ماذا يحدث في الأردن؟
September 30, 2016

ماذا يحدث في الأردن؟

ماذا يحدث في الأردن؟

الخبر/ الأخبار:

المصدر: مواقع إخبارية أردنية (خبرني، البوصلة،...)

-       الملك يعزي بوفاة بيريز

-       العناني مندوبا عن الأردن بجنازة بيريز

-       الأعيان... التوريث يتواصل – أسماء

-       الملك يزور الفحيص معزيا بـ حتر

-       الملك: حادثة حتر عمل إجرامي جبان

-       رافضو المناهج يعتصمون؛ (قال الله، وقال الرسول – كل الأردن هيك بيتقول)

-       إربد: يطالبون بإقالة الذنيبات

-       استقالة مالك حداد من حكومة الملقي

-       معهد واشنطن يكشف تفاصيل مثيرة حول اتفاق الغاز بين الأردن وكيان يهود (الأردن سيدفع ثمن الصفقة سواء استفاد من الغاز (الإسرائيلي) أم لا...)

التعليق:

مر على الأردن أسبوعان حافلان بالأحداث، فبعد انتخابات مجلس النواب التي صاحبها ما صاحبها من علامات سؤال حول نزاهتها وشفافيتها!!! خاصة في إربد والزرقاء وفي دائرة بدو الوسط وسرقة الصناديق ثم إعادتها واحتسابها في النتائج، وبعدها مقتل الكاتب النصراني اليساري ناهض حتر الذي أساء لكل مقدسات المسلمين وعقيدتهم عندما استهزأ من الذات الإلهية وقبلَها من الرسول محمد عليه الصلاة والسلام والقرآن الكريم والإسلام نفسه عندما كان يهاجم وفي لقاءات موثقة كل شكل من أشكال الحكم الإسلامي أو ما كان يسميه الإسلام السياسي، إضافة لكونه من شبيحة المجرم بشار الأسد، ومحاولة استغلال مقتله من نصارى الأردن وعلمانيي البلاد وفرضه على أهل البلاد المسلمين شهيداً من شهداء الأردن! وتواطأت الحكومة بإصدار قرار يمنع النشر في قضيته وتواطأَ رأسُ النظام؛ فزار أهله نصارى الفحيص معزيا ومعتبرا أن قتله عمل إجرامي جبان، وأدانت قتله اليونسكو وأمريكا وغيرها ممن يحمون هؤلاء الحثالات ويفتحون لهم الأبواب لينفخوا سمومهم وحقدهم على دين وعقيدة المسلمين.

ثم استقالت حكومة الملقي وكلف بتشكيل حكومة جديدة لا تختلف عن سابقتها؛ فالوجوه نفس الوجوه، والأسماء ذاتها تتداور على الدوار الرابع؛ فهذا يخرج من الباب وذاك يعود من نفس الباب وهكذا دواليك، يتبادلون الأدوار في الحكومات المتعاقبة، وقد تدخل وجوه جديدة بعد أن يوافق عليها من الجهات العليا، وفي هذه الحكومة دخلها وزير نصراني للنقل اتضح لاحقا أنه في بداية ثمانينات القرن الماضي قد قام بقتل أخته بعد إسلامها وقد حكم عليه بالسجن وخرج بعفو ملكي من السجن، فهل يمكن أن يحكم على قاتل حتر بالسجن ثم يخرج ليستلم وزارة في الأردن؟!

أما مجلس الأعيان فقصته عجيبة من عجائب الأردن، فهو يتشكل من رؤساء وزراء ووزراء سابقين، وقادة عسكريين وأمنيين، ووجهاء وشيوخ عشائر وصحفيين وغيرهم، ويمكن للفنانين أن يعينوا في هذا المجلس/ مجلس الملك، وفي هذا المجلس يتندرون عندنا في هذا البلد الطيب على بعض الأعيان كونهم أبناء أعيان سابقين أو رؤساء وزارات أو وزراء سابقين؛ اكتسبوا هذا الحق بالوراثة. فالمناصب العليا والرواتب العليا التي تدفعها الدولة ومن ميزانية هذا البلد المسحوق تذهب لهؤلاء وأبنائهم وبناتهم، فلا عجب إذا ما رأينا بعضهم يدافعون وبشراسة عن الفاسدين من أهل النظام كونهم يحلمون حقيقة بالدخول في حلقات الكبار الذين صنعهم النظام وعلى مدى سنين عديدة شملت الأجداد والآباء والأبناء وهم حريصون على دخول الأحفاد في هذه الحلقات.

وقد سبقت الانتخابات النيابية عاصفة ما سمي بتغيير المناهج والتي بدأت حقيقة منذ زمن، إلا أنها كشفت عن وجهها القبيح وهدفها الدنيء هذا العام، فظهرت على حقيقتها أنها هجوم على كل ما يمت للإسلام بصلة؛ فأزيلت الآيات والأحاديث النبوية ومظاهر الحياة الاجتماعية الإسلامية من كل الكتب، وأدخلت مفاهيم الديمقراطية الغربية كالحرية والتعايش وقبول الآخر حتى لو كان محتلاً أو غاصبا، وليس ببعيد أن يفرضوا تدريس الهولوكوست (محارق اليهود المزعومة) على أبنائنا وفي مناهج أبنائنا. إلا أن أهل هذا البلد وفي ردة فعل فطرية أعلنوا رفضهم لهذه التعديلات وتحركت مشاعرهم الدينية فأحرق بعضهم وفي مدن عدة المناهج الجديدة، بل وأعلن بعض أولياء الأمور وبعض المعلمين رفضهم تدريس المناهج الجديدة والعودة إلى القديمة.

ثم قامت الحكومة المنحلة وبعد حلها وقبل تشكيل الحكومة الجديدة وقبل انعقاد جلسات مجلس النواب المنتخب والذي أجل انعقاده لشهر تقريبا، قامت هذه الحكومة بتوقيع اتفاقية الغاز مع كيان يهود على الرغم من رفضها شعبيا ورفضها مجلس النواب السابق عام 2014. فإصرار النظام على المضي قدما في الاتفاقية رغم انخفاض أسعار النفط عالميا ليدل دلالة واضحة على الارتباط العضوي بين النظام في الأردن وكيان يهود المغتصب، وأنهما توأمان يحرصان ويسهران على حماية بعضهما، ومن الطبيعي أن يعزي رأس النظام ويرسل وفدا رسميا برئاسة العناني - الذي قال قبل أيام: نعم قد عدلنا المناهج لأنها كانت تدعو للتطرف والإرهاب - ليشارك في مراسم دفن مجرم قانا شمعون بيريز قاتل الأطفال والنساء.

هي الحملة الصليبية على الإسلام وبلاد المسلمين، فأينما توجهت بنظرك وعلى عرض البسيطة وطولها فلن تجد دماء وأرواحا تزهق إلا دماء المسلمين غالبا. ففي الشرق: الصين وبورما والفلبين وأفغانستان والعراق، وفي الغرب ليبيا ومالي والصحراء الغربية، وجيراننا في الشام منذ أكثر من خمس سنين؛ تآمر عليهم الغرب والشرق تقودهم أمريكا رأس الكفر في حربها لأهل الشام، لترجعهم لحظيرة بشار عميلها بعد أن صدحت حناجرهم رفضا لعميلها وأنها لله، وهذا النظام في الأردن بعد أن أحس بالخطر بعد ثورات الربيع العربي، وبعد أن بدأت أمريكا بمحاولة صياغة المنطقة من جديد وإنهاء صيغة سايكس – بيكو، انخرط هذا النظام في المؤامرة ظنا منه بإطالة عمره، وبدأ يرقص على أنغام معزوفة محاربة (الإرهاب) التي اختلقتها وصنعتها أمريكا، بل ويريد أن يظهر بالقائد أحيانا لهذه المعركة فيشارك بقواته تنفيذا لمخططات أسياده في لندن وواشنطن، هذا التوجه من النظام فرض عليه أن يستجيب وينفذ وبصدر رحب أوامر أسياده في محاربة الإسلام ومظاهر الحياة الإسلامية ومحاولة تغيير المفاهيم السائدة وتمييعها عن الإسلام لينتج إسلاما مطواعا وناعما يطابق المواصفات الغربية والأمريكية بخاصة، فقادم الأيام لا يبشر بخير ما دامت هذه الأنظمة العميلة جاثمة على صدورنا، تنفذ فينا وعلينا أوامر أسيادها في لندن وواشنطن.

وهم يظنون أنهم سينتصرون حسب ما تزين لهم شياطينهم، ولا يدرون أنهم بهذا قد أعلنوا الحرب على خالق الكون والإنسان والحياة، رب العزة الذي تعهد بحفظ دينه من فوق سبع سماوات.

﴿وَيَمْكُرُونَ وَيَمْكُرُ اللَّهُ وَاللَّهُ خَيْرُ الْمَاكِرِينَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد الله الطيب – الأردن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon