October 24, 2017

تعاون سعودي إيراني بوساطة العبادي لخدمة مصالح أمريكا

تعاون سعودي إيراني بوساطة العبادي لخدمة مصالح أمريكا

الخبر:

الملك سلمان يستقبل رئيس الوزراء العراقي في الرياض (موقع العربية، السبت 2017/10/21م)

الجبير: بحثنا مع تيلرسون خطر إيران وأزمة قطر (موقع العربية، الأحد 2017/10/22م)

محمد بن سلمان يبحث مكافحة (الإرهاب) مع رئيس وزراء العراق (موقع العربية، الأحد 2017/10/22م)

التعليق:

في الوقت الذي يغرق فيه العراق في ظلام الاحتلال الأمريكي وجرائم الحشد الشعبي وإيران ونزاعات حكام العراق الطائفية التي خلفها دستور بريمر الأمريكي، وفي الوقت الذي تدعي فيه السعودية مكافحة (الإرهاب) والوقوف في وجه التمدد (الشيعي) الإيراني على أنها ممثلة (السنة والجماعة)، في هذه الأثناء تطالعنا الأخبار بين الحين والآخر عن محاولات من هنا وهناك لفتح العلاقات المباشرة بين النظامين الإيراني والسعودي وهو الأمر الذي جاء على لسان وزير خارجية إيران جواد ظريف في مقابلة نشرتها وكالة أنباء الطلبة الإيرانية حيث قال: سنتبادل الزيارات الدبلوماسية مع السعودية قريبا وذلك بحسب ما نشرته (رويترز الأربعاء 23 آب/أغسطس 2017)، ورغم توافر آحاد الأخبار النافية لذلك من الجانب السعودي إلا أن الأمر يسير عن طريق العراق على قدم وساق، وهو الذي يشكل جسر عبور للعلاقات المباشرة والتعاون المشترك بين إيران والسعودية في سبيل تعزيز المصالح الأمريكية في المنطقة وخدمة الأهداف الاستعمارية والاقتصادية للأعداء.

إنه من المعلوم للجميع أن العبادي وحكومته في العراق ومن قبلهم المالكي ما هم إلا أدوات في يد إيران ومن خلفهم جميعا أمريكا، كما أنه معروف مدى الارتباط التاريخي والفكري لشخص العبادي مع إيران، فهو تلميذ حزب الدعوة الإسلامية منذ نعومة أظفاره، وهو الحزب الشيعي الحليف للمجلس الأعلى للثورة الإسلامية في العراق والذي يعتبر امتدادا لثورة الخميني في العراق، وهم جميعا أصحاب تاريخ أسود في الإجرام؛ فقد كانوا وما زالوا ضمن من ساعد الاحتلال الأمريكي وفرشوا طريق دباباته بالورود ليحتل العراق ويمزقه.

بالنسبة للسعودية فإنها تنظر إلى الموضوع من ناحية خدمة جديدة تقدمها لسيدتها أمريكا في العراق تتطلع من خلالها إلى مزاحمة خادم أمريكا الأول في العراق وهو إيران، وهي تطمح من وراء ذلك إلى أن تنصبها أمريكا في مراتب متقدمة في قائمة العملاء وأن تثق بها أكثر من ثقتها بعدوتها إيران، وما العلاقات التجارية المشتركة بين العراق والسعودية وإعادة افتتاح المعابر البرية والجوية المتوقفة منذ ما يزيد عن 25 عاماً وتسيير القوافل التجارية بين البلدين، ما هو إلا خدمة جديدة تقدمها السعودية لأمريكا في مستنقع العراق لعلها تساعد في إخراجه وإخراج أمريكا من ورائه من سلاسل الفشل والإخفاق.

كما أن الأمر بالنسبة لإيران واضح وصريح، فهي لا تجد أي مانع من فتح العلاقات المباشرة والعلنية مع الحكومة السعودية، غير أن الجانب السعودي يتمنع وهو راغب! وبالتالي فإن الحل الدبلوماسي لهذه الأزمة يكون عن طريق بناء جسر بين الطرفين والذي كان العميل الإيراني في العراق وهو العبادي والذي يقوم بهذا الدور على أكمل وجه، كما أن الأمر من الجانب السعودي احتاج لبعض التجهيزات والتهيئات مثل الذي حصل قبل شهرين تقريبا من لقاءات محمد بن سلمان مع العبادي ومقتدى الصدر ووزير خارجية العراق ورئيس مجلس النواب العراقي والتي كانت بوادر لتهيئة الرأي العام لتقبل ما قد يأتي من علاقات في المستقبل.

أما بالنسبة لأمريكا فإن طبيعة العلاقات الخلافية بين عملائها لا تعنيها بشيء ما لم تتعارض مع مصالحها، بل إن تلك الخلافات بين العملاء قد تستخدمها أمريكا أحيانا لتنفيذ أجنداتها الخاصة ومصالحها الشخصية، بالنسبة لأزمة العراق فأمريكا بحاجة للتعاون من جميع عملائها في المنطقة لتنسيق العمل المشترك لمحاولة إنهاض العراق وحمايته من أي تدخلات تؤثر على الوجود الأمريكي فيه، وما مسألة انفصال الأكراد إلا مثال على هذه الحالة؛ حيث توافق كل حلفاء وعملاء أمريكا في المنطقة (إيران والسعودية وتركيا ومصر وسوريا)، توافقوا جميعهم على الوقوف ضد الانفصال ومحاولة إخماده، وكلٌّ بحسب طريقته وأدواته؛ ولذلك فإن من مصلحة أمريكا في الوقت الحالي حصول التقارب بين الجانبين السعودي والإيراني حتى لو كان من وراء ستار.

إن السيناريو الوارد في التحليل السابق كان واضحا أكثر ما يكون في الأخبار الثلاثة والمنقولة عن قناة العربية؛ فأولا قام الملك باستقبال الوفد العراقي رفيع المستوى وذلك في الوقت نفسه الذي كان فيه وفد سعودي موجود في العراق، وذلك في دلالة على أهمية العلاقات وطبيعتها المستقبلية الطويلة، أضف إلى ذلك الاجتماعات التنسيقية التي جمعت رؤساء أركان كلا الجانبين قبل زيارات الوفود بيومين. ثانيا لقد كانت زيارة تيلرسون والمخطط لها والمعلن عنها منذ ما يزيد عن شهر غير حاضرة في الأخبار المحلية بشكل قوي، وقد جاء اجتماع تيلرسون مع الملك وظهور الجبير معه في مؤتمر صحفي كان ذلك كله بعد انتهاء الاجتماعات العراقية السعودية؛ مما يعني أن الهدف الأساسي من زيارة تيلرسون هو الوقوف على المشهد بصفة مراقب ومصحح في حال تطلب الأمر، حيث جاء في صحيفة الشرق الأوسط 21 تشرين الأول/أكتوبر 2017م "وينتظر أن يشارك وزير الخارجية الأمريكي ريكس تيلرسون في الاجتماع الافتتاحي لمجلس التنسيق السعودي - العراقي، حسبما أعلنت هيذر نويرت، المتحدثة باسم وزارة الخارجية الأمريكية، في الإيجاز الصحافي الدوري أول من أمس"، ورغم أن هذا الجانب من زيارة تيلرسون لم تسلط عليه الأضواء إلا أنه يمكن اعتباره الهدف الأهم من تلك الزيارة.

لقد اجتمع تيلرسون مع الملك سلمان واجتمع العبادي مع محمد بن سلمان وذلك في إشارة إلى توثيق المرحلة الجديدة والتي سوف يكون فيها دور للسعودية في العراق وبالتعاون مع إيران، وهو تعاون غير مباشر في وقته الحالي إلى أن يحين الوقت المناسب فيصبح علنياً ومباشراً.

إن التعاون المشترك بين السعودية من جهة وبين عملاء إيران في العراق من جهة لن ينتج للعراق ما يطمح إليه الشعب العراقي من حل مشاكله، بل إن هذا التعاون المشترك والمبني على تنافسية طائفية ومصالح اقتصادية ضيقة وعمالة من الجانبين لصالح العدو، كل هذه الأمور سوف تعمل على زيادة تقسيم العراق فوق تقسيمه؛ وذلك من خلال تعزيز النعرات الطائفية والمذهبية وشراء الولاءات والذمم وترسيخ المحتل، وهي جميعها أمور لن تكون في صالح الشعب العراقي ولا في صالح الأمة الإسلامية، كما أن مشكلة العراق كبلد من بلاد المسلمين محتل لا تحل إلا عن طرق جيش إسلامي جرار يقاتل في ظل راية العقاب وهي راية دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة والكائنة قريبا بإذن الله والتي سوف توحد الصفوف وتجمع الفرقاء وتطرد الأعداء وتستعيد الحقوق.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

ماجد الصالح

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon