من سيوفر ملجأ حقيقياً لمسلمي الروهينجا اليائسين؟
من سيوفر ملجأ حقيقياً لمسلمي الروهينجا اليائسين؟

الخبر:   في الرابع من حزيران/يونيو، جرف قارب يحمل 81 لاجئاً من الروهينجا، بينهم 49 امرأة و11 طفلاً، على شواطئ جزيرة إيدامان، قبالة ساحل مقاطعة أتشيه الإندونيسية، بعد أن انجرف لأكثر من 100 يوم في البحر. وتوفي تسعة على متن القارب خلال رحلته الخطرة. لقد غادر مسلمو الروهينجا اليائسون مخيمات اللاجئين المكتظة والقذرة والمليئة بالأمراض في بنغلادش بحثاً عن حياة أفضل في بلد مجاور. ومع ذلك، فقد مُنعوا من دخول الهند وماليزيا والعودة إلى بنغلادش. بعد الوصول إلى الجزيرة الإندونيسية، أفيد أيضاً أن الشرطة المحلية حثت اللاجئين على العودة إلى قاربهم ومغادرة المياه الإندونيسية، لكنهم رفضوا. وهم ينتظرون الآن قرار السلطات الإندونيسية لتقرير مصيرهم، فيما إذا كان بإمكانهم البقاء أو إعادتهم إلى البحر. حتى لو حصلوا على إذن بدخول البلاد، فلن يُسمح لهم بالعمل أو الاستقرار بشكل دائم وفقاً للسياسات والقوانين القومية اللاإنسانية التي ينفذها النظام الإندونيسي.

0:00 0:00
Speed:
June 13, 2021

من سيوفر ملجأ حقيقياً لمسلمي الروهينجا اليائسين؟

من سيوفر ملجأ حقيقياً لمسلمي الروهينجا اليائسين؟

(مترجم)

الخبر:

في الرابع من حزيران/يونيو، جرف قارب يحمل 81 لاجئاً من الروهينجا، بينهم 49 امرأة و11 طفلاً، على شواطئ جزيرة إيدامان، قبالة ساحل مقاطعة أتشيه الإندونيسية، بعد أن انجرف لأكثر من 100 يوم في البحر. وتوفي تسعة على متن القارب خلال رحلته الخطرة. لقد غادر مسلمو الروهينجا اليائسون مخيمات اللاجئين المكتظة والقذرة والمليئة بالأمراض في بنغلادش بحثاً عن حياة أفضل في بلد مجاور. ومع ذلك، فقد مُنعوا من دخول الهند وماليزيا والعودة إلى بنغلادش. بعد الوصول إلى الجزيرة الإندونيسية، أفيد أيضاً أن الشرطة المحلية حثت اللاجئين على العودة إلى قاربهم ومغادرة المياه الإندونيسية، لكنهم رفضوا. وهم ينتظرون الآن قرار السلطات الإندونيسية لتقرير مصيرهم، فيما إذا كان بإمكانهم البقاء أو إعادتهم إلى البحر. حتى لو حصلوا على إذن بدخول البلاد، فلن يُسمح لهم بالعمل أو الاستقرار بشكل دائم وفقاً للسياسات والقوانين القومية اللاإنسانية التي ينفذها النظام الإندونيسي.

التعليق:

في هذه الأثناء، وفي الأول من حزيران/يونيو، تعرض مسلمو الروهينجا في جزيرة باسان شار المهجورة التي نقلهم إليها نظامُ بنغلادش من مخيم كوكس بازار للاجئين، تعرضوا للضرب على أيدي شرطة بنغلادش أثناء محاولتهم الاحتجاج على ظروفهم المعيشية المروعة أمام مسؤولي الأمم المتحدة خلال زيارة المستوطنة. وقالت المفوضية السامية للأمم المتحدة لشؤون اللاجئين في بيان إنها تلقت تقارير عن وقوع إصابات خلال الحدث، من بينهم نساء وأطفال.

باسان هي جزيرة طينية معرضة للأعاصير والفيضانات في خليج البنغال حيث يعيش اللاجئون الروهينجا في ظروف شبيهة بالسجن مع إمكانية الوصول إلى المواد الغذائية الأساسية فقط التي لا تشمل الخضروات أو اللحوم أو الأسماك، وبدون إمكانية الوصول إلى العمل أو المرافق مثل المدارس المناسبة وتوفير الرعاية الصحية.

نقلت سلطات بنغلادش بالفعل 18000 من الروهينجا إلى الجزيرة من مخيمات اللاجئين في البر الرئيسي، من أصل 100000 مخطط لها، مع وعود بأنهم سيكونون قادرين على العمل والزراعة والصيد في موقعهم الجديد الذي تبين أنه كذبة مطلقة. يمكن تقدير حجم ظروفها الفظيعة من خلال حقيقة أن سكان الجزيرة قد وصفوا الحالة الضيقة والقذرة لمخيم كوكس بازار للاجئين في البر الرئيسي لبنغلادش، وهو موطن لحوالي مليون لاجئ من الروهينجا، بأنه أفضل ألف مرة من باسان شار. تم إلقاء القبض على العديد من اللاجئين وضربهم لمحاولتهم مغادرة الجزيرة، بما في ذلك النساء والأطفال، كما وردت أنباء عن التعذيب والانتهاكات على أيدي القوات البنغالية في الجزيرة. وفقا لهيومن رايتس ووتش، تمت معاقبة الأطفال لمجرد خروجهم من المناطق المخصصة لهم. وفي نيسان/أبريل من هذا العام، على سبيل المثال، أفيد أن بحاراً من بنغلادش ضرب 4 أطفال من الروهينجا بأنبوب بلاستيكي لأنهم تركوا أماكنهم للعب مع الأطفال اللاجئين في منطقة أخرى.

إن معاناة وبؤس ويأس مسلمي الروهينجا لا هوادة فيها. لم يتم تصنيفهم على أنهم عديمو الجنسية فحسب لأنهم حُرموا من الجنسية في ميانمار، وهي الأرض التي كانوا يعيشون فيها هم وعائلاتهم منذ أجيال، ولكن لا توجد أرض اليوم حيث يمكنهم التمتع بحياة كريمة محمية؛ لا أرض مستعدة أن تقدم لهم ملاذاً كريماً؛ لا أرض حيث يمكنهم الاتصال بالمنزل. هؤلاء هم المسلمون الذين عانوا بالفعل من أفظع الجرائم التي لا توصف كضحايا للإبادة الجماعية، وهو ما وصفته الأمم المتحدة بأنه "نموذج مثالي للتطهير العرقي". ومع ذلك، وبدلاً من الترحيب بهم باعتبارهم إخوتهم وأخواتهم المسلمين ومنحهم مكاناً آمناً للعيش والازدهار كما أمر الله تعالى، فإن هذه الأنظمة عديمة الإنسانية القائمة في بلاد المسلمين، تعتبرهم بمثابة عبء على اقتصادهم ومطاردة هؤلاء المسلمين الروهينجا اليائسين من شواطئهم، ووضعهم في معسكرات الموت، أو حرمانهم من الحقوق الأساسية، على الرغم من أن الرسول ﷺ قال بوضوح: «الْمُسْلِمُ أَخُو الْمُسْلِمِ لَا يَظْلِمُهُ وَلَا يَخْذُلُهُ».

اليوم، في ظل غياب نظام الخالق؛ الخلافة على منهاج النبوة، وصي ودرع المؤمنين ومسلمي الروهينجا وغيرهم من المسلمين الفارين من الإبادة الجماعية والاضطهاد كما في سوريا وتركستان الشرقية، تواجه احتمال عيش حياة بائسة دائمة تحت شعار "وضع اللاجئ"، مرفوضاً من الأراضي التي يبحثون فيها عن ملاذ، وبدون منزل حقيقي يمكن أن يشعروا فيه بالرعاية والأمان. أما الخلافة فهي دولة تنبذ القومية وترفضها، فقد قال النبي ﷺ: «لَيْسَ مِنَّا مَنْ دَعَا إِلَى عَصَبِيَّةٍ وَلَيْسَ مِنَّا مَنْ قَاتَلَ عَلَى عَصَبِيَّةٍ وَلَيْسَ مِنَّا مَنْ مَاتَ عَلَى عَصَبِيَّةٍ». بدلاً من ذلك، ستوفر حقوق التابعية المتساوية لأولئك الذين يرغبون في العيش تحت حكمها، بغض النظر عن المعتقد الديني أو العرق أو الإثنية، كما يوجب الإسلام الترحيب بأولئك الذين يطلبون اللجوء داخل أراضيها، ومعاقبة أولئك الذين يسيئون معاملتهم، وتوحيد وإيجاد الانسجام بين مختلف الشعوب في مجتمعه من خلال سياسته الداخلية الإسلامية التي هي مثال للإنسانية. ولهذا ليس من المستغرب أن يكتب الكاتب البريطاني إتش جي ويلز عن الخلافة: "لقد أسسوا تقاليد عظيمة من التسامح العادل. إنها تلهم الناس بروح الكرم والتسامح، وهي إنسانية وعملية. لقد أنشأوا مجتمعاً إنسانياً كان من النادر رؤية القسوة والظلم الاجتماعي فيه، على عكس أي مجتمع جاء قبله". بعد أن فهمنا كل هذا، أليست إقامة هذه الدولة حاجة ملحة في عصرنا؟

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. نسرين نوّاز

مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon