ليست مشكلة التعليم في امتحان الانتقال من التعليم الأساسي إلى المتوسط وإنما في نظام التعليم العلماني نفسه (مترجم)
ليست مشكلة التعليم في امتحان الانتقال من التعليم الأساسي إلى المتوسط وإنما في نظام التعليم العلماني نفسه (مترجم)

الخبر:   قال الرئيس رجب طيب أردوغان: "لم أعد أرغب في امتحان الانتقال من مرحلة التعليم الابتدائي إلى التعليم الثانوي، وأجده أمرا خاطئا، لا بد وأن يتم إلغاؤه. فهل وصلنا إلى هذه الدرجة مع (TEOG)؟ في زماننا لم يكن هناك أي (TEOG). تذهب إلى المدرسة، وتحصيلك الدراسي يُعرف خلال العام الدراسي وتحقق تقدما بناء على هذه الدرجات. وعندما تصل إلى المستوى الجامعي، فإنك تخضع للامتحان الوطني لدخول الجامعة. ومن ثَم تسجل في العلوم الاجتماعية أو العلمية للجامعة وفقا لمستوى نجاحك". (وكالات)

0:00 0:00
Speed:
September 20, 2017

ليست مشكلة التعليم في امتحان الانتقال من التعليم الأساسي إلى المتوسط وإنما في نظام التعليم العلماني نفسه (مترجم)

ليست مشكلة التعليم في امتحان الانتقال من التعليم الأساسي إلى المتوسط

وإنما في نظام التعليم العلماني نفسه

(مترجم)

الخبر:

قال الرئيس رجب طيب أردوغان: "لم أعد أرغب في امتحان الانتقال من مرحلة التعليم الابتدائي إلى التعليم الثانوي، وأجده أمرا خاطئا، لا بد وأن يتم إلغاؤه. فهل وصلنا إلى هذه الدرجة مع (TEOG)؟ في زماننا لم يكن هناك أي (TEOG). تذهب إلى المدرسة، وتحصيلك الدراسي يُعرف خلال العام الدراسي وتحقق تقدما بناء على هذه الدرجات. وعندما تصل إلى المستوى الجامعي، فإنك تخضع للامتحان الوطني لدخول الجامعة. ومن ثَم تسجل في العلوم الاجتماعية أو العلمية للجامعة وفقا لمستوى نجاحك". (وكالات)

التعليق:

لعل أحد المجالات الأكثر إشكالية منذ إنشاء الجمهورية هو مجال التعليم والتدريب. وعلى مدى السنوات الـ15 الماضية، أدخلت حكومة حزب العدالة والتنمية في مرات عديدة تغييرات على التعليم والتدريب، ولكن شيئا لم يتغير. فالتغييرات في برامج التعليم، ومدة التعليم، وحتى التغييرات في المناهج الدراسية فشلت جميعها في تحقيق النجاح المنشود، وكل منحى من قطاعات المجتمع يوافق على أن هناك فشلا في التعليم والتدريب. وضع بيان الرئيس هذه المسألة على جدول الأعمال مرة أخرى، فمتى سيلغى امتحان (تيوغ)؟ وما هو نظام الامتحانات الذي سيحل محله إن أُلغي؟ وهل ستنتهي المشكلة مع إنهائه؟ مثل هذه الأسئلة طرحت، وبُحث لها عن إجابات.

ومن المفارقات التي تستحق الذكر هي أن نظام الامتحانات هذا أُدخل كحل خلال فترات الرئيس الذي يطالب اليوم بإزالته! ولا يزال النظام الذي يتعين اتباعه مبهما، ومع ذلك، فمن الواضح أن أي تغيير سينتهي بالفشل، ما لم يحدث تغيير جوهري.

والسؤال المطروح، هل (تيوغ) هو المشكلة الوحيدة في التعليم؟ للأسف، لا يمكننا أن نقول نعم! فمعظم الطلاب الذين اجتازوا امتحانات القبول الأخيرة في الجامعات لم يتمكنوا من الالتحاق في أية جامعة. 322,000 من الذين اجتازوا الامتحانات، لم يفضلوا أيا من الحصص الإضافية للقبول التي تقدمها الجامعات. وقد تم إنشاء كليات وفروع كليات جامعية مكلفة للغاية، مع محاضر واحد فقط، في بيئة فيها ليس فقط المدققون، بل أيضا الفاحصون من (وزارة التربية والتعليم ومجلس التعليم العالي) لا فكرة لديهم عمن يعطونه الأولوية. وقد أدت المواقف الشعبوية والاستثمارات ذات الدوافع السياسية إلى زيادة عدد المباني والشهادات، لكنها فشلت في إنتاج الأشخاص ذوي الكفاءات. وفي نهاية المطاف، فإن أعلى عدد من بين مئات آلاف العاطلين عن العمل هو من خريجي الجامعات!

وطالما أن نظام التعليم والتدريب يقوم على المبادئ الديمقراطية العلمانية، فإن مشاكل الملايين من الطلاب ستبقى قائمة. ومن دون نظام تعليم إسلامي، لن يكون هناك قرار أو تعديل، أو امتحان مبتكر، ولا حتى فصول دراسية مفتوحة، أو الكليات وتخصصات جامعية فرعية، ولا حوافز ومنح دراسية قادرة على إنتاج أجيال تحمل شخصيات إسلامية؛ ذلك لأن نظام التعليم اليوم ليس نظاما تعليميا إسلاميا. وكل هذه المشاكل لن تحل إلا من خلال تطبيق النظام الذي وصفه رسول الله rعندما قال r: «وَإِنَّمَا بُعِثْتُ مُعَلِّمًا» (رواه ابن ماجه)

إن هذه المفاهيم والتطبيقات المستوردة من الغرب ليست الحل ولكنها سبب المشكلة. وكما هو الحال في جميع مجالات الحياة، يقدم الإسلام أيضا في التعليم والتدريب حلولا عظيمة تؤدي إلى تنمية المجتمع. ففي ظل هذا النظام التعليمي الذي يؤسس العقيدة الإسلامية ويبني نظام الحياة، النظام الذي قدم للعالم العلم القائم على المعرفة التجريبية، أصبح المسلمون أكثر الأمم تقدما وريادة في هذا العالم لقرون عديدة. ورسول الله rهو أفضل المعلمين. ففي دار الأرقم، بنى رسول الله rأرقى الشخصيات في العالم، صحابته رضي الله عنهم جميعا، وذلك من خلال تثقيفهم بنظم الإسلام التي أنزلت إليه r. ولم تشهد البشرية شخصيات مثل تلك الثلة، لا من قبل ولا من بعد. وقامت الأجيال اللاحقة على المبادئ ذاتها، فكانت المحصلة دوما أمة من أفضل الأمم. وأصبح أطفالهم وشبابهم من العلماء والمفكرين والباحثين والفيزيائيين والكيميائيين وعلماء الرياضيات والمهندسين والمعماريين والسياسيين... وحدها الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، التي ستطبق مثل هذا النظام التعليمي.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

موسى باي أوغلو

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon