مرسوم صدم الغزاة والمافيا والكارتلات!
مرسوم صدم الغزاة والمافيا والكارتلات!

    الخبر: أصدر المرشد الأعلى للإمارة الإسلامية الشيخ هبة الله أخوند زاده، في 3 نيسان/أبريل، مرسوماً يقضي بمنع زراعة وإنتاج وبيع وشراء وتصدير واستيراد أي نوع من المخدرات في أفغانستان، فضلاً عن معاملة المخالفين بما يتفق مع أحكام الشريعة الإسلامية. إلى جانب ذلك، ينص المرسوم أيضاً على حظر استخدام ونقل وتجارة واستيراد وتصدير جميع أنواع المخدرات مثل الخمور والهيروين والحشيش وحبوب المخدر، وما إلى ذلك، بما في ذلك مصانع الأدوية.

0:00 0:00
Speed:
April 08, 2022

مرسوم صدم الغزاة والمافيا والكارتلات!

مرسوم صدم الغزاة والمافيا والكارتلات!

(مترجم)

الخبر:

أصدر المرشد الأعلى للإمارة الإسلامية الشيخ هبة الله أخوند زاده، في 3 نيسان/أبريل، مرسوماً يقضي بمنع زراعة وإنتاج وبيع وشراء وتصدير واستيراد أي نوع من المخدرات في أفغانستان، فضلاً عن معاملة المخالفين بما يتفق مع أحكام الشريعة الإسلامية. إلى جانب ذلك، ينص المرسوم أيضاً على حظر استخدام ونقل وتجارة واستيراد وتصدير جميع أنواع المخدرات مثل الخمور والهيروين والحشيش وحبوب المخدر، وما إلى ذلك، بما في ذلك مصانع الأدوية.

التعليق:

كان السبب الرئيسي لزراعة الخشخاش والحشيش في أفغانستان هو عقود الحرب والفقر الناتج عن الاحتلال البريطاني والسوفيتي والأمريكي وحلف شمال الأطلسي للبلاد والذي أثر بشكل مباشر على المسلمين والمجاهدين في أفغانستان، ومع ذلك، فإن الأدنى من الفائدة الكبيرة من محاصيل الخشخاش ذهبت إلى المزارعين الأفغان حتى الآن. على العكس من ذلك، فإن المافيا والشركات العملاقة والقوى الاستعمارية في العالم هم الفاعلون الرئيسيون الذين يتاجرون ويعالجون ويوردون الأدوية للأسواق العالمية، ويحققون أرباحاً ملحوظة من هذه الأعمال الهائلة. إن عصابات المافيا الكبرى والكارتلات هي التي تصادف أن تحول الخشخاش والحشيش إلى مسكنات ومسكرات ومخدرات وتزود الأسواق العالمية بها من خلال القنوات الحكومية والخاصة. لذلك، يتبين أن أفغانستان ليست أكثر من مزرعة منخفضة التكلفة لمثل هذه الأعمال التجارية العالمية.

لذلك، فإن مثل هذا المرسوم الصادر عن قيادة الإمارة الإسلامية يعتبر خطوة قيمة نحو تطبيق الشريعة الإسلامية. وحتى من وجهة النظر السياسية، فهي تعتبر وسيلة للضغط على الولايات المتحدة والغرب لأنه قبل النظام الحالي، كان نطاق واسع من تجارة الأفيون تقوم به بشكل غامض وكالات الاستخبارات الأمريكية والبريطانية، ما أدى إلى تغذية الأسواق العالمية. تم استخدام الأموال التي جنتها هذه التجارة الشريرة لإخضاع الحكام الخونة، والبحث عن التجسس، وتعزيز الحروب بالوكالة في البلاد الإسلامية.

خلال الفترة الأولى من حكم طالبان لأفغانستان، حظر زعيمها آنذاك زراعة الخشخاش، ما أدى إلى انخفاض كبير في إنتاج الأفيون في البلاد. أفاد مكتب الأمم المتحدة المعني بالمخدرات والجريمة (UNODC) عن انخفاض بنسبة 91% في زراعة الخشخاش في أفغانستان في عام 2001.

على الرغم من عدم وجود إحصاءات واضحة لإظهار الوضع الدقيق لتجارة المخدرات العالمية، فمن المقدر أن قيم إيرادات هذه التجارة تتجاوز مئات المليارات من الدولارات في جميع أنحاء العالم. في أفغانستان، قدرت قيمة عائدات المخدرات بين 1.8 مليار دولار و2.7 مليار دولار العام الماضي، وفقاً للأمم المتحدة. تشير أحدث سجلات وزارة الصحة الأفغانية إلى أنه قبل الإمارة الإسلامية، بلغ عدد المدمنين في البلاد 2.5 مليون، منهم حوالي 850 ألف امرأة. وهكذا، فإن النمو المميت والكارثي لزراعة المخدرات وإنتاجها والاتجار بها وإدمانها في أفغانستان شوهد بعد احتلالها من أمريكا وحلف شمال الأطلسي.

هذه هي بالفعل طبيعة الرأسمالية، التي تحول ما حرم الله سبحانه وتعالى إلى منهيات مشروعة، لمجرد المصالح المادية. قبل 1400 عام، كان الإسلام قد حرم جميع أنواع المخدرات قبل أن يلحق ذلك الأذى بالمجتمع البشري كما يفعلون اليوم، بل ووصف بعضها كالخمر مثلا وعرفها بأنها نجس. وقد اعتُبر هذا كواحد من حدود الله سبحانه وتعالى التي يتعرض منتهكها للجلد 80 جلدة وفقاً للشريعة الإسلامية. يجب اعتبار وصية الإسلام التي تهدف إلى حماية المجتمع البشري من أعجوبات الإسلام في عالم اليوم.

يجب أن تدرك المجتمعات البشرية الحالية أن السبب الرئيسي لتدمير المجتمعات السابقة كان دوما المبادئ التي وضعها الإنسان، وبخاصة الرأسمالية. لأنه في الرأسمالية، يهدف العمل أساسا إلى كسب المصالح حيث يتم تهميش القيم الأساسية كالروحية والإنسانية والأخلاقية، ما يشجع التفكير والتصرف على أساس نيل أكبر قدر من المصالح. ومن هنا، ومن أجل تأمين المصالح الفردية، حول هذا المبدأ المجتمعات إلى مجتمعات فاسدة بفرض قوانين من صنع الإنسان وتشجيع العلاقات من خلال تعاطي المخدرات والخمور وما إلى ذلك. كما أنها دمرت البيئة بشكل خطير بما في ذلك الماء والهواء والتربة لتحقيق ذات المصالح المادية.

وهكذا، فمن الواضح تماماً أن المجتمع البشري كان يتجه بسرعة نحو الإبادة ببعده عن تطبيق الإسلام وغياب الخلافة. ومما لا شك فيه، إذا ما درس المرء الأسباب الجذرية للأزمة والحروب في البلاد الإسلامية، بما في ذلك أفغانستان، فإنه سيكتشف أن الغرب الكافر والأنظمة التابعة هم الذين زادوا من الأزمات المختلفة من مثل الفقر والحرب والبؤس. إلى جانب ذلك، يجب ألا تُمنح هذه الوحوش الفاسدة مرة أخرى فرصة العودة إلى أفغانستان تحت ستار المنظمات الإنسانية والمنظمات غير الحكومية وموظفي الأمم المتحدة والصحفيين ورجال الأعمال والمحسنين لتأمين نفوذهم الاستخباري والسياسي في البلاد.

لقد آن الأوان لتتكاتف الإمارة الإسلامية مع حزب التحرير، تماما كالأنصار ومهاجري الدولة الأولى، لتطبيق الإسلام بالكامل في جميع مجالات الحياة وللقضاء على القيم الفكرية والسياسية والاقتصادية والثقافية للغرب كما فُعل بالاحتلال العسكري الغربي.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon