سياسة الهجرة اللاإنسانية في لبنان تقتل اللاجئين الفارين من سوريا  من الرجال والنساء والأطفال على جبال الشام الشرقية المثلجة
سياسة الهجرة اللاإنسانية في لبنان تقتل اللاجئين الفارين من سوريا  من الرجال والنساء والأطفال على جبال الشام الشرقية المثلجة

الخبر: بيروت: أعلن مصدر أمني لصحيفة "ديلي ستار" أن عدد اللاجئين السوريين الذين لقوا حتفهم بعد أن ضربتهم العاصفة وهم يحاولون عبور الحدود اللبنانية السورية ارتفع إلى 15 لاجئاً. وقال بيان صادر عن المفوضية السامية للأمم المتحدة لشؤون اللاجئين يوم الجمعة إن "الضحايا كانوا يحاولون عبور طريق شاق ووعر في درجات حرارة منخفضة جداً". "وقد تم العثور على بقية الأشخاص في المجموعة، من بينهم امرأة حامل، في الوقت المناسب وساعدهم السكان القريبون والقوات المسلحة اللبنانية والدفاع المدني على الوصول إلى المستشفيات قبل أن يتجمدوا حتى الموت". وقالت المفوضية إنها "تشعر بالقلق" إزاء الوفيات، ودعت الدول إلى السماح بمرور آمن وبدخول للأشخاص المحتاجين للحماية. وفي عام 2015، منعت الحكومة اللبنانية المفوضية من تسجيل اللاجئين السوريين ووضعت قيوداً إضافيةً على دخولهم إلى البلاد بدون كفيل أو تأشيرات عمل أو عبور. (ديلي ستار)

0:00 0:00
Speed:
January 26, 2018

سياسة الهجرة اللاإنسانية في لبنان تقتل اللاجئين الفارين من سوريا من الرجال والنساء والأطفال على جبال الشام الشرقية المثلجة

سياسة الهجرة اللاإنسانية في لبنان تقتل اللاجئين الفارين من سوريا

من الرجال والنساء والأطفال على جبال الشام الشرقية المثلجة

(مترجم)

الخبر:

بيروت: أعلن مصدر أمني لصحيفة "ديلي ستار" أن عدد اللاجئين السوريين الذين لقوا حتفهم بعد أن ضربتهم العاصفة وهم يحاولون عبور الحدود اللبنانية السورية ارتفع إلى 15 لاجئاً.

وقال بيان صادر عن المفوضية السامية للأمم المتحدة لشؤون اللاجئين يوم الجمعة إن "الضحايا كانوا يحاولون عبور طريق شاق ووعر في درجات حرارة منخفضة جداً". "وقد تم العثور على بقية الأشخاص في المجموعة، من بينهم امرأة حامل، في الوقت المناسب وساعدهم السكان القريبون والقوات المسلحة اللبنانية والدفاع المدني على الوصول إلى المستشفيات قبل أن يتجمدوا حتى الموت".

وقالت المفوضية إنها "تشعر بالقلق" إزاء الوفيات، ودعت الدول إلى السماح بمرور آمن وبدخول للأشخاص المحتاجين للحماية.

وفي عام 2015، منعت الحكومة اللبنانية المفوضية من تسجيل اللاجئين السوريين ووضعت قيوداً إضافيةً على دخولهم إلى البلاد بدون كفيل أو تأشيرات عمل أو عبور. (ديلي ستار)

التعليق:

تستمر الجرائم التي ترتكبها السلطة اللبنانية بالتواطؤ مع نظام الأسد بشأن لاجئي سوريا منذ الإغلاق المستمر للحدود القومية الغادرة للدولة منذ عام 2015 وحتى الآن! إن مثل هذه الممارسات تغلق طريق الملاذ أمام النساء والأطفال المضطهدين الذين يفرون من شرور الأسد وحملات القصف الجبانة حيث يجبرون على إيجاد طرق جبلية وعرة، أدت في النهاية إلى مقتل 9 نساء وطفلين وثلاثة رجال بالقرب من بلدة البقاع السورية يومي الجمعة والسبت. أين هي الإنسانية عند هذه الأنظمة التي تكشف عن جرائمها ليشاهد الجميع الصور المؤلمة المنتشرة على وسائل التواصل للجثث المتجمدة للنساء والأطفال في الثلج حيث تصور وحشية سياسة الهجرة التمييزية في لبنان؟! السياسة اللاإنسانية التي تهدف إلى إبعاد لاجئي سوريا وكأنهم أشخاص غريبون عن البلاد الإسلامية التي عاش فيها أجدادهم منذ قرون. ومع ذلك، وعلى الرغم من هذه الحقائق، فقد حددت السلطات اللبنانية منذ عام 2015 "معايير" جديدة بشأن من يمكنه الدخول إلى لبنان، ويتضمن ذلك أولئك الذين يأتون لغرض "السياحة، أو في زيارة عمل، أو كونه مالكاً لعقار، أو للدراسة أو للعلاج الطبي، أو لمراجعة السفارة الأجنبية، أو بموجب التزام مسبق من مواطن لبناني يتحمل المسؤولية". لذلك، فإن سياسة الهجرة الإجرامية هذه لا تساعد نظام الأسد فقط من خلال محاصرة اللاجئين الفارين في الحدود الجبلية الغادرة، بل إنها تحافظ أيضاً على الخضوع لهذه الحدود القومية للدولة المصطنعة التي أوجدها البريطانيون والفرنسيون بعد تدمير الخلافة العثمانية في عام 1924.

إن الوضع السياسي الداخلي للبنان ونظامه الطائفي في الحكم والذي ظهر إلى حيز الوجود في عام 1943 بفعل الفرنسيين بعد تدمير دولة الخلافة العثمانية حيث ضمنوا السيطرة السياسية لحلفائهم النصارى عن طريق التوزيع غير المتكافئ للسلطة السياسية بين الكاثوليك المارونيين، والنصارى الأرثوذكس والدروز والمسلمين "الشيعة والسنة"، بنسبة 6: 5 لصالح النصارى يتم أيضاً حمايتهما بأي ثمن. ولذلك، فإن وجود مليون لاجئ سوري مسجل من إجمالي 2.2 مليون لاجئ سوري يعيشون بين 6 ملايين لبناني يعتبرون كأمر مزعزع للاستقرار السياسي للبلاد مما يؤدي إلى تقييدات قاسية ومميتة للهجرة على اللاجئين من سوريا.

لذلك فإن من واجب المسلمين أن يساعدوا إخوتهم وأخواتهم المنكوبين من سوريا من خلال عدم السماح بإغلاق حدود الدولة القومية الغادرة التي صممت فقط لتسبب البؤس والمعاناة، بل عليهم العمل على إزالتها بإقامة دولة موحدة هي دولة الخلافة على منهاج النبوة. لذلك دعونا نكثف جهودنا لإقامة نظام الله سبحانه وتعالى مرة أخرى في هذه الأرض والذي هو الطريق الصحيح الوحيد لإنقاذ الأمة المضطهدة في سوريا وفي العالم ككل. إن هذه الدولة وحدها، والتي ستبنى على الإسلام فقط، ستحشد جنودها دون تردد أو تأخير لتحرير المسلمين من مضطهديهم، وسترعاهم بحب - لأن الإسلام لا يقبل إلا أن يكون له الحكم والقيادة. «‏إِنَّمَا الْإِمَامُ ‏‏جُنَّةٌ‏ ‏يُقَاتَلُ مِنْ وَرَائِهِ وَيُتَّقَى بِهِ».

إن الله سبحانه وتعالى سوف يسأل المسلمين أيضاً يوم القيامة عن معاملتهم لإخوانهم المسلمين في سوريا. فقد قال رسول الله e: «الْمُسْلِمُ أَخُو الْمُسْلِمِ، لَا يَظْلِمُهُ وَلَا يُسْلِمُهُ، وَمَنْ كَانَ فِي حَاجَةِ أَخِيهِ كَانَ اللهُ فِي حَاجَتِهِ، وَمَنْ فَرَّجَ عَنْ مُسْلِمٍ كُرْبَةً فَرَّجَ اللهُ عَنْهُ كُرْبَةً مِنْ كُرُبَاتِ يَوْمِ الْقِيَامَةِ، وَمَنْ سَتَرَ مُسْلِمًا سَتَرَهُ اللهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ».

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

ثريا أمل يسنى

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon