"لقد أخذوا يهودنا وأعطونا العرب"- ألمانيا واللاجئون السوريون ‏(مترجم)‏
"لقد أخذوا يهودنا وأعطونا العرب"- ألمانيا واللاجئون السوريون ‏(مترجم)‏

‏الخبر:‏   الجميع يتحدث عن ألمانيا. في خضم أكبر هجرة بشرية منذ الحرب العالمية الثانية، وكما بكى العالم ‏على مرأى الجسد الصغير لإيلان الكردي على شاطئ البحر الأبيض المتوسط، فاجأت القائدة الألمانية ‏أنجيلا ميركل أوروبا والعالم عندما أعلنت أن ألمانيا سوف تسمح لأي سوري يصل ألمانيا طلب اللجوء. ‏مما أدى بالوزير الفرنسي السابق إلى حد النكتة فقال، "أخذوا يهودنا وأعطونا العرب‎"‎‏.‏ أما بالنسبة للألمان، فإنهم يتحدثون عن أولئك الذين أداروا ظهورهم لإخوانهم أهل سوريا؛ انتقادات ‏مذهلة من موقف السعودية الساخر تجاه لاجئي سوريا قد ظهرت في الصحيفة الألمانية: فرانكفورتر ‏ألجماينه زايتونج، التي نشرت مقالا بقلم راينر هيرمان في 8 أيلول/سبتمبر 2015، تحت عنوان: "شبه ‏الجزيرة العربية تغلق حدودها على نفسها".‏     التعليق:‏   كلمات راينر هيرمان قد تحولت إلى سكينٍ تخللت إلى داخل القلب المظلم من النفاق الذي تمثله ‏السعودية ودول الخليج، وكلما تخلل السكين أعمق فإنه يثبت الأنظمة لجدار العار الذي ينبغي أن يلدغ ‏كل مؤمن يشاهد جماهير المسلمين المنهكين والمظلومين يجابهون المشقة والخطر والمذلة بشجاعة ‏مولّين ظهورهم إلى البلدان التي لفظتهم فارغي الأيدي.‏ قال هيرمان أن "دول الخليج والمملكة العربية السعودية تصم آذانها لإخوانهم المسلمين من الحرب ‏الأهلية"، وانتقد وعد السعودية ببناء 200 مسجد للاجئي سوريا في ألمانيا. ولقي رأيه صدى عند ‏الإلحادي المتشدد ريتشارد دوكينز، الذي وصف الوعد السعودي في تغريدة له بأنه: "إما مزحة سمجة ‏أو إهانة سمجه إلى الكرم الألماني". في حين أن دوكينز قد وصف جميع الأديان بالضارة، فقد استخدم ‏هيرمان بمهارة موضوع الدين لإظهار نفاق حكام دول الخليج الغنية في "بناء أكبر المساجد، وأطول ‏المباني والقصور الرائعة"، "في حين يديرون ظهورهم إلى إخوانهم في الدين من سوريا". وقارن جفاء ‏‏"خادم الحرمين الشريفين" بسخاء "الكثير في القارة المسيحية".‏ بطبيعة الحال، فإن كرم "الكثير في القارة المسيحية" ليس عالمياً. إن المجر تتسابق لإكمال الجدار ‏التي من شأنها عرقلة الهجرة في المستقبل عبر أراضيها، وتم تصوير صحفية مجرية تركل وتعرقل ‏اللاجئين الفارين، من بينهم أطفال في شريط فيديو كئيب انتشر على مواقع وسائل التواصل. وانتقد ‏السياسيون في جميع أنحاء أوروبا وألمانيا قرار ميركل بأنه "نتيجة الهلع والتفكير المشوش"، والعديد ‏من القطارات التي جلبت اللاجئين عبر أوروبا منذ ذلك الحين قد أخرجت من الخدمة‎.‎ تحولت مقالة هيرمان إلى سكين مرة أخرى، ولكن فقط بعدما تساءل عن: "الأخوة العربية..." ونقل ‏أقوال بعض اللاجئين عن الدول العربية الذين ينكرون التأشيرات:‏ ‏"أقسم بالله سبحانه وتعالى، بأن العرب هم الكفار". قامت السعودية بنشر بعض الأرقام الخادعة ‏وذرائع ضعيفة بعد بضعة أيام من نشر مقالة هيرمان، والتي تم تداولها في الصحافة البريطانية المخزية ‏دون أي انتقاد، وذلك ربما لأن بريطانيا، التي أنشأت الحدود الملطخة بالدماء اليوم والأعلام الوطنية ‏للأمراء الخونة القذرين، والذين اتبعهم من الحكام مثل بشار، لم ترد الإساءة إلى النظام في السعودية ‏لفتات وبقايا إمبراطوريتها السابقة. من يستطيع أن ينسى ونحن نقترب من موسم الحج، الذي كان سابقا ‏يسمى "شريف" مكة الذي كان يتآمر مع البريطانيين ضد الخلافة العثمانية في الطاولات التفاوضية ‏المخزية، بينما كانت بريطانيا تقيم صفقات أخرى في الخفاء مثل إعلان بلفور واتفاقية سايكس بيكو سيئة ‏الصيت التي من شأنها أن تجعل التأشيرات حاجزا أمام الإخوة‎.‎ لم يكن لدى المدافعين السعوديين ردا على قول هيرمان "أن السعودية تقوم بما هو أسوأ من كل ‏هذا، لأنها تقوم بقتل المسلمين في اليمن"، بالفعل أفقر دولة في العالم العربي، والتي يقصفونها إلى فتات، ‏في حين كان بالإمكان التوصل إلى تسوية سياسية". إن لاجئي اليمن ينضمون إلى لاجئي سوريا في ‏الفرار من إرهاب الحكم الاستبدادي، ولكن ليس إلى السعودية بطبيعة الحال، التي "أحكمت أمن حدودها ‏بشكل جيد للغاية‎."‎ يبقى سؤال في الحديث عن الجزيرة العربية. هل راينر هيرمان نسي أن يذكر المثال النبيل للأخوة ‏الإسلامية، في عهد النبي محمد ‏صلى الله عليه وسلم‏ لهؤلاء اللاجئين الأوائل الذين هاجروا من مكة إلى المدينة المنورة ‏تاركين وراءهم كل ممتلكاتهم؟ هذا من شأنه أن يجعل القصة ذات نقيض مناسب لهذه الأحداث المخزية ‏في الوقت الحاضر، ولكنها لن تناسب السرد الكاذب بأن الغرب يقوم بإنقاذ الإنسانية‎.‎ في الواقع، هناك خلل في مقالة هيرمان فهي تدعي بأن اللاجئين لا يريدون أن يعيشوا في "بلد غير ‏حر مثل المملكة العربية السعودية... لأنهم يتعطشون للحرية"، ولكن الحقيقة هي أن كذبة "الحرية" هي ‏التي أدت إلى هذه الكارثة وجميع الكوارث التي سبقت ذلك. في "مسيرة الحرية العربية من مكة إلى ‏دمشق" التي وصفها ضابط الجيش البريطاني تي إي لورانس قبل قرن من الزمان خلال "الثورة ‏العربية" ضد الخلافة العثمانية ما زالت تدور، وقد أدت هذه "المسيرة للحرية" إلى ترسيخ الدول ‏الاستبدادية والاعتداءات العسكرية الغربية التي جلبت الكثير من الألم والأذى للمسلمين. إن التصاميم ‏الأمريكية الأوروبية للحرية العربية، بكل الوسائل النزيهة والملتوية، قد عنيت فقط بالحفاظ على الوضع ‏الراهن وتأجيل العودة الحتمية للإسلام والخلافة الإسلامية الراشدة للبشرية، التي تعد بالحكم بالحق ‏والعدل والتي في الوقت الراهن تكمن ضحية في مذبحة الحرية الكاذبة‎.‎       كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريرد. عبد الله روبن  

0:00 0:00
Speed:
September 17, 2015

"لقد أخذوا يهودنا وأعطونا العرب"- ألمانيا واللاجئون السوريون ‏(مترجم)‏

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon