صعود ترامب مؤشر لسقوط أمريكا
صعود ترامب مؤشر لسقوط أمريكا

نشرت الإكونوميست البريطانية تقريرا عن المرشح الجمهوري دونالد ترامب وصفته فيه بأنه سيتسبب في ضرر حقيقي للجمهوريين ولأمريكا والعالم وأن صعوده سيكون بمثابة تراجيديا لهم (النسخة الإلكترونية من العدد الصادر 7 أيار/مايو 2016).

0:00 0:00
Speed:
May 06, 2016

صعود ترامب مؤشر لسقوط أمريكا

صعود ترامب مؤشر لسقوط أمريكا

الخبر:

نشرت الإكونوميست البريطانية تقريرا عن المرشح الجمهوري دونالد ترامب وصفته فيه بأنه سيتسبب في ضرر حقيقي للجمهوريين ولأمريكا والعالم وأن صعوده سيكون بمثابة تراجيديا لهم (النسخة الإلكترونية من العدد الصادر 7 أيار/مايو 2016).

التعليق:

يصور البعض دونالد ترامب بشكل كاريكاتوري على أنه المرشح البهلواني الدخيل على السياسة والثري الذي قفز فجأة من عالم الملاهي والفنادق الفخمة إلى عالم الأضواء والسياسة حتى لمع نجمه دون أن يتحمل أي منصب عام في السابق أو يرشح لأي عمل رسمي. شكك البعض في أن يفوز رجل يروج للعنصرية والكراهية ويدعو لمنع المسلمين من دخول الولايات المتحدة بل ويتوعد بأنه سيقوم بقتل عائلات المدانين بالإرهاب ويتطاول على منافسيه ولفق لهم التهم. وكلما اتضحت معالم الرسمة الكاريكاتورية اقترب ترامب من قيادة الدولة الأولى في العالم.

لقد أثبتت الانتخابات التمهيدية عكس هذه الصورة المروجة إعلامياً، فقد أيد ترامب أكثر من عشرة ملايين ناخب ووقف الإعلام معه بقوة فسطع اسمه في زمن قياسي. سخر الإعلام منه ولكنه منحه مساحة وتغطية مجانية لم يمنحها لغيره. نعم لقد نشر الكراهية وفكره الدغمائي فسخر منه المعلقون ووصفوا ما يقوله كسخافات وهذيان لا يمكن أن تؤخد على محمل الجد، وسخر منه السياسيون ومن مشروعه السياسي غير الناضج وأطروحاته الاقتصادية التي تفتقر للبلورة والاطلاع ولكن القاعدة الشعبية في ازدياد ملحوظ. وبالرغم من النقد والسخرية وبعض المحتجين الذين يرمونه بالبيض إلا أن هناك آذانا صاغية لما يقوله وناخبين يرون فيه المخرج الوحيد والحماية من التوتر والمخاطر التي تهدد مصالحهم وحياتهم. هذيان ترامب يخاطب شريحة كبيرة من المجتمع في أمريكا؛ يخاطب المهمشين وضحايا الرأسمالية الطاحنة التي وسعت الهوة بين الفقراء والأثرياء ثم تنصلت من جريمتها. ترامب يخاطب من تغذوا على خطابات بوش وابنه والغطرسة الاستعمارية للشعوب ونظريات المؤامرة التي غرسوها في عقول الناس. يخاطب الخيبة والفشل والعبء المادي الذي خلفته مغامرات أمريكا في العراق وأفغانستان وغيرها من البلاد. يخاطب أزمة الهوية بعد أن خاضت أمريكا تلك الحروب ولكن لم تخرج منها كما يود ترامب ومؤيدوه كدولة مهابة الجانب، بل على العكس فقد ازداد الشعور بالخوف وازدادت الكراهية لأمريكا حتى بات هاجسا يؤرق الجميع. ترامب لا يطمح لدولة مهابة فقط بل يود أن تجني بلاده ماديا وبشكل مباشر من مغامرات أمريكا خارج حدودها وتعالج مشاكلها المادية كما استفادت من الحرب العالمية، يود أن يحكم العالم على طراز قياصرة وأباطرة العصور الماضية فتنصاع له الشعوب وتقدم لجنابه فروض الولاء والطاعة.

بدأ ترامب السباق والأغلبية تظن أن الصورة التي يرسمها خيالية لا تقنع إلا اليمين المتطرف وفيها شيء من المبالغة لا يرتقي للطرح السياسي المتزن وأن الحزب الجمهوري لن يجازف بتاريخه و160 عاما من الوجود السياسي، وأن أمريكا لن تدع شخصاً دخيلاً على السياسة مثل ترامب أن يقودها وهي في مرحلة تنازع فيها للاحتفاظ بمركز الدولة الأولى في العالم وتتفرد به. ولكن ترامب أصبح واقعا وحتى إذا ما خسر أمام الديمقراطيين فإن طرحه سيؤثر على السباق السياسي وسياسات ما بعد الانتخاب، بل سيؤثر حتما هو وشريحة مؤيديه على الانتخابات القادمة وسيتسابق الجميع لإرضاء ناخبين لن يرضوا بأقل من حروب جديدة فوق بلاد المسلمين.

تقدم ترامب في السباق ولم يتراجع عن عدائه للإسلام وأهله بل أظهر فور انسحاب منافسيه وتفرده برئاسة الحزب الجمهوري أنه ما زال مصرا على منع المسلمين من السفر للولايات المتحدة. وإن دل هذا على شيء فإنما يدل على إفلاس ترامب السياسي والفكري وأن الكراهية هي كرته الرابحة ومشروعه للوصول للبيت الأبيض. لم يصنع ترامب هذه النظرة الضيقة بل استفاد منها ومن الهجمة الإعلامية الشرسة على الإسلام والمسلمين وسياسة صناعة الإرهاب ثم مناهضته والتنديد به ثم الاستفادة منه وهكذا دواليك.

هل نكتفي بالمتابعة ومقاعد المتفرّجين ونحن في الذكرى الخامسة والتسعين لهدم الدولة أم نحذو حذو رسولنا الأكرم وأصحابه الغر الميامين فنتابع بعين بصيرة ونعمل لما فيه رفعة أمتنا. لن يكون لعهد ترامب والغوغاء من خلفه مكان بل سيكون لعهد الراشدين.

﴿غُلِبَتِ الرُّومُ * فِي أَدْنَى الْأَرْضِ وَهُمْ مِنْ بَعْدِ غَلَبِهِمْ سَيَغْلِبُونَ * فِي بِضْعِ سِنِينَ لِلَّهِ الْأَمْرُ مِنْ قَبْلُ وَمِنْ بَعْدُ وَيَوْمَئِذٍ يَفْرَحُ الْمُؤْمِنُونَ * بِنَصْرِ اللَّهِ يَنصُرُ مَن يَشَاء وَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

هدى محمد (أم يحيى)

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon