نعم، لا وجود لدولة في تونس، فلنقمها على أساس الإسلام إذن
نعم، لا وجود لدولة في تونس، فلنقمها على أساس الإسلام إذن

اعتبر رئيس الجمهورية الباجي قايد السبسي، أن تونس ليست بخير، ووضعها دقيق، مستدركا بالقول إن "بلادنا في أخف الضررين بالنظر إلى محيطها وما يقع في ليبيا وغيرها من تطاحن وتقاتل". وأضاف رئيس الجمهورية، في كلمة توجه بها مساء الأحد 5 أيار/مايو 2019 إلى الشعب التونسي بمناسبة حلول شهر رمضان المعظم، أن "التونسيين يعيشون حالة احتقان ويشتكون من غلاء المعيشة ومن قلة المواد"، مذكرا بـ"الفواجع التي مروا بها على غرار وفاة الرضع في مستشفى الرابطة وعدد من العاملات الفلاحيات جراء ظروف النقل الصعبة".

0:00 0:00
Speed:
May 09, 2019

نعم، لا وجود لدولة في تونس، فلنقمها على أساس الإسلام إذن

نعم، لا وجود لدولة في تونس، فلنقمها على أساس الإسلام إذن

الخبر:

اعتبر رئيس الجمهورية الباجي قايد السبسي، أن تونس ليست بخير، ووضعها دقيق، مستدركا بالقول إن "بلادنا في أخف الضررين بالنظر إلى محيطها وما يقع في ليبيا وغيرها من تطاحن وتقاتل".

وأضاف رئيس الجمهورية، في كلمة توجه بها مساء الأحد 5 أيار/مايو 2019 إلى الشعب التونسي بمناسبة حلول شهر رمضان المعظم، أن "التونسيين يعيشون حالة احتقان ويشتكون من غلاء المعيشة ومن قلة المواد"، مذكرا بـ"الفواجع التي مروا بها على غرار وفاة الرضع في مستشفى الرابطة وعدد من العاملات الفلاحيات جراء ظروف النقل الصعبة".

وأشار إلى الأزمات التي شهدتها البلاد، رغم المجهودات التي قامت بها الحكومة والسلط للتخفيف من حدتها، وآخرها أزمة نقل المحروقات وما سببته من خلل لمختلف الأنشطة، مبينا أن الحلول التي اعتمدتها الحكومة بخصوص ارتفاع الأسعار ومن بينها تركيز نقاط بيع من المنتج إلى المستهلك من شأنها التخفيف من تلك الأسعار، لكنها لن تحل المشكل. (آخر خبر أونلاين)

التعليق:

يبدو أن النظام المحتضر في تونس لم يعد قادرا على ستر عوراته، ما أوصل الساسة والحكام إلى مستوى رهيب من الانحدار الفكري والسياسي، جعلهم في أحسن الحالات يظنون أن الاعتراف بالعجز فضيلة، لأن ما سوى ذلك هو وقاحة وانعدام حس بالمسؤولية ومجاهرة بمعصية سوء رعاية شؤون المسلمين.

بل يبدو أن إطلالة الرئيس لرثاء الواقع والبكاء على أطلاله صار عرفا سياسيا ودبلوماسيا يبطن تنصلا واضحا من كل المسؤوليات في ظل نظام العجز المركب الذي يحكم تونس. وعودة سريعة إلى أهم خطابات الرئيس كافية لتأكيد هذه الحقيقة الثابتة.

ففي حادثة التفجير المحاذي لوزارة الداخلية والذي هز أكبر شوارع العاصمة أواخر شهر تشرين الأول/أكتوبر 2018، أطل علينا الباجي قايد السبسي ليردد على مسامع الشعب التونسي مقولته الشهيرة: "أردنا أن نقضي على (الإرهاب)، فكاد (الإرهاب) أن يقضي علينا"، مع أن الجميع صار يدرك ارتباط هذا الورم السرطاني بالمخابرات الدولية، ودوره الخبيث في تفتيت عضد الأمة، وتشتيت جهود الأمن والجيش.

ثم عاد الرئيس في خطابه الرسمي بمناسبة عيد الاستقلال مساء 20 آذار/مارس 2019، ليؤكد بأن كل المؤشرات الاقتصادية صارت سلبية، وبأنه لا يمتلك حلولا للأزمة، بل أضاف قائلا إن الديمقراطية تعيش أزمة عالمية.

ثم بدل التنحي وحفظ ماء الوجه، ها هو يظهر مجددا لا لإعطاء الحلول والبدائل، وإنما ليتمادى في تعداد مآسي أهل تونس ونوازلهم، وكأن دور رئيس الدولة والقائد الأعلى للقوات المسلحة قد انحصر في جمع التقارير عن المصائب والكوارث والأزمات وإعادة سردها على أبناء هذا البلد المنكوب.

إن النظام الرأسمالي الفاسد المطبق على أهل تونس منذ تنصيب بورقيبة إلى يوم الناس هذا، لهو سبب كل بليّة حلت بالمسلمين في تونس، وهو مصدر هذا الضنك المتزايد يوما بعد يوم، نتيجة لفصل الدين عن حياة الناس في الحكم والاقتصاد والاجتماع وغيرها من شؤون الحياة، إلى درجة جعلت أحكامه غير متصورة في أذهان بعض المسلمين، ممن علقوا آمالهم على بقايا هيكل عظمي لدولة مهترئة تابعة، تُعرض عن شرع الله وتستورد حلولها من الكافر المستعمر، لتشرف على انتخابات تنعش النظام الذي طالب الشعب بسقوطه.

بل إن الاستعمار الذي فرض تطبيق هذه الأنظمة الظالمة الفاجرة، هو الذي أشرف على تقسيم المسلمين ورسم الحدود الوهمية بينهم، وهو من فصل تونس عن امتدادها التاريخي والجغرافي، وسلخها عن دينها وعن انتمائها الحضاري لخير أمة أخرجت للناس، أمة الإسلام العظيم، ﴿وَلَا يَزَالُونَ يُقَاتِلُونَكُمْ حَتَّىٰ يَرُدُّوكُمْ عَن دِينِكُمْ إِنِ اسْتَطَاعُوا﴾ وإلا لعادت أمريكا تدفع الجزية إلى الدولة الإسلامية كما فعلت أيام الوالي الجزائري "بكلر حسن" زمن حكم الخلافة العثمانية.

ولذلك، فإنه حري بأهل تونس الأكارم، أن يلفظوا من يخيّرهم بين سيئ وأسوأ لفظ النواة، وأن يقلعوا ما تبقى من هذا النظام الفاسد الذي يسومهم سوء العذاب، ويعطل أبسط مقومات العيش الكريم، وأن يقبلوا على شرع ربهم، وهدي نبيهم صلى الله عليه وسلم، بالعمل على إقامة الخلافة على منهاج النبوة التي يحارب عودتَها طغاةُ العالم من عباد الصليب، فالإسلام لم ينزل وحيا لنعيش في الشقاء تحت قاعدة أخف الضررين، بل لنحمل دعوته ونقود به الشعوب والأمم. قال تعالى: ﴿فَإِمَّا يَأتِيَنَّكُم مِنِّي هُدًى فَمَنِ اتَّبَعَ هُدَايَ فَلاَ يَضِلُّ وَلاَ يَشْقَى﴾. [سورة طه: 123].

ختاما، ها قد اعترف رئيس الدولة لشعبه بغياب الدولة قولا وفعلا ومن قبله رئيس الحكومة، ولم يعد الأمر سرا في بلد ترك فيه الشعب إلى نفسه، فلنقم دولة الإسلام التي وعد الرحمن، وبشر بها خير الأنام، استجابة لله ولرسوله، فننعم بخيري الدنيا والآخرة، بدل حالة الذل والهوان الذي أوصلنا إليه هؤلاء الحكام.

قال تعالى: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴾ [سورة الأنفال: 24].

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

المهندس وسام الأطرش

عضو حزب التحرير في ولاية تونس

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon