مع الحديث الشريف - باب النهي عن ضرب الحيوان في وجهه ووسمه فيه
مع الحديث الشريف - باب النهي عن ضرب الحيوان في وجهه ووسمه فيه

نحييكم جميعا أيها الأحبة في كل مكان، في حلقة جديدة من برنامجكم "مع الحديث الشريف" ونبدأ بخير تحية، فالسلام عليكم ورحمة الله وبركاته. ...

0:00 0:00
Speed:
February 17, 2025

مع الحديث الشريف - باب النهي عن ضرب الحيوان في وجهه ووسمه فيه

مع الحديث الشريف

باب النهي عن ضرب الحيوان في وجهه ووسمه فيه


نحييكم جميعا أيها الأحبة في كل مكان، في حلقة جديدة من برنامجكم "مع الحديث الشريف" ونبدأ بخير تحية، فالسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.                                                       

جاء في صحيح الإمام مسلم في شرح النووي "بتصرف" في "باب النهي عن ضرب الحيوان في وجهه ووسمه فيه".

حدثني سلمة بن شبيب حدثنا الحسن بن أعين حدثنا معقل عن أبي الزبير عن جابر، أن النبي صلى الله عليه وسلم مر عليه حمار قد وسم في وجهه فقال: "لعن الله الذي وسمه" 

أيها الأحبّة الكرام:

اللعنة على من يسم الحيوان في وجهه، هذا ما علمنا إياه رسولنا الكريم- صلى الله عليه وسلم-، هذا هو ديننا العظيم، ولكن المجتمع الذي تعيشون فيه اليوم، مجتمع ظالم بكل ما في الكلمة من معنى، بل والله إن لفظة ظالم لا تفي بالغرض ولا تُعبّر عن واقع الرأسمالية العفن، ذي الرائحة النتنة، فقد ظهر لنا وبكل وضوح أن هذا النظام الرأسمالي وبشكل قاطع، أنه لا يقيم وزنا للحياة، لا لحياة الحيوان ولا لحياة الإنسان، لا لحياة البشر ولا لحياة البقر، يتعامل مع الأرواح التي خلقها رب العزة والجبروت وكأنها حجر، فلا وزن لها على الإطلاق، وإن ادعى غير ذلك، وإن ادعى أنه يتعامل مع الحيوان برفق، وإن أنشأ جمعيات أسماها "جمعيات الرفق بالحيوان"، وكم كان كذوبا عندما صور لنا مشهدا لقطة لا تستطيع النزول عن الشجرة، وهو يعمل بكل ما لديه من خبرة ومعدات وأجهزة لإنزالها، أو حوتٍ خرج من البحر محاولا الانتحار وهو يحاول إعادته إلى الماء، وكم كان كذوبا وهو يستدعي عدسات التلفزة والإعلام للتكلم عن الطائرات التي قامت بنقل بعض الحيوانات التي أوشكت على الموت بسبب الظروف المعيشية؟ وكم وكم؟!!

أيها المسلمون:

إن كذب الغرب على الناس في هذا الادعاء يشبه تماما كذبه على الناس في ادعائه الديمقراطية أو الحرية، ويشبه كذبه في ادعائه السعادة التي يعيشها، ويشبه الكذب في ادعاء العدالة الاجتماعية، ويشبه الكذب في ادعاء حقوق الإنسان، أو الحقوق الآدمية، ويشبه الكذب في كل أمر من أمور الحياة عنده.

إن هذا الواقع الذي يحاول الغرب إقناعنا فيه يكذبه الواقع نفسه، فعندنا من الصور الحقيقية التي تُظهر حقيقة تعامل الغرب مع الحيوان ما يندى لها الجبين، كيف لا وقد شاهدنا مشهدا لأحدهم ممّن أعمى الله قلبه، وهو يقوم "بخلع" جلود بعض الحيوانات وهي على قيد الحياة؟ بحجة أن هذا الجلد ثمنه أغلى، فالخلايا فيه لم تمت بعد. كيف لا وقد وصل الأمر مع بعض هؤلاء أن يقوم بوضع قصبة موصولة بجهاز في فم بطة، ليطعمها حتى الموت؟ بحجة أنها بعد انتفاخها يتغيّر لونها ويصبح لحمها أشهى وأغلى، وتُقدم لطبقة معينة من الأغنياء.

أيها المسلمون:

لو كان الغرب صادقا فيما يدعيه من رفق بالحيوان، لفزع يرفق بالآلاف ممّن يموت جوعا وقتلا على يديه كل يوم، فالإنسان أغلى من الحيوان. ولو كان الغرب صادقا فيما يدعيه لما وجدنا أبناءه يفتشون في حاويات الزبالة عن كسرة خبز أمام ناطحات السحاب والفنادق. ولما وجدناهم ينامون على الأرصفة، وهذا الأمر لم يعد غريبا على أهل هذا المجتمع، فقد ألفوا هذا الواقع، وأصبحوا يتقبلوه، حتى وصل بهم الأمر، أن لا يسألوا عن بعضهم بعضها، رأينا هذا في رجل عاجز يريد قطع أحد الشوارع فقضى نصف نهاره يطلب من يساعده ولم يجد، رأينا هذا في امرأة سقطت على الأرض أمام عيادة الطبيب والطابور من الجالسين يتفرج عليها دون أن يُكلف أحدهم نفسه– لا ليعطيها دوره-؛ بل ليرفعها عن الأرض؛ بل وصل الأمر بعدم الرفق فيما بينهم، أن لا يدري الرجل بموت جاره الذي يقابله في الباب إلا عندما يشم رائحته النتنة.

أيها المسلمون:

هذا هو شرع البشر، شرع الرأسمالية التي استسلمتم ورضيتم بها، وهذا حبيبكم محمد– صلى الله عليه وسلم- يذكركم بعد هذه القرون الأربعة عشر، أنه لعن من يسم الحمار في وجهه، أي من جعل علامة للحمار في وجهه؛ بل لقد لام من يحمل عليه فوق طاقته، وهناك من الأحاديث والأفعال التي قام بها بنفسه – صلى الله عليه وسلم - ما يغني في هذا الباب، ويبين كيف نظر الإسلام إلى الحيوان، فضلا عن الإنسان.

أيها المسلمون:

إذا كان هذا تعامل الغرب الكافر مع الحيوان، وإذا كان هذا تعامل الغرب الكافر مع نفسه، فبالله عليكم هل تنتظرون منه معاملة لكم خيرا؟ يا من تجالسون أمريكا وأوروبا، هلا صدقتم هذه الحقائق؟ هلا عدتم إلى رشدكم وعملتم مع العاملين العالمين بطريقة تغيير الواقع، وإعادة الإسلام إلى الحياة من جديد عن طريق إقامة دولة الإسلام التي ستطبق الحق في ربوع المسلمين، فترفق بالرعية، وبغيرها كما رفق بها عمر بن الخطاب – رضي الله عنه - والله لو أن دابة عثرت بأرض العراق لخشيت أن يسألني الله عنها يوم القيامة: لماذا لم تسوِ لها الطريق يا عمر؟ يا من توادون الغرب وتجالسونه، اتقوا الله في هذه الأمة، وابتعدوا عن مداومة الاتصال بأساطينه ومخابراته، "يا أيها الذين آمنوا لا تخونوا الله والرسول وتخونوا أماناتكم وأنتم تعلمون".

أحبّتنا الكرام، وإلى حين أن نلقاكم مع حديث نبوي آخر، نترككم في رعاية الله، والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته.

كتبه للإذاعة: أبو مريم

More from Sheria

Pamoja na Hadithi Tukufu - Je, mnajua ni nani mfilisi?

Pamoja na Hadithi Tukufu

Je, mnajua ni nani mfilisi?

Karibuni wasikilizaji wetu wapendwa, wasikilizaji wa redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir. Tunakutana nanyi tena na kipindi chetu pamoja na Hadithi Tukufu, na bora tuanzie nayo kipindi chetu ni salamu ya Kiislamu, basi Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imekuja katika Musnad Ahmad - sehemu iliyobaki ya Musnad ya Al-Mukthirin - Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga na swala na zaka, na anakuja hali amemtukana huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu 

  Ametuhadithia Abdurrahman kutoka Zuhair kutoka Al-Alaa kutoka kwa baba yake kutoka kwa Abu Hurairah kutoka kwa Mtume, swallallahu alayhi wasallam, amesema: "Je, mnajua ni nani mfilisi?" Wakasema: Mfilisi kwetu, ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa. Akasema: "Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga, swala na zaka, na anakuja hali amemtukana heshima ya huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu, basi anakaa, na huyu analipwa kutokana na mema yake, na huyu kutokana na mema yake, na yakimalizika mema yake kabla ya kulipa madeni yake ya makosa, huchukuliwa kutoka katika makosa yao na kuwekwa juu yake, kisha anatupwa motoni."

Hakika hadithi hii, kama zilivyo hadithi zingine muhimu, ni lazima ieleweke maana yake na itambulike. Kwa sababu kuna watu ambao ni mafilisi licha ya swala zao, funga zao na zaka zao, kwani huyu alimtukana huyu, akamsingizia huyu, akala mali ya huyu, akamwaga damu ya huyu, na akampiga huyu  

Na ufilisi wake ni kwamba huchukuliwa kutoka kwa mema yake ambayo ni mtaji wake na hupewa huyu na hulipa kwa huyu thamani ya kumsingizia, kumtukana na kumpiga, na baada ya mema yake kwisha kabla ya kulipa madeni yake, huchukuliwa kutoka kwa makosa yao na kuwekwa juu yake kisha anatupwa motoni. 

Na alipowauliza Mtume, rehema na amani zimshukie, masahaba zake, je, mnajua ni nani mfilisi? Maana ya je, mnajua ni kutoka katika kujua na kujua ni elimu ya mambo ya ndani, je, mnajua, yaani mnajua nani hasa mfilisi? Hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Ali, Mwenyezi Mungu aukurimishe uso wake: "Utajiri na umaskini ni baada ya kuonyeshwa kwa Mwenyezi Mungu." Walipoulizwa swali hili, walijibu jibu kutokana na uzoefu wao, mfilisi kwetu ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa, huyu ndiye mfilisi kwa mtazamo wa masahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, basi akasema, rehema na amani zimshukie: Hapana,... AKASEMA: HAKIKA MFILISI KATIKA UMMATI WANGU NI YULE ANAYEKUJA SIKU YA KIYAMA NA FUNGA, SWALA NA ZAKA... 

Na hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Umar: Anayetaka afunge na anayetaka aswali lakini ni uadilifu, kwa sababu swala, funga, hijja na zaka hizi ni ibada ambazo mtu anaweza kuzifanya na katika nafsi yake kuna ikhlasi kwa ajili yake, na anaweza kuzifanya kwa unafiki, lakini kitovu cha uzito ni kujidhibiti kwa amri ya Mwenyezi Mungu 

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuthibitishe juu ya haki, na atufanye miongoni mwa waja wake wachaMungu, na atubadilishie maovu yetu kuwa mema, na asituhuzunishe siku ya kuonyeshwa Kwake, Ee Mwenyezi Mungu, Amina 

Wasikilizaji wetu wapendwa, na mpaka tukutane nanyi na hadithi nyingine ya Mtume, tunawaachia amana kwa Mwenyezi Mungu ambaye haipotezi amana zake, na Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh 

Nimeiandika kwa ajili ya redio 

Afraa Turab

Pamoja na Hadithi Tukufu - Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Pamoja na Hadithi Tukufu

Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Tunawasalimu nyote wapenzi mahali popote mlipo, katika kipindi kipya cha programu yenu "Pamoja na Hadithi Tukufu" na tunaanza na salamu bora, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imepokewa kutoka kwa Buraida Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume ﷺ amesema: “Usimwite mnafiki bwana, kwa sababu ikiwa yeye ni bwana, basi mmemkasirisha Mola wenu Mlezi.” Imepokewa na Abu Daud kwa isnadi sahihi.

Enyi wasikilizaji wapenzi

Hakika maneno bora ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na uongofu bora ni uongofu wa Nabii wake Muhammad bin Abdullah, rehma na amani zimshukie, Ama baada ya hayo, 

Hakika hadithi hii tukufu inatuongoza jinsi ya kushughulika na wanafiki tunaowajua, kwani Mtume ﷺ alikuwa ndiye pekee anayewajua wanafiki wote kwa majina yao, lakini tunaweza kuwajua baadhi yao kutokana na sifa zao, kama wale ambao Qur'ani imewaelekeza kuwa wanafanya faradhi kwa uvivu na kwa kulazimishwa, na kama wale wanaowafanyia vitimbi Uislamu na Waislamu, wanahamasisha fitina, wanafanya uharibifu katika ardhi, wanapenda uovu uenee kwa kuualika, kuutetea na kuuchunga, na kama wale wanaosema uongo juu ya Uislamu na Waislamu ... na wengineo walio na sifa za unafiki. 

Kwa hivyo, lazima tutambue kile ambacho sheria imeona ni kizuri na kile ilichoona ni kibaya, ili tumjue mnafiki kutoka kwa mkweli, na tuchukue hatua inayofaa dhidi yake. Hatupaswi kuamini upande wa mtu ambaye anafanya kinyume na sheria na anaonekana kuwa anafanya anachokifanya kwa sababu ya bidii yake kwa Uislamu na Waislamu, na hatupaswi kumfuata au kumunga mkono, au hata chini ya hapo kwa kumuelezea kama bwana, vinginevyo Mwenyezi Mungu atatukasirikia.

Sisi Waislamu lazima tuwe watu wenye bidii zaidi kwa Uislamu na Waislamu, na tusimruhusu mnafiki yeyote kuingilia dini yetu na familia zetu, kwani wao ndio hatari zaidi tunayoweza kukumbana nayo siku hizi kwa sababu ya wingi wao na nyuso zao nyingi. Lazima tukumbuke mizani ya kisheria ya kupima matendo ya anayedai Uislamu, kwani Uislamu kwetu ni kinga dhidi ya watu hawa waovu. 

Tunamuomba Mungu aulinde umma wetu kutokana na wahalifu kama hao, na atuongoze kwenye njia iliyonyooka na mizani sahihi ambayo tunapima tabia za watu nayo, ili tujiepushe na wale ambao hawapendwi na Mungu, Aamin. 

Wapenzi wetu, na hadi tutakapokutana nanyi na hadithi nyingine ya kinabii, tunawaacha katika uangalizi wa Mungu, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imeandikwa kwa ajili ya redio na: Dkt. Maher Saleh