رسالة غير سياسية خفيّة من زيارة بابا الفاتيكان لإندونيسيا
رسالة غير سياسية خفيّة من زيارة بابا الفاتيكان لإندونيسيا

الخبر: في وقت سابق من شهر أيلول/سبتمبر، زار بابا الفاتيكان فرانسيس، إندونيسيا، حيث ألقى خطاباً في مسجد الاستقلال، أكبر مسجد في البلاد. ووقّع مع الإمام الأكبر على "الإعلان المشترك للاستقلال 2024"، والذي يهدف، كما يكشف عنوانه الفرعي، إلى "تعزيز الانسجام الديني من أجل الإنسانية" ومعالجة اثنتين من "الأزمات الخطيرة" في عالم اليوم: "نزع الصفة الإنسانية وتغيُّر المناخ". كما زار البابا القسم الأمامي من نفق سيلاتوراهمي، الذي يربط بين مسجد الاستقلال وكاتدرائية جاكرتا، والذي يرمز إلى الانسجام الديني في إندونيسيا.

0:00 0:00
Speed:
September 26, 2024

رسالة غير سياسية خفيّة من زيارة بابا الفاتيكان لإندونيسيا

رسالة غير سياسية خفيّة من زيارة بابا الفاتيكان لإندونيسيا

(مترجم)

الخبر:

في وقت سابق من شهر أيلول/سبتمبر، زار بابا الفاتيكان فرانسيس، إندونيسيا، حيث ألقى خطاباً في مسجد الاستقلال، أكبر مسجد في البلاد. ووقّع مع الإمام الأكبر على "الإعلان المشترك للاستقلال 2024"، والذي يهدف، كما يكشف عنوانه الفرعي، إلى "تعزيز الانسجام الديني من أجل الإنسانية" ومعالجة اثنتين من "الأزمات الخطيرة" في عالم اليوم: "نزع الصفة الإنسانية وتغيُّر المناخ". كما زار البابا القسم الأمامي من نفق سيلاتوراهمي، الذي يربط بين مسجد الاستقلال وكاتدرائية جاكرتا، والذي يرمز إلى الانسجام الديني في إندونيسيا.

التعليق:

لا يمكن إنكار أنّ البابا أصبح شخصية شعبية لدى بعض أهل إندونيسيا، أكبر بلد إسلامي. كما لاقت زيارته إلى إندونيسيا ترحيباً حاراً حتى من الجيل الأصغر سناً. شخصيته المتواضعة مع مظهره المتواضع ومرافق السّفر، حيث يتمّ تصويره كزعيم ديني ومقاتل من أجل العدالة، لها بالتأكيد أجندة خفية. يبدو أنّ موقف البابا المناهض للسّلطة يملي على المسلمين في إندونيسيا التواضع والمسؤولية وراء تفويض القادة؛ حيث تكون الرسالة واضحة للغاية: أن أهم مؤهّل للزّعيم هو عدم الرغبة في أن يكون زعيماً. كانت الرسالة غير السياسية واضحة بشكل أكبر في اليوم الثالث من زيارته، عندما رحّب الإمام الأكبر نصر الدين عمر به في مسجد الاستقلال في 5 أيلول/سبتمبر ووقّع على الإعلان المشترك للاستقلال 2024. وقد أوردت هيئة الإذاعة البريطانية محتويات هذا الإعلان بزاوية متحيّزة إلى حدّ ما: إعلان الاستقلال 2024 "حزينٌ ومتناقض" وسط المنظمات الدينية التي تتلقى تصاريح التعدين وهي منظمات إسلامية مثل نهضة العلماء والمحمدية. وهذا يؤكد الانطباع بأنّ الجهات الدينية تدعم في الواقع نزع الصفة الإنسانية والأزمات البيئية بسبب تورطها في مخططات اقتصادية سياسية.

يجب أن يبتعد الدّين عن السياسة! هذه هي الرسالة الرئيسية. إن هيئة الإذاعة البريطانية باعتبارها وسيلة إعلام علمانية تميل إلى القيم الغربية، تتعمد تأطير أن دخول الدين إلى عالم الاقتصاد السياسي من شأنه أن يعزز في الواقع تدمير البيئة ونزع الصفة الإنسانية. هذا بالإضافة إلى التمجيد الشخصي للبابا الذي تقوم به وسائل الإعلام العلمانية المخضرمة في إندونيسيا؛ حيث يعتبر البابا رجلاً مقدساً يقاتل من أجل العدالة، ويعيش حياة متواضعة وقريباً من الفقراء، وهو تناقض صارخ مع الظروف السياسية في إندونيسيا التي تعجّ بالرّغبة الأوليغارشية في السلطة. حيث يستمر المسرح السياسي الإندونيسي في إظهار مسرح رخيص للسلالات العائلية مع التلاعب الصارخ بالقانون.

إنّ رسالة البابا غير السياسية واضحة، فالسّياسة قذرة والدين مقدّس، لذلك لا تُدخلوا الدين في عالم السياسة بما في ذلك عالم الاقتصاد الاستراتيجي! وبالتالي، هذا يشبه القول العلماني بأن أحكام الإسلام ممنوعة من دخول السّاحات السياسية والاقتصادية. إنّ هذا الأسلوب في التفكير خطير بالتأكيد لأنه يتناقض مع الإسلام الذي يعلمنا أنّ القيادة السياسية للمسلمين جزءٌ أصيل من حضارتهم. ونتيجةً لهذا فإنّ هذه الرسالة الخفية سوف تزيد في الواقع من تدهور الأمة روحياً وسياسياً وسوف تعزّز العلمانية. إنّ الإسلام يرفض العلمانية أو فصل الدين عن السياسة. إنّ فساد حكام المسلمين في إندونيسيا لا علاقة له بأحكام الإسلام لأنّ عجزهم كان نتيجة لنظام الجاهلية الذي صنعه الإنسان والذي أنكر أحكام الله في السياسة والاقتصاد. فلا يوجد جانب من جوانب حياتنا لا تُغطيه الشريعة الإسلامية. قال الله تعالى: ﴿وَأَنِ احْكُم بَيْنَهُم بِمَا أَنزَلَ اللهُ وَلَا تَتَّبِعْ أَهْوَاءَهُمْ وَاحْذَرْهُمْ أَن يَفْتِنُوكَ عَن بَعْضِ مَا أَنزَلَ اللهُ إِلَيْكَ﴾.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon