مأساة قبيلة أسمات مع النظام القضية التي من "الحساسية" نقدها (مترجم)
مأساة قبيلة أسمات مع النظام القضية التي من "الحساسية" نقدها (مترجم)

الخبر:   حصلت حالة استثنائية في أسمات، بابوا، حيث بلغ عدد الأطفال الذين ماتوا بسبب الحصبة وسوء التغذية 61 طفلا في الفترة ما بين أيلول/سبتمبر 2017 وكانون الثاني/يناير 2018. وفي الوقت نفسه، واستنادا إلى بيانات من مكتب الصحة في أسمات ريجنسي، فإنه ما بين تشرين الأول/أكتوبر 2017 وكانون الثاني/يناير 2018، تم تسجيل 171 طفلا في العيادات الخارجية و393 طفلا تم نقلهم إلى مستشفى أغاتس بسبب الحصبة. ...

0:00 0:00
Speed:
February 20, 2018

مأساة قبيلة أسمات مع النظام القضية التي من "الحساسية" نقدها (مترجم)

مأساة قبيلة أسمات مع النظام

القضية التي من "الحساسية" نقدها

(مترجم)

الخبر:

حصلت حالة استثنائية في أسمات، بابوا، حيث بلغ عدد الأطفال الذين ماتوا بسبب الحصبة وسوء التغذية 61 طفلا في الفترة ما بين أيلول/سبتمبر 2017 وكانون الثاني/يناير 2018. وفي الوقت نفسه، واستنادا إلى بيانات من مكتب الصحة في أسمات ريجنسي، فإنه ما بين تشرين الأول/أكتوبر 2017 وكانون الثاني/يناير 2018، تم تسجيل 171 طفلا في العيادات الخارجية و393 طفلا تم نقلهم إلى مستشفى أغاتس بسبب الحصبة.

وردا على قضية أسمات هذه، فقد اتخذ إجراء مثير للجدل من قبل رئيس المجلس التنفيذي للطلاب في جامعة إندونيسيا (بيم أوي)، عندما حضر جوكوي الذكرى الـ 68 لجامعة أوي في بداية شباط/ فبراير. أعطى زاديت تقوى، رئيس مجلس إدارة بيم، بطاقة صفراء للرئيس جوكوي كشكل من أشكال التحذير للمشاكل الكثيرة التي تحدث في البلاد، والتي واحدة منها، مأساة أسمات. جوكوي رد على الانتقاد على الفور من خلال دعوة بيم أوي لمراجعة أسمات ريجنسي، بابوا، فيما يتعلق بهؤلاء الطلاب لمعرفة الحالة الخطيرة الموجودة على الساحة. وقال ناشط السلام الأخضر بابوا تشارلز تاورو بأن جوكوي كان مخطئا في الرد على ما قام به زاديت. وقد صرح تشارلز لتيمبو، في 5 شباط/فبراير 2018 قائلا: "من وجهة نظري، فإن السيد جوكوي مخطئ للرد، فمن الأفضل حل مشكلة بابوا أكثر من مطالبة الطلاب (بالقيام بذلك)". وناقش في أنه يعتبر الانتقاد من قبل الطلاب بناء. وأضاف بأن المشكلة في بابوا لا تتعلق بسوء التغذية ووباء الحصبة فحسب. وأضاف بأن توسع الشركات في بابوا قد أدى إلى الأضرار البيئية ما شوش على سبل العيش في بابوا وتسبب بآثار مباشرة على رفاهيتهم وما فيه صلاح أمرهم.

التعليق:

إن أطفال بابوا هم ضحايا أخطاء الطبقية. أولا، إن الخطأ الذي ارتكبته الدولة لإنفاذ السياسات الاقتصادية الرأسمالية المعيبة عن طريق تسليم ثروة بابوا الطبيعية إلى الاستثمار الأجنبي، قد أدى إلى انتشار الفقر على نطاق واسع في بابوا. وثانيا، إن جشع الشركات الأجنبية في امتصاص الثروة الطبيعية أدى إلى الأضرار البيئية وانتشار الأوبئة والأمراض. وما فاقم الأمر فوق كلا هذين العاملين عامل ثالث وهو الاهتمام الجيوسياسي الأجنبي الذي يسعى إلى فصل بابوا عن إندونيسيا عن طريق ركوب موجة الحركات الانفصالية في بابوا.

ولذلك، فإن الاستماع إلى الانتقادات من الناس العاديين أو بعض الشباب الناقد أمر ضروري بالتأكيد للحاكم، نظرا للتعقيد الحاصل في مشاكل بابوا، بغض النظر عن البيانات غير الدقيقة أو الأقل مهنية. وكما كتبت إحدى الشخصيات السياسية، فقد نشر بريانتوس، في رأيه الصادر في راكيات مرديكا أون لاين ما يُذكرنا برد فعل الخليفة عمر بن الخطاب عندما حاسبه الصحابة. "إن الانتقادات المتعلقة ببطاقة زاديت الصفراء تذكرني بتاريخ الخليفة عمر بن الخطاب، الذي أحب الناس وأحبه الناس الذين يحكمهم أيضا، وبمجرد أن أنّبته امرأة فقيرة عندما قالت: "قصر بنا الليل والبرد وهؤلاء الصبية يبكون من الجوع وعلى النار ماء أعللهم به حتى يناموا، الله بيننا وبين عمر" فاهتز قلب عمر من الحزن، وسالت منه الدموع غزيرة، ثم ودعها بلطف ليعود لها وهو يحمل كيسا من القمح على ظهره ويطعم الأطفال الجياع.

لو كان زاديت حيا في عهد الخليفة عمر بن الخطاب، وقدم له زاديت بطاقة صفراء، لما كان من عمر بن الخطاب إلا أن يعتذر ويشكره على تحذيره. هكذا تكون قيم القيادة القائمة على المفاهيم الإسلامية.

ومن ناحية أخرى، فإن انتقاد الحكام ونصحهم هو في الواقع أيضا جزء من أحكام الإسلام، وبالتالي فإن "سفينة" البلاد لن تغرق. وأي شخص يصبح سيد سفينة، فإن على ركابها نصحه إذا ما انحرف عن الطريق. وعلى ربانها ألا يشعر بأن السفينة ملك خاص له. وإذا ما صاح راكب بأن هناك تسربا في السفينة، فإن الواجب وقف التسرب لا إسكات الراكب.

إن الإسلام ينص بوضوح على تعريف السلطة والحاكم، بما في ذلك شروط كونه حاكما. فالحاكم هو الحامي، والوصي، والقائد الذي يتم اختياره لاستلام قيادته على أساس شريعة الله، وهو المسؤول عن مصلحة شعبه. فالحاكم ليس مسؤولا أو ممثلا للحزب ولا منظما لأعمال تمكنه من إدارة الثروة بصورة عرضية وفقا لمصلحته الشخصية، فضلا عن مصالح حزبه وزملائه. وينص الإسلام على أن الوفرة الوفيرة للثروة الطبيعية كمناجم النحاس والذهب في بابوا، التي تسيطر عليها حاليا فريبورت، هي ملكيات عامة ترجع ملكيتها للناس جميعا دون استثناء. وينبغي ألا يسمح بمنح الثروة للقطاع الخاص، علاوة على القطاع الخاص الأجنبي. ويجب أن تدير الدولة الثروة كممثلة للأمة، وأن تكون العوائد كاملة للرعية، على شكل خدمات مختلفة للناس مثلا، بما في ذلك الأطفال والنساء.

إن مأساة أسمات في بابوا لن تحل إلا من قبل حاكم يفهم الإسلام ويدافع عنه ويطبقه كحزمة من قواعد الحياة بطريقة كفاحية. حاكم يستمع حقا لشكوى أمته، وفي الوقت نفسه يتسع قلبه لنقد الرعية، حتى لو كان قاسيا. وهو حاكم يسعى، مع تقوى يحملها في قلبه، إلى إيجاد دولة مستقلة ومتقدمة ورائدة ذات سيادة ترفض أي شكل من أشكال التدخل الأجنبي الذي يهدد سيادة الدولة. كل هذا لا يمكن تحقيقه إلا من خلال التطبيق الانقلابي الشامل للنظام الإسلامي في إطار نظام الحكم الإسلامي، الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

يقول رسول الله r: «مَا مِنْ وَالٍ يَلِي رَعِيَّةً مِنَ الْمُسْلِمِينَ، فَيَمُوتُ وَهْوَ غَاشٌّ لَهُمْ، إِلاَّ حَرَّمَ اللَّهُ عَلَيْهِ الْجَنَّةَ» (رواه البخاري)

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon