منظمات المجتمع المدني الأجنبية تستهدف شبابنا... صناعة قادة أم صناعة عملاء؟
منظمات المجتمع المدني الأجنبية تستهدف شبابنا... صناعة قادة أم صناعة عملاء؟

انطلقت يوم الثلاثاء 28 آب/أغسطس 2018 في بنزرت جامعة صيفية بنزل الأندلسيّة لطلبة حزب آفاق تونس والتي ينظمها الحزب بالشراكة مع المنظمة الألمانية فريدريتش ايبرت والمعهد الجمهوري الدولي الأمريكي لغاية 2 أيلول/سبتمبر 2018 تحت إشراف محمد علي الفريوي عضو المكتب السياسي للحزب وأعضاء وقيادات عدّة لحزب آفاق تونس.

0:00 0:00
Speed:
September 09, 2018

منظمات المجتمع المدني الأجنبية تستهدف شبابنا... صناعة قادة أم صناعة عملاء؟

منظمات المجتمع المدني الأجنبية تستهدف شبابنا...

صناعة قادة أم صناعة عملاء؟

الخبر:

انطلقت يوم الثلاثاء 28 آب/أغسطس 2018 في بنزرت جامعة صيفية بنزل الأندلسيّة لطلبة حزب آفاق تونس والتي ينظمها الحزب بالشراكة مع المنظمة الألمانية فريدريتش ايبرت والمعهد الجمهوري الدولي الأمريكي لغاية 2 أيلول/سبتمبر 2018 تحت إشراف محمد علي الفريوي عضو المكتب السياسي للحزب وأعضاء وقيادات عدّة لحزب آفاق تونس.

والهدف المعلن لهذا الملتقى، الذي يشارك فيه أكثر من 150 طالبة وطالباً من شباب الحزب أعمارهم تتراوح بين 20 و24 سنة، هو تحسين المشاركة السياسية للطلبة وتعزيز قيم الانتماء للحزب وتبني أسس وقيم الليبرالية الاجتماعية وتطوير مهارات وقدرات الطلبة في مجال القيادة والتواصل.

التعليق:

قبل الخوض في بحث الأسباب الحقيقية لهكذا تظاهرات أصبحت تتكاثر كالفطريات في الساحة السياسية في تونس فلنعطِ لمحة بسيطة عن كلا المنظمتين الغربيتين:

فريدريتش ايبرت التي ذكر اسمها كثيرا في الآونة الأخيرة كراعية للندوات والتظاهرات الثقافية والسياسية الحكومية والمستقلة بعد ثورات الربيع العربي، ليس فقط في تونس بل هي في نشاط دائم واتصال حثيث بالفئة الشابة في كل من مصر، تونس، وليبيا، والأردن، وفلسطين، واليمن... والقائمة تطول حيث تعمل على التثقيف بالمفاهيم الليبرالية والعلمانيّة، وهي تركز أساسا نشاطها على التكوين السياسي للشباب وما تسمّيه بالنصيحة السياسية للأحزاب والمنظمات داخل البلاد، والذي يثير الريبة أنها لا تتوجّه إلى الجمهور العريض بل تستهدف الشباب الجامعي في تونس بل وتصطاده من خلال الأحزاب السياسية ذات التبعية الأوروبية والغربية فتقوم بتأطيره وإحاطته بل وحتى إغرائه من خلال برامج المنح لمواصلة الدراسة في ألمانيا التي تقدمها لطلبة الدكتوراة والبحث العلمي والتي تشترط فيها تبني الطالب للقيم الليبرالية وإثباته لمدى استعداده لتبني وخدمة القيم الغربية التي تغلفها بوصفها كونية وإنسانيّة.

أمَا منظمة المعهد الجمهوري الدولي فهي أمريكية الجنسية برئاسة السيناتور جون ماكين المقبور مؤخرا، وهو اسم سياسي غني عن التعريف يرتبط ذكره بحرب العراق فهو كان زعيم المحافظين الجدد في أمريكا والذين قاموا بشن حملة شنيعة لغزو العراق إضافة لكونه المرشح الجمهوري ضد أوباما في الانتخابات الرئاسية سنة 2008 وطيّارا عسكريّا خاض حرب فيتنام وأُسر، بالإضافة لكونه صديقا حميما لسفّاح شيلي الجنرال السابق بيونشيه وهو أحد جنرالات الولايات المتحدة الديكتاتوريين الذين عملوا لصالحها لمحاربة المد الاشتراكي بالاستبداد بشعوبهم من خلال اغتيال رئيس تشيلي المنتخب سيلفادور أليندي والفساد المالي والسياسي الذي ميّز حكمهم لبلدان أمريكا اللاتينية.

والهيكل الإداري لهذه المنظمة يحوي الكثير من الأسماء السياسية المعروفة بأنها على شاكلة ماكين ومعادية أشد العداء للأمّة الإسلاميّة خاصة وكل من يقف أمام مصالحهم الرأسمالية الاستعمارية عامّة، ولعل ماكين مثالٌ كافٍ يغنينا عن التعريض بهم.

أمّا النشاطات السياسية المشبوهة لهاته المنظمة فقد اشتهرت بأنها السبب الرئيسي الواقف وراء الانقلاب سنة 2004 على القس استيد رئيس جمهورية هايتي - الواقعة في بحر الكاريبي- ونفيه حيث عرف عنه عداؤه للسياسة الأمريكية ومحاسبته للاستعمار الفرنسي مطالبا باريس بمبالغ تعويضية كبيرة لاستعمارها بلاده.

كما أنّها توفر دعما للأحزاب اليمينيّة المتطرفة في بولندا التي ترفع شعار "أوروبا البيضاء" و"الدّماء النّقية" إضافة إلى نشاطها الكبير في أعقاب ثورة 25 يناير بمصر في صفوف الشّباب مساهمة في خلق وافتعال أجواء سياسية ورأي عام يخدم الانقلاب الذي أتى في ما بعد، أمر يمكن ربطه بعلاقة أمريكا المباشرة في الانقلاب الذي أدّى إلى اغتيال الثورة ومجيء السيسي.

هذا الخبر الذي يبدو بسيطا للوهلة الأولى ويمر مرور الكرام ليس سوى نقطة في بحر العمل الخبيث والدءوب للغرب من خلال أذرعه العالميّة في المجتمع المدني حيث ينفق الملايين ويستنفد مئات الطاقات والجهود ليستهدف شباب أمتنا للتّغرير بهم وعجنهم وفقا لقالب يخدم مصالح الغرب الاستعمارية، فهو اليوم يجد نفسه عاجزا عن فرض هيمنته من خلال الحروب... ولعل في ثورة سوريا خير مثال فهو قد سقط في مستنقع حرب لم يستطع فيه الالتفاف على أهل الشام الذين رفضوا كل عملائه وصُنّاعه السياسيين لذلك هو يلتفت لبلد مثل تونس فيجد - ويا للعار - بتواطؤ من النظام السياسي المتخاذل مناخا ملائما لاستقطاب الشباب وخلق عملاء للمستقبل يستغلهم للالتفاف على إرادة الناس وتمرير أجنداته ومخططاته الاستعماريّة، وسيرتهم التي ذكرت خير شاهد.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أ. وهيبة عطية – تونس

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon