قلة الحياء على الفعل القبيح أقبح من الفعل نفسه!
قلة الحياء على الفعل القبيح أقبح من الفعل نفسه!

  الخبر: التقى وزير الخارجية مولود تشاووش أوغلو بوزير الخارجية (الإسرائيلي) يائير لابيد في إطار زيارته لـ(إسرائيل). وعقد الوزيران مؤتمرا صحفيا مشتركا وأدليا فيه ببيان. قال الوزير لبيد "(إسرائيل) بكلمة واحدة تحب تركيا". وقال وزير الخارجية لبيد في خطابه: "(إسرائيل) وتركيا قوتان في المنطقة، والأهم من ذلك دولتان لهما تاريخ طويل ومشترك...

0:00 0:00
Speed:
May 26, 2022

قلة الحياء على الفعل القبيح أقبح من الفعل نفسه!

قلة الحياء على الفعل القبيح أقبح من الفعل نفسه!

الخبر:

التقى وزير الخارجية مولود تشاووش أوغلو بوزير الخارجية (الإسرائيلي) يائير لابيد في إطار زيارته لـ(إسرائيل). وعقد الوزيران مؤتمرا صحفيا مشتركا وأدليا فيه ببيان. قال الوزير لبيد "(إسرائيل) بكلمة واحدة تحب تركيا". وقال وزير الخارجية لبيد في خطابه: "(إسرائيل) وتركيا قوتان في المنطقة، والأهم من ذلك دولتان لهما تاريخ طويل ومشترك... لم ننس أن تركيا كانت أول بلد إسلامي يعترف بـ(إسرائيل) عام 1949. ودائما عرفنا كيف نعود للحوار والتعاون. تعرف الدول ذات التاريخ الطويل دائماً كيفية إغلاق فصل وفتح فصل جديد. هذا ما نفعله هنا اليوم. بعد اتفاق أبراهام، تم إنشاء شراكة قوة جديدة في الشرق الأوسط ضد الإرهاب ومحاولات تقويض الاستقرار. عزيزي الوزير، أقدر زيارتك والمحادثات المثمرة والصادقة التي أجريناها هذا الصباح. اليوم، نطلق إطاراً جديداً لتعزيز العلاقات التي لن تعود بالفائدة علينا فحسب بل لنفيد أطفالنا لسنوات قادمة". (www.sondakika.com 2022/05/25)

التعليق:

هناك بعض الأحداث التي لا يمكن فهمها إلا من خلال متابعة الأخبار عن كثب ويتم اتخاذ قرار بشأنها واتخاذ موقف وفقاً لذلك. لكن هناك بعض الأحداث التي لا تتطلب متابعة جادة للأخبار. لأن الحدث قد ظهر وأصبح مشهوراً لدرجة أنه حتى أولئك الذين لا يتابعون الأخبار يدركون بالتأكيد هذا الحدث بطريقة سمعية. خاصة إذا كان هذا الحدث عبارة عن معلومات مصدرها العقائد التي تشكل حياة المسلمين، فهو حدث معروف بالفعل على وجه اليقين ويجب اتخاذ موقف وفقاً لذلك. كما يعلم الجميع، فإن هذا الحدث هو أن حفنة من الأوغاد اليهود الجبناء يرتكبون الفظائع في فلسطين منذ اغتصابهم لها، ويقتلون بتهور المسلمين الأبرياء في فلسطين، ويدنسون المسجد الأقصى المبارك. والأهم من ذلك أن اليهود وصفهم الله في القرآن بأنهم مفسدون. والواقع أن الله تعالى قال: ﴿فَلَمَّا عَتَوْا عَمَّا نُهُوا عَنْهُ قُلْنَا لَهُمْ كُونُوا قِرَدَةً خَاسِئِينَ﴾ [الأعراف: 166] فماذا يجب أن يكون موقف المسلم من يهود بعد إذلالهم في القرآن ووحشيتهم في الأرض المباركة؟ لنستمع إلى الجواب من كلام ربنا سبحانه: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَى أَوْلِيَاءَ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ وَمَنْ يَتَوَلَّهُمْ مِنْكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ﴾ [المائدة: 51]

الآن دعونا نتفحص كلام وزير خارجية كيان يهود المحتل تجاه وزير الخارجية التركي: يقول يائير لابيد: "(إسرائيل) بكلمة واحدة تحب تركيا". هذا يعني: يا حكام تركيا! علاقتكم بنا بغض النظر عن القرآن الذي تؤمنون به، من خلال تجاهل مشاعر الكراهية التي يشعر بها الشعب التركي المسلم تجاهنا هي علامة على حبكم لنا. لهذا السبب نحبكم أيضاً. لقد أظهرتم هذا الحب بالفعل من خلال كونكم أول بلد إسلامي يعترف بكياننا عام 1949. ويتابع وزير كيان يهود "ودائما عرفنا كيف نعود للحوار والتعاون. تعرف الدول ذات التاريخ الطويل دائماً كيفية إغلاق فصل وفتح فصل جديد. هذا ما نفعله هنا اليوم". هذا يعني أنه حتى لو قتلنا الشعب الفلسطيني المسلم أو ذبحنا أبناء شعبك المسلمين على متن مافي مرمرة وهي سفينة مساعدات لفلسطين فعندما تأمرنا أمريكا عليك أن تدخل في حوار وتعاون معنا. من جهة أخرى يستخدم وزير الاحتلال بوقاحة عبارة "أمم ذات تاريخ طويل". إن جاويش أوغلو في مواجهة كلمات كيان اجتمع من هنا وهناك من قبل الغرب الاستعماري وخاصة البريطانيين الكافرين الاستعماريين وليس له تقليد (دولة) حتى مدى الحياة البشرية، إنه لأمر مخز أنه لم ينطق بكلمة واحدة لصالح المسلمين الذين يدعي أنهم إخوة في العقيدة منذ أكثر من 1400 عام، وهي خيانة عظمى لكل من القرآن والرسول والمسلمين.

أما قوله: "بعد اتفاق أبراهام، تم إنشاء شراكة قوة جديدة في الشرق الأوسط ضد الإرهاب ومحاولات تقويض الاستقرار"، فيا سيد جاويش أوغلو من المستحيل عدم معرفة أن اليهود هم رأس الإرهاب الذي يقوض الاستقرار ويقتل أهل فلسطين الأبرياء حتى اللحظة الأخيرة. ومع ذلك أليس من العار الاعتراف بهذه الكلمات؟ كيف ستنظر إلى وجوه المسلمين بعد كل هذا؟ ألا يتحول وجهكم إلى اللون الأحمر؟ بل ألم يبق أدنى حب في قلبكم لله ورسوله؟ كيف ستقدم حسابا في ذلك اليوم الذي لن يكون فيه للمال والسلطة فائدة؟ أم أنكم أزلتم إيمانكم بالآخرة من قلبكم؟! للمضي قدماً يقول الوزير المحتل "نطلق إطاراً جديداً لتعزيز العلاقات التي لن تعود بالفائدة علينا فحسب بل لنفيد أطفالنا لسنوات قادمة". سيد جاويش أوغلو هل تعرف ماذا يعني هذا؟ هذا يعني مثلما نقتل أهل فلسطين المسلمين منذ سنوات سيستمر أطفالنا في القتل بالطريقة نفسها وأنتم ستدعموننا. بحق الله، كيف يمكنك أن تظل صامتاً في وجه هذه الكلمات التي تقشعر لها الأبدان؟ ومع ذلك ليس الإسلامي، حتى أصغر كسرة للبشرية لا يمكنها تحمل هذه الكلمات. والله إن لم تشعر بأية مرارة في قلبك عند هذه الكلمات فهذا يعني أنه لم يبق فيكم خير! «إِذَا لَمْ تَسْتَحْىِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ».

اللهم لا تدمرنا بسبب هؤلاء الحمقى، هيئ لنا خلافة راشدة في أسرع وقت حتى تضع حدا لكيان يهود والرويبضات، وتخلص جميع المسلمين وحتى البشرية جمعاء ولا سيما أهل فلسطين المسلمين من براثن الرأسمالية التي تمص الدماء والتي تدمر العالم بوحشيتها. اللهم آمين. ﴿وَيَقُولُونَ مَتَى هُوَ قُلْ عَسَى أَن يَكُونَ قَرِيباً﴾ [الإسراء: 51]

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

رمضان أبو فرقان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon