مع أصدقاء مثل أمريكا، من يحتاج إلى أعداء؟
مع أصدقاء مثل أمريكا، من يحتاج إلى أعداء؟

  الخبر: أسقطت الولايات المتحدة منطاداً على ارتفاع عالٍ في الرّابع من شباط/فبراير بعد أن سافر عبر العديد من الولايات الأمريكية، واتُهمت الصّين بالتجسّس على مواقع عسكرية أمريكية حسّاسة. زعم أحد عناوين صحيفة الغارديان في التاسع من شباط/فبراير أن "الصين تستخدم مسرحية بالون التجسس لإثارة الحماسة القومية". كما أوضحت صحيفة الغارديان أن "آلة الدّعاية للحزب الشيوعي قد قطعت كل السبل لضمان توافق الرأي العام مع رواية الحزب".

0:00 0:00
Speed:
February 16, 2023

مع أصدقاء مثل أمريكا، من يحتاج إلى أعداء؟

مع أصدقاء مثل أمريكا، من يحتاج إلى أعداء؟

(مترجم)

الخبر:

أسقطت الولايات المتحدة منطاداً على ارتفاع عالٍ في الرّابع من شباط/فبراير بعد أن سافر عبر العديد من الولايات الأمريكية، واتُهمت الصّين بالتجسّس على مواقع عسكرية أمريكية حسّاسة. زعم أحد عناوين صحيفة الغارديان في التاسع من شباط/فبراير أن "الصين تستخدم مسرحية بالون التجسس لإثارة الحماسة القومية". كما أوضحت صحيفة الغارديان أن "آلة الدّعاية للحزب الشيوعي قد قطعت كل السبل لضمان توافق الرأي العام مع رواية الحزب".

التعليق:

لماذا تتّهم إحدى وسائل الإعلام الغربية الكبرى وسائل الإعلام الصينية بأنها هستيرية وخاضعة لرواية الحزب الشيوعي بينما يمكن قول الشيء نفسه وأكثر بكثير عن وسائل الإعلام الغربية الهزيلة التي حوّلت كل تركيزها فجأةً من الحرب الروسية الأوكرانية باعتبار بوتين العدو الأكبر للغرب إلى شيطنة الصّين بمجرد أن تمّ الإبلاغ عن منطاد غامض لأوّل مرة في المجال الجوي الأمريكي؟ منذ ذلك الحين، تمّ الإبلاغ عن ثلاثة أجسام أخرى مجهولة الهوية، وسرعان ما أسقطتها الطائرات الحربية الأمريكية في 10 و11 و12 شباط/فبراير.

في الوقت نفسه، تستعر الآن أكبر حرب برية وأكثرها دموية منذ الحرب العالمية الثانية في أوروبا بين قوة نووية كبرى ووكلاء حلف شمال الأطلسي في أوكرانيا. لقد تمّ دفع اقتصادات أوروبا إلى ركود حاد، وقد فقدت كل من روسيا وأوكرانيا ما لا يقل عن 100 ألف جندي حتى الآن في صراع سيزداد شراسة قبل أن ينتهي. لماذا إذن احتلت الصين مركز الصدارة لمدة أسبوعين؟

لا جديد في تجسّس الصين على أمريكا، فكلا البلدين يتجسس على الآخر بوسائل عديدة. قد يكون هذا الموضوع بمثابة ستار دخان لإخفاء قضايا أكثر أهمية بكثير، وهذا من شأنه أن يجعل وسائل الإعلام الغربية دمية في الأجندة السياسية أكثر من وسائل الإعلام الصينية. في الواقع، تمّ دفن العديد من القصص المروعة المتعلقة بالحرب في أوكرانيا عبر وسائل الإعلام الرئيسية خلال الأسبوعين الماضيين.

إنّ أهم القصص المدفونة هي ادّعاء الصحفي الاستقصائي الشهير سيمور هيرش أن قصف خط أنابيب نوردستريم 1 و2 قامت به أمريكا بمساعدة النرويج. وصف هيرش بالتفصيل كيف تمّ التخطيط لهذا الهجوم وتنفيذه. نظراً لأنّ مصدر القصة كان مجهولاً، فمن الصعب التحقّق منه، لكن أمريكا هي الدولة الوحيدة التي لديها دافع واضح للهجوم. يحاول السياسيون الأمريكيون منذ سنوات إجبار ألمانيا على التوقف عن شراء الغاز الرخيص من روسيا عبر خطوط أنابيب نوردستريم. بعد فشله في منع ألمانيا من المضي قدماً في افتتاح خط أنابيب نوردستريم 2، تراجع بايدن عن التهديدات السابقة وتعرّض للتوبيخ من العديد من أعضاء الكونجرس الجمهوريين. ثم هدّد بوتين أوكرانيا إذا لم يتراجع الناتو عن عسكرة أوكرانيا، وتجددت التهديدات الأمريكية ضد نوردستريم.

قال وكيل الوزارة نولاند: "إذا غزت روسيا أوكرانيا، بطريقة أو بأخرى، فإن نورد ستريم 2 لن يتحرك إلى الأمام". وفي وقت لاحق قال بايدن: "إذا غزت روسيا... لن يكون هناك نورد ستريم 2. وسنضع حداً له". وعندما سأل أحد المراسلين كيف ستنهي أمريكا مشروع نورد ستريم عندما يكون المشروع تحت سيطرة ألمانيا، ابتسم بايدن وأجاب: "سنكون، أعدك، سنكون قادرين على القيام بذلك". الآن، غزت روسيا التاريخ، وتمّ تخريب خطوط أنابيب نوردستريم، وفقدت ألمانيا خيار شراء الغاز الروسي وهي الآن تدفع أكثر بكثير مقابل شحن الغاز الأمريكي عبر المحيط الأطلسي. بالتأكيد، يجب أن تكون هذه هي القصة الأولى في الغرب! إذا فجرت أمريكا خطوط الأنابيب، فسيكون ذلك بمثابة عمل إرهابي دولي مباشر ضدّ أحد الحلفاء المفترضين لها. أبلغ التيار السائد لفترة وجيزة عن المزاعم إلى جانب الإنكار الأمريكي ثم ماتت القصة.

قصة أخرى تجاهلتها وسائل الإعلام الغربية كانت المزاعم بأنّ المليشيات الأوكرانية تستخدم أسلحة كيماوية ضدّ القوات الروسية. ظهرت مقاطع فيديو على الإنترنت تظهر على ما يبدو تركيب عبوات غاز للطائرات بدون طيار وإسقاطها على الجنود الروس. بالتأكيد، سيكون ذلك جديراً بالتقرير. هل ستتجاهل أمريكا ووسائل الإعلام المستعبدة الاستخدام المحتمل للأسلحة الكيميائية إذا ظهرت مقاطع فيديو تظهر أن روسيا تفعل ذلك؟

على الرّغم من المزاعم بأن روسيا تفشل في الحرب، فقد حشدت روسيا جميع مواردها الصناعية ومئات الآلاف من الجنود الجدد للانضمام إلى القتال، في حين إن المخزونات العسكرية الأوروبية تنخفض لدرجة أن بريطانيا وألمانيا تعرضتا لانتقادات بسبب وجود القليل منها فقط. أيام من الذخيرة إذا احتاجوا إلى تعبئة جيوشهم الصغيرة. على الرّغم من الكلمات الغربية الشجاعة، والخسائر العسكرية الروسية، يبدو أن روسيا تتمتع بميزة ساحقة تتمثل في الأرقام التي ستؤدي في النهاية إلى انهيار الدفاعات الأوكرانية وإذلال الناتو. ربما لهذا السبب تريد أمريكا وخدمها الأوروبيون الحمقى تصوير الصين الآن على أنها أكبر أعدائهم، من أجل التقليل من الإذلال الناتج عن الانهيار النهائي لحرب الناتو ضدّ روسيا في أوكرانيا. ستضعف أوروبا وستكون مشغولة بروسيا، وستدمر أوكرانيا، بينما ستكون أمريكا قادرة على التركيز على الصّين. مع أصدقاء مثل أمريكا، من يحتاج إلى أعداء؟

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. عبد الله روبين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon