مخاطر تعرُّض جنوب إيطاليا لأعمال النهب والشغب إذا فقدت إيطاليا قبضتها في الجنوب
مخاطر تعرُّض جنوب إيطاليا لأعمال النهب والشغب إذا فقدت إيطاليا قبضتها في الجنوب

الخبر: في الوقت الذي يصارع فيه رئيس الوزراء جوزيبي كونتي للحفاظ على المجتمع الإيطالي متماسكاً من خلال الإغلاق المدمّر المفروض على مستوى البلاد، يتحول الجنوب المحبَط إلى برميل بارود.

0:00 0:00
Speed:
April 04, 2020

مخاطر تعرُّض جنوب إيطاليا لأعمال النهب والشغب إذا فقدت إيطاليا قبضتها في الجنوب

مخاطر تعرُّض جنوب إيطاليا لأعمال النهب والشغب إذا فقدت إيطاليا قبضتها في الجنوب
(مترجم)


الخبر:


في الوقت الذي يصارع فيه رئيس الوزراء جوزيبي كونتي للحفاظ على المجتمع الإيطالي متماسكاً من خلال الإغلاق المدمّر المفروض على مستوى البلاد، يتحول الجنوب المحبَط إلى برميل بارود.


تم نشر الشرطة في شوارع عاصمة صقلية باليرمو وسط تقارير تفيد بأن العصابات تستخدم وسائل التواصل في التخطيط للهجوم على المتاجر. حيث أوقفت شركة عبّارات مفلسة خدمتها على الجزيرة، بما في ذلك الإمدادات الحيوية من المواد الغذائية والأدوية. في الوقت الذي تصرخ فيه الدولة تحت وطأة وباء فيروس كورونا، يشعر المسؤولون بالقلق من أن المافيا قد تستعد للتدخل.


وقال عمدة باليرمو ليولوكا أورلاندو لصحيفة لاستامبا: "نحن بحاجة إلى التصرف بسرعة أكبر من السرعة، الأزمة قد تتحول إلى عنف". (بلومبيرغ، 30/03/2020)


التعليق:


يوجد في إيطاليا حالياً أكبر عدد من الإصابات المؤكدة - 120 ألفاً وأعلى عدد من الوفيات يصل إلى 11 ألفاً - وتواجه منطقتها الجنوبية المتخلفة تداعيات الإغلاق لمدة أربعة أسابيع فعلاً.


غالباً ما تصور أفلام هوليوود انهياراً للمجتمع بعد نهاية العالم حيث يلجأ الناس إلى الجريمة ويقاتلون من أجل البقاء كأفراد، لإدراكهم أن حكوماتهم غير قادرة أو غير راغبة في القيام بما فيه الكفاية. ومن المحزن أن هذا الواقع بدأ يحدث في أجزاء من الجنوب حيث ينفد المال من الناس، وتم الإبلاغ عن حالات عدة من عمليات السطو، وشهد عدد من المتاجر الكبرى زيادة في حالات السرقة. إن ما يقرب من 3.7 مليون يعملون في الاقتصاد تحت الأرض، مع وظائف يومية لتغطية نفقاتهم ما يسبب قلقا حقيقيا حول عودة ظهور العصابات، ولا سيما المافيا. وبالنظر إلى أننا رأينا مبيعات الأسلحة النارية في أمريكا وأستراليا، حيث الناس يُكبّون لتخزين الأسلحة، فإن مثل هذا السيناريو المقلق هو أكثر احتمالاً في المدن التي تنتشر فيها الجريمة والفساد بشكل خاص، والجريمة المنظمة، والاتجار بالمخدرات والأشخاص، وانتشار غسيل الأموال.


في هذه الأوقات الاستثنائية، من المهم فهم ديناميكيات المجتمع وعلاقته مع الحكومة. عندما يفشل حكام مثل ترامب وبولسانارو البرازيلي، إلى جانب كثيرين آخرين - في التصرف بسرعة، ولا يقدمون التمويل الكافي للمستشفيات وموظفيها، أو يقللون من خطورة الفيروس من حيث الذين يمكن أن يؤثر عليهم، فإنهم يفشلون بالفعل، بل ويضطهدون شعبهم. وبدون الوعي الكامل على احتياجات الناس، وإجبارهم على إغلاق المجتمعات المحلية التي لا تستطيع العمل من المنزل، والأقل احتمالاً لتخزين الغذاء والضروريات، والذين لا يستطيعون عزل أنفسهم بشكل فعال لأن المنازل صغيرة أو مكتظة بالفعل، يجب أن يفهموا ذلك والتصرف بخصوصه بشكل صحيح.


لا يكفي أن تطالب الحكومات بالاستثمار في أجهزة التنفس الصناعي والملابس الواقية، إذا لم تتمكن حتى من فهم كيفية تلبية احتياجات الناس، وتعتقد أنه من خلال إبقاء الجميع في المنازل، فإن المشكلة ستزول. فماذا عن المشاكل التي يتم إنشاؤها؟


اقتصادات العملة الإلزامية مثل بريطانيا، تضخ المال بكل سرور على كل من يطلب منه البقاء في المنزل، وتقدم العطل والإجازات المدفوعة الأجر من الدولة تصل إلى 80٪... ولكن لا يوجد أي نقاش حول كيفية تعويض الدولة عن هذا الضخ الهائل للنقد الافتراضي وعواقبه.


في حين إن ولايات في أمريكا مثل كاليفورنيا شهدت تسجيل 3.5 مليون شخص كعاطلين عن العمل في أقل من أسبوع، ولكن لا تزال إدارة ترامب تنفي الانتشار الواضح للفيروس وتلعب علنا بالحقيقة للانحراف عن مسؤوليتهم تجاه الشعب، وذلك لحماية الاقتصاد بدلا من ذلك.

حتى إن العديد من كبار قادة وول ستريت ذكروا أن "الأمريكيين الوطنيين المسنين ضحوا بحياتهم بسرور من أجل الاقتصاد الأمريكي"!


ومع وجود زعماء مثل هؤلاء، وغيرهم في مناطق آسيا الوسطى الذين حظروا حتى الحديث عن كوفيد-19، ما الذي يمكن توقعه غير أن يتحول الناس إلى الجريمة أو على أقل تقدير مستويات متطرفة من الفردية؟ بعد كل الفردية التي تم تعزيزها من خلال القيم الليبرالية للرأسمالية في القرن الماضي على الأقل، فإن الناس الذين تم تلقينهم لإعطاء الأولوية لأنفسهم على حساب الآخرين ويرون أنها قيمة تقدمية، هؤلاء في نهاية المطاف سوف يفعلون أي شيء لرعاية أنفسهم، حتى لو كان يؤثر سلبا على الآخرين.


في ظل النظام الإسلامي، فإن أمير المومنين هو المسؤول عن رعيته، وإن المحاسبة التي تترتب على وجوده في هذا المنصب تجبره على إعطاء الأولوية لاحتياجاتهم ودراسة مختلف الوقائع التي تواجهها التركيبة السكانية المختلفة. كما يظهر مفهوم الرزق في الإسلام في النظام الاقتصادي الإسلامي، وفي التقلب الطبيعي بين أوقات الرخاء وأوقات الصعوبة بسبب الكوارث الطبيعية أو حتى الأحداث المناخية، فإن هناك استعدادا لقبول تغير الحال الاقتصادي من وقت لآخر من الراحة أو المشقة بدلاً من السعي الدائم لجمع الثروة والرخاء المادي طوال الوقت كما تفعل الرأسمالية.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
مليحة حسن

#كورونا

#Covid19

#Korona

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon