ما هذا الهوان يا سلمان، أتهنئ المجرم ترامب بعد كل ما أهان!
ما هذا الهوان يا سلمان، أتهنئ المجرم ترامب بعد كل ما أهان!

الخبر: أجرى الملك سلمان بن عبد العزيز آل سعود اتصالاً هاتفياً بالرئيس الأمريكي المنتخب دونالد ترمب، هنّأه خلاله بالفوز في الانتخابات الرئاسية، حسب ما أفادت وكالة الأنباء السعودية (واس). وأكد على تطلّع المملكة إلى تعزيز العلاقات التاريخية والاستراتيجية مع الولايات المتحدة الأمريكية، والعمل معا لما يحقق السلم والاستقرار لمنطقة الشرق الأوسط والعالم، متمنيا للشعب الأمريكي الصديق التقدم والازدهار بقيادة ترامب. وعبر ترامب عن شكره وتقديره لسلمان على التهنئة، وعلى مشاعره تجاه الولايات المتحدة الأمريكية والشعب الأمريكي، مؤكدا حرصه على تطوير العلاقات الثنائية المميزة بين البلدين الصديقين.

0:00 0:00
Speed:
November 16, 2016

ما هذا الهوان يا سلمان، أتهنئ المجرم ترامب بعد كل ما أهان!

ما هذا الهوان يا سلمان، أتهنئ المجرم ترامب بعد كل ما أهان!

الخبر:

أجرى الملك سلمان بن عبد العزيز آل سعود اتصالاً هاتفياً بالرئيس الأمريكي المنتخب دونالد ترمب، هنّأه خلاله بالفوز في الانتخابات الرئاسية، حسب ما أفادت وكالة الأنباء السعودية (واس).

وأكد على تطلّع المملكة إلى تعزيز العلاقات التاريخية والاستراتيجية مع الولايات المتحدة الأمريكية، والعمل معا لما يحقق السلم والاستقرار لمنطقة الشرق الأوسط والعالم، متمنيا للشعب الأمريكي الصديق التقدم والازدهار بقيادة ترامب.

وعبر ترامب عن شكره وتقديره لسلمان على التهنئة، وعلى مشاعره تجاه الولايات المتحدة الأمريكية والشعب الأمريكي، مؤكدا حرصه على تطوير العلاقات الثنائية المميزة بين البلدين الصديقين.

التعليق:

لقد عمت التظاهرات أمريكا نفسها احتجاجا على انتخاب ترامب، كما تتالت تصريحات ساسة الغرب تحفظا على فوزه، لأن كلا الطرفين يرى في ترامب نموذجا متطرفا يهدد الديمقراطية التي يزعمونها، أي يهدد صورتهم التي يحاولون الظهور فيها أمام العالم... وفي مقابل ذلك يسارع حكامنا لتهنئته متمنين لـ"فخامته" "التوفيق والسداد"!! فهل أصبح ولاء قيادتنا لأمريكا ورئيسها يفوق ولاء شعبه ونظرائه من ساسة الكفر؟!

لقد أساء ترامب بشكل متكرر ومتعمد للإسلام والمسلمين في أكثر من مناسبة وتوعد بمنعهم من دخول بلاده (العربية، 8 كانون الأول/ديسمبر 2015)، ثم أساء لمقدسات المسلمين ومهجة قلوبهم القدس وكشر عن نواياه بجعلها مستقرا لسفارة أمريكا في كيان يهود عوضا عن تل أبيب، في إشارة لحق يهود فيها وكخطوة لجعلها عاصمة لكيانهم (الجزيرة 2016/11/10)، وأساء لبلادنا تحديدا حين "طالب السعودية بدفع المال لأمريكا لقاء حمايتها من الزوال" (سي إن إن عربية، 19 آب/أغسطس 2015)، ومنذ لحظة فوزه التي لم تتعد بضعة أيام والمسلمون في أمريكا يتعرضون لانتهاكات ومضايقات واعتداءات، لم تسلم منها بناتنا المحجبات وطالباتنا المبتعثات... فماذا ينتظر سلمان أكثر إيذاءً وإهانة وتضييقا كي يتحرك فيه دم المسلم، أم أن من يهن يسهل الهوان عليه!

إننا نعلم أن سلمان بن عبد العزيز، كأبيه وإخوته من قبله، عملاء مخلصون لسادتهم في الغرب، وعلى رأسهم أمريكا، منذ تأسيس المملكة السعودية على أنقاض دولة الخلافة، وبخاصة بعد اللقاء الخياني الشهير بين أبيه عبد العزيز والرئيس الأمريكي روزفلت عام 1945، لكننا نتعجب من خلع برقع الحياء هكذا جهارا بهذه الجرأة على دين الله! ونتعجب ما الذي يضطره للمسارعة في هذا الهوان في وقت كان جل من سارع في التهنئة هم أشد القيادات عداوة للمسلمين، كنتنياهو ولوبين وبوتين، وصنو سلمان السيسي، أم أنه يضع نفسه في صفهم، ويعتبر همه همهم وفرحه فرحهم بفوز من اشتهر بتطرفه ضد المسلمين! حتى إنه لم يكتف كأكثرهم بوسيلة واحدة للتهنئة فقام بالاتصال الهاتفي وبإرسال برقية، أكل هذا فرح وحب! أم هو الذل والهوان!؟ أم أنه يقر ترامب ويقرهم على عدائهم وأقوالهم وأفعالهم! وإننا إذ نعجب من جرأته في المسارعة بهذه التهنئة الذليلة، لنعجب أكثر من إشراكه لنا في جريمته حيث يدعي كاذبا أنه يرسل تهنئته باسم الشعب والحكومة! وما كان ليفعل ذلك لو أنه يحسب أي حساب لعقيدة شعبه ولمشاعرهم ولغضبهم، وإننا كجزء من هذا الشعب لنبرأ إلى الله من هذه التهنئة ومن هذه العمالة ومن هذا الولاء، ونعاهد الله أن لا نوالي أحدا إلا هو سبحانه وأن نعادي كل من عاداه وكل من يوالي أعداءه...

على ذلك، لم يكتف سلمان بتهنئة قد يبررها البعض تضليلا بأنها بروتوكولية شكلية، بل زامنها بلقاء رئيس هيئة الأركان المشتركة الأمريكية ثم سارع بعرض حيثيات المكالمة واللقاء ومقتضياتهما على مجلس الوزراء، مما يؤكد أن الأمر أكبر من مجرد تهنئة - رغم أن التهنئة بذاتها جريمة - فالأمر عمالة متأصلة وخيانة مغرقة وشراكة في توجه عالمي - سيقوده ترامب الآن - للتضييق على المسلمين والمكر بهم، ولا غرْو فهو شريك الأمريكان في تحالفهم الدولي ضد المسلمين في الشام والعراق واليمن...

إننا على يقين تام أن لا فرق بين ترامب وكلنتون وأوباما وبوش في عدائهم للمسلمين، وفي مكرهم لدين الله ليل نهار، وما فعله أوباما في بلاد المسلمين أكبر دليل على ذلك، ولكننا نعجب ممن كانوا يبررون "صداقتهم" بأنهم لم يظهروا العداء الجهاري لدين الله، رغم أن أفعالهم كانت تجاهر بذلك ليل نهار، فبماذا يبرر أولئك الآن مسارعة سلمان لمبايعة ترامب على السمع والطاعة وهو أكثر الناس مجاهرة بعدائه للمسلمين!...

إننا نعلم أن حكام آل سعود لا تعنيهم مصلحة الأمة، ولا يهمهم ما يهمها ولا يؤذيهم ما يؤذيها، ولا تحركهم الإساءة للمسلمين أو دينهم أو بناتهم أو أبنائهم، ولكننا نستهجن ونستنكر ونبرأ إلى الله، من صمت كل متخاذل ممن يقرأون ويُقرِئون ﴿لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّهَ وَرَسُولَهُ﴾ ويقرأون ويقرِئون ﴿وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ﴾، ثم لا يهزه مثل هذا الانتهاك لهذه الآيات العقائدية، ولا يحرك فيه هذا النفاق البيّن والموالاة الصريحة لأعداء دين الله أية حمية أو غيرة على دين الله ولا يدفعه كل ذلك ليفعل أو يقول ما يرضي الله، ولا حول ولا قوة إلا بالله...

اللهم إنا نبرأ إليك من تخاذل المتخاذلين ونفاق المنافقين وموالاة الكافرين ومن والاهم، ونعوذ بك أن نكون من الشياطين الخرس أو الناطقين، ونسألك اللهم أن تهلك الكفرة والمجرمين وتخرجنا ودينك من بينهم سالمين فنحكم بأحكامه في دولة تقيمه حق إقامته، دولة راشدة على نهج أبي بكر وعمر وعثمان وعلي، ونسألك اللهم ربنا أن تعجل لنا بذلك، فما عدنا نطيق هذا العداء السافر الظاهر لدينك الذي ارتضيت...

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد بن إبراهيم – بلاد الحرمين الشريفين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon