لن تقوم الدولة الفلسطينية! لماذا؟
لن تقوم الدولة الفلسطينية! لماذا؟

الخبر:   قال رئيس وزراء كيان يهود نفتالي بينيت يوم 27/1/2022 "طالما أنا رئيس حكومة لن يكون هناك تطبيق لاتفاق أوسلو. أنا من الجناح اليميني، ومواقفي لن تتغير، ما زلت أعارض إقامة دولة فلسطينية وأدافع عن دولتنا" (صحيفة إسرائيل اليوم)

0:00 0:00
Speed:
January 30, 2022

لن تقوم الدولة الفلسطينية! لماذا؟

لن تقوم الدولة الفلسطينية! لماذا؟

الخبر:

قال رئيس وزراء كيان يهود نفتالي بينيت يوم 2022/1/27 "طالما أنا رئيس حكومة لن يكون هناك تطبيق لاتفاق أوسلو. أنا من الجناح اليميني، ومواقفي لن تتغير، ما زلت أعارض إقامة دولة فلسطينية وأدافع عن دولتنا" (صحيفة إسرائيل اليوم)

التعليق:

إن يهود معهودون بنقض العهود والوعود والعقود، وقد أشار القرآن الكريم إلى ذلك في العديد من الآيات، فنقضوا ميثاقهم مع الله خالقهم فكيف لا ينقضون ميثاقهم مع المخلوق؟! ﴿أَوَكُلَّمَا عَاهَدُواْ عَهْداً نَّبَذَهُ فَرِيقٌ مِّنْهُم بَلْ أَكْثَرُهُمْ لاَ يُؤْمِنُونَ﴾. نقضوا عهدهم مع رسول الله ﷺ، ونقضوا ميثاقهم مع دولة الخلافة التي حمتهم واعتبرتهم أهل ذمة في أمان وسلام عندما هربوا من مذابح الأوروبيين والصليبيين ومحاكم التفتيش في الأندلس فتآمروا ضد الدولة العثمانية مع الإنجليز الذين خططوا لاستخدامهم ضد الإسلام والمسلمين، فجلبوهم من أصقاع الأرض وأقاموا لهم كيانا ليكون قاعدة متقدمة للغرب في قلب البلاد الإسلامية كما ذكر رئيس وزراء بريطانيا الأسبق تشرشل وليس محبة في يهود، بل انتقاما من المسلمين الذين هزموهم شر هزيمة في الحروب الصليبية. وأمريكا تبنت هذا الكيان للغرض نفسه، وكل دول الغرب مع روسيا تتبنى هذا الكيان.

رأت أمريكا أن من الأمور الأساسية لتثبيت كيان يهود في المنطقة إقامة دولة فلسطينية بجانب هذا الكيان تكون مهمتها حمايته، فأخرجت مبادرتها حل الدولتين عام 1959 على عهد أيزنهاور. ولم تستطع أن تطبقها على تعاقب الإدارات، وقد تبنت اتفاقية أوسلو عام 1993، ولم يعترف كيان يهود فيها بدولة فلسطينية وإنما اعترف بمنظمة التحرير الفلسطينية التي خانت الله ورسوله والمؤمنين بسبب اعترافها باغتصاب يهود لنحو 78% من فلسطين، وبحقها العيش بأمان وسلام والتخلي عن العمل المسلح لتحرير فلسطين ونبذ ومحاربة من يحاربها، من أجل ذلك التزمت بالتنسيق الأمني الذي يعني محاربة أهل فلسطين. ونصت الاتفاقية المشؤومة على إقامة سلطة حكم ذاتي تتسلط على رقاب أهل فلسطين كما هو حاصل بالفعل. وقد سقط مشروع حل الدولتين عندما أخرجت الإدارة الأمريكية السابقة على عهد ترامب ما سمي بصفقة القرن. وعندما جاء بايدن أعلن عودة أمريكا لحل الدولتين ولكنه أعلن أنه من الصعب تطبيقه حيث أوجد يهود عراقيل تحول دون تطبيقه. ولهذا فلا يوجد احتمال لتطبيقه. وقد أعلن رئيس وزراء كيان يهود أنه يعارض إقامة دولة فلسطينية وفي الوقت نفسه يعارض تطبيق الاتفاق الأقل منه وهو اتفاق أوسلو الذي ينص على إقامة حكم ذاتي. فأصبح مشروع حل الدولتين عبارة عن ألهية يتلهى بها الحكام الخونة ويتغطون بها حتى يبرروا عدم قيامهم بأي عمل ضد يهود، لأنهم ينتظرون تطبيق حل الدولتين! علما أنه خيانة واعتراف باغتصاب يهود لأكثر أرض فلسطين.

ويأتي مثل حسين الشيخ أحد قادة منظمة التحرير الفلسطينية ومسؤول في السلطة الفلسطينية ليرد على رئيس وزراء كيان يهود في تغريدة على تويتر يوم 2022/1/28 ويقول: "رحيل وقيام دولة فلسطينية لن تنتظر موافقة بينيت لأنها حتمية تاريخية". فكلامه هراء وهذيان. فركنه أمريكا لم تستطع أن تقيم الدولة الفلسطينية رغم محاولاتها العديدة على مدى أكثر من ستة عقود! وإدارة بايدن تعترف بهذه الصعوبة وليست مهتمة بذلك، وجل اهتمامها الآن روسيا والصين وأوروبا مع مشاكلها الداخلية العويصة سياسية واقتصادية ومجتمعية.

فقادة المنظمة ومسؤولو السلطة يفتقرون لأي صدق أو إخلاص، فهم يعلمون في قرارة أنفسهم أنه لن تكون هناك دولة فلسطينية، حتى الحكم الذاتي مستبعد، فهم يرون تسويف يهود، بل رفضهم لكل ذلك ويرون عجز أمريكا، ولكنهم حتى يبقوا موظفين أذلاء منتفعين تحت "بسطار الاحتلال" كما قال كبيرهم عباس يجترون باستمرار الدعوة لإقامة دولة فلسطينية. فإذا لم يكونوا موظفين في السلطة لخدمة الاحتلال والسهر على حمايته، فلن يجدوا طريقا أخرى للنهب والسرقة من أموال الناس. فسلطتهم ومنظمتهم عبارة عن وسيلة للاقتتات بل للنهب والسرقة.

لقد توعد الله سبحانه في سورة الإسراء يهود بالعقاب الشديد بإرسال عباد له أولي بأس شديد يسومونهم سوء العذاب، إذا عادوا إلى الأرض المقدسة وأشاعوا فيها الفساد وعلوا في الأرض علوا كبيرا كحالهم اليوم. وقد بشر الرسول ﷺ بقتال المسلمين ليهود والقضاء عليهم.

والمؤمنون يعلمون علم اليقين أنه لن تتحرر فلسطين إلا بالجهاد، وهم متيقنون من وعد الله وبشرى رسوله ﷺ بتحريرها والقضاء على يهود، وسيكون ذلك بإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة حيث ستنزل في بيت المقدس ويصلي خليفة المسلمين في المسجد الأقصى. فخاطب رسول الله ﷺ أحد أصحابه قائلا: «يَا ابْنَ حَوَالَةَ، إِذَا رَأَيْتَ الْخِلَافَةَ قَدْ نَزَلَتْ أَرْضَ الْمُقَدَّسَةِ فَقَدْ دَنَتِ الزَّلَازِلُ وَالْبَلَابِلُ وَالْأُمُورُ الْعِظَامُ، وَالسَّاعَةُ يَوْمَئِذٍ أَقْرَبُ مِنَ النَّاسِ مِنْ يَدِي هَذِهِ مِنْ رَأْسِكَ» (أبو داود) ومعنى ذلك أن الخلافة ستقام في مكان ما من بلاد الإسلام، ومن ثم ينتقل مركزها إلى بيت المقدس ليكون عاصمة الخلافة الأخيرة إلى يوم القيامة. وما يؤكد ذلك تهيئة الله لأسباب ذلك، وإن الله إذا قضى أمرا هيأ له أسبابه. فقد وجد بفضل الله ورحمته على المؤمنين حزب التحرير فتبنى فكرة الخلافة ويعمل لها ليل نهار وقد أوجد لها رأيا عاما وهي على وشك أن تقام بإذن الله.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon