مرة أخرى تم وضع الوصفة المؤلمة أمام الناس
مرة أخرى تم وضع الوصفة المؤلمة أمام الناس

الخبر:   رفع البنك المركزي التركي توقعاته للتضخم لنهاية عام 2023 من 22.3 في المائة إلى 58 في المائة. وتم تعديل توقعات تضخم أسعار المستهلك لعام 2024 صعودا إلى 33 في المائة. ...

0:00 0:00
Speed:
August 05, 2023

مرة أخرى تم وضع الوصفة المؤلمة أمام الناس

مرة أخرى تم وضع الوصفة المؤلمة أمام الناس

(مترجم)

الخبر:

رفع البنك المركزي التركي توقعاته للتضخم لنهاية عام 2023 من 22.3 في المائة إلى 58 في المائة. وتم تعديل توقعات تضخم أسعار المستهلك لعام 2024 صعودا إلى 33 في المائة.

في بيانها حول تقرير التضخم الثالث لهذا العام، قالت محافظ البنك المركزي حفيظة غاي إركان إن التضخم سيظهر ارتفاعا مؤقتا على المدى القصير وأنهم أوجدوا الأساس لانخفاض في عام 2024، وقالت "هدفنا الرئيسي هو استقرار الأسعار. لقد بدأنا عملية التشديد النقدي من أجل خفض التضخم بشكل دائم. سنعزز تدريجيا التشديد النقدي حتى يحدث تحسن كبير في التضخم". (وكالات، 2023/07/03)

التعليق:

بعد الانتخابات العامة، عُينت حفيظة غاي إركان، التي أحضرت إلى تركيا بإشادة كبيرة من أمريكا للحد من التضخم وإصلاح الاقتصاد، رئيسة للبنك المركزي، وكان أول عمل لها هو وضع الوصفة المؤلمة أمام الناس مثل أسلافها. في الاجتماع، حيث لن يفهم سوى الأشخاص الذين لديهم معرفة اقتصادية المصطلحات المعقدة للاقتصاد الرأسمالي، كان الشيء الوحيد الذي فهمه الناس هو أن التضخم سيستمر في الارتفاع لعدة سنوات أخرى، وأن الفاتورة سيدفعها العمال وموظفو الخدمة المدنية والتجار وجميع ذوي الدخل المنخفض، وخاصة المتقاعدين وأصحاب الحد الأدنى للأجور المحكوم عليهم بأجور بائسة.

وبحسب القرارات المتخذة، فمن المنتظر أن يتم خفض التضخم تدريجيا من خلال زيادة أسعار الربا مع تشديد السياسة النقدية وجعل من الصعب الوصول إلى الليرة التركية عن طريق تخفيض القروض، وبالتالي تقليل الطلب والاستهلاك. ومع ذلك، فإن المراجعة التصاعدية لتوقعات التضخم تعني أن الحكومة ستنفذ بانتظام زيادات وضرائب جديدة.

في هذه الحلقة المفرغة، من ناحية، بسبب الركود الاقتصادي الذي سيحدث، سيتدهور ميزان مدفوعات الشركات، التي يعيد الكثير منها تجارته بديون ائتمانية، وسيتضاعف الإفلاس والبطالة، ومن ناحية أخرى، ستستمر القوة الشرائية للشعب في الانخفاض مع زيادة الضرائب والأسعار الباهظة.

في هذه الحالة، في حين أنه من الممكن للبنوك الربوية حماية أموالها عبر تقييمها لمنتجات مختلفة من الاقتصاد الرأسمالي، فإن الحكومة ستكون قادرة على خفض عجز الميزانية وتمويل ديونها الربوية من وراء ظهور الناس. لأنه نتيجة للتركيز على مشاريع الإيجار المجنونة القائمة على البناء والمضمونة بالدولار والتي تفوز بالأصوات في الانتخابات بدلا من اقتصاد الإنتاج، تم إفراغ خزائن المالية. أيضا، تم حساب عجز في الميزانية قدره 660 مليار ليرة تركية حتى نهاية تشرين الأول/أكتوبر 2023، لكن الميزانية المركزية لم تكن كافية حتى في منتصف العام، وتم إعداد ميزانية إضافية بقيمة 1 تريليون و71 مليار ليرة تركية. في الوقت نفسه، بسبب الفساد والهدر في القطاع العام، وصلت الديون الربوية إلى مستويات مستحيلة الدفع. حيث إن مبلغ الربا الذي ستدفعه تركيا هذا العام وحده هو 519 مليار ليرة تركية. وهذا الرقم هو تقريبا الدين الرئيسي نفسه، والذي يبلغ 564 مليار ليرة تركية. إن نظام أردوغان، الذي خدع المسلمين بعبارة "سننظر إلى الناس، أيا كان ما يقوله الناس هو طريقنا" عن الربا، يتطلع الآن فقط إلى إنقاذ الموقف.

إن المتضرر في هذه الأزمة كلها هم الناس الذين لم يعد لديهم مجال لشد أحزمتهم. هذه هي المعاملة التي يقدمها الحكام الرأسماليون الأذكياء للناس كحل: حياة في الاستغلال والفقر والأزمات.

الحقيقة هي أنه من السمات الثابتة للفجور الرأسمالي وضع الوصفة المريرة أمام الشعب على الرغم من أن الشعب لم يكن له أي دور في التضخم المرتفع والإفلاس الاقتصادي للبلاد. عندما يتعلق الأمر بالنمو، فمن خيانة حكامنا ذوي رأس المال إثراء أنفسهم والشركات الشريكة فقط من خلال عدم التفكير في الشعب بأي شكل من الأشكال.

الخطوات القديمة والجديدة التي اتخذت بالفعل في الاقتصاد ليست هي لزيادة مستوى رفاهية الشعب، بل لإعطاء الثقة لرأس المال الأجنبي، لرفع التصنيف الائتماني لتركيا، للحد من علاوة مخاطر الديون، لإرضاء لوبيات أسعار الربا، لإطالة عمر النظام الاقتصادي الرأسمالي ككل على الرغم من الشعب.

لو كانت حكومة أردوغان صادقة في تحسين رفاهية الشعب، لقالت إن السبب الحقيقي للتضخم والأزمة الاقتصادية هو النظام الاقتصادي الرأسمالي نفسه، الذي يتغذى على المعاملات الربوية والضرائب المرتفعة، وخاصة نظام العملة الورقية القائمة على الدولار، وأن الحل هو في النظام الاقتصادي الإسلامي. ولن تقول ذلك فحسب، بل ستبدأ بشكل عاجل في تطبيق النظام الإسلامي.

في النظام الاقتصادي الإسلامي، النقد هو الذهب والفضة. لا توجد خسارة في قيمة النقد بسبب القيمة الذاتية للذهب. وبالتالي، فإن الاستقرار الذي يوفره الحفاظ على قيمة النقد يضمن وجود استقرار في الأسعار أيضا. ولا مكان للربا بأي شكل من الأشكال في النظام الاقتصادي الإسلامي. في المجالات غير المسموح بها مثل سوق الأوراق المالية والعملات المشفرة، لا ينتهك الناس سلع بعضهم بشكل غير عادل. وتتدفق الأموال إلى السوق بدورتها الطبيعية. وتنتعش التجارة، ويزيد الإنتاج، وبالتالي ينخفض التضخم بشكل دائم. والأهم من ذلك، ينتهي الاعتماد على الكفار المستعمرين. إن الـ670 طنا من الذهب في البنك المركزي التركي وما يقدر بنحو 5000 طن في أيدي الناس، والتي تسمى "قاع الوسادة"، كافية للتحول إلى نظام الذهب الذي أمر به الإسلام. ما يجب القيام به هو إطلاق صراع سياسي ضد أمريكا من خلال إظهار الإرادة الإسلامية للتخلص من الاعتماد على النقود الورقية الإلزامية والدولارات. هذه مسؤولية كل من الحكام والمسلمين الذين يجب أن يحاسبوا الحكام. وغير ذلك، فإن الخطوات التي يجب اتخاذها لن تجلب حلولا للمشاكل وستؤدي إلى خيبة أمل في الآخرة.

﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَنْ ذِكْرِي فَاِنَّ لَهُ مَعِيشَةً ضَنْكاً وَنَحْشُرُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ أَعْمَى

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد أمين يلدريم

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon