ماذا يحصل في أوكرانيا؟
ماذا يحصل في أوكرانيا؟

الخبر: الغزو الروسي لأوكرانيا... التعليق: قبل غزو روسيا لأوكرانيا، شاركت الولايات المتحدة بنشاط في الإعلان العام عن التطورات المتعلقة بالأزمة الروسية الأوكرانية، وكانت تدرك جيداً خطة روسيا لغزو أوكرانيا، حتى ومتى سيحدث ذلك. في مناسبات عديدة، أشار الرئيس بايدن إلى أن الغزو الروسي لأوكرانيا كان وشيكاً وأعد المجتمع الدولي لهذه الحرب القادمة. اللافت للنظر أن أمريكا لم تتخذ أية إجراءات احترازية كبرى لردع غزو قوة نووية توسعية على حدود "حليفتها" أوروبا، بخلاف التهديد بفرض عقوبات.

0:00 0:00
Speed:
March 01, 2022

ماذا يحصل في أوكرانيا؟

ماذا يحصل في أوكرانيا؟

(مترجم)

الخبر:

الغزو الروسي لأوكرانيا...

التعليق:

قبل غزو روسيا لأوكرانيا، شاركت الولايات المتحدة بنشاط في الإعلان العام عن التطورات المتعلقة بالأزمة الروسية الأوكرانية، وكانت تدرك جيداً خطة روسيا لغزو أوكرانيا، حتى ومتى سيحدث ذلك. في مناسبات عديدة، أشار الرئيس بايدن إلى أن الغزو الروسي لأوكرانيا كان وشيكاً وأعد المجتمع الدولي لهذه الحرب القادمة. اللافت للنظر أن أمريكا لم تتخذ أية إجراءات احترازية كبرى لردع غزو قوة نووية توسعية على حدود "حليفتها" أوروبا، بخلاف التهديد بفرض عقوبات.

في الواقع، أججت الولايات المتحدة قبل التصعيد التوترات الحالية بين أوروبا وروسيا من خلال إجراء سلسلة من التدريبات العسكرية واسعة النطاق في أوروبا الشرقية مع شركائها في الناتو. في عام 2019، أعلن الجيش الأمريكي أن تمرينه "Defender Europe" سيكون أكبر اختبار لنشر القوات الأمريكية في أوروبا منذ ربع قرن. ولولا "كوفيد" لكان التمرين يضم 20.000 من أفراد الخدمة الأمريكية الذين كانوا سينتقلون من قواعد في أمريكا الشمالية "إلى مواقع في جميع أنحاء أوروبا، بما في ذلك بولندا ودول البلطيق وبعض دول الشمال وألمانيا". وفي العام التالي تم نشر 9.000 جندي في أوروبا.

لذلك، يبدو أن الولايات المتحدة لم تكن على استعداد فقط لمنع الغزو القادم، بل عززته أيضاً من خلال استفزاز روسيا في أوروبا الشرقية مع أوكرانيا. ومن ثم فقد أعطت إذنا بالموافقة على دخول روسيا إلى أوكرانيا.

بالنسبة لروسيا، فإن ضم أوكرانيا هو مجرد جزء من خطة أوسع لاستعادة مكانتها المهمة على المسرح الدولي كما فعلت من قبل. فبعد انهيار الاتحاد السوفيتي، قالت وزيرة الخارجية الأمريكية السابقة مادلين أولبرايت في عام 2000 عن الرئيس بوتين: "إنه يشعر بالأسف لما حدث لبلده وهو مصمم على استعادة عظمتها". ومنذ ذلك الحين، تُحكِم روسيا قبضتها على الجمهوريات السوفيتية السابقة. ففي عام 2008 ضمت أجزاء من جورجيا، وفي عام 2014 ضمت شبه جزيرة القرم - جنوب أوكرانيا، وها هي الآن تحاول ضم شرق أوكرانيا بالقوة.

من أجل وقف هذا الانجراف التوسعي، واجهت الولايات المتحدة روسيا مع الاتحاد الأوروبي في أوكرانيا. خطب بوتين على شاشة التلفزيون الوطني حيث أعلن رؤيته العظيمة لروسيا عظيمة وأعمال المتابعة التي قام بها من الاستعداد للحرب وغزو أوكرانيا أخيراً استُخدمت بشغف لخلق رأي عام ضد بوتين ومثله العليا. وأصبح تجسيداً لداعية حرب خطير وهتلر جديد وخطر على السلام والعالم الحر. ما أدى إلى قائمة طويلة من العقوبات الشديدة من أمريكا وبريطانيا والاتحاد الأوروبي واليابان وأستراليا ونيوزيلندا وتايوان لمعاقبة روسيا وعزلها. وكما قالت رئيسة المفوضية الأوروبية أورسولا فون دير لاين: "يجب أن يفشل الرئيس الروسي فلاديمير بوتين وسيفشل". قد لا يكون لهذه العقوبات تأثير مباشر في المستقبل القريب، لكن سيكون لها بالتأكيد تأثير على روسيا على المدى الطويل وتضعف موقفها، وهو بالضبط الموقف الذي تريد أمريكا أن تكون فيه روسيا.

من ناحية أخرى، استغلت الولايات المتحدة أيضاً هذه الأزمة على الحدود الشرقية لأوروبا للضغط على الاتحاد الأوروبي لإعادتها إلى دائرة النفوذ الأمريكية. منذ إدارة ترامب وهزيمته في أفغانستان، فقد الاتحاد الأوروبي ثقته في الولايات المتحدة وبدأ في السير في مساره الخاص. تريد الولايات المتحدة عكس هذا التطور من خلال خلق مشكلة لأوروبا لا يمكنها التعامل معها بمفردها. هذا العجز عن العمل ضد التهديد الروسي الأخير هو بالضبط ما شهدناه في الاتحاد الأوروبي. فالاتحاد الأوروبي منقسم وليس لديه قوة عسكرية ضاربة قوية. وكما قالت وزيرة الدفاع الألمانية السابقة أنيغريت كرامب كارينباور: "أنا غاضبة جداً من أنفسنا، لأننا فشلنا تاريخياً. بعد جورجيا وشبه جزيرة القرم ودونباس، لم نجهز أي شيء يمكن أن يردع بوتين حقاً. لقد نسينا الدرس المستفاد من شميدت وكول من أن المفاوضات لها الأولوية دائماً، ولكن في الوقت نفسه يجب أن تكون قوياً عسكرياً بحيث لا يمكن أن يكون عدم التفاوض خياراً للطرف الآخر". لذلك، تم تذكير الاتحاد الأوروبي مرة أخرى بضعفه وأنه لا يزال بحاجة إلى القوة والنفوذ العسكري للولايات المتحدة.

مستفيداً من الوضع الضعيف في أوروبا، تدخل بايدن في القضايا المحلية لأوروبا. فعلى سبيل المثال، سارع إلى فرض عقوبات على خط أنابيب الغاز نورد ستريم 2 الذي عارضته الولايات المتحدة بشدة منذ البداية لكنه لم يكن قادراً على إيقافه، والآن هو كذلك.

لذا، يبدو أن الولايات المتحدة تستفيد من الحرب في أوكرانيا. يتم استغلال أوكرانيا والتخلي عنها من الناتو والاتحاد الأوروبي، وفي أفضل السيناريوهات، سيتعين عليها التنازل عن مناطقها الشرقية لروسيا. من المحتمل أن تتمكن روسيا من ضم الجزء الشرقي من أوكرانيا إلى شبه جزيرة القرم وتنصيب نظام موالٍ لها. الخطة هي أن روسيا ستضعف بسبب العقوبات والعزلة الدولية المفروضة على المدى الطويل، ما لم تتحسن العلاقة والتعاون بين روسيا والصين. وعجز الاتحاد الأوروبي مرة أخرى يعيده إلى حضن أخيه الأكبر الولايات المتحدة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أوكاي بالا

الممثل الإعلامي لحزب التحرير في هولندا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon