قائد القيادة المركزية الأمريكية زار باكستان ومناطقها القبلية  لإيقاع المسلمين في فخ الاقتتال فيما بينهم
قائد القيادة المركزية الأمريكية زار باكستان ومناطقها القبلية  لإيقاع المسلمين في فخ الاقتتال فيما بينهم

 أصدرت القيادة المركزية الأمريكية بياناً صحفياً (رقم 20240509-01) في 9 أيار/مايو 2024 جاء فيه: "بين 7 و9 أيار/مايو، قام الجنرال مايكل إريك كوريلا، قائد القيادة المركزية الأمريكية، بزيارة باكستان حيث التقى بالجنرال سيد عاصم منير، رئيس أركان الجيش، وغيره من كبار قادة القوات المسلحة الباكستانية. وركزت مناقشاتهم على جهود مكافحة الإرهاب والشراكة العسكرية الدائمة بين القوات المسلحة الباكستانية والأمريكية.

0:00 0:00
Speed:
May 16, 2024

قائد القيادة المركزية الأمريكية زار باكستان ومناطقها القبلية لإيقاع المسلمين في فخ الاقتتال فيما بينهم

قائد القيادة المركزية الأمريكية زار باكستان ومناطقها القبلية

لإيقاع المسلمين في فخ الاقتتال فيما بينهم

(مترجم)

الخبر:

أصدرت القيادة المركزية الأمريكية بياناً صحفياً (رقم 20240509-01) في 9 أيار/مايو 2024 جاء فيه: "بين 7 و9 أيار/مايو، قام الجنرال مايكل إريك كوريلا، قائد القيادة المركزية الأمريكية، بزيارة باكستان حيث التقى بالجنرال سيد عاصم منير، رئيس أركان الجيش، وغيره من كبار قادة القوات المسلحة الباكستانية. وركزت مناقشاتهم على جهود مكافحة الإرهاب والشراكة العسكرية الدائمة بين القوات المسلحة الباكستانية والأمريكية. وأثناء وجوده في البلاد، سافر الجنرال كوريلا إلى عدة مواقع في مقاطعة خيبر بختونخوا، على الحدود مع أفغانستان. وهناك، التقى بقيادة الفيلق الحادي عشر الباكستاني، وفيلق الحدود، والفرقة السابعة لمناقشة عمليات مكافحة الإرهاب على طول الحدود".

التعليق:

إنّ الهدف الاستراتيجي الأمريكي في باكستان، ومناطقها القبلية، وأفغانستان، يتلخص في التدخل في إطار مكافحة الإرهاب، والحفاظ على القدرة على تشكيل سياسة حكومة طالبان من خلال الضغط، وإبقاء الجيش الباكستاني منشغلاً على الحدود الغربية، لإعطاء مودي الحرية على الحدود الشرقية. وهذا من شأنه أن يمنح أمريكا القدرة على تشكيل السياسة على الحدود الشرقية للصين وآسيا الوسطى، ما يؤثر أيضاً على روسيا، وسوف يسمح لحليف أمريكا، الهند، بمواجهة الصين، دون مواجهة باكستان.

وهكذا كانت زيارة الجنرال كوريلا إلى المناطق القبلية لتحديد علاقة باكستان الاستراتيجية مع أفغانستان والهند وأمريكا. ما هو أساس العلاقة العسكرية بين باكستان وأمريكا؟ تاريخياً، كان أساس ذلك هو سعي أمريكا إلى إقامة تحالف عسكري ضدّ روسيا السوفييتية، بينما كانت باكستان تسعى إلى إقامة علاقة عسكرية مع أمريكا لتسليح نفسها ضدّ الهند. والآن تريد أمريكا إقامة علاقة عسكرية مع باكستان على أساس التعاون في مكافحة الإرهاب كعقيدة. حيث إنه إذا لم تكن هناك عقيدة وراء العلاقة العسكرية، فإنها ستضعف مع مرور الوقت. ومن خلال عقيدة مكافحة الإرهاب هذه، تسعى أمريكا إلى إعادة تعريف علاقتها العسكرية الاستراتيجية مع باكستان، حيث يتعين على أمريكا والجيش الباكستاني أن يتعاونا لمحاربة التشدد. ولهذا السبب لا تريد أمريكا أن ينتهي القتال، فهي تريد استخدامه كذريعة لتغيير علاقتها الاستراتيجية مع باكستان. لقد تغيّرت العلاقة بين أمريكا وباكستان بالفعل خلال (الحرب على الإرهاب). والآن بعد أن انتهت، تحتاج أمريكا أن تخترع حرباً جديدة لمواصلة ذريعة العلاقات العسكرية الاستراتيجية مع باكستان.

ومن خلال هذه الرؤية الاستراتيجية الجديدة، بعد الانسحاب من أفغانستان، فإن أمريكا تريد تغيير الطريقة التي تنظر بها باكستان إلى أفغانستان، ليس باعتبارها حليفاً استراتيجياً وشقيقاً بل بوصفها عدواً. كما أنها تريد تغيير الطريقة التي تنظر بها باكستان إلى الهند، ليس كعدو بل باعتبارها صديقاً. وهي تريد تغيير الطريقة التي تنظر بها باكستان إلى أمريكا، ليس كمصدر للتسليح ضدّ الهند، بل بوصفها مصدراً للتسليح ضد المتشددين. ومن ثم فإن التعاون في مجال مكافحة الإرهاب مع باكستان يشكل في الواقع رؤية استراتيجية جديدة لمنطقة أفغانستان وباكستان. إنها إعادة ضبط، على المستوى الاستراتيجي، لعلاقة باكستان مع أمريكا والهند وأفغانستان. وهذا هو ما تعنيه مكافحة الإرهاب سياسيا.

إن حالة الاقتتال الآن راسخة في المنطقة الحدودية الباكستانية. وكل ما يتعين على أمريكا أن تفعله الآن هو الاستمرار في إشعال النار، وبالتالي إبقاء نار المعركة مشتعلة. ولكي يحدث ذلك، تشجع أمريكا الجيش الباكستاني على الهجوم بقسوة على المسلحين البشتون. ورداً على ذلك، فإنهم سوف يقاومون بصوت أعلى. وبالتالي فإن الحدود الشرقية لباكستان سوف تستمر في الاحتراق. فقط نظرة بسيطة ترينا أن الاقتتال في المنطقة الحدودية الباكستانية الأفغانية كان منذ عام 1979، أي منذ خمسة عقود حتى الآن، وقد استنزف قوتين عظميين، وسوف يتم استنزاف قوى مسلمي المنطقة، ما لم يتمّ تبني سياسة جديدة لهذه المنطقة.

إنّ الإسلام يأمر بإزالة الحدود بين باكستان وأفغانستان، ويسمح لمسلمي البشتون بحريّة التنقل في جميع أنحاء المنطقة دون أي ضوابط. كما يمكّن الإسلام المسلحين القبليين والجيش الباكستاني من إعادة بناء الثقة التي ساعدتهم على هزيمة الاتحاد السوفييتي وقبل ذلك تحرير كشمير. ومن الممكن إدارة أمن المنطقة جزئياً من خلال القبائل الحدودية، التي تحمي الحدود من المتسللين الأجانب، كما فعلت ضد السوفييت والأمريكيين. وسيكون الجيش الباكستاني بمثابة مساعد وداعم لهم في هذا الدور شبه العسكري. ويمكن للخلافة الراشدة أن تنفذ هذه الرؤية في المناطق الحدودية، من خلال توحيد المؤمنين باعتبارهم إخوة. قال الله ﷻ: ﴿إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ﴾.

قال الإمام القرطبي في التفسير: أي في الدّين والحرمة لا في النَّسَبِ، وَلِهَذَا قِيلَ أُخُوَّةُ الدِّينِ أَثْبَتُ مِنْ أُخُوَّةِ النَّسَبِ، فإن أُخُوَّة النَّسَبِ تنْقَطِع بِمُخَالَفَةِ الدِّينِ، وَأُخُوَّة الدِّينِ لَا تنْقَطِع بِمُخَالَفَةِ النَّسَبِ.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

المهندس معز – ولاية باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon