موت موغابي: ليس نهاية التدخل الاستعماري (مترجم)
موت موغابي: ليس نهاية التدخل الاستعماري (مترجم)

الخبر:   رثى زعماء العالم رئيس زيمبابوي السابق روبرت غابرييل موغابي الذي توفي في سنغافورة في السادس من أيلول/سبتمبر عام 2019 عن عمر يناهز 95 عاماً. واعتبر خلف الرئيس موغابي، الرئيس إيمرسون منانغاجوا، عند إعلان وفاة موغابي "رمزاً للتحرير". ووصفه رئيس كينيا أوهورو كينياتا والرئيس السابق مواي كيباكي بأنه "قائد حالم حارب من أجل تحرير الأفارقة". وقال المتحدث باسم بوريس جونسون: "بالطبع، نعرب عن تعازينا لأولئك الذين نرثيهم لكننا نعرف أنه كان بالنسبة للكثيرين، عائقاً أمام مستقبل أفضل...". ...

0:00 0:00
Speed:
October 05, 2019

موت موغابي: ليس نهاية التدخل الاستعماري (مترجم)

موت موغابي: ليس نهاية التدخل الاستعماري

(مترجم)

الخبر:

رثى زعماء العالم رئيس زيمبابوي السابق روبرت غابرييل موغابي الذي توفي في سنغافورة في السادس من أيلول/سبتمبر عام 2019 عن عمر يناهز 95 عاماً. واعتبر خلف الرئيس موغابي، الرئيس إيمرسون منانغاجوا، عند إعلان وفاة موغابي "رمزاً للتحرير". ووصفه رئيس كينيا أوهورو كينياتا والرئيس السابق مواي كيباكي بأنه "قائد حالم حارب من أجل تحرير الأفارقة". وقال المتحدث باسم بوريس جونسون: "بالطبع، نعرب عن تعازينا لأولئك الذين نرثيهم لكننا نعرف أنه كان بالنسبة للكثيرين، عائقاً أمام مستقبل أفضل...".

التعليق:

انقسم العالم على نفسه بسبب تراث زعيم كان يُشاد به في وقت من الأوقات باعتباره بطل تحرير في الحقبة الاستعمارية فيما تحول فيما بعد إلى ديكتاتور ملطخة يداه بالدماء لينتهي حكمه الاستبدادي الذي دام 37 عاماً في انقلاب عام 2017. تم بعدها سجنه وتعذيبه في حقبة إيان سميث وحكم الأقلية البيضاء فيما كان يعرف آنذاك باسم روديسيا، كان ينظر إلى موغابي من العديد من الأفارقة كمحرر مبدع واعتبره سيده الاستعماري البريطاني الذي رفع من شأنه ثوريا. أعطى اتفاق لانكستر هاوس عام 1979 في لندن حق الاستقلال لزيمبابوي وعاد موغابي إلى وطنه كبطل.

كشفت فترة حياة روبرت موغابي عن مفهوم الاستقلال الخاطئ. "الكفاح من أجل الاستقلال" من "الأبطال" الأفارقة الذين وصفوا بأنهم محررون أصبحوا فيما بعد يعرفون بالظالمين. منذ وصولها إلى السلطة السياسية، ظلت الحركات المناهضة للاستعمار في العديد من البلدان الأفريقية مثل زيمبابوي وأنغولا وموزمبيق وناميبيا وجنوب أفريقيا مسيطرة على المجتمعات الاستعمارية السابقة. فقد عمل أسياد المستعمرات الأوروبيون بفعالية لاستبدال حكم السكان الأصليين السود بحكمهم القسري الأبيض مع بقاء الاستعمار. كانت الحركات الأفريقية مدعومة وموجهة من الأسياد الاستعماريين أنفسهم. وتحت مظلة الحكم الذاتي، أُدخلت على القارة الأفريقية نماذج جديدة من الحكم والأفكار كالديمقراطية التعددية، التي ولدت وتطورت على يد القوى الاستعمارية الغربية. لكن هذه الأفكار الجديدة قادت أفريقيا إلى الركود الاقتصادي والسياسي والمجتمعي وعدم الاستقرار. ومن المفارقات أن الغرب ألقى باللوم على الحكام الأفارقة القدامى "متلازمة الرجل الكبير" في الأزمات التي تواجه أفريقيا والتي كانت بالفعل نتيجة لنظام الحكم الديمقراطي الخاطئ. وهكذا، قاموا بضبط نغمة جديدة - حلم جديد لأفريقيا يطلق عليه "النهضة الأفريقية" كبديل يدعون أنه يتناقض مع الحكام الأفارقة القدامى وذلك لخداع السذج فيعتقدون بأن أفريقيا لديها رؤية.

بعد وصوله إلى السلطة مباشرة، شدد موغابي قبضته للبقاء في السلطة وبدأ في قمع منافسيه السياسيين أمثال جوشوا نكومو؛ زميل موغابي الـ"مقاتل من أجل الحرية" الذي سقط بسقوط موغابي. تحولت هذه الأزمة إلى تصادم عنيف عندما نشر موغابي لواءه الخامس المدرب من كوريا الشمالية لسحق تمرد مسلح من المقاتلين الموالين لنكومو في مقاطعة ماتابيليلاند عندما مات ما لا يقل عن 20 ألف شخص في ماتابيليلاند. لذلك، ظهر عنف الدولة كوسيلة لحماية أولئك الذين ورثوا السلطة ضد أولئك الذين يُنظر إليهم كقادة معارضين. كما تحدثت لجنة جنوب إفريقيا، التي تم إضفاء الطابع المؤسسي عليها من الحكومة، عن انتهاكات حقوق الإنسان التي ارتكبها حزب المؤتمر الوطني الأفريقي. لم يخجل الرئيس نيلسون مانديلا من تقديم اعتذار علني إلى ضحايا إخفاق حزب المؤتمر الوطني الأفريقي في احترام حقوق الإنسان الأساسية. وفي عام 2008، شكلت الحكومة الكينية لجنة معروفة باسم لجنة الحق والعدالة والمصالحة في كينيا (TJRC) لتحليل المظالم التاريخية والانتهاكات الجسيمة لحقوق الإنسان من الأنظمة المستقلة.

مما لا شك فيه، أن بريطانيا المستعمرة في زيمبابوي قد سهلت إزالة موغابي في عملية استيلاء عسكرية في عام 2017 وجلبت الرئيس الحالي إيمرسون منانغاجوا من خلال الهيئات الإقليمية؛ مجموعة التنمية لأفريقيا الجنوبية (SADC) والاتحاد الأفريقي (AU). لا تزال بريطانيا رقيبة على مستقبل زيمبابوي لأنها تكذب برداء الديمقراطية، والتي أثبتت فشلها التام. يجب أن يفهم شعب زيمبابوي بخاصة وأفريقيا عموماً أن موت أي من قادتهم لا يعني نهاية التدخل الاستعماري. والحقيقة هي أن المركز السياسي لأفريقيا لا يزال مرتبطاً بالغرب. وستتحرر أفريقيا حقاً من قيود الاستعمار الجديد على يد قائد عظيم صاحب رؤية واضحة ومباشرة والذي سيسعى جاهدا إلى نيل رضوان الله عبر تطبيق الإسلام في مجالات الحياة كلها في ظل خلافة على منهاج النبوة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

شعبان معلم

الممثل الإعلامي لحزب التحرير في كينيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon