مع الحديث الشريف - أقطع النبيُّ صلى الله عليه وسلم الزبيرَ أرضاً
November 24, 2015

مع الحديث الشريف - أقطع النبيُّ صلى الله عليه وسلم الزبيرَ أرضاً

 مع الحديث الشريف 

أقطع النبيُّ صلى الله عليه وسلم الزبيرَ أرضاً

نحييكم جميعا أيها الأحبة في كل مكان، في حلقة جديدة من برنامجكم "مع الحديث الشريف" ونبدأ بخير تحية، فالسلام عليكم ورحمة الله وبركاته
أقطع النبيُّ صلى الله عليه وسلم الزبيرَ أرضاً


روى البخاري في صحيحه قال: حَدَّثَنَا مَحْمُودُ بْنُ غَيْلَانَ حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ حَدَّثَنَا هِشَامٌ قَالَ: أَخْبَرَنِي أَبِي عَنْ أَسْمَاءَ بِنْتِ أَبِي بَكْرٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَتْ: كُنْتُ أَنْقُلُ النَّوَى مِنْ أَرْضِ الزُّبَيْرِ الَّتِي أَقْطَعَهُ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ عَلَى رَأْسِي وَهِيَ مِنِّي عَلَى ثُلُثَيْ فَرْسَخٍ


وَقَالَ أَبُو ضَمْرَةَ عَنْ هِشَامٍ عَنْ أَبِيهِ أَنَّ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أَقْطَعَ الزُّبَيْرَ أَرْضًا مِنْ أَمْوَالِ بَنِي النَّضِيرِ.


جاء في كتاب فتح الباري لابن حجر:


حَدِيث أَسْمَاء بِنْت أَبِي بَكْر


"كُنْت أَنْقُل النَّوَى مِنْ أَرْض الزُّبَيْر"


قَوْله "وَقَالَ أَبُو ضَمْرَة" هُوَ أَنَس بْن عِيَاض،


(وَهِشَام) هُوَ اِبْن عُرْوَة بْن الزُّبَيْر، وَالْغَرَض بِهَذَا التَّعْلِيق بَيَان فَائِدَتَيْنِ: إِحْدَاهُمَا أَنَّ أَبَا ضَمْرَة خَالَفَ أَبَا أُسَامَة فِي وَصْله فَأَرْسَلَهُ، ثَانِيَتهمَا أَنَّ فِي رِوَايَة أَبِي ضَمْرَة تَعْيِين الْأَرْض الْمَذْكُورَة وَأَنَّهَا كَانَتْ مِمَّا أَفَاءَ اللَّه عَلَى رَسُوله مِنْ أَمْوَال بَنِي النَّضِير فَأَقْطَعَ الزُّبَيْر مِنْهَا، وَبِذَلِكَ يَرْتَفِع اِسْتِشْكَال الْخَطَّابِيِّ حَيْثُ قَالَ: لَا أَدْرِي كَيْفَ أَقْطَعَ النَّبِيّ صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أَرْض الْمَدِينَة وَأَهْلهَا قَدْ أَسْلَمُوا رَاغِبِينَ فِي الدِّين، إِلَّا أَنْ يَكُون الْمُرَاد مَا وَقَعَ مِنْ الْأَنْصَار أَنَّهُمْ جَعَلُوا لِلنَّبِيِّ صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ مَا لَا يَبْلُغهُ الْمَأْمَن مِنْ أَرْضهمْ، فَأَقْطَعَ النَّبِيّ صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ مَنْ شَاءَ مِنْهُ.

 
ما قامت الدول إلا لرعاية شؤون الجماعة الإنسانية كجماعة تعيش في مجتمع معين وكأفراد يعيشون في ذلك المجتمع .... ويقاس نجاح الدولة بقدرتها على رعاية مصالح الرعية وتوفير الأمن والأمان لهم ... ولا يشعر الفرد بالأمان إلا إن توفرت له مصادر الدخل التي تمكنه من تحصيل معيشته والارتقاء بها قدر المستطاع


وها هو رسولنا الكريم كأول رئيس لدولة الإسلام يضرب لنا المثل في كيفية رعاية مصالح الناس وتمكينهم من تحصيل معيشتهم .... فعندما جاء صلى الله عليه وسلم إلى المدينة وأقام الدولة جاء معه الكثير من المهاجرين من قريش وغير قريش ... تاركين وراءهم أموالهم وممتلكاتهم متوجهين إلى الله تعالى راغبين فيما عنده زاهدين بالدنيا وما فيها .... لكن الحياة لها متطلباتها التي لا غنى للإنسان عنها, ومهما كان الإنسان زاهداً في الحياة فإنه لا يستطيع أن يستغني عن الحاجات الأساسية فيها وهي المأكل والملبس والمسكن .... فكان أن آخى الرسول بين المهاجرين والأنصار ليمكن المهاجرين من تحصيل حاجاتهم الأساسية .... وخصص ركناً في المسجد  لإيواء من ليس له مكان للإقامة .... وحث على الصدقة, كل هذا لأن الدولة لم يكن لها مصادر كافية لكفاية الفقراء جميعاً وتمكينهم من أسباب العيش فضلا عن رفاهيته


أما وقد أجلي بنو النضير وصارت أرضهم للدولة فقد بدأ الرسول يعالج مشكلة التوازن في مجتمع المدينة ... حيث الأنصار يملكون الأرض ومصادر العيش بينما لا يملك المهاجرون سوى جهدهم .... هنا رأينا الرسول صلى الله عليه وسلم يوزع أرض خيبر على المهاجرين دون الأنصار ... سوى اثنين  من الأنصار اشتكيا فقراً ... امتثالاً لقوله تعالى: "مَا أَفَاءَ اللَّهُ عَلَى رَسُولِهِ مِنْ أَهْلِ الْقُرَى فَلِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ وَلِذِي الْقُرْبَى وَالْيَتَامَى وَالْمَسَاكِينِ وَابْنِ السَّبِيلِ كَيْ لَا يَكُونَ دُولَةً بَيْنَ الْأَغْنِيَاءِ مِنْكُمْ".ونأخذ من عمله صلى الله عليه وسلم هذا


أن على الدولة أن توفر الحاجات الأساسية للأفراد توفيراً دائمياً وليس مؤقتاً وذلك بتمكينهم من تملك مصادر الثروة ...


أن على الدولة أن تعطي من قصرت بهم الحاجة من أموالها المنقولة وغير المنقولة لتحقيق التوازن في المجتمع ومنع حصر الثروة في فئة دون باقي أفراد المجتمع


لا تعالج الدولة الاختلال في التوازن الاقتصادي في المجتمع بفرض الضرائب أو بإعطاء الناس الأموال التي مصدرها أموال المسلمين لأن هذا ليس فرضاً على المسلمين وإنما هو فرض على الدولة لذا فإنها  تقتصر على الإعطاء من أموالها ... فإن لم يكن عندها أموال فتنتظر إلى أن يصبح لديها من الأموال ما يمكنها من ذلك
على الدولة أن تعالج مشكلة اختلال التوازن الاقتصادي في المجتمع كلما حدثت  بغض النظر عن الأسباب التي أوجدت تلك المشكلة ....

 
قريباً بإذن الله تعود دولة الاسلام وستواجهها هذه المشكلة ....لكنها لن تقف مكتوفة الأيدي مشدوهة, كيف لا وبين يديها كتاب الله وسنة رسوله وإرثها الفقهي ....

وستبادر بمعالجة هذه المشكلة حال تمكنها منها دون تأخير ولا تسويف .... فالبلاد الاسلامية تئن تحت وطأة النظام الاقتصادي الرأسمالي ... الذي أفقر أهلها وملَّك شرذمة قليلة من أشباه البشر أرضها وأموالها .... والأمة اليوم تنتظر يوم خلاصها على أحر من الجمر .... اليوم الذي تعود فيه دولتها لتطبق شرع ربها, فتعيد لها حقوقها وتقتص لها ممن سرقها وظلمها وقهرها .... إنه يوم الهدم والبناء وإعادة التوازن إلى المجتمع المسلم من جديد .... أعان الله خليفتنا القادم على ما ينتظره من تحديات وألهمه السداد والصواب ... وجزاه عنا خير الجزاء

احبتنا الكرام، وإلى حين أن نلقاكم مع حديث نبوي آخر، نترككم في رعاية الله، والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.

More from Sheria

Pamoja na Hadithi Tukufu - Je, mnajua ni nani mfilisi?

Pamoja na Hadithi Tukufu

Je, mnajua ni nani mfilisi?

Karibuni wasikilizaji wetu wapendwa, wasikilizaji wa redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir. Tunakutana nanyi tena na kipindi chetu pamoja na Hadithi Tukufu, na bora tuanzie nayo kipindi chetu ni salamu ya Kiislamu, basi Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imekuja katika Musnad Ahmad - sehemu iliyobaki ya Musnad ya Al-Mukthirin - Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga na swala na zaka, na anakuja hali amemtukana huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu 

  Ametuhadithia Abdurrahman kutoka Zuhair kutoka Al-Alaa kutoka kwa baba yake kutoka kwa Abu Hurairah kutoka kwa Mtume, swallallahu alayhi wasallam, amesema: "Je, mnajua ni nani mfilisi?" Wakasema: Mfilisi kwetu, ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa. Akasema: "Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga, swala na zaka, na anakuja hali amemtukana heshima ya huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu, basi anakaa, na huyu analipwa kutokana na mema yake, na huyu kutokana na mema yake, na yakimalizika mema yake kabla ya kulipa madeni yake ya makosa, huchukuliwa kutoka katika makosa yao na kuwekwa juu yake, kisha anatupwa motoni."

Hakika hadithi hii, kama zilivyo hadithi zingine muhimu, ni lazima ieleweke maana yake na itambulike. Kwa sababu kuna watu ambao ni mafilisi licha ya swala zao, funga zao na zaka zao, kwani huyu alimtukana huyu, akamsingizia huyu, akala mali ya huyu, akamwaga damu ya huyu, na akampiga huyu  

Na ufilisi wake ni kwamba huchukuliwa kutoka kwa mema yake ambayo ni mtaji wake na hupewa huyu na hulipa kwa huyu thamani ya kumsingizia, kumtukana na kumpiga, na baada ya mema yake kwisha kabla ya kulipa madeni yake, huchukuliwa kutoka kwa makosa yao na kuwekwa juu yake kisha anatupwa motoni. 

Na alipowauliza Mtume, rehema na amani zimshukie, masahaba zake, je, mnajua ni nani mfilisi? Maana ya je, mnajua ni kutoka katika kujua na kujua ni elimu ya mambo ya ndani, je, mnajua, yaani mnajua nani hasa mfilisi? Hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Ali, Mwenyezi Mungu aukurimishe uso wake: "Utajiri na umaskini ni baada ya kuonyeshwa kwa Mwenyezi Mungu." Walipoulizwa swali hili, walijibu jibu kutokana na uzoefu wao, mfilisi kwetu ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa, huyu ndiye mfilisi kwa mtazamo wa masahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, basi akasema, rehema na amani zimshukie: Hapana,... AKASEMA: HAKIKA MFILISI KATIKA UMMATI WANGU NI YULE ANAYEKUJA SIKU YA KIYAMA NA FUNGA, SWALA NA ZAKA... 

Na hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Umar: Anayetaka afunge na anayetaka aswali lakini ni uadilifu, kwa sababu swala, funga, hijja na zaka hizi ni ibada ambazo mtu anaweza kuzifanya na katika nafsi yake kuna ikhlasi kwa ajili yake, na anaweza kuzifanya kwa unafiki, lakini kitovu cha uzito ni kujidhibiti kwa amri ya Mwenyezi Mungu 

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuthibitishe juu ya haki, na atufanye miongoni mwa waja wake wachaMungu, na atubadilishie maovu yetu kuwa mema, na asituhuzunishe siku ya kuonyeshwa Kwake, Ee Mwenyezi Mungu, Amina 

Wasikilizaji wetu wapendwa, na mpaka tukutane nanyi na hadithi nyingine ya Mtume, tunawaachia amana kwa Mwenyezi Mungu ambaye haipotezi amana zake, na Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh 

Nimeiandika kwa ajili ya redio 

Afraa Turab

Pamoja na Hadithi Tukufu - Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Pamoja na Hadithi Tukufu

Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Tunawasalimu nyote wapenzi mahali popote mlipo, katika kipindi kipya cha programu yenu "Pamoja na Hadithi Tukufu" na tunaanza na salamu bora, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imepokewa kutoka kwa Buraida Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume ﷺ amesema: “Usimwite mnafiki bwana, kwa sababu ikiwa yeye ni bwana, basi mmemkasirisha Mola wenu Mlezi.” Imepokewa na Abu Daud kwa isnadi sahihi.

Enyi wasikilizaji wapenzi

Hakika maneno bora ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na uongofu bora ni uongofu wa Nabii wake Muhammad bin Abdullah, rehma na amani zimshukie, Ama baada ya hayo, 

Hakika hadithi hii tukufu inatuongoza jinsi ya kushughulika na wanafiki tunaowajua, kwani Mtume ﷺ alikuwa ndiye pekee anayewajua wanafiki wote kwa majina yao, lakini tunaweza kuwajua baadhi yao kutokana na sifa zao, kama wale ambao Qur'ani imewaelekeza kuwa wanafanya faradhi kwa uvivu na kwa kulazimishwa, na kama wale wanaowafanyia vitimbi Uislamu na Waislamu, wanahamasisha fitina, wanafanya uharibifu katika ardhi, wanapenda uovu uenee kwa kuualika, kuutetea na kuuchunga, na kama wale wanaosema uongo juu ya Uislamu na Waislamu ... na wengineo walio na sifa za unafiki. 

Kwa hivyo, lazima tutambue kile ambacho sheria imeona ni kizuri na kile ilichoona ni kibaya, ili tumjue mnafiki kutoka kwa mkweli, na tuchukue hatua inayofaa dhidi yake. Hatupaswi kuamini upande wa mtu ambaye anafanya kinyume na sheria na anaonekana kuwa anafanya anachokifanya kwa sababu ya bidii yake kwa Uislamu na Waislamu, na hatupaswi kumfuata au kumunga mkono, au hata chini ya hapo kwa kumuelezea kama bwana, vinginevyo Mwenyezi Mungu atatukasirikia.

Sisi Waislamu lazima tuwe watu wenye bidii zaidi kwa Uislamu na Waislamu, na tusimruhusu mnafiki yeyote kuingilia dini yetu na familia zetu, kwani wao ndio hatari zaidi tunayoweza kukumbana nayo siku hizi kwa sababu ya wingi wao na nyuso zao nyingi. Lazima tukumbuke mizani ya kisheria ya kupima matendo ya anayedai Uislamu, kwani Uislamu kwetu ni kinga dhidi ya watu hawa waovu. 

Tunamuomba Mungu aulinde umma wetu kutokana na wahalifu kama hao, na atuongoze kwenye njia iliyonyooka na mizani sahihi ambayo tunapima tabia za watu nayo, ili tujiepushe na wale ambao hawapendwi na Mungu, Aamin. 

Wapenzi wetu, na hadi tutakapokutana nanyi na hadithi nyingine ya kinabii, tunawaacha katika uangalizi wa Mungu, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imeandikwa kwa ajili ya redio na: Dkt. Maher Saleh