مستقبل العلاقات الأمريكية التركية بعد الانتخابات الرئاسية الأمريكية
مستقبل العلاقات الأمريكية التركية بعد الانتخابات الرئاسية الأمريكية

الخبر: أفيد بأن المرشح الديمقراطي جو بايدن فاز في الانتخابات الرئاسية التاسعة والخمسين التي أجريت في الولايات المتحدة يوم 3 تشرين الثاني/نوفمبر. ووفقاً لبيانات وكالة أسوشيتيد برس، حصل بايدن على 49.6 بالمائة من الأصوات وحصل على 20 مندوباً في الولاية. وهكذا، زاد عدد المندوبين من 253 إلى 273، وأصبح بايدن الرئيس المنتخب للولايات المتحدة. (وكالة الأناضول)

0:00 0:00
Speed:
November 30, 2020

مستقبل العلاقات الأمريكية التركية بعد الانتخابات الرئاسية الأمريكية

مستقبل العلاقات الأمريكية التركية بعد الانتخابات الرئاسية الأمريكية
(مترجم)


الخبر:


أفيد بأن المرشح الديمقراطي جو بايدن فاز في الانتخابات الرئاسية التاسعة والخمسين التي أجريت في الولايات المتحدة يوم 3 تشرين الثاني/نوفمبر. ووفقاً لبيانات وكالة أسوشيتيد برس، حصل بايدن على 49.6 بالمائة من الأصوات وحصل على 20 مندوباً في الولاية. وهكذا، زاد عدد المندوبين من 253 إلى 273، وأصبح بايدن الرئيس المنتخب للولايات المتحدة. (وكالة الأناضول)

التعليق:


كما هو معروف، فإن الانتخابات الرئاسية الأمريكية التي جرت في تشرين الثاني/نوفمبر نوقشت بإسهاب، على غير المعتاد. وكان ترامب قد قال قبل الانتخابات إنه سيكون هناك تزوير في الانتخابات، خاصةً أن الأمر سيحدث مع التصويت بالبريد، وأنه سيرفع الأمر إلى القضاء. ومع ذلك، ونتيجةً لذلك، أصبح من المؤكد أن بايدن فاز في الانتخابات وقبلها ترامب عن غير قصد.


ومع ذلك، في الأشهر التي سبقت الانتخابات، كان هناك ميل نحو ترامب في وسائل الإعلام التركية، وعلى وجه الخصوص، انتقد المعلقون بايدن باستمرار لتصريحاته ضد تركيا. لقد أدلوا بتعليقات تعني أنه في حال فوز بايدن في الانتخابات، فإن تركيا تتوقع أياماً صعبة. لكن، ومن المفارقات، بعد أيام قليلة من الانتخابات، عندما أظهرت البيانات فوز بايدن، بدأوا في تغيير لحنهم، فأصبحت التعليقات السابقة ضد بايدن أكثر اعتدالاً، وبدأوا بالإدلاء بتصريحات تفيد بأن العلاقات بين أمريكا وتركيا لن تكون مختلفة في الفترة الرئاسية لبايدن عما كانت عليه خلال عهد ترامب.


هناك بعض القضايا التي تجب معرفتها بخصوص العلاقات الأمريكية التركية وكذلك السياسة الخارجية لأمريكا. بشكل عام، من الممكن تلخيصها على النحو التالي:


1- إنّ السياسات الداخلية والخارجية لجميع الدّول المستعمرة، وخاصة الولايات المتحدة، تقوم على المصالح كمبدأ عام، فإن السياسة الخارجية بشكل خاص تقوم كلياً على المصالح. لذلك، فإن السياسة الخارجية لا تتغير مع تغيير الرؤساء، إنها تختلف فقط في المصالح المتبعة في السياسة الخارجية أو الأولويات التي تعتبر من بين المصالح.


2- إنّ السياسة في أمريكا لا يحدّدها الرئيس أو البيت الأبيض فقط، هناك بعض المؤسسات التي تحدد السياسة الأمريكية مثل البنتاغون والبيت الأبيض ومجلس الشيوخ ومراكز الفكر، فهي مؤسسات فعالة في تحديد السياسة الأمريكية. لهذا السبب، ومن حيث المبدأ، لن تتغير السياسة الخارجية الأمريكية تجاه تركيا في فترة بايدن التي ستتبع عهد ترامب لأنها لم تتغير في فترة ترامب التي جاءت بعد انتهاء ولاية أوباما. إنّ الشيء الوحيد الذي سيتغير هو مصالح أمريكا، وستكون أولويات مؤسسات صنع القرار الأمريكية في السياسة الخارجية حاسمة.


بالنظر إلى الموضوع من هذا المنظور، ولا سيما أن العلاقات بين أردوغان وأمريكا سيكون لها تأثير أيضاً على السياسة الخارجية، فإنه قبل زيارة الرئيس أردوغان الأخيرة إلى أمريكا، في 29 تشرين الأول/أكتوبر 2019، تمّ تمرير القرار الذي ينص على فرض عقوبات على تركيا بنسبة 403 إلى 16 في مجلس النواب. "في القرار المكون من 16 مادة، يُطلب أيضاً التحقيق في أصول الرئيس رجب طيب أردوغان" (بي بي سي)، ومع ذلك، فإن قرارات العقوبات المُتخذة في مجلس النواب قبل الزيارة لم تكن كافية، وبعد الزيارة، في 11 كانون الأول 2019، تم تثبيت القرارات بقرارات جزائية جديدة صدرت في مجلس النواب.


كل هذا يدل على أنه خلال فترة بايدن، كما كان الحال في فترة ترامب، سيكون أردوغان متماشياً بالكامل مع السياسة الأمريكية وستُعطى الأولوية لمصالح أمريكا بدلاً من مصالح تركيا؛ لأنه في عهد أردوغان، ركزت أمريكا على الحرب بالوكالة بدلاً من استخدام قواتها في العمليات العسكرية ونفذت عمليات في سوريا وليبيا عبر تركيا. لهذا السبب، فإن أردوغان وحزبه، باتباع السياسات نفسها في فترة بايدن، كما فعلوا مع علاقاتهم مع ترامب، سيُقدمون كل قوتهم لتلبية مطالب أمريكا بالكامل فيما يتعلق بحياتهم ومصالحهم ومن هم قريبون منه.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
محمد حنفي يغمور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon