مصر في ظل الرأسمالية تتقاذفها الأزمات والنظام عاجز وﻻ يرغب في وضع معالجات
مصر في ظل الرأسمالية تتقاذفها الأزمات والنظام عاجز وﻻ يرغب في وضع معالجات

الخبر:   قالت منصة مزيد على موقعها السبت 2024/02/03م، إن حالة من الشلل التام سيطرت على الأسواق في مصر بسبب الانخفاض السريع في قيمة الجنيه مقابل الدولار، وعدم توفر العملة الصعبة في البنوك الحكومية، ما دفع الكثير من التجار لوقف التعاملات إلى حين استقرار الأوضاع، فيما خفَّضت غالبية المصانع قدراتها الإنتاجية خشية من الإغلاق، ...  

0:00 0:00
Speed:
February 06, 2024

مصر في ظل الرأسمالية تتقاذفها الأزمات والنظام عاجز وﻻ يرغب في وضع معالجات

مصر في ظل الرأسمالية تتقاذفها الأزمات

والنظام عاجز وﻻ يرغب في وضع معالجات

الخبر:

قالت منصة مزيد على موقعها السبت 2024/02/03م، إن حالة من الشلل التام سيطرت على الأسواق في مصر بسبب الانخفاض السريع في قيمة الجنيه مقابل الدولار، وعدم توفر العملة الصعبة في البنوك الحكومية، ما دفع الكثير من التجار لوقف التعاملات إلى حين استقرار الأوضاع، فيما خفَّضت غالبية المصانع قدراتها الإنتاجية خشية من الإغلاق، ونقلت عن مالك أحد مصانع المواد البلاستيكية قوله إنه فشل في الحصول على الدولار من البنوك الرسمية منذ ما يقرب من شهر تقريباً، مع بداية العام 2024، ما دفعه للاتجاه إلى السوق السوداء لشرائه، الأمر الذي انعكس على تكاليف الإنتاج في ظل الفجوة الكبيرة بين السعرين الرسمي والموازي. كما أن الحكومة على الجانب الآخر رفعت أسعار العديد من الخدمات العامة منذ بداية 2024، ما تسبب في رفع أسعار الكهرباء والنقل، ويرى كذلك أن الحكومة ضاعفت معاناة المصانع والشركات الكبرى، بعد قرار البنك المركزي بوضع حد للسحب اليومي بالجنيه، مشيراً إلى أن انتظار الحصول على موافقة البنك المركزي لعمليات السحب التي تفوق 150 ألف جنيه يعد "خراب بيوت" لأصحاب المصالح، ويدفع العديد من المصانع لإغلاق أبوابها، فهي بالأساس تحتاج إلى تلك الأموال بشكل سريع لاستبدالها بالدولار المطلوب لعمليات الاستيراد.

التعليق:

هكذا عنونت المنصة للخبر والتقرير (بسبب أزمة الجنيه.. تجار أوقفوا التعاملات ومصانع تخشى الإغلاق)، فهذا هو حال الأسواق في مصر التي أطعمت الدنيا زمن السبع العجاف زمن نبي الله يوسف عليه السلام، وها هم أهلها يجوعون الآن تحت وطأة التضخم وغلاء سبل المعيشة جميعها وعجز الناس عن القدرة على تحمل تكاليفها يوما بعد يوم في ظل الارتفاع المستمر للأسعار وارتفاع معدل التضخم وثبات الدخول وانهيار الجنيه المصري، الأمر الذي بات يهدد فئات أخرى من الناس بالدخول تحت خط الفقر، فبينما تجاوز الدوﻻر حاجز الـ70 جنيها ثم تراجع قليلا تراجعا وهميا متأرجحا بين الـ70 والـ65، مقتربا من الـ50 تاركا الناس في أزمة حقيقية بسبب هذا التراجع الوهمي، فمصر لم تعد تنتج بل تستورد جل ما يستهلكه الناس، حتى المصانع الموجودة في مصر تحتاج إلى مستلزمات إنتاج يتم استيرادها بالدوﻻر، بخلاف الأعلاف التي تحتاجها الدواجن مثلا، وبخلاف الأدوية والمواد الفعالة والخامات المساعدة وغير ذلك مما يحتاج للدوﻻر غير المتوفر في بنوك الدولة! بخلاف هذا فقد صارت مصر مستوردة للأرز وقد كانت من كبار مصدريه، والقائمة تطول وإن لم نتحدث فيها عن القمح الذي تتصدر مصر التصنيف العالمي في استيراده، كل هذا يحتاج للدولار، فعندما يرتفع الدوﻻر متجاوزا الـ70 جنيها خلال أقل من شهرين ليسجل ارتفاعا فوق الـ20 جنيها، فهذا طبيعي في ظل فساد الرأسمالية الحاكمة وقتلها لروح الإبداع لدى الناس في التصنيع والابتكار وإلجائهم قسرا إلى الاستهلاك فقط لتصبح مصر سوقا كبيرا لمنتجات الغرب ومصدرا للمواد الخام التي تغذي شركاته الرأسمالية ناهبة الثروات.

إن الانخفاض في سعر الدولار هو انخفاض وهمي كما أسلفنا فلا يعضده إنتاج يلقى رواجا وإقبالا في السوق العالمي، اللهم إلا إن كان بيع الأصول والتفريط في الملكية الذي ينتجه النظام المصري يعده إنتاجا، وحتى لو أنعش الاقتصاد لبعض الوقت فلن يسعفه كل الوقت، وﻻ حتى دعم الداعمين من الغرب والعرب سيسعف النظام المتهالك، ربما يؤخر الانفجار لكن الانفجار وشيك، فما يعاني منه الناس أشد بكثير مما كانت عليه الأوضاع زمن مبارك، والتي أدت لخروج الناس واعتصامهم بالشوارع حتى تنحيه، ولوﻻ غياب الوعي وسذاجة البعض ومكر أمريكا لاقتلعت تلك الثورة نفوذ الغرب إلى غير رجعة، لكن ربما لم يحن وقتها بعد وربما هناك أقنعة تحتاج للسقوط لتظهر الوجوه الحقيقية لأصحابها وموقفها من الشعوب ودينها وقضاياها.

إن ما يعصف بمصر من أزمات لا يحتاج كثير جهد لعلاجه علاجا صحيحا، فقط يحتاج إلى إرادة حرة ورغبة حقيقية في رعاية الناس ورؤية صحيحة لتلك الأزمات وأسبابها قبل البحث في كيفية العلاج، وإن كانت معرفة الأسباب على حقيقتها تبين الكثير عما ينبغي القيام به في سبيل العلاج، فأزمة مصر ليست في شح الدولار وﻻ في كيفية توفيره كعملة صعبة وإنما في الاقتراض نفسه وجعله أسلوبا للعلاج بينما هو أسلوب لقتل اقتصاد البلاد وجعلها رهينة للغرب ومؤسساته الاستعمارية، ولكننا نعلم أن سياسة الإقراض والاقتراض تلك إجبارية على الأنظمة؛ مجبرة على السير فيها وقبول قراراتها وتوصياتها التي تضر حتما بالشعوب، طالما وضعت الأنظمة حبال الغرب في أعناقها وانساقت خلفه طواعية، ولهذا فأول العلاج هو الانعتاق من تبعية الغرب والفكاك من رأسماليته وقروضه ومؤسساته الاستعمارية، وبالتالي نبذ كل ما يتفرع عنها من قرارات وسياسات، وتطبيق نظام جديد يلهم الناس القدرة على الإبداع في الإنتاج والتصنيع بل ويدعمهم في هذا السبيل، وليس غير الإسلام بنظامه الشمولي يحقق هذا؛ فهو نظام العدل والرعاية الذي يكفل للناس حقوقهم بغض النظر عن دينهم ولونهم وطوائفهم، بل ويمكنهم من زراعة الأرض وإحيائها بالإعمار والسكن، ويجعل هذا سببا لتملكها، ويدعم التصنيع الثقيل ويجعله أساسا للتصنيع في الدولة، فيضع أساسا لاقتصاد حقيقي قوي بذاته. ومن أقوى ما في نظام الإسلام واقتصاده أنه جعل النقود ذهبا وفضة أو ورقة نائبة عنهما بحيث تصبح النقود لها قيمة في ذاتها وليست مجرد ورق بلا قيمة ككل العملات التي بين أيدينا والتي يسرق بها الرأسماليون جهودنا وثرواتنا.

إننا حقا بحاجة إلى الإسلام ونظامه فهو وحده الذي يحقق طموح من خرجوا للثورات وهو وحده الذي يمكن أن يخرج الناس من جديد لثورة حقيقية تقتلع هذا النظام من جذوره، ولكن فقط يحتاج أن يراه الناس ويرون ما فيه من معالجات حقيقية، ويثقون فيمن يحملون لهم هذه المعالجات ويسلمونهم قيادتهم، وأن ينحاز لهذا المشروع ومن يحملونه مخلصون في جيش الكنانة قادرون على التغيير وإحداث الفارق وتسليم الحكم للمخلصين القادرين على رعاية الناس بالإسلام من جديد في ظل دولته الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، اللهم عجل بها واجعل مصر حاضرتها واجعل جند مصر أنصارها، اللهم آمين.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد فضل

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية مصر

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon