مع الحديث الشريف - بيت المال
مع الحديث الشريف - بيت المال

حدثنا حاتم بن إسماعيل عن جهضم بن عبد الله عن محمد بن إبراهيم عن محمد بن زيد عن شهر بن حوشب عن أبي سعيد قال: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن شراء الصدقات حتى تقبض.

0:00 0:00
Speed:
December 24, 2015

مع الحديث الشريف - بيت المال

مع الحديث الشريف

بيت المال

نحييكم جميعا أيها الأحبة المستمعون في كل مكان، في حلقة جديدة من برنامجكم "مع الحديث الشريف" ونبدأ بخير تحية، فالسلام عليكم ورحمة الله وبركاته

روى ابن أبي شيبة في مصنفه قال:

حدثنا حاتم بن إسماعيل عن جهضم بن عبد الله عن محمد بن إبراهيم عن محمد بن زيد عن شهر بن حوشب عن أبي سعيد قال: نهى رسول الله صلى الله عليه وسلم عن شراء الصدقات حتى تقبض.

قال:

حتى تقبض: حتى تجمع إلى القائم على بيت مال المسلمين ويدعو الناس إلى شرائها.

مستمعينا الكرام:

 بيت المال هو بمثابة خزينة الدولة .... فيطلق على المكان الذي تحفظ فيه الأموال المستحقة للمسلمين ... كما يطلق على الجهة التي تختص بكل دخل وخرج لما يستحقه المسلمون من مال .....

أما ما هي الأموال المستحقة للمسلمين والتي تحفظ في بيت المال أي واردات بيت المال فهي: 

1- أموال الزكاة وهذه الأموال وإن كانت توضع في بيت المال إلا أنها توضع في حرز خاص بها  ولا تنفق إلا على الأصناف الثمانية الذين ذكروا في القرآن الكريم, ولا يجوز أن ينفق منها على غير هذه الأصناف الثمانية سواء أكان من شؤون الدولة أو من شؤون الأمة

لكن يجوز للإمام (الخليفة) صرفها لمن يشاء من الأصناف الثمانية حسب رأيه واجتهاده ... فمثلاً له أن يعطيها لصنف واحد من الأصناف الثمانية وله أن يعطيها لبعض منهم كما يجوز أن يعطيها لهم جميعاً.

2- واردات الملكية العامة  بأنواعها وهذه الأموال توضع في مكان خاص ولا تخلط مع غيرها من الأموال لأنها ملك لجميع المسلمين .... ويصرفها الخليفة وَفْقَ ما يراه مصلحة للمسلمين حسب رأيه واجتهاده وَفْقَ أحكام الشرع

3-   أموال الدولة: وهي

أ - الفيء والغنائم والأنفال والخراج والجزية

ب - واردات أملاك الدولة

ج - العشور وخمس الركاز

د – مال من لا وارث له

وهذه الأموال أي - أموال الدولة - توضع في بيت المال مع بعضها بعضا وينفق منها على شؤون الدولة وشؤون الأمة وعلى الأصناف الثمانية وعلى كل شيء تراه الدولة فهي أموال ملكيتها للدولة ... تنفقها لرعاية مصالح الرعية وفق أحكام الشرع.

أما نفقات بيت المال:

1-   ما كان بيت المال له حرزاً وهو أموال الزكاة وتنفق على الأصناف الثمانية

2-   أن يكون بيت المال مستحقاً له على وجه الإعالة وعلى وجه القيام بفرض الجهاد والإعالة هي للفقراء والمساكين وابن السبيل

3- أن يكون بيت المال مستحقاً له على وجه البدل, أي أن يكون المال لأشخاص أدوا خدمة فأخذوا بدل هذه الخدمة  كالموظفين والجند والقضاة والمعلمين ....

4- أن يكون مصرفه مستحقاً على وجه المصلحة والإرفاق دون بدل أي أن يكون مصرفه على أشياء دون أن يكون مقابلها أموال تحصل لكن ينال الأمة الضرر من عدم وجودها .... كشق الطرق الضرورية وبناء المساجد والمستشفيات والمدارس وما شاكل ...

5- أن يكون مصرفه مستحقاً على وجه المصلحة والإرفاق دون بدل إلا أنه لا ينال الأمة ضرر من عدم وجوده كشق طرق أو بناء مساجد أو مدارس للتوسعة على المسلمين

6-   أن يكون مصرفه مستحقاً على وجه الضرورة: كحوادث الطوارئ من فيضانات ومجاعات وزلازل وهجوم عدو .....

ومن الجدير ذكره أنه إن لم تف أموال بيت المال بحاجات الرعية فإن الدولة تفرض الضرائب على المسلمين لتقوم بقضاء ما يطلب منها من رعاية....  

ولأن الدولة في الإسلام راعية وليست جابية ... فإن الضرائب تفرض وفق ما فرضه الشرع على المسلمين وليس وفق اجتهاد الدولة .. فكل مصلحة فُرضت نفقتها على المسلمين ولم تف أموال بيت المال لإقامتها فإنه تفرض ضريبة من أجلها كالنفقة على الفقراء والمساكين وابن السبيل وعلى فرض الجهاد والنفقة على الموظفين وأرزاق الجند والإنفاق على المصالح والمرافق التي لا غنى للرعية عنها كشق الطرق واستخراج المياه وبناء المساجد والمدارس والمستشفيات والإدارات والإنفاق على الطوارئ من فيضانات وزلازل ومجاعات وهجوم مفاجئ للأعداء ... وأخيرا لسداد ديون اقترضتها الدولة للقيام بما هو فرض على المسلمين

.... أما المصالح التي ليست فرضاً على المسلمين كسداد دين الميت أو شق طرق إضافية  للتوسعة على الناس مثلاً فإنه لا تفرض من أجلها الضرائب, بل تقوم الدولة به إن كان لديها المال وإلا سقط عنها .

وتكون الضريبة على الأغنياء دون الفقراء . ... وعيارها أن تؤخذ من المسلم الذي لديه مال زائد عن حاجاته الأساسية وحاجاته الكمالية وفق ما هو معروف لمثله ...

هذا هو بيت المال في دولة الإسلام وهذه هي وظيفته باختصار ومنه نرى أن واردات بيت المال ونفقاته إنما عينها الشرع وليس السلطة التنفيذية ولا التشريعية كما في النظام الرأسمالي ... وهي تمكن المسلمين من العيش الرغيد والحياة الكريمة فوق ما يمكن للدولة من القوة التي تعطيها الهيبة والعزة ما يرهب الأعداء ويغري الأفراد بالرغبة في العيش في ظل هذا النظام الفريد ودولته الراعية الحانية التي ترعى الجميع وتحفظ حقوق الجميع فقراء وأغنياء مسلمين وغير مسلمين ما داموا رعايا في دولة الإسلام

مستمعينا الكرام، وإلى حين أن نلقاكم مع حديث نبوي آخر، نترككم في رعاية الله، والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته

More from Sheria

Pamoja na Hadithi Tukufu - Je, mnajua ni nani mfilisi?

Pamoja na Hadithi Tukufu

Je, mnajua ni nani mfilisi?

Karibuni wasikilizaji wetu wapendwa, wasikilizaji wa redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir. Tunakutana nanyi tena na kipindi chetu pamoja na Hadithi Tukufu, na bora tuanzie nayo kipindi chetu ni salamu ya Kiislamu, basi Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imekuja katika Musnad Ahmad - sehemu iliyobaki ya Musnad ya Al-Mukthirin - Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga na swala na zaka, na anakuja hali amemtukana huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu 

  Ametuhadithia Abdurrahman kutoka Zuhair kutoka Al-Alaa kutoka kwa baba yake kutoka kwa Abu Hurairah kutoka kwa Mtume, swallallahu alayhi wasallam, amesema: "Je, mnajua ni nani mfilisi?" Wakasema: Mfilisi kwetu, ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa. Akasema: "Hakika mfilisi katika umma wangu ni yule anayekuja Siku ya Kiyama na funga, swala na zaka, na anakuja hali amemtukana heshima ya huyu, amemsingizia huyu, na amekula mali ya huyu, basi anakaa, na huyu analipwa kutokana na mema yake, na huyu kutokana na mema yake, na yakimalizika mema yake kabla ya kulipa madeni yake ya makosa, huchukuliwa kutoka katika makosa yao na kuwekwa juu yake, kisha anatupwa motoni."

Hakika hadithi hii, kama zilivyo hadithi zingine muhimu, ni lazima ieleweke maana yake na itambulike. Kwa sababu kuna watu ambao ni mafilisi licha ya swala zao, funga zao na zaka zao, kwani huyu alimtukana huyu, akamsingizia huyu, akala mali ya huyu, akamwaga damu ya huyu, na akampiga huyu  

Na ufilisi wake ni kwamba huchukuliwa kutoka kwa mema yake ambayo ni mtaji wake na hupewa huyu na hulipa kwa huyu thamani ya kumsingizia, kumtukana na kumpiga, na baada ya mema yake kwisha kabla ya kulipa madeni yake, huchukuliwa kutoka kwa makosa yao na kuwekwa juu yake kisha anatupwa motoni. 

Na alipowauliza Mtume, rehema na amani zimshukie, masahaba zake, je, mnajua ni nani mfilisi? Maana ya je, mnajua ni kutoka katika kujua na kujua ni elimu ya mambo ya ndani, je, mnajua, yaani mnajua nani hasa mfilisi? Hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Ali, Mwenyezi Mungu aukurimishe uso wake: "Utajiri na umaskini ni baada ya kuonyeshwa kwa Mwenyezi Mungu." Walipoulizwa swali hili, walijibu jibu kutokana na uzoefu wao, mfilisi kwetu ni yule ambaye hana dirham wala bidhaa, huyu ndiye mfilisi kwa mtazamo wa masahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu, basi akasema, rehema na amani zimshukie: Hapana,... AKASEMA: HAKIKA MFILISI KATIKA UMMATI WANGU NI YULE ANAYEKUJA SIKU YA KIYAMA NA FUNGA, SWALA NA ZAKA... 

Na hili linathibitisha kauli ya Sayyidina Umar: Anayetaka afunge na anayetaka aswali lakini ni uadilifu, kwa sababu swala, funga, hijja na zaka hizi ni ibada ambazo mtu anaweza kuzifanya na katika nafsi yake kuna ikhlasi kwa ajili yake, na anaweza kuzifanya kwa unafiki, lakini kitovu cha uzito ni kujidhibiti kwa amri ya Mwenyezi Mungu 

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuthibitishe juu ya haki, na atufanye miongoni mwa waja wake wachaMungu, na atubadilishie maovu yetu kuwa mema, na asituhuzunishe siku ya kuonyeshwa Kwake, Ee Mwenyezi Mungu, Amina 

Wasikilizaji wetu wapendwa, na mpaka tukutane nanyi na hadithi nyingine ya Mtume, tunawaachia amana kwa Mwenyezi Mungu ambaye haipotezi amana zake, na Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh 

Nimeiandika kwa ajili ya redio 

Afraa Turab

Pamoja na Hadithi Tukufu - Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Pamoja na Hadithi Tukufu

Wanafiki na Matendo Yao Maovu

Tunawasalimu nyote wapenzi mahali popote mlipo, katika kipindi kipya cha programu yenu "Pamoja na Hadithi Tukufu" na tunaanza na salamu bora, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imepokewa kutoka kwa Buraida Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume ﷺ amesema: “Usimwite mnafiki bwana, kwa sababu ikiwa yeye ni bwana, basi mmemkasirisha Mola wenu Mlezi.” Imepokewa na Abu Daud kwa isnadi sahihi.

Enyi wasikilizaji wapenzi

Hakika maneno bora ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na uongofu bora ni uongofu wa Nabii wake Muhammad bin Abdullah, rehma na amani zimshukie, Ama baada ya hayo, 

Hakika hadithi hii tukufu inatuongoza jinsi ya kushughulika na wanafiki tunaowajua, kwani Mtume ﷺ alikuwa ndiye pekee anayewajua wanafiki wote kwa majina yao, lakini tunaweza kuwajua baadhi yao kutokana na sifa zao, kama wale ambao Qur'ani imewaelekeza kuwa wanafanya faradhi kwa uvivu na kwa kulazimishwa, na kama wale wanaowafanyia vitimbi Uislamu na Waislamu, wanahamasisha fitina, wanafanya uharibifu katika ardhi, wanapenda uovu uenee kwa kuualika, kuutetea na kuuchunga, na kama wale wanaosema uongo juu ya Uislamu na Waislamu ... na wengineo walio na sifa za unafiki. 

Kwa hivyo, lazima tutambue kile ambacho sheria imeona ni kizuri na kile ilichoona ni kibaya, ili tumjue mnafiki kutoka kwa mkweli, na tuchukue hatua inayofaa dhidi yake. Hatupaswi kuamini upande wa mtu ambaye anafanya kinyume na sheria na anaonekana kuwa anafanya anachokifanya kwa sababu ya bidii yake kwa Uislamu na Waislamu, na hatupaswi kumfuata au kumunga mkono, au hata chini ya hapo kwa kumuelezea kama bwana, vinginevyo Mwenyezi Mungu atatukasirikia.

Sisi Waislamu lazima tuwe watu wenye bidii zaidi kwa Uislamu na Waislamu, na tusimruhusu mnafiki yeyote kuingilia dini yetu na familia zetu, kwani wao ndio hatari zaidi tunayoweza kukumbana nayo siku hizi kwa sababu ya wingi wao na nyuso zao nyingi. Lazima tukumbuke mizani ya kisheria ya kupima matendo ya anayedai Uislamu, kwani Uislamu kwetu ni kinga dhidi ya watu hawa waovu. 

Tunamuomba Mungu aulinde umma wetu kutokana na wahalifu kama hao, na atuongoze kwenye njia iliyonyooka na mizani sahihi ambayo tunapima tabia za watu nayo, ili tujiepushe na wale ambao hawapendwi na Mungu, Aamin. 

Wapenzi wetu, na hadi tutakapokutana nanyi na hadithi nyingine ya kinabii, tunawaacha katika uangalizi wa Mungu, Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh.

Imeandikwa kwa ajili ya redio na: Dkt. Maher Saleh