مسلمو سريلانكا يعيشون في خوف وتمييز في ظل نظام ديمقراطي علماني له تاريخ من الفشل في تأمين حقوق "الأقليات" الدينية  (مترجم)
مسلمو سريلانكا يعيشون في خوف وتمييز في ظل نظام ديمقراطي علماني له تاريخ من الفشل في تأمين حقوق "الأقليات" الدينية  (مترجم)

في يوم الاثنين 3 حزيران/يونيو، استقال جميع الوزراء المسلمين التسعة في حكومة الرئيس مايتريبالا سيريسينا من مناصبهم، بعد اتهامهم للحكومة السريلانكية بالفشل في ضمان سلامة الجالية المسلمة في البلاد من هجمات الصدام التي تلت تفجيرات الأحد في عيد الفصح. وجاءت هذه الاستقالات بعد أن تظاهر الآلاف من الأشخاص بقيادة الرهبان البوذيين والجماعات المتشددة الطائفية في مدينة كاندي، مطالبين بطرد حاكمين إقليميين مسلمين ووزير واحد اتهموهم بعلاقات مع المفجرين المزعومين. ومنذ الهجمات التي وقعت في نيسان/أبريل، عاشت الجالية المسلمة في سريلانكا في ظل سحابة من الشك والخوف، حيث اتهمت معتقداتهم الإسلامية بالتورط في التطرف. لقد واجهوا جواً من الترهيب والتهديد والمضايقات والشيطنة والتمييز، وكانت هناك سحابة من الكلام المليء بالكراهية والأخبار المزيفة فيما يتعلق بالمسلمين والإسلام والتي تم نشرها على وسائل التواصل وغيرها من وسائل الإعلام.

0:00 0:00
Speed:
June 14, 2019

مسلمو سريلانكا يعيشون في خوف وتمييز في ظل نظام ديمقراطي علماني له تاريخ من الفشل في تأمين حقوق "الأقليات" الدينية (مترجم)

مسلمو سريلانكا يعيشون في خوف وتمييز في ظل نظام ديمقراطي علماني له تاريخ من الفشل في تأمين حقوق "الأقليات" الدينية

(مترجم)

الخبر:

في يوم الاثنين 3 حزيران/يونيو، استقال جميع الوزراء المسلمين التسعة في حكومة الرئيس مايتريبالا سيريسينا من مناصبهم، بعد اتهامهم للحكومة السريلانكية بالفشل في ضمان سلامة الجالية المسلمة في البلاد من هجمات الصدام التي تلت تفجيرات الأحد في عيد الفصح. وجاءت هذه الاستقالات بعد أن تظاهر الآلاف من الأشخاص بقيادة الرهبان البوذيين والجماعات المتشددة الطائفية في مدينة كاندي، مطالبين بطرد حاكمين إقليميين مسلمين ووزير واحد اتهموهم بعلاقات مع المفجرين المزعومين. ومنذ الهجمات التي وقعت في نيسان/أبريل، عاشت الجالية المسلمة في سريلانكا في ظل سحابة من الشك والخوف، حيث اتهمت معتقداتهم الإسلامية بالتورط في التطرف. لقد واجهوا جواً من الترهيب والتهديد والمضايقات والشيطنة والتمييز، وكانت هناك سحابة من الكلام المليء بالكراهية والأخبار المزيفة فيما يتعلق بالمسلمين والإسلام والتي تم نشرها على وسائل التواصل وغيرها من وسائل الإعلام. في يومي 12 و13 أيار/مايو، اندلعت حشود من السنهالية في 24 بلدة على الأقل في غرب سريلانكا، ونهبت وهاجمت ممتلكات المسلمين بالحجارة والسيوف والقنابل الحربية انتقاما من تفجيرات عيد الفصح، ودمرت أكثر من 540 منزلا ومحلا ومسجدا يملكها المسلمون، وما يقرب من 100 مركبة وفقا للجمعيات الخيرية المحلية. كما قتل العديد من المسلمين الأبرياء في موجة العنف الأخيرة. وقد ذكر الكثيرون أن ضباط الشرطة والجيش، وهم أيضاً من الأغلبية البوذية في البلاد، راقبوا ببساطة هذه الهجمات وفشلوا في وقف العنف. بموجب قوانين الطوارئ الحالية، قامت قوات الجيش أيضاً بتفتيش منازل المسلمين بشكل تعسفي، ليس فقط بحثاً عن أسلحة، ولكن بحثاً عن أي كتب ثقافة إسلامية أو أقراص مدمجة ذات طبيعة سياسية ويمكن أن تؤدي بأولئك الذين يمتلكونها إلى السجن الفوري. إلى جانب كل هذا كانت هناك مقاطعة للشركات الإسلامية، وتمييز صريح ضد المسلمين في التوظيف والتعليم. كما تعرضت النساء المسلمات وبناتهن للضغوط لإزالة الخمار عند حضور المقابلات في المدارس. علاوة على ذلك وإلى جانب حظر النقاب الذي فرضته الحكومة بالفعل، تم اقتراح فرض حظر على الخمار والجلباب على بعض العاملات في الحكومة.

التعليق:

يفخر ساسة سريلانكا في كثير من الأحيان بأن لديهم واحدة من أقدم الديمقراطيات في العالم. ومع ذلك، بالإضافة إلى تاريخها الهش في الماضي من العلاقات بين مختلف الطوائف العرقية والدينية، فإن هذا الوضع يسلط الضوء على مستقبل متقلب وخطير لا يمكن التنبؤ به في ظل هذا النظام الوضعي وفي ظل الديمقراطية، حيث يمكن أن تخضع حقوق الطوائف الدينية الصغيرة إلى تحيزات الأغلبية ونزوات السياسيين الانتهازيين. وقد دعم العديد من المسلمين حكومة سيريسينا الحالية في السلطة في الانتخابات الرئاسية لعام 2015، على أمل أن يعني ذلك إنهاء الحكم الجماعي لنظام راجاباكسا. ولكن في الواقع، صرح العديد من المعلقين أن تصويت المسلمين كان عاملاً فعالاً في انتصار سيريسينا في السلطة. ومع ذلك، فإن الأحداث السياسية الحالية يجب أن تؤكد للجالية المسلمة كيف أنه في ظل النظام الديمقراطي العلماني، فإن السياسيين من جميع الأشكال سوف يركبون الموجة الشعبية ويلتمسون التحيزات والحركات المثيرة للانقسام لمختلف القطاعات من ناخبيهم للفوز بالأصوات، بغض النظر عن الكيفية البغيضة ووجهات نظرهم. في الواقع، تم إطلاق سراح الراهب البوذي المتشدد وزعيم المجموعة البوذية القومية المتطرفة (القوة البوذية أو BBS)، غالاجودا أثيث غاناسارا، الذي اتهم منذ فترة طويلة بالتحريض على الكراهية والعنف ضد المسلمين. شهر من السجن وأُطلق سراحه من عقوبة بالسجن لمدة ست سنوات بسبب عفو رئاسي من سيريسينا. الانتخابات الرئاسية المقبلة في البلاد في كانون الأول/ديسمبر، على الأرجح، لعبت دورا مهما في القرار. في الواقع، تعد الجالية المسلمة في سريلانكا حالياً أحدث كرة قدم سياسية في اللعبة التي يتم لعبها بين العديد من السياسيين والأحزاب لكسب التأييد مع الرهبان والجماعات البوذية القوية سياسياً ومؤيديهم استعداداً لهذه الانتخابات المقبلة. الرهبان البوذيون والجماعات تثير الهستيريا والخوف ضد المسلمين، وتذكي نيران الكراهية والانقسام الطائفي. كيف يمكن لأي مسلم، بل أي طائفة دينية أو عرقية، أن تؤمن أن حقوقهم يمكن أن تكون آمنة في ظل هذا النظام، أو من خلال الانخراط في العملية الديمقراطية التي لا تقدم شيئاً سوى وهم وعود واردة من الأمن وحماية الحقوق. يقول الله سبحانه وتعالى: ﴿وَالَّذِينَ كَفَرُوا أَعْمَالُهُمْ كَسَرَابٍ بِقِيعَةٍ يَحْسَبُهُ الظَّمْآنُ مَاء حَتَّى إِذَا جَاءهُ لَمْ يَجِدْهُ شَيْئاً وَوَجَدَ اللَّهَ عِندَهُ فَوَفَّاهُ حِسَابَهُ وَاللَّهُ سَرِيعُ الْحِسَابِ﴾ [النور: 39]

لقد رأينا القصة نفسها في فرنسا وبلجيكا وسويسرا والدنمارك والهند ودول ديمقراطية علمانية أخرى، والتي فرضت حظر الخمار أو النقاب أو غيرها من الحظر على المعتقدات والممارسات الإسلامية، كيف يمكن لرفاهية وحقوق المسلمين أن تكون موجودة اليوم وتذهب غداً بناءً على أهواء أي حاكم أو حزب في السلطة؟ في الواقع، لقد أدرك المسلمون في سريلانكا بشكل متزايد أنه في ظل هذا المناخ المشحون بشدة ضد المسلمين، لا يوجد شيء مطروح عندما يتعلق الأمر بانتهاك حقوقهم ورفاهيتهم!

قال النبي صلى الله عليه وسلم: «لاَ يُلْدَغُ الْمُؤْمِنُ مِنْ جُحْرٍ واحد مَرَّتَيْنِ»، بالتأكيد من خلال هذه الكلمات من رسولنا الحبيب وكذلك الحقائق السياسية التي لاحظناها لا بد أن تكون الدول الديمقراطية في جميع أنحاء العالم بمثابة تذكير صارخ لنا كمسلمين بأن أمننا وحقوقنا لن تكون مضمونة بموجب أي نظام حكم من صنع الإنسان. بدلاً من ذلك، فإن الدولة الوحيدة التي ستدافع عن مصالحنا، وحماية رفاهيتنا، وضمان مستوى معيشي جيد وتزويد المؤمنين ببيئة آمنة يمكننا من خلالها ممارسة جميع معتقداتنا الإسلامية بالكامل دون مضايقة أو خوف، هي القيادة الإسلامية الحقيقية دولة الخلافة، التي تحكمها فقط أحكام الله سبحانه وتعالى. من المؤكد إذن أنه ينبغي لنا كمسلمين أن نعطي لذلك انتباهنا الكامل ونبذل جهودنا الكاملة.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. نسرين نواز

مديرة القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon