معاناة الروهينجا وإهمال القادة المسلمين
معاناة الروهينجا وإهمال القادة المسلمين

الخبر: دعت الأمم المتحدة إلى التحقيق في تقارير تفيد بأن السلطات الهندية قامت بترحيل لاجئي الروهينجا بطرق غير إنسانية. تشمل الادعاءات إجبار اللاجئين على دخول بحر أندامان مع سترات النجاة فقط. هذا الإجراء هو جزء من حملة أوسع ضد المسلمين الأقلية وسط تصاعد التوترات مع باكستان. تم ترحيل العديد من لاجئي الروهينجا والبنغال، بما في ذلك أولئك الذين يحملون وثائق قانونية. تنتقد مجموعات حقوق الإنسان نقص الإجراءات القانونية الواجبة. تم إنقاذ بعض اللاجئين المرحلين من قبل خفر السواحل البنغالي، بينما يخشى آخرون من الاضطهاد عند عودتهم إلى ميانمار. ولم ترد الحكومة الهندية على هذه الادعاءات. (نيويورك تايمز)

0:00 0:00
Speed:
May 19, 2025

معاناة الروهينجا وإهمال القادة المسلمين

معاناة الروهينجا وإهمال القادة المسلمين

الخبر:

دعت الأمم المتحدة إلى التحقيق في تقارير تفيد بأن السلطات الهندية قامت بترحيل لاجئي الروهينجا بطرق غير إنسانية. تشمل الادعاءات إجبار اللاجئين على دخول بحر أندامان مع سترات النجاة فقط. هذا الإجراء هو جزء من حملة أوسع ضد المسلمين الأقلية وسط تصاعد التوترات مع باكستان. تم ترحيل العديد من لاجئي الروهينجا والبنغال، بما في ذلك أولئك الذين يحملون وثائق قانونية. تنتقد مجموعات حقوق الإنسان نقص الإجراءات القانونية الواجبة. تم إنقاذ بعض اللاجئين المرحلين من قبل خفر السواحل البنغالي، بينما يخشى آخرون من الاضطهاد عند عودتهم إلى ميانمار. ولم ترد الحكومة الهندية على هذه الادعاءات. (نيويورك تايمز)

التعليق:

إن وضع المسلمين الروهينجا هو مثال مأساوي على فشل الأمة الإسلامية في حماية أبنائها الضعفاء. لقد تعرض مسلمو الروهينجا للاضطهاد الوحشي على يد نظام ميانمار، بما في ذلك القتل الجماعي والعنف الجنسي والتهجير القسري. وعلى الرغم من شدة محنتهم، فإن استجابة الدول ذات الأغلبية المسلمة كانت غير كافية إلى حد كبير. لقد أولى العديد من القادة الأولوية لمصالحهم الوطنية على مصلحة الأمة الجماعية، ما أدى إلى نقص في العمل المنسق لمعالجة الأسباب الجذرية لأزمة الروهينجا.

تفاقمت معاناة الروهينجا بسبب عدم اكتراث الدول المجاورة ذات الأغلبية المسلمة، التي لديها القوة والموارد للتدخل لكنها تختار عدم القيام بذلك. بدلاً من ذلك، يقدمون مساعدات إنسانية محدودة لا تعالج الاضطهاد المنهجي الذي يواجهه الروهينجا. هذه المساعدة الرمزية تفعل القليل لتخفيف المعاناة الطويلة الأمد للاجئين، الذين يبقون في حالة من عدم اليقين، غير قادرين على العودة إلى ديارهم وغير مرحب بهم في البلدان المضيفة لهم.

التشابه بين أزمة الروهينجا والوضع في غزة لافت للنظر. في كلتا الحالتين، يتعرض المسلمون للاضطهاد الشديد بينما يبقى إخوانهم في الدول المجاورة غير مبالين. لقد عانى أهل غزة من عقود من الاحتلال والحصار والعدوان العسكري من كيان يهود، ومع ذلك كانت استجابة البلاد الإسلامية رمزية إلى حد كبير. وبينما توجد تعبيرات عرضية عن التضامن والمساعدات الإنسانية، فإن هناك غيابا واضحا للعمل الحاسم لإنهاء الاحتلال واستعادة حقوق الشعب الفلسطيني.

الفشل في حماية الروهينجا والفلسطينيين يسلط الضوء على قضية أوسع داخل الأمة الإسلامية؛ وهي نقص الوحدة والقيادة الفعالة. تمتلك الأمة إمكانات هائلة للتأثير على الشؤون العالمية وحماية نفسها، لكن هذه الإمكانات تُهدر بسبب الانقسامات الداخلية وأولوية المصالح الوطنية على رفاهية الجماعة. يجب على قادة المسلمين أن يدركوا أن قوتهم تكمن في الوحدة وأن حماية المجتمعات الضعيفة هي واجب أخلاقي وديني.

من الضروري أن تتجاوز الدول ذات الأغلبية المسلمة الإيماءات الرمزية وتتخذ خطوات ملموسة لمعالجة الظلم الذي يواجهه الروهينجا والفلسطينيون. ويشمل ذلك الجهود الدبلوماسية للضغط على الأنظمة القمعية، وتوفير ملاذات آمنة للاجئين، وتعبئة الدعم الدولي لقضيتهم. يجب على الأمة أيضاً العمل نحو وحدة وتعاون أكبر، متجاوزة الأجندات الوطنية لصالح العمل الجماعي.

محنة الروهينجا والفلسطينيين هي دعوة للأمة الإسلامية للعمل، إنها تذكير بأن قوة الأمة تكمن في قدرتها على حماية أبنائها، وأن القيادة الحقيقية تظهر من خلال العمل الحاسم في مواجهة الظلم. لقد حان الوقت لقادة المسلمين أن يرتقوا إلى هذا التحدي ويؤدوا واجبهم تجاه أمتهم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد الله أسوار

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon