نظام بوتين الإرهابي يواصل حربه ضد الإسلام
نظام بوتين الإرهابي يواصل حربه ضد الإسلام

الخبر: أورد موقع سبوتنيك عربي في 20 شباط/فبراير عام 2021م الخبر التالي: "أعلن المكتب الإعلامي لجهاز الأمن الفيدرالي في روسيا، اليوم الخميس، أنه تم اعتقال عناصر من حزب التحرير (التنظيم المحظور في روسيا) ضمن عمليات خاصة، في 10 مناطق روسية".

0:00 0:00
Speed:
February 24, 2021

نظام بوتين الإرهابي يواصل حربه ضد الإسلام

نظام بوتين الإرهابي يواصل حربه ضد الإسلام


الخبر:


أورد موقع سبوتنيك عربي في 20 شباط/فبراير عام 2021م الخبر التالي: "أعلن المكتب الإعلامي لجهاز الأمن الفيدرالي في روسيا، اليوم الخميس، أنه تم اعتقال عناصر من حزب التحرير (التنظيم المحظور في روسيا) ضمن عمليات خاصة، في 10 مناطق روسية".

التعليق:


من المعروف أن سفينة الرأسمالية تغرق الآن. والقوى الاستعمارية بقيادة أمريكا وعملائها في البلاد الإسلامية يبذلون قصارى جهدهم لإنقاذها من الغرق، أو على الأقل تأخير ذلك قليلاً؛ لأنهم يرون ويشعرون أن دولة الإسلام، الخلافة الراشدة قريبة من دخول الساحة الدولية. لذلك فإن أنظمة الكفر تكثف حربها ضد الإسلام. وأحد هذه الأنظمة هو نظام بوتين في روسيا؛ فهو ينتهج سياسة إرهابية قمعية وحشية ضد الإسلام السياسي الذي يمثله حزب التحرير؛ لأن هذا النظام هو نظام وحشي إرهابي.


ففي عام 1999م قام ألكسندر ليتفينينكو - وهو عميل سابق لدى الاستخبارات الروسية في مجال مكافحة الإرهاب والجرائم المنظمة (التنظيمات المسلحة) - قام بفضح جرائم هذا النظام التي تدل على أنه نظام إرهابي! حيث قال إنه قبل وصول بوتين إلى السلطة عام 1999م، فجرت أجهزته الأمنية الفيدرالية منازل في روسيا وقامت بعمليات إرهابية أخرى لتعزيز تقييمه. وكشف في كتابه "جهاز الأمن الفيدرالي يفجّر روسيا" أن المخابرات الروسية قامت بعمليات تفجير (تفجيرات الشقق الروسية) في روسيا لتحريض الشعب على الحرب على الأقليات المسلمة عبر إلصاق التهم بالمتمردين الشيشان، أي بالمسلمين الشيشان. وأشار في كتابه إلى أن جهاز الأمن الفيدرالي قام بتفجير الشقق في موسكو ومدينة فولجودونسك (منطقة روستوف) ومدينة بويناكسك في داغستان وقام بتفجير مترو بطرسبورغ! وقال: في البداية أعدوا الرأي العام للحرب على مسلمي الشيشان ثم بدأوا بالتفجير! وبحسب بي بي سي نيوز فقد قتل في تفجيرات الشقق في موسكو وحدها 106 أشخاص وأصيب 264 شخصا. وقد فر ليتفينينكو مع عائلته إلى بريطانيا بعد فتح عدد من القضايا الجنائية ضده، لأن حياته كانت في خطر. واغتيل في 23 تشرين الثاني/نوفمبر 2006 عن طريق تسميمه بمادة البولونيوم 210 المشعة فمات في لندن. وخلصت محكمة بريطانية إلى أن ليتفينينكو قُتل في عملية خاصة نفذها جهاز الأمن الفيدرالي، وربما تمت تلك العملية بموافقة مدير جهاز الأمن الفيدرالي نيكولاي بتريشيف شخصيا وبموافقة رئيس روسيا فلاديمير بوتين.


وحسب موقع ويكيبيديا فقد أقيمت له صلاة الغائب في الجامع الكبير بوسط لندن بعد أن أعلن والده بأن ابنه ألكسندر قد كشف له بأنه اعتنق الإسلام وذلك قبل يومين من وفاته وأنه طلب أن يدفن حسب مراسم الديانة الإسلامية.


نظام بوتين الإرهابي هذا ارتكب العديد من الفظائع في سوريا أيضا. فبحسب ناشطين سوريين كانت حصيلة ضحايا الغارات الجوية الروسية منذ عام 2015م إلى 2018م 17.997، هذا عدد القتلى الذي سجله المرصد السوري لحقوق الإنسان: 7.928 مدنيا، منهم 1.904 طفلا و1.187 امرأة!! وأعلن الدفاع المدني السوري في 28 أيلول/سبتمبر عام 2020م الأرقام التالية:


"أكثر من 12 ألف مدني بين قتيل وجريح: أدت الاستهدافات الروسية لمختلف مناطق سوريا على مدى السنوات الخمس الماضية إلى مقتل أعداد كبيرة من المدنيين، ووثقت فرقنا خلال الفترة الممتدة من 30 أيلول 2015 حتى 20 أيلول 2020 مقتل 3966 مدنياً بينهم أطفال ونساء، وتعبّر هذه الأرقام عن المدنيين الذين استجابت لهم فرقنا وقامت بانتشال جثثهم، لأن عدداً كبيراً يتوفى بعد إسعافه، أو بعد أيام من إصابته، وهذه الأعداد لا توثقها فرقنا، وتمكنت فرقنا من إنقاذ 8121 مدنياً أصيبوا جراء الغارات والقصف الروسي.


فيما فقد الدفاع المدني السوري 36 متطوعاً وجرح 158 متطوعاً جراء الغارات المزدوجة والاستهداف المباشر من الطيران الروسي للفرق أثناء عمليات البحث والإنقاذ وقيامهم بواجبهم الإنساني.


روسيا ترتكب 182 مجزرة:


وثقت فرق الدفاع المدني السوري ارتكاب روسيا 182 مجزرة في سوريا، منذ بدء تدخلها العسكري المباشر لصالح قوات النظام في 30 أيلول 2015 حتى الآن، وأدت تلك المجازر لمقتل 2228 مدنياً وإصابة 3172 آخرين، وأغلب تلك المجازر كانت باستهداف منازل المدنيين أو الأسواق والأماكن المكتظة، بهدف إيقاع أكبر عدد ممكن من المدنيين.


المنشآت الحيوية هدف مباشر لروسيا:


تركزت الهجمات الروسية على مراكز المدن ومنازل المدنيين والمرافق الحيوية، بهدف تهجير المدنيين وتدمير كافة أشكال الحياة التي تدعم استقرارهم، حيث استهدفت 69٪ من تلك الهجمات منازل المدنيين بواقع 3784 هجوماً، فيما كانت الحقول الزراعية بالمرتبة الثانية 15٪ من الهجمات 821 هجوماً، ومن ثم الطرق الرئيسية والفرعية 6٪ بواقع 324 هجوماً ومن ثم المشافي والمراكز الطبية بـ70 هجوماً ومراكز الدفاع المدني 59 هجوماً، والأسواق الشعبية بـ53 هجوماً و46 هجوماً استهدف مدارس و23 هجوماً استهدف مخيمات تؤوي نازحين، إضافة لعشرات الهجمات التي استهدفت مساجد وأفراناً ومعامل وأبنية عامة". انتهى الاقتباس


هذه قطرة من بحر جرائم هذا النظام! وهذا هو الوجه الحقيقي للاستعمار الروسي، هذا هو الوجه الحقيقي لهذا النظام! هذا هو الوجه الحقيقي لجهازه الأمني الفيدرالي! إن هذا النظام يخشى من حزب التحرير؛ لأن حزب التحرير يحمل الإسلام كمبدأ وحضارة؛ لذلك يحارب هذا النظام حزب التحرير بلا هوادة تحت ذريعة "مكافحة الإرهاب"! وهدفه هو صرف انتباه الناس عن المشاكل الملحة في الاقتصاد والاجتماع وفي مجالات الحياة الأخرى داخل روسيا. لأن الاستياء من سياسة هذا النظام في المجتمع الروسي يتزايد. ولكن بإذن الله سوف ينقلب السحر على الساحر؛ فإن حزب التحرير قويّ بربه، قوي بإيمانه، قوي بمبدأ الإسلام الذي أنزله الله تعالى على رسوله محمد ﷺ، وسيؤتي عمل حزب التحرير بإذن الله تعالى ثماره في المستقبل القريب جداً، وهذه الثمار هي إقامة دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة. ويومئذ ستُنسِي دولة الخلافة دول الاستعمار وساوس الشياطين، وإن غدا لناظره قريب.


﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ﴾

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
محمود الأوزبيكي

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon