحات فإن سرعة انتشار الفيروس ستقل وأعداد الحالات الخطرة والوفيات ستقل بشكل ملحوظ مع مرور الوقت.

أعتقد أنه حان الوقت لاختيار كلمة أخرى، مثل "المقاومة" أو "الدفاع"، بدلا من المناعة. فهذه المصطلحات قد تبدو مملة، مقارنة بالمناعة التي تأتي من الكلمة اللاتينية immunitasوالتي تعني "التحرر من..."، لكن اختيار مصطلح أكثر دقة، مثل المقاومة أو الدفاع بالتأكيد هما أكثر دقة، يمكن أن ينقذ حياة أشخاص عندما تحدث الجائحة مرة أخرى. فإذا كان بإمكان مصطلح جديد أن يجعل الناس أكثر وعيا حول ما عليهم توقعه من إجراءات الصحة العامة التي يتم توظيفها، فإن ذلك سيجعلهم أقل تأثرا بنظريات المؤامرة حول اللقاحات.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. عبد الله روبين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon