للحقيقة وجه واحد وإن تعددت الصور والخيالات
للحقيقة وجه واحد وإن تعددت الصور والخيالات

    الخبر: أفغانستان تحت حكم طالبان: بايدن يصف عملية الإجلاء من أفغانستان بأنها "نجاح استثنائي" تحت هذا العنوان نشرت بي بي سي الخبر التالي: اعتبر الرئيس الأمريكي، جو بايدن، أن عملية الإجلاء من أفغانستان تمثل "نجاحا استثنائيا" للولايات المتحدة.

0:00 0:00
Speed:
September 03, 2021

للحقيقة وجه واحد وإن تعددت الصور والخيالات

للحقيقة وجه واحد وإن تعددت الصور والخيالات


الخبر:


أفغانستان تحت حكم طالبان: بايدن يصف عملية الإجلاء من أفغانستان بأنها "نجاح استثنائي"


تحت هذا العنوان نشرت بي بي سي الخبر التالي:


اعتبر الرئيس الأمريكي، جو بايدن، أن عملية الإجلاء من أفغانستان تمثل "نجاحا استثنائيا" للولايات المتحدة.


وفي خطاب متلفز من البيت الأبيض، قال بايدن إنه "لا يوجد بلد آخر يستطيع إجلاء هذا العدد الكبير من الناس".


وأكد أن هدف بلاده الأول هو ألا تتحول أفغانستان إلى قاعدة للهجوم على الولايات المتحدة.


وقد واجه بايدن انتقادات دولية بشأن استيلاء طالبان السريع على السلطة في أفغانستان.


وكان نائب الرئيس الأمريكي السابق، مايك بنس، وصف في مقال رأي بصحيفة "وول ستريت جورنال"، الانسحاب بأنه "إذلال على صعيد السياسة الخارجية أكثر من أي شيء واجهته بلادنا منذ أزمة الرهائن في إيران".

التعليق:


ليقل بايدن ما يقول، فالحقيقة لا تحجبها شمس ولا تشوهها خيالات وأماني!


نعم نجحت أمريكا بالخروج الآمن من أفغانستان، لكن هذا النجاح هو كمثل نجاح الجبان في الهروب من ساحة القتال؛ فهو لا نصراً حقق ولا سمعة حسنة نال!


نعم استطاعت أمريكا الخروج من أفغانستان بأقل الخسائر، لكن هذا لا يمحو الخسائر الفادحة التي تكبدتها أثناء وجودها في مستنقع الأفغان، فضلاً عن أنها لم تحقق ما جاءت من أجله رغم مرور عشرين عاما على وجودها هناك؛ فلا القاعدة أبيدت ولا طالبان زالت أو تفككت أو خسرت قوتها، بل على العكس من ذلك تماما؛ فها نحن نرى كيف أن حركة طالبان قد استعادت قوتها ولم تخسر مصداقيتها مع شعبها، وهي في وقت قياسي استعادت السيطرة على البلاد دون رفض أو مقاومة من أحد سوى تلك الثلة المارقة المنتفعة من وجود المستعمرين، وهي ثلة قليلة لا قيمة لها ولا تأثير. أما عن الخسائر المادية التي تكبدتها أمريكا فهي أموال طائلة وجهود باهظة وأسلحة ومعدات ضائعة، فضلا عن خسارة الكثير من أرواح جنودها على أيدي الثوار الأبطال. لقد دخلت أمريكا بكل غطرسة وعنجهية المستنقع الأفغاني ثم أوحلت فيه ولم تستطع الخروج منه. فأي غباء يورثه الغرور والغطرسة! إنها تعمي صاحبها عن رؤية الحقائق أو تقدير الأمور بمقاديرها الصحيحة، ما يرديها في شر الأعمال ويوردها موارد الذل والانكسار.


نعم الذل والانكسار حتى وإن حاولت جاهدة تصوير خروجها بالنجاح الباهر والاستثنائي! إذ لولا الإذن الذي أعطته لها طالبان لما استطاعت الخروج سالمة، وهذا وحده كاف ليجلل كرامتها وكبرياءها بالعار؛ إذ تستجدي من ضحيتها أن يعينها على الخروج من أزمتها والفرار من مصير مشؤوم لجنودها رمز عزتها. فأي هوان باءت به هذه الدولة التي ظن العالم لسنوات طوال أنها على كل شيء قادرة؟!


وإن أهم ما فقدته فوق ما ذكرناه هو مصداقيتها كدولة حامية للحرية والديمقراطية وحقوق الإنسان. ثم لا تلبث أن تفر هاربة في جنح الظلام تاركة وراءها صنائعها من جيش العملاء دون حماية أو رعاية، وتترك محبي مبدئها المضبوعين بأفكارها المتعطشين لطريقة عيشها، تتركهم وراءها يواجهون مصيرهم بعد أن خلفتهم وراء ظهرها حين جد الجد وضاقت عليها وعليهم الحال. إن هذا العمل جعل مصداقية أمريكا في مهب الريح ومفاهيمها في الحضيض، وكان مثلها كمثل ذلك الشخص الذي صنع لنفسه إلهاً من تمر، فلما جاع انقضّ عليه والْتهمه! نعم هذه هي أمريكا يا محبي أمريكا والمعجبين بطريقة عيشها وبأفكارها ومبدئها، ها هي تظهر الآن على حقيقتها؛ تقول في سبيل مصلحتها: أنا في خدمة الإنسانية المهددة وأنا مع الصديق والحليف حتى الموت، فإذا جد الجد وضاقت الحال يظهر شعارها سافرا بلا خجل: أنا ومن بعدي الطوفان!


أما من يؤمنون أن المبدأ الإلهي الحق هو المبدأ الإنساني الصالح لرعاية جميع البشر، من يؤمنون به ومن يلوذون بظله طلبا للحماية والرعاية، فإنهم مطمئنون أن الدولة التي ستطبق هذا المبدأ وتحمله للعالم صادقة مخلصة أمينة؛ إنها راعية كل مؤمن وذمي، وملاذ كل لائذ بها طالبا الحماية وناشدا الأمان، وأمل كل مظلوم باستعادة حقه وتأديب ظالمه.


إن حزب التحرير الذي يحمل الدعوة لسيادة مبدأ الإسلام والذي يسعى جاهدا لتطبيقه في معترك الحياة من خلال دولة الخلافة لعلى ثقة وإيمان بأن دولة الخلافة ستخلص في رعاية شؤون رعيتها، وحماية حلفائها ولن تصد أو تتخلى عن أي شخص يلوذ بها طلبا للحماية أو الرعاية أو حتى النصرة على الظالمين.


والتاريخ يشهد على صحة وحقيقة هذه الدولة العظيمة، فما للمسلمين لا يغذون الخطا لإقامتها ولا يسارعون للسير في ركاب حزب التحرير حامل لواء إقامتها وإراحة العالم من شرور المبادئ الكافرة وأنظمتها المتوحشة والقائمين عليها من الكفار المتسلطين الظالمين وعملائهم المنتفعين الخائنين؟!


#أفغانستان Afganistan #Afghanistan#

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أسماء الجعبة

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon