مع ضياع الخلافة، أصبحت جيوش المسلمين أداةً لقتل أطفال الأمة بدلاً من الدفاع عنهم! (مترجم)
مع ضياع الخلافة، أصبحت جيوش المسلمين أداةً لقتل أطفال الأمة بدلاً من الدفاع عنهم! (مترجم)

الخبر:   في ليلة الثاني من نيسان/أبريل، أصابت غارة جوية أفغانية اجتماعاً لعلماء الدين والطلاب وغيرهم من المدنيين في مدرسة الهاشمية في مقاطعة قندوز شمال أفغانستان، مما أسفر عن مقتل أكثر من 100 شخص، معظمهم من الأطفال، وفقاً لعدد من شهود العيان. فقد تجمع المئات في المدرسة الدينية في ذلك الوقت لحضور مراسم تخريج الأطفال، حيث تبلغ أعمار بعضهم 11 أو 12 سنة، ويحصلون على جوائز لاستكمالهم حفظ القرآن الكريم. ووفقاً لمسؤولين صحيين في قندوز، فإن أصغر إصابة كانت لطفل يبلغ من العمر 7 سنوات فقط. وبرر محمد رادمانش المتحدث باسم وزارة الدفاع الأفغانية الهجوم على أنه استهدف كبار قادة ومقاتلي طالبان حيث زعم أنهم كانوا موجودين في المبنى في ذلك الوقت، ووصفه بعض المسؤولين الأفغان بأنه مركز لتدريب المجموعات المسلحة. قامت القوات الجوية الأفغانية، بدعم من مستشاري حلف الناتو بقيادة أمريكا، بزيادة غاراتها الجوية في البلاد في الأشهر الأخيرة ضد طالبان. ...

0:00 0:00
Speed:
April 11, 2018

مع ضياع الخلافة، أصبحت جيوش المسلمين أداةً لقتل أطفال الأمة بدلاً من الدفاع عنهم! (مترجم)

مع ضياع الخلافة، أصبحت جيوش المسلمين

أداةً لقتل أطفال الأمة بدلاً من الدفاع عنهم!

(مترجم)

الخبر:

في ليلة الثاني من نيسان/أبريل، أصابت غارة جوية أفغانية اجتماعاً لعلماء الدين والطلاب وغيرهم من المدنيين في مدرسة الهاشمية في مقاطعة قندوز شمال أفغانستان، مما أسفر عن مقتل أكثر من 100 شخص، معظمهم من الأطفال، وفقاً لعدد من شهود العيان. فقد تجمع المئات في المدرسة الدينية في ذلك الوقت لحضور مراسم تخريج الأطفال، حيث تبلغ أعمار بعضهم 11 أو 12 سنة، ويحصلون على جوائز لاستكمالهم حفظ القرآن الكريم. ووفقاً لمسؤولين صحيين في قندوز، فإن أصغر إصابة كانت لطفل يبلغ من العمر 7 سنوات فقط. وبرر محمد رادمانش المتحدث باسم وزارة الدفاع الأفغانية الهجوم على أنه استهدف كبار قادة ومقاتلي طالبان حيث زعم أنهم كانوا موجودين في المبنى في ذلك الوقت، ووصفه بعض المسؤولين الأفغان بأنه مركز لتدريب المجموعات المسلحة. قامت القوات الجوية الأفغانية، بدعم من مستشاري حلف الناتو بقيادة أمريكا، بزيادة غاراتها الجوية في البلاد في الأشهر الأخيرة ضد طالبان. ومع ذلك، فقد قتل العديد من المدنيين، بما في ذلك الأطفال خلال هذه الضربات الجوية. وقد طالبت أحدث استراتيجية عسكرية أمريكية في أفغانستان إلى استثمار كبير في القوات الجوية الأفغانية. وفي تشرين الأول/أكتوبر الماضي، أعلن القائد العسكري الأمريكي البارز في أفغانستان أن أسطولاً جديداً من 159 مروحية من طراز بلاك هوك، يقودها طيارون أفغان، سيساعد في خلق "تسونامي من القوة الجوية" ضد متمردي طالبان. كما أرسلت أمريكا طيارين أفغاناً إلى أمريكا وبلدان أخرى لتدريبهم على تشغيل أنواع القوة الجوية الجديدة.

التعليق:

أليست القوات المسلحة التابعة للأمة الإسلامية ملزمةً أمام الله سبحانه وتعالى بحماية المسلمين، بدلاُ من قتلهم وقتل أولادهم؟ ألا ينبغي استخدام المعدات العسكرية للمسلمين للقتال بهدف إعلاء الدين وضد أعداء الإسلام، أولئك الذين يضطهدون ويذبحون الأمة؟ ألم يقل الله سبحانه وتعالى في كتابه العزيز: ﴿وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاء بَعْضٍ يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ وَيُقِيمُونَ الصَّلاَةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَيُطِيعُونَ اللّهَ وَرَسُولَهُ أُوْلَـئِكَ سَيَرْحَمُهُمُ اللّهُ إِنَّ اللّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٌ﴾؟ ألم يقل رسولنا الحبيب r: «قَتْلُ الْمُؤْمِنِ أَعْظَمُ عِنْدَ اللَّهِ مِنْ زَوَالِ الدُّنْيَا»؟!!

ومع ذلك، فمع ضياع دولة الخلافة، درع المسلمين، تم تجاهل أوامر الله سبحانه وتعالى، وتحولت القوات المسلحة للأمة إلى أداة لإرهاب وقتل أطفال الأمة من قبل الحكام الطغاة لأراضينا نيابةً عن مصالح أسيادهم الغربيين - كما رأينا في أفغانستان وباكستان واليمن وسوريا والعراق... إن الادعاء بأن هؤلاء الضحايا من الأطفال هم عبارة عن الأضرار الجانبية المؤسفة في هذه الحروب ليس ذريعةً كافيةً أمام الله سبحانه وتعالى!!

في هذه الأثناء، يتم قتل الأطفال والشباب المسلمين في سوريا وفلسطين وميانمار وكشمير وأماكن أخرى من قبل أعداء الله، ومع ذلك لا يتم حشد جنديٍ مسلمٍ واحدٍ ولا طائرةٍ مقاتلةٍ واحدةٍ من جيوش هذه الأمة للدفاع عنهم! ففي السابع من نيسان/أبريل، شهدنا مرةً أخرى هجومًا كيميائيًا مروعًا على دوما في الغوطة الشرقية في سوريا، حيث قتل العشرات، العديد منهم من النساء والأطفال. لقد أوقفنا العد للمجازر والهجمات التي تستهدف المسلمين، حيث رأينا أجساد الأطفال الملطخة بالدماء في الشام وهم يلهثون من أجل التنفس، مخنوقين ويعانون من الحروق التي لحقت بهم جراء الأسلحة الكيميائية التي أطلقها عليهم الجزار بشار. وبالرغم من ذلك، وفي ظل غياب القيادة الإسلامية المخلصة، فإن هذه الأنظمة الخسيسة في البلاد الإسلامية ستستمر بلا شك في منعها للجنود في بلادنا الإسلامية من الذهاب لمساعدة إخوانهم وأخواتهم، وستمنعهم باستمرار من الوفاء بواجبهم الإسلامي تجاه ربهم، للدفاع عن دم المسلمين، وتحريرهم من مضطهديهم، مع أن الله سبحانه وتعالى قال: ﴿وَإِنِ اسْتَنصَرُوكُمْ فِي الدِّينِ فَعَلَيْكُمُ النَّصْرُ﴾.

كيف يتناقض هذا الأمر مع دور وعمل الجيش المسلم في ظل الحكم الإسلامي للخلافة، حيث اكتسبوا مكانةً مرموقةً لكونهم سيوف الله سبحانه وتعالى وأبطال الأمة، والمدافعين عن حقوق الإنسان ومحرري المسلمين والمظلومين. فعلى سبيل المثال، في القرن الثامن الميلادي، عندما تم أسر بعض النساء المسلمات والأطفال من قبل الملك الهندوسي - رجا ضاهر في السند، أرسل الخليفة الأموي الوليد بن عبد الملك على الفور جيشاً قوياً، تحت قيادة القائد الشجاع محمد بن القاسم لإنقاذهم. واجه جيش المسلمين جيشاً أكبر منه بعدة مرات لكن المسلمين هزموهم، وأنقذوا النساء والأطفال المسلمين من آسريهم وحرروا جميع السند من الحكم الهندوسي الاستبدادي.

إن هذا الشهر المبارك شهر رجب، يذكرنا بالانتصارات العظيمة التي حققها المسلمون في ظل حكم الإسلام، لكنه أيضًا يذكرنا بكارثة فقدان دولة الخلافة العظيمة، وبصفتنا مسلمين علينا أن نتذكر الحاجة الملحة إلى إعادة إقامة الخلافة على منهاج النبوة؛ إن عودة هذه القيادة الإسلامية الصحيحة ستعيد جيوش المسلمين إلى هدفها الحقيقي؛ لتكون حامية لأمتها وأطفالها وتقاتل من أجل دينها.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

الدكتورة نسرين نواز

مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon