مأساة ريمبانج ومتلازمة الفيل الأبيض
مأساة ريمبانج ومتلازمة الفيل الأبيض

الخبر:   في بداية شهر أيلول/سبتمبر، وقع حدثان استثنائيان في وقت واحد تقريباً في إندونيسيا. الأول هو سلسلة قمة الآسيان الـ43 التي عقدت في جاكرتا في الفترة من 5 إلى 7 أيلول/سبتمبر تحت شعار الآسيان كمركز للنمو. وثانيا، اندلعت في الوقت نفسه 7 أيلول/سبتمبر 2023 اشتباكات في ريمبانج - باتام، بين القوات المشتركة التي كانت في طريقها لإخلاء أرض لمنطقة مدينة ريمبانج البيئية وبين السكان الذين كانوا يدافعون عن الأرض التي تمّ احتلالها لأجيال منذ 1834م. ...

0:00 0:00
Speed:
September 23, 2023

مأساة ريمبانج ومتلازمة الفيل الأبيض

مأساة ريمبانج ومتلازمة الفيل الأبيض

(مترجم)

الخبر:

في بداية شهر أيلول/سبتمبر، وقع حدثان استثنائيان في وقت واحد تقريباً في إندونيسيا. الأول هو سلسلة قمة الآسيان الـ43 التي عقدت في جاكرتا في الفترة من 5 إلى 7 أيلول/سبتمبر تحت شعار الآسيان كمركز للنمو. وثانيا، اندلعت في الوقت نفسه 7 أيلول/سبتمبر 2023 اشتباكات في ريمبانج - باتام، بين القوات المشتركة التي كانت في طريقها لإخلاء أرض لمنطقة مدينة ريمبانج البيئية وبين السكان الذين كانوا يدافعون عن الأرض التي تمّ احتلالها لأجيال منذ 1834م.

حتماً أصبح الأطفال والنساء ضحايا، حيث أطلقت خراطيم المياه والغاز المسيل للدموع بالقرب من مدارس SDN 24 وSMPN 22 Galang، ما تسبب في الذعر والخوف وحتى الإصابات الجسدية للأطفال الذين كانوا يتعلمون. وبحسب كونتراس، أصيب ما لا يقلّ عن 20 من السكان بإصابات خطيرة أو طفيفة نتيجة أعمال الشغب، بما في ذلك من الأطفال والنساء وكبار السن. واعتبرت قوات الشرطة والقوات العسكرية المشتركة أنها استخدمت "القوة المفرطة" وأطلقت الغاز المسيل للدموع "بتهور".

التعليق:

هذان الحدثان يشبهان الفرق بين السماء والأرض؛ إن قمة الآسيان هي اجتماع حصري ونخبوي رفيع المستوى، في حين إن صراع ريمبانج هو مأساة على الأرض حيث يصبح عامة الناس دائماً هم الضحايا.

ومن المثير للاهتمام أن هذين الحدثين لا يتزامنان من حيث الوقت فحسب، بل هناك قاسم مشترك آخر بينهما، وهو التدفّق الكبير لمبادرات البنية الأساسية القائمة على الاستثمار الأجنبي. تعدّ مدينة ريمبانغ البيئية أحد المشاريع الاستراتيجية الوطنية باستثمارات من الصين ما يؤدي إلى الاضّطرار إلى نقل ما بين 5000 إلى 10000 من السكان إلى جزيرة جالانج. ويتماشى هذا المشروع مع التطور الحالي الذي يتم تسريعه في دول جنوب شرق آسيا. ومن الواضح أن هذا يقع في الطريق نفسه الذي تنعقد فيه قمة الآسيان لعام 2023 والتي تأخذ موضوع الآسيان باعتباره مركز النمو. ولهذا السبب هناك ضغوط من أجل تعزيز تطوير سلسلة التوريد وتعزيز البنية التحتية، ومن المفارقات أن كلّ هذه المبادرات يتمّ تنفيذها عن طريق تسول الاستثمار الأجنبي.

ونتيجة لذلك، فإن هذه المشاريع هي مثل مشاريع الفيل الأبيض، حيث يتمّ بناؤها بشكل رائع، على الرّغم من أن وجودها له تكاليف عالية، وفوائد مجتمعية ضئيلة، بل يصبح عبئا اقتصاديا وبيئياً على المدى الطويل. هذه الاستعارة مأخوذة من الثقافة التايلاندية خلال المملكة السيامية، حيث يتمّ تقديم الأفيال البيضاء ذات الجودة المنخفضة كهدايا لأصدقاء وحلفاء ملك سيام. تتطلب هذه الحيوانات الكثير من الرعاية، ولأنها مقدّسة، فلا يمكن تشغيلها، ما يجعل الفيلة البيضاء عبئاً مالياً وإزعاجاً كبيراً لمتلقي الهدية أو مالكها.

وتُعد قمة الآسيان لعام 2023 أحد المنتديات التي تمدّ السجاد الأحمر لمشاريع الفيل الأبيض هذه. حتى إن الرئيس الإندونيسي سعيد بالكشف عن أن نتائج هذه القمة كانت عبارة عن إجمالي 93 مشروعاً بقيمة 38.2 مليار دولار أو 2.118 تريليون روبية إندونيسية. قد تكون هذه المشاريع عظيمة، لكنها غالبا ما تكون بائسة بالنسبة للشعب. استناداً إلى سجلات اتحاد الإصلاح الزراعي، كان هناك 32 اندلاعاً للصراع الزراعي في عام 2022، 11 منها كانت مرتبطة بالمشاريع الاستراتيجية الوطنية. وبلغت مساحة الصراع 102 ألف هكتار وتضرّر منه 28 ألف أسرة.

قد تكون قمة رابطة دول جنوب شرق آسيا (آسيان) قادرة على الوعد بمركز للنمو في المنطقة، ولكنها أثبتت أيضاً بوضوح أنها تتجاهل مركز المشكلة، أو على وجه التحديد رفاهية الجميع وبقائهم. والسؤال الكبير إذن هو: "لماذا استقبل زعماء آسيان الصين في حفل عشاء رائع، في حين واجهوا شعبهم بمدافع المياه والغاز المسيل للدموع وعشرات السرايا من القوات المسلحة؟"

إذا أردنا أن نكون صادقين، هناك جانب آخر مهم وأكثر جوهرية في هذه الحالة وهو جانب العلمنة. فهذه المشاريع التنموية تتجاهل أحكام الإسلام تماما. في الواقع، كان التطور الرأسمالي بمثابة شريان الحياة للاستعمار الاقتصادي والثقافي في بلاد المسلمين، حيث لم يكن له أي مهمة تتعلق برفاهية الناس وكان لا بد من دفع هذا الثمن غالياً من الأمة، الضحية الرئيسية والأولى.

إن الإسلام يحرم التنمية القائمة على الاستثمار الأجنبي، وخاصةً تلك التي تنطوي على الديون الربوية. إنّ التنمية في الإسلام تهدف إلى عبادة الله، وترتكز على العقيدة الإسلامية، وتقدم تنمية الإنسان على تنمية المكان والمادة. وتقوم الجهات التنموية بتوجيه عملية تداول القيمة وفقاً للعقيدة الإسلامية وتداول رأس المال بطريقة متساوية على أساس الشريعة الإسلامية. ومن هذا المنطلق، يجب أن يكون الإنسان هو محور التنمية، وليس النمو المادي ولا الاقتصادي. لأنه عندما يتحرك التطور على طول محور المواد والأشياء بدلاً من الإنسان، يصبح الإنسان هو العنصر الأقل قيمة، سواء داخل المجتمع نفسه أو خارجه.

ومن ثمّ فإن الطمع في الثروة والطموح إلى الروعة المادية هو في الحقيقة تدمير وليس تنمية. عن كعب بن مالك رضي الله عنه قال: قال رسول الله ﷺ: «مَا ذِئْبَانِ جَائِعَانِ أُرْسِلاَ فِي غَنَمٍ بِأَفْسَدَ لَهَا مِنْ حِرْصِ الْمَرْءِ عَلَى الْمَالِ وَالشَّرَفِ لِدِينِهِ» الترمذي، وقال حديث حسن صحيح.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon