محرقة بغزة وجنين ونظام الخزي والعار بالمغرب كل همه خدمة الاستعمار!
محرقة بغزة وجنين ونظام الخزي والعار بالمغرب كل همه خدمة الاستعمار!

الخبر:   استقبل نائب الأميرال جيل بوديفيزي، قائد المنطقة البحرية المتوسطية والمحافظ البحري لمنطقة البحر الأبيض المتوسط في الجيش الفرنسي، مسؤولين عسكريين مغاربة في إطار "مناورات شيبيك 2023" التي ستجمع البحرية الملكية المغربية مع نظيرتها الفرنسية قبالة السواحل الفرنسية، حسب ما أفاد به منشور لقيادة المنطقة البحرية في البحر الأبيض المتوسط والبحر الأسود في الجيش الفرنسي، على حسابها الرسمي على منصة "إكس" (تويتر سابقا).

0:00 0:00
Speed:
December 03, 2023

محرقة بغزة وجنين ونظام الخزي والعار بالمغرب كل همه خدمة الاستعمار!

محرقة بغزة وجنين ونظام الخزي والعار بالمغرب كل همه خدمة الاستعمار!

الخبر:

استقبل نائب الأميرال جيل بوديفيزي، قائد المنطقة البحرية المتوسطية والمحافظ البحري لمنطقة البحر الأبيض المتوسط في الجيش الفرنسي، مسؤولين عسكريين مغاربة في إطار "مناورات شيبيك 2023" التي ستجمع البحرية الملكية المغربية مع نظيرتها الفرنسية قبالة السواحل الفرنسية، حسب ما أفاد به منشور لقيادة المنطقة البحرية في البحر الأبيض المتوسط والبحر الأسود في الجيش الفرنسي، على حسابها الرسمي على منصة "إكس" (تويتر سابقا).

التعليق:

ما أحقر وأخزى أنظمة الخيانة والعار الجاثمة على صدورنا! ساحة الحرب والإبادة والمحرقة بغزة وجنين أرضنا المباركة، وبإدلب شام فواجعنا ومآسينا، وجيوشنا رهن للاستعمار يحركها رويبضات الحكام عبيد الاستعمار حيثما اقتضت حاجة الاستعمار؛ فكذاب أنقرة أردوغان الجمهورية العلمانية ييمّم بعساكره صوب الشام لسحق ثورتها وحرف بوصلة ثوارها وإبقاء الشام في قبضة الأمريكان، ومن قبلُ حرك الجيش لإسناد أمريكا في استعمار بلاد أفغانستان، وتراه يهيم بجيشه في ركاب الأمريكان وخدمة لاستعمارهم في العراق وطرابلس الغرب وأذربيجان، أما فلسطين فقد أمدّ الأفاك الصهاينة بالنفط والطعام، وسفنه المحملة من ميناء جيهان والتي فضحها شريكه في الخيانة وزير خارجيته السابق داوود أوغلو تنطق بخيانته.

أما خائن الأردن فجعل جيشها يهيم في كل واد خدمة للاستعمار؛ فمن العراق ودعم استعماره، إلى تيمور الشرقية وإسناد المستعمر الغربي في فصلها عن جسم الأمة، إلى ساحل العاج وليبريا والكونغو وإريتريا وأنغولا لدعم الغرب في نهب ثروات شعوب أفريقيا، وحتى هايتي في البحر الكاريبي، وما أخطأ اللعين وتنكّب إلا على الأقصى وأرضه المباركة على مرمى حجر.

أما حقير مصر فحرك الجيش نحو سيناء وأحرق أبناءها وهجر أهلها وصير رَفَحَها قاعا صفصفا، إحكاما لحصار غزة وتجويع أهلها ومنعهم من كل مدد وعون من إخوانهم برفح أرض مصر، وحول جيش مصر لحارس لكيان المغضوب عليهم.

وبأرض المغرب نظام الخسة والنذالة حول أرضها إلى مكب لنفايات يهود واتخذ منهم بطانة وأولياء وعقد معهم كل أنواع الاتفاقيات سياسية وأمنية وعسكرية واقتصادية وثقافية، وأقام لهم بأرض المغرب ملجأ ودار استراحة وسياحة ليفر إليها جبناء الصهاينة ويرتاح بها قتلتهم، وجعل من مستشاره المتصهين أزولاي وصياً على شؤونهم، ثم اقتطع لهم من أرض البلد أخصب الضيعات لاستغلالها في تسويق ما جلبوه للبلد من فواكه وثمار معدلة جينياً ومستنِزفَة للمياه على حساب زرع أهل البلد وخضرواتهم وقوتهم، وفي خزي خيانة تطبيعه مع الصهاينة الغاصبين يفاخر بأن أكثر صهاينة فلسطين الغاصبين هم من يهود بلاد المغرب، بل ضَمَّنَ مناهج التعليم حكايات وقصاصات عن يهود وأنهم من أهل البلد لمسخ العقول وتزييف الوعي والتطبيع مع الخيانة، واستفحلت خيانة هذا النظام الخسيس حتى صير لملاعين المغضوب عليهم كلمة ورأيا في دين المسلمين، ففي 9 شباط/فبراير 2022 تم التباحث مع كيان يهود في خطط عملية تطبيقية تخص التعاون بين أئمة المنابر من المسلمين وحاخامات اليهود لترسيخ ثقافة التسامح، (الخنوع والصغار أمام أذل خلق الله).

وما اكتفى هذا النظام الخسيس من خيانته وما شبع، بل مُصِرٌّ كل الإصرار على خدمة الاستعمار، بل ويتفانى في ذلك، فبينما أهل البلد مهمومون ومحزونون بإبادة ومحرقة أبنائهم ونسائهم وشيوخهم وإخوانهم بغزة أرضهم المباركة، فلا تكاد مدينة بالمغرب إلا وخرج أهلها نصرة لإخوانهم وما توقف الأمر، وإن كان إعلام العار يعمي عن حركة الأمة، ترى هذا النظام الحقير منشغلاً بتخريج بنود فاحشة سيداو وتقنينها كنظام اجتماعي ولجان تعديلاته في اجتماعات لا تتوقف، مستغلا ظرف انصراف الناس وانشغالهم بمأساة إخوانهم لتشريع فاحشة الزنا (العلاقات الرضائية) وموبقة فعل قوم لوط (حذف القانون المجرّم لها من قانون العقوبات) وإباحة الإجهاض، بل ونكأً لجراحنا ومحرقة غزة تذيب أكبادنا أقام نظام العار مهرجانا للفسق والفجور وإشاعة الرذائل "المهرجان الدولي للفيلم بمراكش".

ثم في تفانيه في خدمة الاستعمار جعل من جيش البلد كتيبة وفيلقاً في جيوش المستعمرين، فأسند الغرب عسكريا في استعمار العراق، ثم أقحم الجيش في الصراع الاستعماري الغربي على اليمن، بل وفّر للمستعمر الغربي العساكر لحماية مستعمراته تحت خديعة قوات حفظ السلام، وأسند استعماره بأزيد من 51 ألف جندي من جيش المغرب في الكونغو والصومال وجمهورية الكونغو الديمقراطية وساحل العاج وجمهورية أفريقيا الوسطى.

واليوم وإبادة غزة تفتت أكبادنا يرسل النظام الخسيس الجيش في مناورة مع المستعمر الفرنسي الحقير، علما أن العلاقات مع فرنسا تعرف توترا، ولكن وظيفة النظام الاستعمارية وحاجة المستعمر الأصيل الذي يدور في فلكه نظام العمالة بالمغرب اقتضت أن يبقي الباب مع فرنسا مواربا وأن تبقى العلاقات مع فرنسا باردة ولا تصل إلى إغلاق الباب وقطع العلاقات، حتى إذا تغير موقف المستعمر الأصيل أعيد فتح الباب وتطبيع العلاقات.

هكذا هي أنظمة الخيانة والعار؛ حكامها عبيد للاستعمار ما انفكوا يتآمرون على قضايانا، وها هم قد حولوا جيوشنا إلى فرق وفيالق تابعة لجيوش الاستعمار، ثم يستميت كل رويبضة منهم في إنفاذ مكر وكيد وأحقاد الغرب الكافر المستعمر فينا.

فحكامنا هم طائفة منافقي زماننا وهم أبغض أعدائنا، ولا خلاص لهذه الأمة إلا بالتخلص منهم وقلع المنظومة الاستعمارية والأوضاع الاستعمارية التي كرسوها ويسعون في ديمومتها. هم المنافقون دوما وأبدا في كل زمان ومكان، ومنافقو زماننا هم حكامنا وفيهم نزل: ﴿لَئِنْ لَمْ يَنْتَهِ الْمُنَافِقُونَ وَالَّذِينَ فِي قُلُوبِهِمْ مَرَضٌ وَالْمُرْجِفُونَ فِي الْمَدِينَةِ لَنُغْرِيَنَّكَ بِهِمْ ثُمَّ لَا يُجَاوِرُونَكَ فِيهَا إِلَّا قَلِيلاً * مَلْعُونِينَ أَيْنَمَا ثُقِفُوا أُخِذُوا وَقُتِّلُوا تَقْتِيلاً * سُنَّةَ اللهِ فِي الَّذِينَ خَلَوْا مِنْ قَبْلُ وَلَنْ تَجِدَ لِسُنَّةِ اللهِ تَبْدِيلاً﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

مناجي محمد

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon